SHAMIRA sehemu ya 27&28
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa mashost zangu kuwasalimia wakawa wananishangaa atari. Wakanambia jamani we dada umempata nani anakufanya unawaka hivyo nikasema mjini apa .niwatajie bwana angu mukamuibe aka wala siwaambii wakacheka sana. Sasa kuna shoga yangu mmoja anaitwa mwajuma. Akanambia shoga ndo umetukimbia uku yani mtaa umepoa hatari shamira haupo .nikasema nitaridi msijali wala nini. Kuna mambo yangu nayaweka sawa tu.mwajuma akasema sasa shoga mimi nna shughuri utakuja kweli .nikasema mie nisije kwenye shughiri yako sio kweli ebu nialike haraka haraka kuna nini unaolewa ama
Akacheka akasema mh kuolewa ntaolewa mimi shoga yangu basi .wala siolewi ni biryhday yangu ila nafanya sherehe shoga ukumbini matarambute yatakuwepo kama yote plsss usikose. Nitaumia sana shughuri yangu haitachangamka kama wewe ukikosa. Nikasema msijali kwanza sale ushafata. Akasema bado nafata kesho. Nafata kojora elfu 10.nikasema jihesababuni mpo wangapi ? Wakasema sita nikatoa elefu 60 nikasema aya wote sare nimewalipia mie na iyo siku nawanunulia bia wote. Aseeee walishangilia wakisema tajiri nikasema malizieni tajir shamira hapna chezea mimi๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Basi niliwanunulia mashost chakura na vinywaji tukala mno uku tunapiga story mie jioni kabisa ndo nikaondoka na aisha .kwenda saku sasa. Aisha akasema ahaa nakuona tajiri kuna mijitu inakuonea donge inatamani iwe wao .nikasema ilo trera pambe itakuwa siku ya shughuri yake ntawafunga mdomo watu wote wa charambe mapka saku kudadeki.basi aisha akcheka sana tukafika home tukawa tumekaa tunapiga story .mala mlango ukagongwa .aisha akasema pita. Akaingia hamadi . Akamsalimia aisha kwa furahaa. Aisha nae akamchangamkia mno tajirrrrr tena. Akanisalimia na mimi kisha akasema aya si ushaongea na shoga yako siku nzima nimekufata sasa.nikasema sawa basi nikamuaga aisha nikaondoka na mwanaume wangu
Basi njiani akanambia nisingekukuta ungenieleza ulikuwa wapi .nikawa nacheka tu.nikasema wewe una shaka tu na mimi lakini mwenzio nimetulia sana na wala sina mambo mengi kipenzi ata. Akasema sawa
Basi tukaludi mapka kwa baby. Tulipofika nikafikia jikoni nikaaandaa chakura haraka haraka kisha nikatenga tukala kwa pamoja uku tunaongea ongea.kisha tukaenda kuoga kwa pamoja. Tukaja kumalizia kitandani mwanaume anapemda kutomba uyu .yani kila baada ya siku 2 ananitomba.kuna siku ananiunganishia kila siku ananmbia mimi mtamu siishi hamu basi na mimo nampa tu kwa nini nimnyime bwana
Basi asubuh mwanaume akaenda kazini. Mie nikampigia aisha nikawa naongea nae.akasema shoga uyo mwanaume mnona anaonekana ana wivu iyo siku ya sherehe atakuruhusu kweli.nikasema shoga amenirihusu au hajaniruhusu mimi nakuja nazani unanijua vizuri nikitaka langu nakuja mama. Akacheka akasema utamuaga. Nikasema kwa nini nisimuage ila najua atakataa mana hamadi ana wivu sana ila mimi wala sitamsikiliza.lazima nije kwenye shughuri๐
NA HUU UNAKUWA MWISHO WA SEASON YETU YA KWANZA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni