Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.
Gonga94 Β· Stories

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mwandishi; lissa wa huru media

Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba kweli.kweli. yani.nilivimba jamani. Mwili ulitutumuka kweli kweli. Baba alikuwa kimya ila.niliona ana hasira kweli.kweli. basi nilikaa hospitali siku 2. Ndo at least sasa nikawa sawa . Ata mwili nikawa nauona kama wangu sasa.na ndo nikaruhusiwa kuludi nyumbani. Hii siku ambayo niliruhusiwa wazazi hawakutaka kujua lolote kuhusu baraka na mimi kwanza .walikuwa wananiangalia mimi zaidi na afya yangu. Na ata simu kwa mda wote uo sikuwa nimezishika kabisa mimi. Yani mwili unauma kiasi cha kwamba hukumbuki kushika chochote kudadeki.nyie kuna wanaume wanapiga uwiiiiii. Usiombe ukakutana nao. Mbona utaoma dunia chungu hiii. Shoga yangu gile.akaja kuniona mana mama.alimpigia simu kumuelezea . Basi akanipa ple sana .akanmbia unajua nini. Nikasema ndio. Akanmbia yule baraka anakupenda sana kiasi cha kwamba anakuwa na hasira sana.nikasema gile mwanaume anayenipenda ndo angenipiga hivi . Amenipiga kama anataka.kuniua mimi.akanambia unajua mimi ndo niliona baraka alivyokuwa ana haha ile siku umeenda kulala kwa adrian. Ila kama ni mpigaji ata uyo mkewe ana kazi wallah. Nikasema we acha tu ndugu yangu.yani han ata aibu kaja kunipiga nyumbani kabisa looooh. Simtaki sasa.ndo anipige mpka aniue simtaki. Gile akawa ananitiliza.kisha akanmabia kuwa adrian alimtafuta kuniulizia.nikamwmabia wr mueleze naumwa nilipata ajari kidogo mambo mengine ntamuelezea mwenyewe. Akanmbia powa. Basi jioni sana ndo gile akaondoka.

Na mimi kesho yake .ndo nilitamani ata kushika simu yangu. Heee et nakuta barka nae kanitumia sms. Loooh . Et sijuh nisamehe ni hasira na wivu. Et ohhh mimi mapenzi yako yananitesa. Malaa ohhh shakira nakupenda sana. Na kila nnachokifanya ni hasira za kutokukumiliki. Yani alituma sms kibao. Nikazifuta zote kisha nikablock namba yake. Nikampigia adrian. Akaniukiza mama umepata ajali gani. Mbona gile kanmbia umepata shida.nikasema ndio nilipata ajaali ya pikpiki. Nimechanika apa kwemye paji la uso . Nikamuelezea uongo kibao nakwambia. Akanipa pole sana pale .akanmbia natamani kuja kukuona ila.sijulikani kwenu daah.nikasema ndo ufanye ujulikane sasa. We unazani tutakuwa hivi mpaka lini. Adrian akacheka.akasema si unajua tatizo ni nn kati.yetu kuwa mkristo basi nakuoa chapu.mimi. nikacheka mana uyu nae. Nikasema tutaongea hizo mada ntakapopona . Akanmbia sawa.

Basi baada ya kama week mimi nikawa sawa kabisa. Nikawa naendelea vizuri kabisa. Apo sasa ndo mzee akaniita akaniuliza kwa nini baraka alikupiga. Aseee nikasema baba mimi baraka ananitaka . Nikimkataaa ndo ananifanyia fujo. Ata saloon kwangu anakujaga kunifanyia fujo. Ndo kawaida yake ila hiii ya mwisho ndo kazidisha kanipiga.na mimi namuambiaga sikutaki sababu ni mume wa mtu. Ila yye anataka mimi.niwr kama.mchepuko wake. Na wakati mimi hilo suala nimeshalikataaa kabisa mimi. Baba akasema sawa baraka ana week hayupo dar .wala hayupo kwake ila nitamkamata tu.na ndo atanieleza mimi ni nani. Yeye si anajifanya mwanajeshi. Ngoja ntamkamata tu. Mie kimyaa. Mana baba anavyoelewana na baraka ila hii safari.ilikuwa ni noma.

Basi mie baada ya siku 2 .3 .uyo nikaingia zangu kazini kuendelea na majukumu yangu. Na ikapita week nna amani tu mana wala.sijamuona baraka ata .heee siku iyo sasa nipo busy na kazi. Si naona kaingia maua. Na wifi yake bahati. Mi.namkumbuka uyu dada japo sikuwah kuonana nae face to face. Mama alinioneshe akwenye picha. So nilivyomuona wala sikupata shida ya kumtambua kwamba uyu ndo bahati. Nikasema eeh nini wenzangu. Mana walikuja kama.kishari. maua akasema sikia nikwambia bahati uyu ndo maraya anaekuibia mumeo uyu ndo kafanya wewe umepewa taraka 3 ni uyu msenge. Anampelekesha sana kaka yangu. Aseeee awa wana nn . Yani apo nna kidonda kaka yao katoka kunidunda aya week 2 bado wamekuja na wao. Wananwambia upumbavu ata siuelewi.mimi.

Nikasema mbona wr maua sikuelewi. Uyo bahati hakutaka ata maongezi akanilukia. Akaanza kunipiga .nyie na mwenzenu nguvu sina.ila mdomo weeeeee utalala. Ntaongea kuanzia usiku mpaka kesho asubuh. Aseeeee yule dada nae sio powa . Aliniiga ngumi kama 2 hivi .nashukuru gile ndo aliiniingilia nakwambia. Na kuna wateja pale ndo wakanitoa mimi wakanieka pembeni. Teali nishaanz kulia.mana ata sielewi wallah. Basi bahati akaanza kupigana na gile. Nikamuuzia ugomvi gile na uzuri sasa gile nae sio mnyonge nae nguvu anazo weeeeee. Kikanuka tena. Heeee maua akaanza kualibu ofisi yangu. Aseee nilibaki tu namuangalia. Alipasua vioo vya ofisi nzima niliumia sana. Gile akawa anataka kumzuia ila wapi.nikaingia tu kumshika gile. Nikasema waache watakuumiza .acha wafanye wanachokitaka. Aseee wakapasua kila kitu ofisini. Mawigi gite wakayachana chana na viwembe. As if hii saloon alinijengea barka mimi. Kumbe walaaaa. Roho iliniuma sana. Walivyotosheka wakapanda boda wakasepa . Aseee nilimpigia simu mama nalia .nikawa namuelezea kilichonitokea .na baada ya mda mama akaja sasa slooon ndo anakuta vile .mama akasema aya mambo yote ni baraka ndo anasababisha naona anataka kukua mwanagu . Utu kijana anataka kukuua naona.

Nikabaki nalia tu. Basi mama akanichukua. Mana tulitaka kwenda polisi. Ila baba akasema ludini nyumbani kwanza .kwa sbabu apa kuna issues za ndugu yani ugomvi huu. Ushakuwa unahusisha ndugu. Basi mimi na mama tukaludi nyumbani tu. Na baba akawa kaludi pale mimi nalia kweli.kweli saloon yangu. Nikawa nasema baba mimi ntamfunga yule maua. Masuala yao mimi hayanihusi.mimi.nataka niende polisi. Baba akasema baraka anakuja ngoja. Nikawa nalia na apo apo .akaja baba mdogo bakari na mkewe. Yani sasa hili sula likawa la familia. Ikawa anaongojewa tu barka .ambae alisema anakuja. Apo mimi nna hasira kweli kweli. Yani mpaka natetemeka kwa hasiraaaaa nilizonazo

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.


Mwandishi; lissa wa huru media

Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba kweli.kweli. yani.nilivimba jamani. Mwili ulitutumuka kweli kweli. Baba alikuwa kimya ila.niliona ana hasira kweli.kweli. basi nilikaa hospitali siku 2. Ndo at least sasa nikawa sawa . Ata mwili nikawa nauona kama wangu sasa.na ndo nikaruhusiwa kuludi nyumbani. Hii siku ambayo niliruhusiwa wazazi hawakutaka kujua lolote kuhusu baraka na mimi kwanza .walikuwa wananiangalia mimi zaidi na afya yangu. Na ata simu kwa mda wote uo sikuwa nimezishika kabisa mimi. Yani...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sasa-nakupenda-sehemu-ya-43-na-44

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sasa-nakupenda-sehemu-ya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19   na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 19 na 20.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

1.1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

896
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55

627
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

165
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

118
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

99
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.7K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest