Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku moja, na apa utakaa kwa mda mfupi sana, nakuoa soon utaamia kwangu sawa zena, akanmbia sawa asante millan ni pazuri nimepapenda sana, nikasema okey ,karibu mama, basi tukaikagua sana nyumba nikiwa nae na zen alionesha kapafurhia sana pale na kapapenda , na baada ya apo nikawapeleka mpaka home kwake, kisha nikamkabizi funguo ya makazi mapya na nikamkabizi na pesa kidogo, nikamwambia kesho tu aamie makazi mapya, basi zena akanishukuru sana, mtoto wa watu, nikamwambia usijali ni ya kawaida ayoo, wewe ni mwanamke wangu, so kuwa na amani kabisa mpenzi , akanmbia sawa, apo mm ndo nikaaga kisha nikaludi kwangu

Na kesho yke niliamkia job na niliwasiliana tu na zena ,na akanmbia ameshamia makazi mapyaa, nikampa hongea na nikamwambia nikitoka kazini basi nitaenda kupaona, na kweli mm nilivyotoka kazini , nilienda kwake alipoamia sasa, mashallah, kuliko kuzuri na kumependeza sana mana alipanga vitu vyake vuzuri mnoo , basi bwanaa zikapita week 2 , nimezama kweli kweli na zenaa, yani penzi limenogaa kinoma, hizo week mbili mi nyumbani nimelala siku 3, hizo siku zengine zote nalala kwa zena, nakula kwa zena , na kuna nguo zangu nyingi tu ,nilikuwa naacha kwa zena kabisaaa, nakula utamu tenaaa, mtoto mpya mpya utanambia nini , aseee zena alikuwa na furaha sana , kwa kipindi chote, alikuwa na rahaaa mnoo, alikuwa anaonesha kunipenda na kunijali kweli kweli, aseeeee kama kuzama dada alizama, na mm kwa uo mda naenda kwa zena, mademu zangu wengine wote nikapiga chini ,ila.sasa baada ya week 2, nikawa nishamzoea namuona kawaidaaaa, na nikapunguza kwenda kwake, sikuwa naelewa nilikuaga na mdudu ama nini, ila nikishatembea na mwanamke , anapunguza kunivutia natafuta wanawake wengine

Basi ndo ikawa hivyo kwa zena , nikiwa nikitoka job sipiti kwake tena kama zamani, nanyoosha kwangu, apo visingizio kibao, mala nimebanwa sana , mala naingia shift usiku, mala.nimechoka sana kazi zilinizidia , hivyo yani, nikawa nafosi machaka mapya sasa, zena kashaliwa nafanya nini, apo zena sijawahi kumpeleka nyumbani kwangu ata siku moja na hapajui kwangu, siku iyo sasa kanipigia simu mida ya mchana, apo nna week 2 sijakanyaga kwake ,sababu kibao, mi nikapokea simu, nikasema nambie mchumba akanmbia powa , uko wapi nikasema nipo kazini zena vp, akanmbia unakuja saa ngapi uku , sijakuona mda nimekumiss, nikasema oohh zena ,leo nipo busy sana na kazi, apo bwana nilikuwa kuna demu wangu wa zamani, usiku wa hii siku nilikuwa nimepanga tukapashane nae kiporo, zena akanmbia ahaaaa sawa so hautakuja nyumbani, nikasema yaaa ,akanmbia lakini haujaja week 2 sasa kila siku ni busy tu jamani, ummy anakuulizia ,nikasema ntakuja zena mambo ni mengi ata mm nimemmis sana ummy na natamani sana kuja kumuona ila majukumu yamenizidia nielewe mama ,akanmbia basi sawa ,kisha akakata simu, yani ahaaaa , nishamtomba sana asa naenda kwake kufanya nini sasa

Basi bwana mimi sikuenda kwa uyu demu kama mwezi, namkwepa kwepa sanaaa, siku iyo zena akanitumia sms, akanmbia millan naomba leo ukutoka kazini naomba ufike,japo nishkujua kuwa ww ni mwanaume wa dizaini gani, doooh asa kama kashanijua mm ni mwanaume wa dizaini gani kwake mi naenda kufanya nn, mi nikaingalia ile sms sana ,ila nikaona ngoja tu niende nikamuoneee, basi kweli mi nilivyotoka job hii siku ndo nikapita kwa zena, basi katoto kake kakanichangamkia sanaa, yani sanaa tu, naona kalinimiss na vile sijaenda mda, ila zena wala hakuwa kanichanganmkia kabisaaaa, nikajua ayaa bwana, basi nikamsalimia zena , akaniitikia ila kiunyonge kweli kweli, nikamwambia ummy nenda chumbani niongee na mama kwanza, ummy akanyanyuka akaingia chumbani, nikamwambia zena vp mbona unanuna sasa , mi sifanyi makusidi kutokuja kwako ,ni vile nina kazi nyingi sana kazini , nakuwa nabanwa sana niamini na unielewe mama, zena akaningalia sana akanmbia una uwakika ? Nikasema yes, zena akanmbia kwaiyo upo busy mwezi mzima unashindwa kupata ata mda mdogo wa kuja kuniona si ndio

Nikasema yaaa , niko busy sana na kazi nielewe mama ,akanmbia sawa ,japo sikuamini kabisaa umechange sana millan, umekuwa mwanaume ambae sikuelewi, nisipokupigia mim simu ,we hunipigii kabisa, millan umekuwaje, unanaifanya naanza kukufikilia vibaya, na kuna mda najutia kwa kuingia katika mahusiano na wewe, why lakini baba, nikasema no unakosea , ebu nielewe tu zena ,kazi yangu kuna mda huwa inanikula sana mdaa, zena akaningalia sana akanmbia sawa , akanmbia ningoje akaingia chumbani na baada ya mda akatoka na karatasi akanitupia ,mi nikaichukua ile karatasi nikasoma, ooh yalikuwa ni majibu ya hospital ambayo yalikuwa yanaonesha zena ni mjamzito wa mwezi mmoja na siku 10, nikaona kazi ipo mtoto wa 6 anakuja, na baba bado sisomeki kabisaa, uzuri wa mm sas, mi namsikiliza mama mwenyewe anasemaje, akitaka kuzaaa fresh, akinambia anatoa poa frssh na ela ya kutolea nakupa, apa nipo mi tajeer wa watoto bwana,

Nikasema nimaona we ni majamzito sio, akasema ndio si umeona apo, nikasema yaa nimeona hongera, so wewe kama mama umeamuajee, zena akanmbia naamua nini, unazani kuna la kuamua zaidi ya kuzaa ,nikasema sawa zaa hakuna shida mi ntaudumia mimba mpaka mtoto, zena akanmbia millan ,ebu naomba basi nikupeleka nyumbani kwa ndugu zangu, ukajitambulishe na ikiwezekana unioe, nazaaje nje ya ndoa millan, nikasema ahaaaa mama tulia bwana ,aya mambo hayataki harkaa yanataka kujipnga, we lea mimba, mi najipanga, ikifikia miezi 6 basi mi nataned akwenu , zena akanmbia sawa ,ukitoka apa unaenda wapi leo, nikasema naenda kwangu, zena akanmbia sawa naomba leo twende kwako, nataka kupajua kwako, mana sasa tumeshakuwa katika hatua kubwa millan, nawezaje kubeba mimba ya mwanaume ambaye bado simjuhi vizur ata kwake tu sipajuhi , nikaona kazi ipo, nikamwambia now usiku ummy unamuacha na nani, we tulia mi ntakufata siku nyengine ata kesho , zena akanmbia hapan, leo naenda kwako, utanifata siku nyengine ni lini na unvyonambia upo busy sanaa

Alafu millan, hii si ni mimba ya kwanza unampa mwanamke ,it means unaenda kupata mtoto wako wa kwanza mbona upo kawaida sana nilitegemea utafurahi sana, mh angejua anayekuja wa sita , sijuh wa saba mana daaah🤣🤣🥲🤣🤣🙌🙌🙌🙌, nikasema mm nimefurahia mbona , kuwa na amani kabisaa , au unataka mpka niluke luke zena, mi nimefurahi ila leo tulia plssss, zena aknambia hapana apa leo mguu wako , mguu wangu mpaka kwako nipajue tuu, ahaa mi sikuwa nataka apajue kwangu basi tu, nikaona kwakua ana mimba yangu, apa teali kuna kitu cha pamoja tunakitengeneza na nikakubali kumpeleka kwangu, basi nikamwambia sawa muandae mtoto tunaenda, kweli zena hii siku alinikomalia, akamuandaa mwanae harka harka, nikawapakiza kwenye gari yangu na safari ya gomz kwangu ikaanza, basi njiani , nikawa najalibu kumuongelesha zena ila zena wala hakuwa ananichangamkia sana naona alishaona hakuna mwanaume umu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Basi bwana tukafika mpaka kwangu, mi naishi pazuri, ila shida daah nabadilisha sana wanawake sana apa, basi bwna nikaingia na zena mpkaa ndani, basi ummy akawa ananmbia baba apa ndo kwetu kupya ni kuzuri, mh mimi nikawa nacheka tu zena wala hakusema kitu nikamkalibisha kwangu, na nikamwambia aya maam apa ndo kwangu, na karibu sna, akanmbia ningejisikia raha na furaha , kma wewe mwenyewe kwa ridhaa yako ndo ungetaka mimi nije apa ,.ile umenileta baada y mimi kukufosi, nashukuru nimepaona na nimepajua naomba tu niludishe kwangu, khaa ata kukaa ahajakaa et, nikamwambia acha masihara ,asa mi nakurudishaje usiku huu tena, we lala mi asubuh na kupeleka kwako, akanmbia hapana nataka kurudi kwangu, nilitaka kupajua unaishi wapi tu, na nimeharizika, nikaona uyu ananitania uyu, nikamsogelea nikamsika kiuno, nikamwambia shida nn mama mbona kama una hasira, nikaona zena machozi yanamtoka , nikajua kumekucha apaaaK

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29


Nikasema sikia utakaaa apa, na usiwaze kabisa kuhusu kodi, mimi nipo na sina plan za kukuacha wewe kabisaa, nakupendaa sana, nakupenda kuliko chochote zena, siwez acha kukulipia kodi ata siku moja, na apa utakaa kwa mda mfupi sana, nakuoa soon utaamia kwangu sawa zena, akanmbia sawa asante millan ni pazuri nimepapenda sana, nikasema okey ,karibu mama, basi tukaikagua sana nyumba nikiwa nae na zen alionesha kapafurhia sana pale na kapapenda , na baada ya apo nikawapeleka mpaka home kwake, kisha nikamkabizi funguo ya makazi mapya na nikamkabizi na pesa kidogo, nikamwambia kesho tu aamie makazi mapya, basi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-28-na-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

973
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

223
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

196
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

175
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

125
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

109

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest