Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHAMIRA 21,22,23,24
Gonga94 Β· Stories

SHAMIRA 21,22,23,24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

sehemu ya 21&22
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupuπŸ˜‚. Akanambia shamira unajua sisi ni watu wazima sio vizuri kusumbuana sumbuana na kutesana . Mimi nakuwaza sana shamira ata kazi haziendi plss tumalize tofauti zetu basi. Nakupenda sana shamira mama yangu. Nyie ili kaka linaongea vizuri 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣. Nikasema sawa ila sitaki masuala ya kupigana pigana kabisa.
Akasema saw kipenzi mimi sitakupiga wewe tean ila naomba kuishi na ww ili niwe na amani ya maisha plss. Nikamuuliza kwani unaishogi wapi vile akasema mbezi mama si nilishakueleza . mh mm tena nikaishi nae na mm sio kwamba nampenda sana hamadi no napenda pesa zake yani sio kwamba kwake nimeoza sana sio kweli

Nikasema jamani baby mm si uniache apa apa nyumbani lakin, ukinitaka mda wowote mpenzi utanipata jamani akanambia no baby sio kweli mm nataka kuwa na ww bana , nataka tuwe pamoja mm uku kukuacha sitaki sikuamini naona unafanya mambo ya ajabu kabisaaaa , nikasema sawaaaa baby basi leo niache nijiandae kesho unifate akanmbia sawaaaa.nakuacha ata hotel hatuendi japo nilikumis sana.naomba jiandae nataka tukaishi pamoja plsss mama yangu ndo ntakuwa na amani. Nikasema sawa
.
Kweli mpenzi akaondoka na mimi nikaingia ndani nikiwa nawaza sana mh. Ntaweza kweli kukaa na uyu baba si ntaenda kujikwaza mimi uko jamani, jioni aisha alivyoludi nikaanza kumuelezea kilichotokea na kwamba hamadi anataka rukaishi wote ,aisha akasema heee ww unataka kuondoka mm naishije jamani na unaju kabisa mm sina madanga mengì kama ww , usiende bana , nikasema shoga ata mimi sitamani kwenda kuishi na yule baba .ila unajua yule mwanaume ana pesa mno. Mpka nawaza mala mbili mbili ujue. Aidha akasemema dikia kma ndo hivyo nenda kwa ajili ya plan .nimasema ipi akasema kachune pesa usikae kizembe uko basi na wewe.mi ntakufa njaaa uku.
Nikacheka nikasr.a ndo hivyo shoga mimi kichwa kinachaji hiki na nawaza mbaili sana .
Aisha akasema mh kama hivyo sawa ila nenda na mipango madhubuti ya kwenda kuchukua pesa.na kama utamtumia hamadi vizuri sisi tunapata maisha na tunafanya mambo yetu .ila tu kaishi nae kwa akiri sana na usinisahau shoga angu jamni , nikasema nenepa mama angu mm nipo apa ww huwez pata shida uzuri ni dar hii hii anishi mbezi tu shoga akanmbia sawa.akanambia ukawe makini sasa mana hamadi anaonesha ana hasira .ukienda kumzingua uko anakubonda kweli kweli. Nimacheka sana nikasema kanambia hanipigi tena .sijuh kweli na alivyo na mkono mbaya mh .

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
sehemu ya 23&24
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi tukakubaliana na aisha kuwa mm naenda kuchuma pesa kwa hamadi namtumia asiwe na shakaaa, basi usiku mpenzi kanipigia tukaongea nikamwambia nimekubali kwenda kuishi nae akanmbia jiandae nakufata mpenzi nikasema sawa hakuna shidaaa , kweli nikajiandaaaa asha akanisaidia nikapanga nguo zangu uku ananisistiza nisijahau uko.shoga angu naye anapenda pesa uyu kama mfuko dooh🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣.mida ya jioni hamadi akaja kunichukua akamwambia aisha kuwa ananiiba kidogo ila ntaludi akampa na pesa aisha alafurah uyu namjua mpenda pesa mwenzanguπŸ˜‚.

Mie uyu na baby mpaka kwakeee mbezi. akanikalibisha ni apartment nzur tu ina vyumba viwili, kimoja masters , sebule kubwa tu , dining na choo cha ndani.haikuwa nyumba kubwa ila nzuri mno mpka raahaaa.basi hamadi akanmbia apa ndo tutaishi mpenzi naomba utulie shamira. mwenzio nakupenda sana sio masihara .utakuwa unacheza na moyo wangu plsss mama naomba utulie et nakupenda zaidi ya sana , nikamwambia usijali mpenzi mie nshaacha ujinga na nimetulia sana mpenzi kuwa na amani kabisa . akanmbia sawa sina shaka na hilo.basi hii siku mpenzi akaagiza chakura. Zilikuja kuku za kutosha .nilikula mpka nikawa naziangalia nimeshiba bwana.hamadi akasema vp mrembo umeshiba nikasema ndio nimeshiba sana kipenzi changu.na asante akase.a sawa baby. Basi baby akanichukua tukaenda kuoga kwa pamoja full naogeshwa chezea penzi wewe.

Kisha mwanaume akanileta kitandani. Oyaaa kitanda kingesema kama kingekuwa kinaongea mbona iyo siku .mana tulitombana kweli kweli. Yani tulikiwasha sio masihara full kujiachia na kuburudika tu usiku mzima. Nilikuwaa naona hamadi alinimiss sana mwenyewe kwa kile kipindi tumenuniana na mm sikuwa mchoyo kwake mwanaume kanitoa uswahilini saku uko kanileta ushuani alafu nisimpe yote sio kweli siwez kuwa mchoyo kiasi ikooo.nikampa mpka nikampa tena chezea huba wewe

Tumemaliza moja kwa moja kulala mana tulikua hoi, asubuh akaaamka akajiandaa .unazani mambo ya kuamka kumuandaa bwana mie naweza thubutu. Basi alivyomaliza kujiandaa akanisogelea kitandani akanibusu kisha akaniaga kuwa anaenda kazini niwe makini mnooo , nikasema sawa mpenzi hakuna shida aknmbia kila kitu ndani kipo mke wangu sitaki utoke , kama utataka kutoka kwa issue ya muhimu sana nipigie uniambie sawa. nikasema sawa mpenzi.

Basi uyoo akaondoka zake nikaendelea kulalal nikaja kuamka saa 4 nakuta hamadi kanipigia sana kwa simu. Nami sikusikia mana usingizi ulinipitia. Basi ikabidi nimpigie mie mpenzi haikuchukua mda akapokea nikasema baby samahani usingizi ulinipitia mwenzio. akasema sawa mpenzi nilitaka kujua umeamkaje mke wangu. nikasema ndo naamka ulinichosha mwenzio akanmbia ooh basi amka mpenzi uoge utoe uchovu nikasema sawa mpenzi naaamka bs na kazi njema akanmbia powaaa honey i love u nikasema na mimi pia.vingereza mie navijulia wapi sasa🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Nikanyanyuka taraibu nikaelekea bafuni nikaoga.nikatoka nikavaaa vizuri kisha nikampigia shoga yangu aisha kumpa umbea sasa. akapokea akanambia yani shoga nilikua naogopa kukupigia nikajua upo na hamadi nisikualibie , nikasema eheee ayupo kaenda kazini shoga nakaa pakishua atal. akanmbia wee usinambia nikasema ndio sijuh nitapaweza uku mana laah kumepoa mno. Hakuna vibe kabisa .aisha akanmbia wee fanya upaweze shoga tupige pesa na ww , nikasema sawa shost akanmbia ntumie kwanza elf 50, nikasema jamni aisha si baby kakupa pesa jana , akasema ya jana ya jana bwana aya ya leoo nitumie mwenzio nikasema powa na kweli nikamtumie si shoga kidawa tenaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHAMIRA 21,22,23,24


sehemu ya 21&22
Wassap:0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupuπŸ˜‚. Akanambia shamira unajua sisi ni watu wazima sio vizuri kusumbuana sumbuana na kutesana . Mimi nakuwaza sana shamira ata kazi haziendi plss tumalize tofauti zetu basi. Nakupenda sana shamira mama yangu. Nyie ili kaka linaongea vizuri 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣. Nikasema sawa ila sitaki masuala ya kupigana pigana kabisa.
Akasema saw kipenzi mimi sitakupiga wewe tean ila naomba kuishi na ww ili niwe na amani ya maisha plss. Nikamuuliza kwani unaishogi wapi vile akasema mbezi mama...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shamira-21-22-23-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shamira
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 1 mpk 7.
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA 17,18,19,20
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 15&16
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA sehemu ya 13&14
SHAMIRA 8   MPK  12
SHAMIRA 8 MPK 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

590
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

281
*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini*

*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*

260
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

233
SHAMIRA 17,18,19,20

SHAMIRA 17,18,19,20

121
SHAMIRA sehemu ya 15&16

SHAMIRA sehemu ya 15&16

117
REALLY LOVE* *31&32*

REALLY LOVE* *31&32*

115
SHAMIRA sehemu ya 13&14

SHAMIRA sehemu ya 13&14

114
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10

101
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*

89

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.31K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.06K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.55K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.37K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.35K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 2
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEA Camilla alipotoka palee alikwenda moja kwa moja kwa aliyekuwa rafiki yakee muhimu sana kuna mambo alitakiwa kuyaweka Sawaa β€œ Karibu Camilla..” Alikaribishwaa ndani β€œ Asant sana ..”...

Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo Post Mpya
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
@majario LIVE

pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michepuo mingine kitaifa. Alihitimu secondary ya Tosamaganga Kidato cha nne pia...

REALLY LOVE* *31&32* Post Mpya
REALLY LOVE* *31&32*
@majario LIVE

alifika mpaka chumbani akamkuta fahima analia ila mimba hizi yaani analia machozi kabisaaa nahasira sana hivi huyu nwanamke katokea wapi halafu baba asinichanganye mimi nawezaje kuwa na ndugu shetani kama huyu...

*AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU Y ishirini* Post Mpya
*AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU Y ishirini*
@majario LIVE

Asubuhi na mapema Enzo akaamka na kwenda Nyumbani kwake, na Mimi nikaanza mandalzii ya safari, kwanza nikafua nguo ambazo zilikuwa chafu, kisha nikaanza kuchagua nguo ambazo nitaenda nazo safarini. "Kweli Enzo...

SHAMIRA 21,22,23,24 Post Mpya
SHAMIRA 21,22,23,24
@majario LIVE

sehemu ya 21&22 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafungua mlango wa gari nikaingia ndani akasema vp mamy .nikasema powa najifanya nimenuna nakwambia ahh wap uongo mtupuπŸ˜‚. Akanambia shamira unajua...

SHAMIRA 17,18,19,20 Post Mpya
SHAMIRA 17,18,19,20
@majario LIVE

sehemu ya 17&18 Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Mala akafika ashaa.naona na yeye alitoka akakuta natandikwa sasa. akasema shem nn jamani ebu muache , akasema unaona uyu mwanamke alivyo mjinga yani...

SHAMIRA sehemu ya 15&16 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 15&16
@majario LIVE

Watsapp 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akanmbia ooh umelala kipenzi changu mbona mapema sana na uajua saa 5 lazima nikupigie jamani. nikasema sipendi kuzulula usiku baby kwaiyo naamua kupumzika mpema...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

β€œhivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… β€œ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

β€œ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema β€œ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❀️😍❀️😍❀️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest