SHAMIRA 17,18,19,20
sehemu ya 17&18
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani mm namuuliza anatoka wap saahz usiku ananijibu mm upumbavu anaichukulia powa sio nikataka kumtukana aisha akanmbia hapana achaaa mama anguu
Nikaona hamadi kakasilika akaanza kuondoka zake.na ile siku hakuwa na gar ndo mana alinikamata pumbavu uyu. Mana ningeona gari lake nje si ningegeuza na boda yangu uko uko juu kwa juu. nikajikokota nikaingia ndani mwili wote naona ganzi .nikasema aisha yule mwanume amenipiga mm jaman mh sijawah kupigwa vikaniingia hvi ana mkono mbaya apo mpka damu zinanitoka mdomoni kile kibao alichoniweka .
Aisha akaniuliza shida ni nn kwani nikasema achaa tu ikabid nimsimulie akanmbia shoga utampoteza boss uyu tulia bs na ww punguza kidogo mawenge. nikasema yani uyu simtaki kwanza ananipiga vile ataniua , na si unanijua kichwa changu .asa si atakuwa ananipiga kila siku. Aha hapana alafu umenizuia nini mimi nilitaka kumtukana mpaka ajute kunijua kwenye hii dunia.aisha akanmbia wee usimuache shoga ww muombe msamaha muyamalize pesa shoga angu ndo kila kitu, nikasema powa ntafanya tu kwa ajiri ana pesa. Ila kwa mibao aliyonitandika leo angekuwa msenge msenge mi asingeniona nakwambia yani nimemmind kweli kwel, basi aisha akanituliza sana kisha ndo tukalala iyo siku. asubuh niliamka vibaya kudadeki mwili unavuta kinoma. Yani yule msenge kama alinipiga na spana kumbe mkono. Wa kisure gani yule anapiga vile aaaah. Ila nikajikaza nikaenda kuoga vizur nilivyotoka nikanywa dawa kwanza ya kutuliza maumivu mana mwili ulikuwa umechacha kwrli kwrli. kisha nikajisikilizia kama lisaaa. Ndo nikavuta simu nikampigia hamadi wala hakupokea nilipiga sana yani sanaa hakupokea kabisaaa.
Nikamwambia aisha kuwa shoga uyu mtu hajapokea kanuna akicheka atanitafuta bwana , kweli ela naitaka asa mtu hapokei mm nimfanyaje,aisha akasema mtumie ata sms za kumbeleza utaachwa wewe. Nikasema bwana eeeh mi simsujudii akiniacha yeye napata mwengine.
Mijanaume yote ilojaaa duniani ndo anibabaishe yeye wala sio kweli. nikaachana nae nikawa naendelea na madanga yangu mengine mie. ikapita week hamadi kanuna ajanitafuta na nikamkaushia nikawa busy na madanga yangu wala sikuangaika nae kumpigia pigia mie.basi nikawa busy na madanga yangu mjini apa yananipa elfu 30. Elfu 20. Nikawa naona sielew daaah .mana hamadi alishanizoesha laki 2 laki 3 , nikaona isiwe shida nikaaanza kumpigia ila akawa hapolei ata. nikawa namtumia sana sms za kumuomba msamha.
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
ππ
sehemu ya 19&20
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Siku iyo nikampigia kabisa kwa bahati akapokea shoga yenu nikaanza kujiliza et najutia niliyoyafanya .nikasema jamani hamadi nisamehe jamani tuyamalize kipenzi nimekumiss sana naomba unisamehe basi jamani.nakupenda sana mwenzio. Akaniuliza unanipemda mimi ama unapenda pesa zangu.mbona sikuelewi we demu. Yani unanichukulia mimi kama danga na wakati nilishakuelekeza kabisa aya mambo. Mbona unakuwa kama mshemzi wewe mwanamke. Ina maaana hujali chochote kuhisu upendo wangu kwako si ndio.huoni kama nakupemda shamira. Ina maana unanichukulia powa mimi si ndio. Una mdomo wa kunijibu mimi upumbavu wako shamira eeeh .nakuuliza wewe unapata wapi nguvu za kunijibu upumbavu wako.nikabako kimya. Akaniuliza unajua nna hasira sana nikiendelea kudate na wewe ntakuua na wewe inaonekana umearaya upo katika damu.kwaiyo nikaushie kabisa maraya wewe alafu wewe mwanamke wa uswahilini utanisumbua tu achana na mimi. Kisha akanikatia simu. nikasema eeh uyu kumbe ana dharau akwende uko kwani si alinikuta naishi mm.kwa nini aniite mimi mswahili .iko kigari chake ndo anajiona ndo wa maaaana
Mxiuwwwwww akwende uko ππππππ
Nikaona isiwe shida kama vip kila mtu afanye mambo yake asijione mungu bule.basi nikawa busy na mambo yangu . Aisha akaniuliza kuhusu hamadi nikasema tumeachana bwana anajishau sana .muache aende maisha yataenda tu mimi mwenyewe maskini jeuri au hunijih shoga yako. Aisha akacheka akasema sasa nisipokujua mimi atakujua nani jamani. Nakujua vizuri shoga yangu na maamuzi ni yako. Nikasema basi nami sina shida nae. Na kweli nikawa busy na mambo yangu mpaka ukapita mwezi nikahisi kabisa mimi na hamadi tumeachana complete. Mana hatukuwa tunapigiana simu wala kutumiana sms.
siku iyo mchana nimelala simu inaita nikasema danga langu gani sahizi ? nachek namba ya hamadi nikaona kakosea namba ama vp uyu mwanaume. nikapokea akanambia upo wap ww, nikasema unatka nn ? Akasema nataka tuonane mengine mimi na wewe tutaongea. Nikasema wewe unataka kuonana na mtoto wa uswahilini tena. Akasema no sikia basi kipenzi acha kuwa na maneno mengi nakuja apo sasa hivi kwako. Nikakata simu nikaanza na kucheka kwanza kujishaua kwingi kimbe mikazo zeroπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.ila nilifurahi moyoni jamani nikaona yes danga lenye pesa linaludi sasa
Heeee kama daika 30 anapiga tena.nikapokea akasema sikia basi shamira toka nje mama plss tuende sehemu tukainjoy kidogo.wala sikujivunga shoga yenu na sikutaka kubembelezwa bembelezwa kama mtoto mie haraka nikatoka chumbani. Nikaenda kumsikiliza .
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni