Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA sehemu ya 13&14
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA sehemu ya 13&14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi; lissa wa huru media

Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo ndogo kabisaaaa , kwenye mashughur sasa mm ndo mama mitunzano kumtunza mtu laki 5 sio shida zangu baby si ananipa, na unazani nimeacha kudanga bwana pesa ananipa na ikitokea danga limenitafuta naendaa vzur siachi pesa mie akaaaaa
Na apo natumia uzazi wa mpango mkononi kwangu nilieka kijiti sikutaka masiara kabisa mieee. nizae akaaa nitazeeeka mie buleee .sikutaka kuzaa kabisa.ila sasa kila siku zinavyozidi kwemda niliona hamadi anazidi kunipemda yani anataka mda wote tuwe wote. Anapenda kuongea sana na mimi. Akikuta simu yangu inatumika anakuwa mkari kidogo japo sio sana ila anakuwa anamind . Maisha yanenda na mnazani nilikuwa na mda ata wa kumwambia nipelek kwako .aka uo mda mie sina jamani. Akijisikia mwenyewe atanipeleka. Na kama li mume la mtu litajijua .muhimu ananipa pesa mambo ya ngu nyanenda sina habari mie...

Siku iyo tupo hotel tumekulana vizurr na baby wangu akanmbia sweet leo nimekuletea zawadi .nikasema mh ipi mpenzi akanipa simu nzur mno ile simu ya bei kwa kile kipindi imaweza kufika ata mil 1 na laki 5 , nilifurah akanmbia naomba utulie basi mpenzi nataka niongee na wazazi kama vpi nikupeleke. Alafu naweka mambo sawa nataka tuisho wote. Mimi sikuamini sana shamira we mjanja mjanja sana alafu mimi nna plan za maisha na wewe mana nakupemda sana yani nakupemda mno .nikaona kweli mwanaume nimemkamata. Nikasema sawa amna shida ni wewe tu mimu nipo teali kwa kila kitu unachokitaka. Akanivuta aknikumbatia kwa nguvu tukaanza kuuutafutafuta usingizi na mchumba. Huwa anapenda sana akilala anikumbatie ndo furahaa yake.aseee mwanaume nilimkamata bwana.yani nilikuwa nikitaka pesa kwake siombi mala 2 mimi bapewa . Basi asubuh akaniludisha mpka kwangu . Akaniaga akasepa kwake mimi nikaingia mdani nipo hoi. Mana hamadi nae hana shughuri ndogo
Basi bwana penzi lilinoga aswaaa shoga yenu nilipendwa mpka nilipendwa tena yani nilokuwa napewa huba zito na uyu kaka. Mapka tukakata miezi 2 tupo katika mahisiano yetu.
Siku iyoo sasa nipo home baby nimeongea nae akanmbia yupo job na yuko busy sana mana alinipigia mida kama ya mchana.basi nilivyomaliza kuongea nae. nikaoga kisha nikauramba vizuri nikamuaga aisha nikaenda kudanga zangu mm, mana nilipata bwana alinambia ana 50k .nikaona wala siiachi.na bwana mwenyewe namjua shughuri ata hana kimoja chri sasa naachaje elfu 50 mimi.

Basi nikaenda kudanga sana na uyo bwana . mpka saa 4 ndo naludi sasa nyumbani nimekodi boda yangu, mala nikiwa katika bodaaa simu ikaita nachek hamadi anapiga .nikasem khaa uyu anataka nn sasa .nikmwambia boda simamisha kwanza.na boda wala hakuwa na neno akasimama mimi nikaipokea ile simu. , akasema baby upo wap nikasema nipo nyumbani mpenzi nimelala .mpka boda kaniangali na nilivyo mkavu sasa ata aibu sina🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA sehemu ya 13&14


Mwandishi; lissa wa huru media

Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo ndogo kabisaaaa , kwenye mashughur sasa mm ndo mama mitunzano kumtunza mtu laki 5 sio shida zangu baby si ananipa, na unazani nimeacha kudanga bwana pesa ananipa na ikitokea danga limenitafuta naendaa vzur siachi pesa mie akaaaaa
Na apo natumia uzazi wa mpango mkononi kwangu nilieka kijiti sikutaka masiara kabisa mieee. nizae akaaa nitazeeeka mie buleee .sikutaka kuzaa kabisa.ila sasa kila siku zinavyozidi kwemda niliona hamadi anazidi kunipemda yani anataka mda...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-sehemu-ya-13-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira-sehemu-ya
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

534
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

257
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

217
SHAMIRA sehemu ya 13&14

SHAMIRA sehemu ya 13&14

106
SHAMIRA sehemu ya 15&16

SHAMIRA sehemu ya 15&16

106
SHAMIRA 17,18,19,20

SHAMIRA 17,18,19,20

96
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10

93
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*

78
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08

60
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09

21

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.31K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.37K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 21,22,23,24 Post Mpya
SHAMIRA 21,22,23,24
@majario LIVE

sehemu ya 21&22 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupuπŸ˜‚. Akanambia shamira unajua...

SHAMIRA 17,18,19,20 Post Mpya
SHAMIRA 17,18,19,20
@majario LIVE

sehemu ya 17&18 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani...

SHAMIRA sehemu ya 15&16 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 15&16
@majario LIVE

Watsapp 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akanmbia ooh umelala kipenzi changu mbona mapema sana na uajua saa 5 lazima nikupigie jamani. nikasema sipendi kuzulula usiku baby kwaiyo naamua kupumzika mpema...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

β€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… β€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

β€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema β€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest