Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 94 Hadi 96
Gonga94 ยท Stories

SHAMIRA 94 Hadi 96

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHAMIRA
Sehemu ya 94
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga yangu lakini kuna wanawake wapumbavu wanatupa watoto huwezi amini. Mh nikaona nafsi inanisuta .mana mwanamke mpumbavu mwenyewe ndo nipo mbele yake apa .ila hanijuh tu
Akasema gift ni mtoto ambaye kaka alikuta kawekewa kwenye gari lake na mtu asiejulikana uku akiwa na vyeti vyake vikionesha anaumwa moyo.na kka alivyouliza alaiambuwa kuna mwanamke ndo alikuwa maeneo ayo kabeba mtoto. Aseeee acha kwanza ilikuwa ni siki mbaya sana kwetu. mana tulimpoza mama yetu aloyekuwa anaumwa kwa mda mrefu pale muhimbili.basi mama anafariki . Na tukapata mgeni bwana.basi tukafanya msiba wa mama .kisha sasa kaka akamchukua mtoto na kuja nae uku kwake dodoma . Mahari alipokuwa anaishi na mkewe . Nikasema ahaa kumbe alioa akasema ndio lakini gift ndo alifanya kaka amuache mkewe.mh nikamuiluza kivip sasa
Akasema mkwewe alishindwa kuelewa kuwa kaka kaekewa tu mtoto kwenye gari na sio wake. Ila yeye alikuwa anamshutumu kuwa kaka kamsaliti.na amezaa uko nje ndo katupiwa mtoto wake.ilikuwa ni shida yani varangati la kutosha navyokwambia full ngumi. Acha tu .yule mwanamke akawa hamtaki uyu mtoto kabisa.kaka anasema ile ni zawadi kafa mama kaletewa uyu kwaiyo wamleee acha tu shamira. Mh nilijisikia vinbaya kumbe nimegombanisha mtu na mkewe kwa mambo yangu jamani daah

Basi love akawa anaendelea kunihadithia . Akasema basi ndo hivyo mwanamke yule akaaanza kudai taraka na akawa hamtaki kabisa uyu mtoto na mwisho kaka akampa tarka japo kaka anampenda sana uyo mwanamke mpka kesho.japo nasikia kashaolewa tena .na kaka ni hakimu.na yule mwanamke alikuwa wakiri.basi ikabidi wagawane mali.ila kaka alimuachia zote. Akaanza upya kabisa . Mpka nyumba waliyokuwa wanisho ipo chamwino kule ila alimuachia .na kaka akaanza kimlea sasa uyu mtoto ila mtoto alikuwa anaumwa .alikuwa na shida ya moyo.asee kaka alipambana nae sana uyu binti mpka india alifika nae na ndo kaenda kuponea uko
Basi kaka anampenda uyu mtoto dunia ya mwisho kwanza uyu bonti kuna jina alilikuta katika yale makaratasu yake ya kuumwa ila kaka alilikataa ilo jina akumuita gift yani zawadi yake kutoka kwa mungu anasemaga kwakuwa mama kaondoka ndo mana mingu kamletea uyu.kwaiyo kaka anmpenda sana uyu mtoto na anamuita gift daniel .yani ni mwanae kabisa anasema .na huwezi amini mpka mali zake anamuandikisha uyu mtoto. Tena hataki kusikia kuwa uyu mtoto aliekewa tu kwenye gari anasema ni mtoto wake na anampenda sana. Hataki kuelewa ndo hivyo shoga
Kwaiyo ilo ji jicho la kaka kuwa nae makini uyu mtoto usimpige ata siku moja. Kaka atakufukuza kweli kazi sure. Aseeee yale maongezi yalinigusa mpaka machozi yakawa yananitoka mimi. Love akasema hee mbona unalia sasa jamani. Nikasema hii story imenigisa sana kaka yako ana moyo mzuri sana mingu atamlipa. Akasema usijali bwana ni moyo wake tu. Nikasema sawa .basi akanmbia ni siri usije ukamsimulia mtu wala usimuulize kaka mikasema wala usijali sitafanya hivyo . Nikamuuliza mweni nyie mpo wawili tu .akasema ndio tupo wawili tu anaanza yeye kisha nafata mimi. Baba alianza kufariki. Na akafata mama siku yuliyompata gift.nikasema sawa na poleni
๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€
SHAMIRA
Sehemu ya 95&96
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Nikamuuliza kwa iyo uo ugonjwa wake wa moyo gift alipona?. Aksema ndio alipona kabisa ila broo ametumia pesa nyingi sana na kaangaika nae mno. Yani sana tu.nikasema ahaa sawa .love akasem sasa kipenzi leo umemuuzi san broo namjua kaka yangu pale kachukia sana . Na si umemsikia kasema kazi basi .mh nikasema ndio nimesikia .akasema nenda tu ukaongee nae ni muelewa sana muombe msamaha. Mana ata kule supermakrt ni yake. Kama atachukia utaokosa kote ntashindwa kukusaidia.nikasema saww hamna shida
Badi kweli mie taratibu nikatoka chumbani kwa love .nikamkuta daniel yupo sebleni na gift et wanacheza game.mh uyu baba analea vibaya mtoto ipo siku uyu mtoto atmchezea pumbu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Basi nikamsogelea nikasema boss samahani naomba tuongee . Nikaona kaniangalia kisha akamwambia gift nenda chumbani kwanza mrembo angu. Basi kikasimama kinaninyali khaaaa aka katoto jamani .hivi anajua mi na mshono wake .mbona ana akiri mbaya hivi au kwa sababu nilikuwa nakunywa pombe nikiwa na mimba yake jamani khaaaaa.katoto kadogo ila kapashukuna mno
Bai mtoto alivyoondoka akasema nakusikiliza. Nikasema boss samahani ni bahati mbaya tu sitaludia kumpiga tena mtoto. Akasema ooh unajua nilivyokuona niliona umefanana sana na gift nikajua utakuwa dada mwema kwake na kumlea vizuri kumbe sivyo. Aseee sitaki mtoto wangu aguswe yani sitaki ata kidogo. Hamjui mimi nimepitia changamoto gani kwa uyu mtoto plsssss naomba asiguswe.nikasema sawa boss sitoludoa.akasema alafu wewe apa nakulipa sh ngapi? Nikasrma laki 4. Akauliza ushawahi kuona dada wa kazi analipwa laki 4.nikasrma hapna .akasrma nakulipa pesa nyingi kwa sababu namjua binti yangi ni mtundu sana so sikupi pesa bule plss shamira kama unaona hii kazi imekushinda basi naomba uache.sihitaji maneno kabisa mana siku nikisikia umempiga tena uyu mtoto nami ntakupiga vibao hautaamini.
nikabaki kimya mana babayalikuwa yanamtoka atari nikasema sawa .akasema mimi namjua binti yangu akiongea uongo najua na ukweli najua so plsssssss sihitaji ili lijiludie tena.nikasema sawa kaka halitajiludia akasema sawa kaendelaee na majukumu yako
Basi nikanyanyuka nikaenda kuendelea na kazi zangu. Basi ikakata week 3 shoga yenu nikawa simgusi kabisa uyu mtoto namuangalia tu.nikimsema akiludi baba yake anamwambia yote.looh mbea mtoto uyu.basi baba yake kila siku ananipa last warning. Anafoka kweli. Ila unajua kama mzazi nakuwa nashindwa kabisa kuvumilia tabia za gift natamani kumdunda mda mwengine .anakuwa ananiumiza sana .ila ndo hivyo na kazi nayo naitaka mana kule nimepanga na kodi nalipa japo naenda mala moja moja
Kwanza mtoto kuna mda ananiita mpka jina langu ety we shamira looh. At least ata love kuna mda anamsema sema ila ile kumsema uku anambembeleza jamni. Nikaona mtoto ataharibika uyu ni vile basi tu.basi bwana siku iyo sasa nakumbuka ilikuwa usiku danielei alichelewa sana kuludi .yani ata kivuruge wake alikuwa kashalala.alililudi kama saa 5 hivi mimi nilikuwa sebleni nachek game. Basi alivyoingia sebleni akasema shamira njoo chumbani kwangu mie nikasema sawa.nikanyanyuka mpka chumbani kwake. Kiukweli ilikuwa ndo mala ya kwanza naingia katika chumba chake .mana at usafi chumbani kwake hataki ata kidogo niingie ata ngua ananitoleaga nifue sio kuzifata ndani kwake.ila nilishangaa hii siku

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA
Sehemu ya 94
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga yangu lakini kuna wanawake wapumbavu wanatupa watoto huwezi amini. Mh nikaona nafsi inanisuta .mana mwanamke mpumbavu mwenyewe ndo nipo mbele yake apa .ila hanijuh tu
Akasema gift ni mtoto ambaye kaka alikuta kawekewa kwenye gari lake na mtu asiejulikana uku akiwa na vyeti vyake vikionesha anaumwa moyo.na kka alivyouliza alaiambuwa kuna mwanamke ndo alikuwa maeneo ayo kabeba mtoto. Aseeee acha kwanza ilikuwa ni siki mbaya sana kwetu. mana tulimpoza mama...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-94-hadi-96

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA 82 MPK  86
SHAMIRA 82 MPK 86
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA  ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA ๐Ÿ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA 99 na 101
SHAMIRA 99 na 101
SHAMIRA 92 kwa 93
SHAMIRA 92 kwa 93
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 67 to 70
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.03K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

935
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

353
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

294
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

287
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

225
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

219
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7

216
NAKUPENDA BILA  13 - 25

NAKUPENDA BILA 13 - 25

196
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

176

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema โ€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.โ€ Alinitazama akisema โ€œeenh chaupole wangu nipe nipe.โ€ Nilimtazama na kusema โ€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  โ€‹Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA โ€‹Episode 1
@majario LIVE

โ€‹Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "6"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest