Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
Gonga94 ยท Stories

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe ndo kila kitu kwangu, zena akanmbia okey basi baadae, basi apo ndo mchumba akakata simu, na mm sasa, ndo nikaludi ndani, daah namkuta jalia kashalala mda sana, aseee ni asubuh kabisaa so lazima apumzike, basi na mm taratibu nikalala pale kitandani ila upande wa mbali sanaa na jalia, yani sikutaka ata kulala kalibu na uyu mwanamke, na sikuchelewa kabisaa kupatwa na usigizi, nokajikuta nimelala kabisaaa,

Nikaja kustushawa na mama , anagonga mlango uku anapiga vigele vigele, ila mama, naaamka naangalia kwa pembeni nikamkuta uyu jalia amekaa kitandani ananiangalia tu daah, mi nikainujka apo harakaa, nikakaa kitandani, kisha nikachek saa yngu ya mkononi ilikuwa ni saa 12 alfajiri,daaah namsikia mama ananiita we millan, millan ,nikasema nam mama kisha nikainuka harka kisha nikatoka sasa ,daah namkuta shangazi yangu, yani dada yake na baba , na mama yangu mlangoni, mama akaniuliza eeeeh yaliyomo yamo kwa uyo binti, sisi apa tumekuja kukagua mashuka mana tuliammbiwa uyu mshichana ni bikraa hajawahi kabisaa ,eeh ni kweli ?,doooh asa mm namjibu nn mama lakini,mama akaniuliza mi si naongea na weww, ni kweli kama tulivyoambiwa, au wametupiga washenzi awa kabisaa, nikasema mama bwana mi jana sikufanya nae chochote uyu binti ,nilichoka na pilika pilika za safari na vile vikao, shangazi akasema tobaaaa, we mtoto una matatizo ama, yani ulale na mwanamke usiku mzima mpaka asubuh hujafanya nae kitu kisa umechoka, we millan una kiri wewe

Mama akasema yani mtoto mpumbavu anataka kutuaibisha sisi, hivi unahisis familia yake ikija na wao watatuonaje sisi, usitutanie millan, ingia ndani kaifanye kazi, khaaaaa asa wananailazimisha hawajui aya mambo yanataka mood alafu mm sina, daah mama akanishika mkono akaniingiza mpaka chumbani, akamkuta jalia amekaa kitandani tu ametulia yani, mama.akamsogelea akamwambia jalia mama umeamkaje, jalia akasema sijambo mama, mama akasema jalia ,ina maana umeshindwa kumshawish mumeo mushiriki lile jambo jamani, si umefundishwa kwenu wewe, jalia akasema mama millan alinambia amechoka sana nikaona nimuache apumzike tu, mama akasema ahaaa jamani wanangu, mnakosea ,unajua na wazazi wako watakuwa wanajiandaa kuja kuhakikisha na kupata zawadi zao, kama wewe bado ni mwali, ebu sasa tunawapa mdaa mfurahie ndoa yenu sawa , jalia akasema sawa mam, mama akaningalia mjicho mkali, ule wa ole wako sasa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Basi mama akatoka ndani tukabaki sisi tu, ahaaaa mi.kwanza nikaingia bafuni kuoga mana ndo nimetoka kuamkaa, nimeamkiwa na maneno maneno ya mama, basi nikaingia bafuni nikawa naogaa eheee nikiwa naoga si nikaona jalia anaingia na yeye tena akiwa na kachupi cha bikini ,na juu akiwa wazi kabisaaa, daah aka katoto kembembe kweli kweli kama miss na viziwa vyake vimechomoka kama msumari , ila kazuri aka kadada nacho , basi jalia akanisogelea akanmbia nataka tuoge wote mume wangu, ahaaaa mi sikuongea kitu ata, akanisogeleea akanikumbatia kwa pamoja tukaanza kupigwa maji, nyieee akaanza kunishka shika, mwili wangu, lafu nishapiga maji ya baridi, na mm ni mwanaume kwaiyo nikajikuta mwili unansisimka sana na mashine inasimama kweli kweli, nikajikuta na mm naanza kumpapasa sehemu mbali mbali za mwili wake, na tukaanza kukisss, hatukuishia apo tu, mtot akanivuta mpaka chumbani kitandani, tukaanza sebene, uyu demu alikuwa kafunzwa kweli kweli , kama kufundwa ahaaa basi kafundwaa, kiukweli sikuwa nimeplan kufanya nae chochote ,ila wanaume sisi wadhaifu sana , kwa mambo alokuwa ananifanyia jalia ,nikajikuta nimeshiriki nae tendo

Na sio kushiriki tu ,na niliinjoy mnoooo, jalia acheni na ni kweli nilimkuta bikraa, ila utyuu ahaaa ilikuwa moto sitaki kuwaambiaa, sijuh ndo niseme mambo anayajua, yani anajua kuililia, ikawa inanaipa vibes kinoma, japo na yey alikuwa ananlalamika maumivu sana wakati wa lile tendo ila mwanaume niliingia na bikra nikamtoa ,na damu zikamwagika kitandani, na kulikuwa na mashuka meup tu, nyiee tumemaliza apo kila mtu yuko hoi, mi ata sielewi sasa inakuwaje aya mambo daah naona kichwa kinawaka tu, sielewi kabisaa mwanaume mm, basi tukiwa vile, jalia akanisogelea akanikumbatia akanmbia millan nakupenda sana , nipe mdaa, naamini utanipenda pia na ntakua mke mzuri sana kwako, nakupenda sana kipenzi, mh nikamwambia nakupenda pia jalia hakuna shoda, na mimi nilimjibu kumlizisha kisha tukaingia tena bafuni kupata maji ,nyieee ile tunatoka kuoga tu, tunasikia tena mlango unagongwaa, daaah

Tukaavaaa haraka haraka na mm ndo nikaenda kufungua, namkuata mama na shangazi, wananiuliza vp tayali? Nikasema ndioa ,mama akaniuliza eeh ni bikra kweli, nikasema ndio, ohhhh walifurahi nakwambia kama wanapata pesa, wakaanz akupiga na vugere gere, mama akanambia unatakiwa sasa uwape zawadi wakwe zako kwa kukulea mke vizuri, mpaka wewe umekuwa wa kwanza kwake, nikasema sawa mama hakuna shida, zawadi ni sh ngapi, mama akanmbia toa ata laki 5 mi najua wewe ukosi peza, nikacheka tu, kisha nikasema sawa, nikaludi chumbani nokachukua pesa ,kisha nikatoka kumpa mama, kisha nikamwambia mama mimi.natoka, kuna kazi naifatilia uku pemba nimeshapigiwa simu apa , ntaludi mchana, mama akanmbia ahaaa millan asa wakwe zako wanakuja inakuwaje, ebu bwana ngoja uonane nao, nikasema mama ni kazi muhimu ntawahi kuludi tu ,alafu sijipangii mi nafata orders za wakubwa wangu wa kazi, mama akanmbia sawa bwna ,aya nenda ila usichelewe kurudi mwanangu, nikasema sawa mama, kisha mm nikaludi ndani nikabeba simu yangu, nikawmabia jalia mi natoka kuna kazi naifatilia mala moja, jalia akanambia sawa hakuna shida, mi nakatoka zangu ata akina kaka sikuwaaga ,mana broo nilijua lazima atanizuia

Basi mi nikatoka nikaenda sehemu ya mbali kidogo na nyumbani, nikampigia kwanza zena , haikuchukua mda, zena akapokea simu, na tukasalimiana kwa bashasha tu, zena akanmbia eeh mpenzi umenipigia niongee na mama ,nikasema now mama ametoka analudi mchana ,mtaongea ila now nimekupigia nikusalimie mke wangu mzuri, zena kanambia ahaa sawa bas, unajua ndo nimetoka kuamka mda sio mrefu, nikacheka mana nilishajua jana tumekesha kwa kuongea, basi nikajikuta nimepata mda wakuongea na zena tu, ananisumulia habari za mwanangu, najikuta natabasamu tu, basi zena akanmbia mama hajaludi tu jamani na hamu ya kuongea nae mm, nikasema akiludi nakupigia basi, akanmbia sawa , apo apo nikawa naona simu ya ibraa inaikngia sasa, nikassema zena ibraa ananipigia ebu ngoja nipokeee simu yake basi ,alafu ntakuchek, akanmbia sawa kisha yye akakata na mm nikapokea simu ya ibraaa,

Ibraa akanmbia kaka vp uko powa, nikasema yaa niko powa kaka nambie akanmbia powaa eeeh vp imekuwaje isssue yako, hujakula mzigo kweli, nikasema kaka mzigo nimekula sikufichi, nikawa nasikia ibraa akancheka akanmbia daah mshikaji kunilalamikia kote na mzigo umekula, nikasema.nimefosiwa mwanangu na bi mkubwa, asa nisingekula si ningeonekana shoga, mwanangu mi nimetemebe na uyo demu na nimkuta bikraa, apa mi nimetoka nimewaacha wanashangilia nyumbani, ibraa akanmbia daaah ishakuwa noma iyo, so tunafanyaje, nikasema ibraa mi sielewi, apa kila nikiongea na zena ananmbia anataka kuongea na mama ,alafu mama hataki kumsikia zena kabisaa , ibraa akanmbia ahaaa we una matatizo kweli, asa we unashindwa kutafuta mama yoyote wa kipemba ukampanga ukampa ata elfu 10 alafu ndo akawa anaongea na zena mpaka unaludia ,nikasema.daaah sikuwa na iyo akiri mwanangu, ibraa akanmbia fanya hivyo, mambo mengine ukiludi uku ndo tunakuja kuyatengeneza sasa, mana daaah mambo yashakuwa mengi kweli kweli, nikasema sawa kaka ,mimi sitaki zena hajisikia vibaya kabisa na sitako zena haisi lolote juu ya hilo suala ,nampemda sana yule mwanamke sitaki kumuuumiza ata kidogooo,

Itaendeleaaaaa............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55


Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe ndo kila kitu kwangu, zena akanmbia okey basi baadae, basi apo ndo mchumba akakata simu, na mm sasa, ndo nikaludi ndani, daah namkuta jalia kashalala mda sana, aseee ni asubuh kabisaa so lazima apumzike, basi na mm taratibu nikalala pale kitandani ila upande wa mbali sanaa na jalia, yani sikutaka ata kulala kalibu na uyu mwanamke, na sikuchelewa kabisaa kupatwa na usigizi, nokajikuta nimelala kabisaaa,

Nikaja kustushawa na...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-54-na-55

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 11 na 12
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

780
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59

667
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58

539
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

365
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.

268
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

221
SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.

212
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

188
SHAMIRA 49 to 50

SHAMIRA 49 to 50

137
 SHAMIRA Sehemu ya 54&55

SHAMIRA Sehemu ya 54&55

136

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.73K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.92K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.71K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.7K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.64K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mrembo๐Ÿ˜‹,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu ๐Ÿ”ฅ) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
@majario LIVE

48 MWISHOOO ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.
@majario LIVE

46 MPAKA 47 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Yani nilibaki kimya namuangalia tu ata la kusema sina na wazazi wanatuangalia. Akanmbia shakira. Tusijitese mama angu. Tuanglie mioyo yetu.mimi naelewa shakira unanipenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa ndo baraka akaingia. Kapoa kweli kweli na tangia zamani ana sura ya upole ndo akazidi nakwambia. Nna hasira nae...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest