Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
15 Mar 2026
742 views
VYOTE NDANI GONGA94
AFANDE MILLAN๐ Sehemu ya 59
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na utakapoona kuna jamboa halipo sawa, usisite kabisa kunipigia simu shemeji na kunielezea sawa, nna imani ntawaweka sawa na kila kitu kitakaa powa sawa shemeji, apo kaka angu anaongea hivyo mimi nipo kimyaaaaa, mnazani mi nasema nn sasa manina zangu, basi jalia akasema sawa shemeji, japo mm nna imani sana na mume wangu tutakaaa kwa wema na hatutazinguana kabisaaa, si et mume wangu, nikasema ndio jalia kuwa na amani, basi kaka akanmbia sawa mi sikai millan naomba tutoke njee tuongee kidogo ndo niondoke, nikase.a sawa kaka
Kweli mm na kaka tukatoka njeee, aseee tumefika nje, kaka akanmbia millan naondoka,but nakufahamu sana na tabia zako, naomba uache zote na uanze maisha mapya na mkeo, ndoa inataka kutulia sana, millan now sitaki kesi za wanawake wako sijuh akina mama ahmad hapana , nnachojua una mkee mmoja tu na utulie na mkeo, sitaki kesi yoyote, tusije tukagombana sawa ww, nikasema ndio kaka kuwa na amani hautasikia kesi kabisaa wala ,broo akanmbia sawa na kuhusu uyo zena sitaki kumsikia lea mwanao tu sawa ww , mh kaka nae, nikasema sawa brooo nimesikia na nimeelewa , kaka akanmbia fresh mi naondoka zangu utaniagia kwa mkeo, alafu mkeo mzuri aana tulia na acha mapepe, kaka bwana kweli uyu jalia mzuri ila ashamuona zena , nyiee zena ana nuru automaticlly tu, yule mwanamke bwana, ahaaaaa basi kaka akaondoka zake na mm nikaludi ndani, wala sikutaka kjmfanyia kisilani jalia, unajua zena alishanifundisha kuwa mwnamke ni wa thmani sana, ila angenikuta enzi zangu uyuu, kesho tu angeludi kwao pemba, ila ahaaaaa sikuona sababu ya kuwa mwehu kwake, mi nikamkalibisha vizuri, na nikamuagizia mahitaji ya kupika, na kila alichokitaka alinambia nikamuagizia, nikampa na pesa ya kumlipa niliyemuagizia, kisha nikamwambia mi naenda kwwa mshikaji wangu ntaludi usiku, akanmbia sawa mume wangu hakuna shida
Mi nikatoka zangu nje nikachukua ndinga, mpaka kwa ibraa, mana teali tilishawasiliiana ,na ibraa akanmbia yupo gomzi kwake, basi nilivyifika sasa nikamuomba aje njee ya nyumba yake tuomgee kwenye gali, mana mm wala sikutaka mkewe na ibraa asikie maongezi yetu, kweli ibraa akaja na akaingia ndani ya gari yngu tukasalimiana fresha,akaniuliza za pembe bwana harusi, nikasema mwanangu pemba jau , hakuna rahaa yoyoye niliyoisikia this time nikiwa nyumbani nimechanganikiwa kaka, kichwa kinanaiwaka moto kaka kweli kweli, ata sielewi nafanyaje, ibraa akanmbia umefanya kama nilivyokwambia kwanza zena hajui kama upo dar, nikasema yaaa hajui kabisaaa sijamwambia, akanmbiansaw sasa sikia mi nnachokiona ni lazima wewe umuoe zena ata iweje, lakini usimuache jalia, japo sijamuona ila unajua kama wazazi ndo wamekuchagulia sio mbaya ,usiwadessapount wazazi kwa kumuacha jalia, na usijidissapoint moyo wako kwa kutokumuoa zena, so apa kilichpo ni kwamba haumuchi jalia na unamuoa zena, nikakaa vizuri nikasema eeh nipe mipango inakuwaje iyooo
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtot...
*AFANDE MILLAN๐* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafut...
48 MWISHOOO ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake ...
46 MPAKA 47 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Yani niliba...
๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa n...
41 MPAKA 42 ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ๐ผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa k...
Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na utakapoona kuna jamboa halipo sawa, usisite kabisa kunipigia simu shemeji na kunielezea sawa, nna imani ntawaweka sawa na kila kitu kitakaa powa sawa shemeji, apo kaka angu anaongea hivyo mimi nipo kimyaaaaa, mnazani mi nasema nn sasa manina zangu, basi jalia akasema sawa shemeji, japo mm nna imani sana na mume wangu tutakaaa kwa wema na hatutazinguana kabisaaa, si et mume wangu, nikasema ndio jalia kuwa na amani, basi kaka...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-59
Maoni