SHAMIRA Sehemu ya 46
Mwandishi; lissa wa huru media
Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio suala dogo na isitoshe baba wa mtoto kakataa. Nikasema haijalishi nitapambana tu .akasema sawa. Mh kutoa mimba sio kwrli bwana .mbona sina maisha magumu ya kutoa mimba ata .hapana kwa kweli jamani.
Basi shoga akajiamdaa aksema naenda job .nikasema powa.nikabaki mwenyewe nikashika tumbo langu nikasema aka mwanangu kwakuwa umepangiwa kuja duniani utakuja tu. Wala sikutoi aka sifanyi ilo balaa mimi .huwenda nimebeba daktari tumboni mwangu ndo nimtoe tu aka hapna bwana. Basi nilikaa sana ndani nikiwaza waza na mawazo yakiwa mengi sana . Kisha nikaona niache kukaaa ndani sasa mana mimi sio mwali na nifrsh aya mambo na nijiache freee tu. Basi kweli nikavaa dela langu nikaenda kwa shoga yetu mwengine anaitwa husna.uko nilipata amani kidogo man alinikalibisha vizuri na tukapiga sana story. Yani tuliongea sana.
Akawa ananipa tu story za mitaani na nikaona kidogo amani ipo bwana . Basi nikiwa napiga story na shoga yangu akapiya razaki mana sie tulikuwa tumekaa nje ya kibaraza cha nyumba aliyopanga husna. .razaki ni mkaka flani wa uku uku mtaani ila uyu kaka wala hakuwahi kuwa mwanaume wangu .ila namjua na sijamzoea sana wala nini. Ila anakaa karibuni na anapikaa husna na niliona kamzoe .basi akatusogelea akamsalimia husna .akasema ahaa mama mkwe vp kwema. Anamuita mama mkwe sababu husna teali ana mtoto wa kike . Basi husna akassema nambie baba mkwa wangu bola ata nimekuona naomba elfu 5 uko.nikaona razaki kacheka kisha akasema ahaaaa mama mkwe bwana we kila ukiniona unaniomba pesa tu .au mwano kakwambia mimi pesa nachota .basi husna akacheka tu. Kisha razaki akanisalimia mimi akasema mambo vp shamira.nikasema powa tu. Akanambia akhaa shamira nilikuwa sikuoni ulikuwa haupo kwani .nikamshangaaa uyu kaka kuniuliza hivyo wakati wala sina mazoea nae.nikasema ndio nilikuwa sipo akasema powa basi.
Kisha akatoa elfu 10 akampa husna .akasema aya mama mkwe utachukua elfu 5 .na elfu 5 utampa shamira anywe soda basi.nikatabasamu kisha nikasema asante. Basi razaki akanambia asante kushuku pia kisha uyo akaomdoka zake. Nikasema shoga uyu kaka ananijulia wapi mie. Mbona kaniukiza et ukikuwa haupo? .Husna akacheka akasema we nae unajifanya umesahau asiri yako we kuna mtu asiyekujua apa. Mtaaa ulipoa huu kwa sababu haupo shoga. Unajulikana na kila mtu nikawa nacheka tu.basi nikaongea sana na shoga mida ya jioni ndo nikamuaga husna. At lesast nilijichangamsha nikasahau stress kidogo. Nikapita sokoni nikanunua samaki mana ndo nilijisikia kula hivyo. Nikanunua na ndizi zangu .kuhusu pesa bado nilikuwa nna kiakiba kidogo.
Basi nilipotoka apo moja kwa moja mpka nyumbani.sikumkuta aisha. Yani nado hakuwa kaludii. Basi mie nikakoleza moto kisha nikapika ndizi rosti na samaki nikakaanga. Nilipomaliza kupika nikaenda kuoga. Nilipotoka nikamkuta shost nae kashaludi. Nikamsalimia viziri tu nae akaitikia kisha akaenda kuoga. Mie nikashika simu yangu nijalibu kumpigia tena hamadi ila wal sikumpata kam kawaida nikajua itakuwa kabadilisha namba tu na kaamua kuwa na maisha yake daaah sawa bwanaππππππππππ
πππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni