SHAMIRA 21,22,23,24
sehemu ya 21&22
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupuπ. Akanambia shamira unajua sisi ni watu wazima sio vizuri kusumbuana sumbuana na kutesana . Mimi nakuwaza sana shamira ata kazi haziendi plss tumalize tofauti zetu basi. Nakupenda sana shamira mama yangu. Nyie ili kaka linaongea vizuri π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£. Nikasema sawa ila sitaki masuala ya kupigana pigana kabisa.
Akasema saw kipenzi mimi sitakupiga wewe tean ila naomba kuishi na ww ili niwe na amani ya maisha plss. Nikamuuliza kwani unaishogi wapi vile akasema mbezi mama si nilishakueleza . mh mm tena nikaishi nae na mm sio kwamba nampenda sana hamadi no napenda pesa zake yani sio kwamba kwake nimeoza sana sio kweli
Nikasema jamani baby mm si uniache apa apa nyumbani lakin, ukinitaka mda wowote mpenzi utanipata jamani akanambia no baby sio kweli mm nataka kuwa na ww bana , nataka tuwe pamoja mm uku kukuacha sitaki sikuamini naona unafanya mambo ya ajabu kabisaaaa , nikasema sawaaaa baby basi leo niache nijiandae kesho unifate akanmbia sawaaaa.nakuacha ata hotel hatuendi japo nilikumis sana.naomba jiandae nataka tukaishi pamoja plsss mama yangu ndo ntakuwa na amani. Nikasema sawa
.
Kweli mpenzi akaondoka na mimi nikaingia ndani nikiwa nawaza sana mh. Ntaweza kweli kukaa na uyu baba si ntaenda kujikwaza mimi uko jamani, jioni aisha alivyoludi nikaanza kumuelezea kilichotokea na kwamba hamadi anataka rukaishi wote ,aisha akasema heee ww unataka kuondoka mm naishije jamani na unaju kabisa mm sina madanga mengì kama ww , usiende bana , nikasema shoga ata mimi sitamani kwenda kuishi na yule baba .ila unajua yule mwanaume ana pesa mno. Mpka nawaza mala mbili mbili ujue. Aidha akasemema dikia kma ndo hivyo nenda kwa ajili ya plan .nimasema ipi akasema kachune pesa usikae kizembe uko basi na wewe.mi ntakufa njaaa uku.
Nikacheka nikasr.a ndo hivyo shoga mimi kichwa kinachaji hiki na nawaza mbaili sana .
Aisha akasema mh kama hivyo sawa ila nenda na mipango madhubuti ya kwenda kuchukua pesa.na kama utamtumia hamadi vizuri sisi tunapata maisha na tunafanya mambo yetu .ila tu kaishi nae kwa akiri sana na usinisahau shoga angu jamni , nikasema nenepa mama angu mm nipo apa ww huwez pata shida uzuri ni dar hii hii anishi mbezi tu shoga akanmbia sawa.akanambia ukawe makini sasa mana hamadi anaonesha ana hasira .ukienda kumzingua uko anakubonda kweli kweli. Nimacheka sana nikasema kanambia hanipigi tena .sijuh kweli na alivyo na mkono mbaya mh .
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
sehemu ya 23&24
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi tukakubaliana na aisha kuwa mm naenda kuchuma pesa kwa hamadi namtumia asiwe na shakaaa, basi usiku mpenzi kanipigia tukaongea nikamwambia nimekubali kwenda kuishi nae akanmbia jiandae nakufata mpenzi nikasema sawa hakuna shidaaa , kweli nikajiandaaaa asha akanisaidia nikapanga nguo zangu uku ananisistiza nisijahau uko.shoga angu naye anapenda pesa uyu kama mfuko doohπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.mida ya jioni hamadi akaja kunichukua akamwambia aisha kuwa ananiiba kidogo ila ntaludi akampa na pesa aisha alafurah uyu namjua mpenda pesa mwenzanguπ.
Mie uyu na baby mpaka kwakeee mbezi. akanikalibisha ni apartment nzur tu ina vyumba viwili, kimoja masters , sebule kubwa tu , dining na choo cha ndani.haikuwa nyumba kubwa ila nzuri mno mpka raahaaa.basi hamadi akanmbia apa ndo tutaishi mpenzi naomba utulie shamira. mwenzio nakupenda sana sio masihara .utakuwa unacheza na moyo wangu plsss mama naomba utulie et nakupenda zaidi ya sana , nikamwambia usijali mpenzi mie nshaacha ujinga na nimetulia sana mpenzi kuwa na amani kabisa . akanmbia sawa sina shaka na hilo.basi hii siku mpenzi akaagiza chakura. Zilikuja kuku za kutosha .nilikula mpka nikawa naziangalia nimeshiba bwana.hamadi akasema vp mrembo umeshiba nikasema ndio nimeshiba sana kipenzi changu.na asante akase.a sawa baby. Basi baby akanichukua tukaenda kuoga kwa pamoja full naogeshwa chezea penzi wewe.
Kisha mwanaume akanileta kitandani. Oyaaa kitanda kingesema kama kingekuwa kinaongea mbona iyo siku .mana tulitombana kweli kweli. Yani tulikiwasha sio masihara full kujiachia na kuburudika tu usiku mzima. Nilikuwaa naona hamadi alinimiss sana mwenyewe kwa kile kipindi tumenuniana na mm sikuwa mchoyo kwake mwanaume kanitoa uswahilini saku uko kanileta ushuani alafu nisimpe yote sio kweli siwez kuwa mchoyo kiasi ikooo.nikampa mpka nikampa tena chezea huba wewe
Tumemaliza moja kwa moja kulala mana tulikua hoi, asubuh akaaamka akajiandaa .unazani mambo ya kuamka kumuandaa bwana mie naweza thubutu. Basi alivyomaliza kujiandaa akanisogelea kitandani akanibusu kisha akaniaga kuwa anaenda kazini niwe makini mnooo , nikasema sawa mpenzi hakuna shida aknmbia kila kitu ndani kipo mke wangu sitaki utoke , kama utataka kutoka kwa issue ya muhimu sana nipigie uniambie sawa. nikasema sawa mpenzi.
Basi uyoo akaondoka zake nikaendelea kulalal nikaja kuamka saa 4 nakuta hamadi kanipigia sana kwa simu. Nami sikusikia mana usingizi ulinipitia. Basi ikabidi nimpigie mie mpenzi haikuchukua mda akapokea nikasema baby samahani usingizi ulinipitia mwenzio. akasema sawa mpenzi nilitaka kujua umeamkaje mke wangu. nikasema ndo naamka ulinichosha mwenzio akanmbia ooh basi amka mpenzi uoge utoe uchovu nikasema sawa mpenzi naaamka bs na kazi njema akanmbia powaaa honey i love u nikasema na mimi pia.vingereza mie navijulia wapi sasaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Nikanyanyuka taraibu nikaelekea bafuni nikaoga.nikatoka nikavaaa vizuri kisha nikampigia shoga yangu aisha kumpa umbea sasa. akapokea akanambia yani shoga nilikua naogopa kukupigia nikajua upo na hamadi nisikualibie , nikasema eheee ayupo kaenda kazini shoga nakaa pakishua atal. akanmbia wee usinambia nikasema ndio sijuh nitapaweza uku mana laah kumepoa mno. Hakuna vibe kabisa .aisha akanmbia wee fanya upaweze shoga tupige pesa na ww , nikasema sawa shost akanmbia ntumie kwanza elf 50, nikasema jamni aisha si baby kakupa pesa jana , akasema ya jana ya jana bwana aya ya leoo nitumie mwenzio nikasema powa na kweli nikamtumie si shoga kidawa tenaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni