SHAMIRA Sehemu ya 60&61
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr wakawa nananitia moyo kuw mtoto atapona kama ataendele kuja hospitali .mh mbona wananitia moyo ila mimi sion ata mabadililiko kwa mtoto nilikuwa namuona yupo vile vile ila madaktari wakawa wananmbia apo ndo anaendelea vizuri so nipambane tu kumleta mtoto hospitali.nikasema sawa hamna shida.
Sikukoma mwenzenu nilienda zaidi ya mala 3 kwa hamadi kumuomba sana amsaidie mwanae ila hamadi alikata kata kta. Kuna mdaakawa ata hataki kunidikiliza . Na ilifikia stage mkewe akija kugungua geti akiniona ananifukuza naona mumewe alishamwambia nisikalibishwe. Nilijishulua kwa hamadi nikawa napambana kivingine.
Basi bwana apo nikaaanza kuangaika pesa imekata sina ata cha kuuza kumpeleka mtoto hospitali. Zaidi ya kumkopa husna pesa ya kula.nikaona isewe kesi nikaludi kudanga nikawa namuacha mtoto kwa husna naenda na bwna ila nakuwa silali ili kuunga unga kupata pesa ya matibabu ya mtoto .ila bado nakwazika wanaume wenyewe mizinguo.unaenda unafanywa wanakupa elfu 20 .mala 30 nakuwa napata pesa ya kula tu.daah acheni maisha aya . Basi nikawa najichanga hivyo hivyo.nilipe kodi .nile bado niangaike na mtoto acheni
Ikawa sasa nakosa mpaka pesa ya kumpeleka hospitali mtoto. Au nikimpeleka leo navuata ata wekk 3 ndo nanpeleka akawa anazidi kuwa na hali mbaya nakumbuka siku iyo nimempeleka clinik mtoto.dr alinisema sana kuwa napitiliza siku mpka mtoto anakuwa na hali mbaya na nikifanya masihara mtoto anakufa siku si nyingi .daaah nilijikuta nalia mno .yule dr alikuwa ni mbabu akanambia pole ila lazima nikwambia ukweli pambana serious na mtoto. Alikuwa kashaanza kupona lakini wewe unakaa sana ndo unakuja tatizo haliwezi kuisha .yani unazingua we binti.nilishindwa ata kuongea mana pia sikumuelewa uyu dr. Sijuh anahisi mimi sipendi mtoto wangu apone.ila nakwama mambo ya pesa mana apo ata simu mimi nilikuwa sina nilishauza jamani. Mpka mwenyewe najiuza ili tu mtoto apate huduma ila bado .daaaaah nilitoka ndani mule nimechoka sana namuangalia tu mwanangu alikuwa kamelala ila hakipo vizuri kabisa
Nilitoka mpka nje nikasogea kwa nyuma ya hospitali nikakaa kwanza nikiwa sielewi nafanya nini kumsaidia mtoto wangu. Hamadi ameshakuwa haelewi tena au nianze kupita kuchangisha watu wanisaidie au nishukuru afe tu.yani mawazo yalikuwa mengi sana. Nikimuangalia mwanangu alivyo mzuri sasa daah roho inaniuma sana.nikiwa pale sasa ikaingia gari moja kali mno nyeusi.mana pale nilipikaaa nilikuwa naangaliana na parking ya magari
Akashuka kaka mmoja .kapiga suti ya kijivu imetulia mno.mkononi kashika simu 2. Ila yule kaka na yeye kama alikuwa na haraka haraka. So aliposhuka akasukuma mlamgo tu kisha haraka nikaona anaelekea ndani ya jengo moja apa muhimbili .nyie kwa jinsi nilivyomuoma yule kaka nikajua pesa anayo uyu. Kwa jinsi amevaa na ile gari ahaa uyu mpunga anao. Basi nikasema apa nafanya maamuzi magumu tu. Nikisema nikapambane na uyu mtoto atakufa tu sina pesa za kugaharamia matibabu yake mimi. Nikasema ngoja nikasoge moka katika lile gari .nikjalibu kufungua mlango wa mbele ukafunguka daah kumbe alikuwa hajafunga mlango naona sababu za haraka zake
Basi taratibu nikamshusha mtoto nikamlaza katika siti ya mbele alikuwa kalala .nikamlaza vizur mikamfunika nikaweka na makadi yake ya kuonesha ugonjwa wake .nikamuacha pale mwanagu nikafunga malango kisha nikaanza kuondoka.nilihisi huenda uko mwanangu atasaidiwa na mimi nilishashindwaππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni