SHAMIRA Sehemu ya 65&66
Wassap;0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi kwa nini nilikuwa nakuja kukuomba msaada labda. Akasema khaa si ulinambia mtoto anumwa ama. Nikasema saw basi mtoto kafa .mwezi wa 3 sasa nishazika na nishasahau. Akasem haa kivipi yani sahamira.nilimuangalia uyu kaka alinitoka.sikuta kuongea nae tena nikashuka zangu. Nikaona na yeye kashuka akaja kunishika mkono .aseeee nimpa bonge la kofi la shavu mpka akashika shavu lake. Watu wote wakawa wanatuangalia.
Akasema shamira yni kabla ajasema lolote nikamkata bao lengine.hii siku nilikuwa simba jike .anakuja kunitonesha kidonda mshamba uyu. Hamadi akanishika mikono akesema naomba tuongee. Nikasema we kuma niache tena achana na mimi msenge wewe.jamani. uyu kaka hajawahi kunijua vizur nilikuwa namuheshimu mno. Hii siku ndo alinijua shamaira vizur. Hamadi akasea unanitukana sio. Ebu tulia tuongee unapaniki nini sasa. Nikasema we kuma la mama yako achana na maisha yangu msenge mmoja wewe. Nimekufata mala ngapi kuhusu mtoto wewe .si ulianza kukana mimba unaniletea mimi ushamba sio .leo unaleta mapumbu yako nyoko nyoko kuma nini wewe. Aseeee hamadi hakuamini mana nilijaza watu dakika 2.na jazba ilishanipanda sana nilikuwa na hasira sana mana uyu msenge anazingua sana nilishaenda kwake zaidi ya mala 3 . Na kuna mda hakuwa anataka kabisa ata kunisikiliza leo analeta pumbu zake kuja kunambia usenge wake inasaidia nini. Mimi nsha nshaalibu kabisa sasa
Husna akanishika akasema tulia basi shamira mbona unajaza watu tulia mbona yanaongeleka nikasema husna situlii mwambia uyu aondoke nampiga mawe mapka ajute kuniju mwambie aondoke apa. Plasss mwambie sitaki kumuona ata kidogo kwenye maisha yangu.hamadi alichoka mno akawa amesimama tu pembeni ata aelewi anaongea nini mimi ndo nimechacha mno .nilimtukana uyu kaka sijuh kma atanisahau.yani sikumuacha baba yake mama yake wala ukoo wao nilikuwa na hasira nao. Hamadi akaona isiwe shida akapanda katika gari lake akasepa bila ya kusema lolote. Nilitukana uku nyuma jamani niliona nna fundo limenikaba sana.husna alinituliza akaniingiza ndani.nikaingia ndani nikaanza kulia jamni nililia sana nilimkumbuka sana mtoto wangu nikawa nawaza sijuh kafa mwanangu sijuh mzima.leo baba yake et ndo kamkumbuka jamani daaa wanaume awa
Basi bwana husna alinibembeleza sna mpka nikatulia kidogo. Akasema mbona sijaelewa ugomvi wenu kwni mtoto yupo wapi mbona kama na yeye amekuja kudai mtoto. Nikasema mtoto kafariki.sijakuambia tu.mtoto kanifia muhimbili.hawajanipa mwili sababu ya gahrama nilizokuwa nadaiwa mdo mana nikaacha mwili.nikaongopa tena sikutaka kusema unyama nilioufanya mana mimi mwenyew nikikaa tu uanitesa .basi husna alinionea huruma sana akanibembeleza mno mpka nikatulia.na jioni kabisa akanipeleka mpka nyumbani nikaenda kupumzika kwangu. Aseeee hii siku ata sikulala milimkumbuka sana mwanangu cairah usiku mzima nilikuwa nalia tu. Nilijua sasa mwanagu atakuwa na miaka 2 na nusu kama yupo hai. Ila kama kafa basi sina la kufanya ila kama mzima najua tutakutana .nikawa namuomba mingu kama mwanangu mzima basi asichelewwe kunikitanisha nae jamni
Asubuh niliamka nikaoga zangu .kisha nikanyw chai kivivu sana.kusha nikatulia kwenye godoro langu tu .nilikuwa na stress sana.kukweli maisha yngu sikuwa na amani kabisa kila nikikumbuka nimemtelekeza mtoto mimi.naweza kusema ni kitu ambacho kilikuwa kinanitesa sanaπππππππππππππππππππππ
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni