Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA sehemu ya 40&41
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA sehemu ya 40&41

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende uko uko charambe msenge mmoja uyo. Tukishapagawa machizi wawili tena na mimi nna hasira za kupigwa .nikasema tutasomana uko msenge yule. Basi kweli mguu moja mguu mbili mpaka anapokaa mwajuma . Nikamkuta nje anapiga story na mashoga zetu wengine

sikumuuliza.nilimdaka nilimkunyuga mpka alikuwa haaamini. Aseee sikutaka maelezo yani hasira zote za kudundwa kwangu nikammmalizia yeye.mpka watu walinishika sasa. Nikasema we msenge wewe nani kakwambia uwape namba wasenge wenzio. Akasema nini wewe kwani si mabwana zako ama .wametaka namba nimewapa .unajishaua nini maraya mkubwa wewe huna mbele wala nyuma
Mikasema mimi ndo shamira shoga unaona wivu nimekupita maisha eeeh. Sasa labda nikwambia mimi nyota yangu kali na mimi sio sawa na wew. Na kinachokusumbua ni wivu msenge wewe unaona nshakuacha mbali. Labda nikwambie tu mimi ndo shamira. Ata hujaribu kuniharibia vp utashindwa na labda tu nikwambie mimi nyota yangu kari mshamba wewe
Aseee nilimtukana uyu dada nilikuwa na hasira nae aisha akanambia msenge yule achana nae .mtu anatombwa na mabwana 10 ndo anapata elfu 5 naye atakuwa mwanamke au dampo.aseeee tulichalulana mno.nikamwambia nataka na laki 9 yangu niliyokutunza oyaaa mimi ndo shamira nitakunyoosha kumamako wewe. Aseee tulitukana mna .
mpka aisha akanambia inatosha twemzetu sasa. Aseee nililudi nyumbanin na hasira natukana njia nzima .nimefika home nipo hoi kudadeki nikafikia kulia sasa na mahasira yangu.basi aisha akanibembeleza akasema basi kipenzi nyamaza na utulie sio siri nilokuwa naumia mno mana moyo ulikuwa unampenda sana yule kaka. Kuna jinsi alinibadilishia maisha .na alinipa upendo mno.ni vile hakuwa anapenda maupumbavu yangu na teali ndo nishaaalibu mnazani nafanyaje mimi moyo wangu uliuma sana. Na nilipata maumivu makari mno.basi aisha alinibembeleza sana .nikawa nasema aisha mimi nampenda hamadi ongea nae basi mwambie naisamehe now ntakuwa anavyotaka yeye . Basi aisha kasema sawa ila nyamaza. Naomba nyamaza kabisa na kila kitu kitakaa sawa . Nikasema sawa uku nalia mno.na moyo unaniuma sana jamani.

Basi nashika simu mchumba ajanitafuta ata nikampigia mimi nakuta hapatikani sielewi ni alizima simu yake ama vp.nilihisi moyo unauma sana japo kanipiga ila sikujali kwa huu mda.namjua hamadi ni mwanaume mwenye hasira sana ila ananipenda mno yani sana ni vile nimeshindwa kwenda na principles zake tu. Basi nikatulia pale. Nikapata na usingizi kabisa. Ata usiku aisha aliponiamsha kula nilisema nimeshiba nikajilalia zangu. Asubuh nimaamka mapema nikaenda kuoga nikaludi ndani nikawasha tv nikawa naaangalia. Nikajalibu kumpigia hamadi akawa hapatikani tena nikaona aya bwana .naona kaamua mana huwa ananifata lakini jana kaniacha kabisa ata kunifata hapana mwanaume kaaamua.

Basi mwenzenu nilikaaa na shost yangu saku week 2. Mwanaume hajanitafuata na kila nikimpigia hapatikani. Moyo ulikuwa unauma sana yani mno. Nilikuwa nasikia uchungu sana kwa ninayo pitia ila sikuwa na jinsi tu.nikaonaa ahaaa kama kaamua tuachane basi ni vyema pia kila mtu akafanya maisha yake na mambo yakaenda mana mh . Basi nikaw busy na mambo yangu tu ila sasa nilianaza kuona mabadiliko katika mwili wangu naumwa umwa sana yani sikuwa najielewa hivi .nilijihisi kabisa mimi nitakuwa na mimba.

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA sehemu ya 40&41


Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende uko uko charambe msenge mmoja uyo. Tukishapagawa machizi wawili tena na mimi nna hasira za kupigwa .nikasema tutasomana uko msenge yule. Basi kweli mguu moja mguu mbili mpaka anapokaa mwajuma . Nikamkuta nje anapiga story na mashoga zetu wengine

sikumuuliza.nilimdaka nilimkunyuga mpka alikuwa haaamini. Aseee sikutaka maelezo yani hasira zote za kudundwa kwangu nikammmalizia yeye.mpka watu walinishika sasa. Nikasema we msenge wewe nani kakwambia uwape namba wasenge wenzio. Akasema...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-sehemu-ya-40-41

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira-sehemu-ya
SHAMIRA  πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

756
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

537
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*

475
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12

230
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

194
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

169
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

158
SHAMIRA sehemu ya 40&41

SHAMIRA sehemu ya 40&41

152
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

148
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5

138

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.55K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.3K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.76K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.57K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.48K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku...

A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame β€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a Post Mpya
A rare and heartwarming moment with three generations of the Bachchan family in one frame β€” Harivansh Rai Bachchan, Amitabh Bachchan, and little Abhishek Bachchan. It’s the kind of picture that instantly feels special because it captures family, legacy, a
@majario LIVE

. Harivansh Rai Bachchan, one of India’s most respected Hindi poets, looks calm and dignified, while his son Amitabh stands beside him β€” a man who would go on to become...

*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26&27*
@majario LIVE

zena alinikumbatia uku analia sikuelewa ni ule uchungu wa kutoa bikra yake au mahaba yamemzidia acheni kabisaaa ila nilimvuta kwa karibu nikamtuliza na nikambembeleza kweli kweli mpaka mchumba akatulia nilimwambia...

ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI.  Elvin alikuwa kijana wa miaka 28 Post Mpya
ALIMTOA MAMA YAKE KAFARA ILI AWE TAJIRI. Elvin alikuwa kijana wa miaka 28
@majario LIVE

aliyeishi na mama yake mjane kwenye nyumba ya kupanga uswahilini. Mama yake, Mama Kelvin, alikuwa akijishughulisha na kuuza mbogamboga sokoni ili mwanawe apate chakula na mahitaji mengine. Kelvin alikuwa...

SHAMIRA sehemu ya 40&41 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 40&41
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha akasema sasa sikia tuna kazi naye .si kafanya uo usenge kwaiyo zile laki 9 zako ulizomtunza kaona sisi mafala .sasa tutamuonesha kumamamke zake twende...

*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5 Post Mpya
*NIPO NAYE NA NATAMBA NAYE WEE HUOGOPI* 1----5
@majario LIVE

Mpyaaa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Β SEHEMU YA 1 Β Β  Β Β  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Em kwanza nicheke mieeeΒ  , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijuiΒ  wapi wapiiΒ  mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 12
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Mr. Marvel akaendelea β€œNiliendelea kufanya kazi na wakati mwingine nilikuwa nambeba Salmon na kwenda naye kazini. Kwa sababu hiyo, nilipoteza baadhi ya kazi kwa sababu haikuruhusiwa kufanya kazi na mtoto....

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest