Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 17,18,19,20
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA 17,18,19,20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.




sehemu ya 17&18
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani mm namuuliza anatoka wap saahz usiku ananijibu mm upumbavu anaichukulia powa sio nikataka kumtukana aisha akanmbia hapana achaaa mama anguu
Nikaona hamadi kakasilika akaanza kuondoka zake.na ile siku hakuwa na gar ndo mana alinikamata pumbavu uyu. Mana ningeona gari lake nje si ningegeuza na boda yangu uko uko juu kwa juu. nikajikokota nikaingia ndani mwili wote naona ganzi .nikasema aisha yule mwanume amenipiga mm jaman mh sijawah kupigwa vikaniingia hvi ana mkono mbaya apo mpka damu zinanitoka mdomoni kile kibao alichoniweka .
Aisha akaniuliza shida ni nn kwani nikasema achaa tu ikabid nimsimulie akanmbia shoga utampoteza boss uyu tulia bs na ww punguza kidogo mawenge. nikasema yani uyu simtaki kwanza ananipiga vile ataniua , na si unanijua kichwa changu .asa si atakuwa ananipiga kila siku. Aha hapana alafu umenizuia nini mimi nilitaka kumtukana mpaka ajute kunijua kwenye hii dunia.aisha akanmbia wee usimuache shoga ww muombe msamaha muyamalize pesa shoga angu ndo kila kitu, nikasema powa ntafanya tu kwa ajiri ana pesa. Ila kwa mibao aliyonitandika leo angekuwa msenge msenge mi asingeniona nakwambia yani nimemmind kweli kwel, basi aisha akanituliza sana kisha ndo tukalala iyo siku. asubuh niliamka vibaya kudadeki mwili unavuta kinoma. Yani yule msenge kama alinipiga na spana kumbe mkono. Wa kisure gani yule anapiga vile aaaah. Ila nikajikaza nikaenda kuoga vizur nilivyotoka nikanywa dawa kwanza ya kutuliza maumivu mana mwili ulikuwa umechacha kwrli kwrli. kisha nikajisikilizia kama lisaaa. Ndo nikavuta simu nikampigia hamadi wala hakupokea nilipiga sana yani sanaa hakupokea kabisaaa.

Nikamwambia aisha kuwa shoga uyu mtu hajapokea kanuna akicheka atanitafuta bwana , kweli ela naitaka asa mtu hapokei mm nimfanyaje,aisha akasema mtumie ata sms za kumbeleza utaachwa wewe. Nikasema bwana eeeh mi simsujudii akiniacha yeye napata mwengine.
Mijanaume yote ilojaaa duniani ndo anibabaishe yeye wala sio kweli. nikaachana nae nikawa naendelea na madanga yangu mengine mie. ikapita week hamadi kanuna ajanitafuta na nikamkaushia nikawa busy na madanga yangu wala sikuangaika nae kumpigia pigia mie.basi nikawa busy na madanga yangu mjini apa yananipa elfu 30. Elfu 20. Nikawa naona sielew daaah .mana hamadi alishanizoesha laki 2 laki 3 , nikaona isiwe shida nikaaanza kumpigia ila akawa hapolei ata. nikawa namtumia sana sms za kumuomba msamha.

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
πŸ€πŸ€
sehemu ya 19&20
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Siku iyo nikampigia kabisa kwa bahati akapokea shoga yenu nikaanza kujiliza et najutia niliyoyafanya .nikasema jamani hamadi nisamehe jamani tuyamalize kipenzi nimekumiss sana naomba unisamehe basi jamani.nakupenda sana mwenzio. Akaniuliza unanipemda mimi ama unapenda pesa zangu.mbona sikuelewi we demu. Yani unanichukulia mimi kama danga na wakati nilishakuelekeza kabisa aya mambo. Mbona unakuwa kama mshemzi wewe mwanamke. Ina maaana hujali chochote kuhisu upendo wangu kwako si ndio.huoni kama nakupemda shamira. Ina maana unanichukulia powa mimi si ndio. Una mdomo wa kunijibu mimi upumbavu wako shamira eeeh .nakuuliza wewe unapata wapi nguvu za kunijibu upumbavu wako.nikabako kimya. Akaniuliza unajua nna hasira sana nikiendelea kudate na wewe ntakuua na wewe inaonekana umearaya upo katika damu.kwaiyo nikaushie kabisa maraya wewe alafu wewe mwanamke wa uswahilini utanisumbua tu achana na mimi. Kisha akanikatia simu. nikasema eeh uyu kumbe ana dharau akwende uko kwani si alinikuta naishi mm.kwa nini aniite mimi mswahili .iko kigari chake ndo anajiona ndo wa maaaana
Mxiuwwwwww akwende uko 😏😏😏😏😏😏

Nikaona isiwe shida kama vip kila mtu afanye mambo yake asijione mungu bule.basi nikawa busy na mambo yangu . Aisha akaniuliza kuhusu hamadi nikasema tumeachana bwana anajishau sana .muache aende maisha yataenda tu mimi mwenyewe maskini jeuri au hunijih shoga yako. Aisha akacheka akasema sasa nisipokujua mimi atakujua nani jamani. Nakujua vizuri shoga yangu na maamuzi ni yako. Nikasema basi nami sina shida nae. Na kweli nikawa busy na mambo yangu mpaka ukapita mwezi nikahisi kabisa mimi na hamadi tumeachana complete. Mana hatukuwa tunapigiana simu wala kutumiana sms.

siku iyo mchana nimelala simu inaita nikasema danga langu gani sahizi ? nachek namba ya hamadi nikaona kakosea namba ama vp uyu mwanaume. nikapokea akanambia upo wap ww, nikasema unatka nn ? Akasema nataka tuonane mengine mimi na wewe tutaongea. Nikasema wewe unataka kuonana na mtoto wa uswahilini tena. Akasema no sikia basi kipenzi acha kuwa na maneno mengi nakuja apo sasa hivi kwako. Nikakata simu nikaanza na kucheka kwanza kujishaua kwingi kimbe mikazo zero🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣.ila nilifurahi moyoni jamani nikaona yes danga lenye pesa linaludi sasa

Heeee kama daika 30 anapiga tena.nikapokea akasema sikia basi shamira toka nje mama plss tuende sehemu tukainjoy kidogo.wala sikujivunga shoga yenu na sikutaka kubembelezwa bembelezwa kama mtoto mie haraka nikatoka chumbani. Nikaenda kumsikiliza .

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 17,18,19,20





sehemu ya 17&18
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media

Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani mm namuuliza anatoka wap saahz usiku ananijibu mm upumbavu anaichukulia powa sio nikataka kumtukana aisha akanmbia hapana achaaa mama anguu
Nikaona hamadi kakasilika akaanza kuondoka zake.na ile siku hakuwa na gar ndo mana alinikamata pumbavu uyu. Mana ningeona gari lake nje si ningegeuza na boda yangu uko uko juu kwa juu. nikajikokota nikaingia ndani mwili wote naona ganzi .nikasema aisha yule mwanume amenipiga mm jaman mh sijawah kupigwa ...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-17-18-19-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 40&41
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA sehemu ya 38&39
SHAMIRA 82 MPK  86
SHAMIRA 82 MPK 86
SHAMIRA  πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA πŸ€ sehemu ya 32&33
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA sehemu ya 34&35
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA sehemu ya 27&28
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA Sehemu ya 25&26
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA sehemu ya 29&30
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA 21,22,23,24
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA sehemu ya 36&37
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA 44 kwa 45
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA sehemu ya 30&31
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA Sehemu ya 48
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA 52 to 53
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA Sehemu ya 47
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 62 63 na 64
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA 67 to 70
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya58&59
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
SHAMIRA 49 to 50
SHAMIRA 49 to 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.

341
SHAMIRA 82 MPK  86

SHAMIRA 82 MPK 86

318
SHAMIRA 71  MPK. 78. ( MWISHO S3)

SHAMIRA 71 MPK. 78. ( MWISHO S3)

277
SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR)

SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)

232
SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4)

SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)

209
SHAMIRA 67 to 70

SHAMIRA 67 to 70

198
NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

NAKUPENDA BILA MIPAKA 1 - 12

187
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6

155
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5

150
SHARON 1 mpka 5

SHARON 1 mpka 5

148

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.78K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.49K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.85K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.95K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.93K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.75K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.73K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35
@majario LIVE

:26 Nikacheka na kusema β€œMuanko ana muda sasa, hacheki na yeyote, yaani tabasamu lake tangu nifike pale sijaliona dada hivi unanielewa.” Alinitazama akisema β€œeenh chaupole wangu nipe nipe.” Nilimtazama na kusema β€œwewe tena...

NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA  ​Episode 1 Post Mpya
NILIKUTANA NA MAREHEMU MKE WANGU AKIWA KWENYE GARI LA TAJIRI MKUBWA ​Episode 1
@majario LIVE

​Mvua ya rasha rasha ilikuwa ikidondoka jijini Dar es Salaam, ikichanganyika na moshi wa magari na kelele za wapita njia. Nilikuwa nimesimama kando ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi, nikisubiri...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "6"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Basi bwana kakabaki ka laki na nusu nikasema hatakama kesho sipiki lazima tu niende road nikatafute chakuniinguzia pesa Mnakuja nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vitoto vya mskini sisi akili ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 7
@majario LIVE

πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Reyhan kwel ananifanyia mm hiv?niliumia sana huku nikimuangalia ivan anaonfoka zake.reyhan akasema imeisha hio huwez nifanyia mm umalaya ww,unanijua unaskia?sasa uneshakua malaya kweli washkaj malizaneni nae m najikataa.aliongea huku...

NAKUPENDA BILA  13 - 25 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 13 - 25
@majario LIVE

MIPAKA:13 β€œKeti tafadhali.” Nilimtazama, yeye hapo hata hajainua uso wake. Nilimeza mate nikaketi hapo moyoni najisemesha β€œwenye hela wana ringa jamani kwani si anitazame hata.” Nilipoketi aliniinua uso wake na kunikabidhi karatasi akisema...

SHAMIRA 87 MPK. 91      (SEASON FOUR) Post Mpya
SHAMIRA 87 MPK. 91 (SEASON FOUR)
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 87 Mwandishi; lissa wa huru media Siku iyo sasa nimeenda kazini. Ile nimefika tu asubuh love akainiita mh nikaogopa nikahisi au nimeharibu sehemu.mana kufika na kufika nimeitwa.nijaenda kisha ...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 6
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sasa hapo ndio nimekwisha sasa,uwiii,niliogopa nikamsukuma ivan,akasema nani huyo?nikasema ni ticha,akasema ticha wako ndio anakufata mpaka huku?mm nikatoa tu macho,ivan akasema subir hapa,nikasema sawa,akanyanyuka akavaa nguo akatoka mm name...

SHAMIRA 82 MPK  86   Post Mpya
SHAMIRA 82 MPK 86
@majario LIVE

(SEASON FOUR) (HURU MEDIA) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 82 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shoga yenu maisha yakaanza dodoma sasa. Nikawa nipo na kiakiba changu ndo kinanisapoti naendesha maisha mdogo mdogo. Apo...

ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5 Post Mpya
ISABELA NA WATOTO WA BOSSLADY 1 ---- 5
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA Ni majira ya jioni ikiwa ni muda mfupi tokea ametoka bafuni kuoga kwa ajiri ya kujiandaa aweze kurudi nyumbani mara baada muda wa kazi kuisha, Isabela akiwa...

SHAMIRA 79  MPK. 81.    (SEASON 4) Post Mpya
SHAMIRA 79 MPK. 81. (SEASON 4)
@majario LIVE

(HURU MEDIA wababe wa hili Game) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 79 Mwandishi; lissa wa huru media Nimawa nagoma kutoka .uku nalia nikawa nasema mama usinizalilishe plsss .yule mama akasema nisikuzalilishe nini...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) EP 15.
@majario LIVE

Nilikaa na kimimba changu kilimpenda, king Yani akikawia tu kuludi nyumbani najikuta naanza kulia, mpaka majilani nawapa Malala Miko napita Kwa majilani Yani mpaka king aje ndo naakubali kulejea nyumbani,...

*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“*  "1__5" Post Mpya
*BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“* "1__5"
@majario LIVE

SEHEMU YA "1"πŸ’“πŸ˜½ BY BABIE LOVE "Alikuja kama muuza chai kumbe ni BillioneaπŸ’΅" Nyie njooni niwaambie kitu ……… mnazijua chapati? Sambusa je ? πŸ˜‚πŸ˜‚ nani hazijui halfkeki ? Wote mnazijua ? Ona sikilizeni...

Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood Post Mpya
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
@majario LIVE

. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon, and even today she is remembered as one of...

SHARON 1 mpka 5 Post Mpya
SHARON 1 mpka 5
@majario LIVE

🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺 *SHARON* Sehemu ya 1 Kwa majina naitwa sharon hillary, mm ni mtoto wa 3 kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, so mm ni wa mwisho kuzaliwa wa kwanza ni kaka yetu anaitwa...

Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy πŸ‡ΈπŸ‡³ Post Mpya
Mwamuzi wa mchezo wa Esparance dhidi ya Al Ahly,Issa Sy πŸ‡ΈπŸ‡³
@majario LIVE

Mara baada ya filimbi ya mwisho akatoa kadi yake nyekundu,anataka kumuona mtu amfuate kuhoji maamuzi yake. Kuna afisa mmoja wa benchi la Al Ahly alitaka kwenda,baada ya kuona kadi nyekundu imeshikwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest