AFANDE MILLANπ Sehemu ya 50
Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona zena mpya na nazidi kumpenda uyu dada ,kwanza ana heshima sana, ananipenda mnoo, ananisikiliza kweli kweli, aseeee nilipagawa na zena bwan, yani nilikuwa naona raha ya kuwa na familia, raha ya kushinda na watoto mda wote uku na mwanamke akiwa pembeninyako acheni kabisa ,nyie ikakata miezi 2 , nipo na mchumba hakuna kesi wala ugomvi, michepuko nikuwa nnayo michache, π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππππ, mnazani nimeacha kabisaa ahaaa, naenda kutomba nje ila kwa heshima mnoo, zena ata hajui na usiku nalala kwake, na nna adabu nae kinoma yani nampenda sana
Nyieeee kuna kipindi zena akaanza kuumwa mnoo, mnajua zena alikuwa anaumwa, yani alikuwa aunaumwa mpka akawa kumbembeleza mtoto anashindwa , yani mtoto analia yeye kachoka anaumwa anabaki jumuangakia tu, mna kwa uo mda ,arshaina akikuwa na miezi 5 ,basi mi nikampeleka hospitala zena , nyieee si imaonekana zena ana mimba tena, ohhhh zena alichanganikiwa sitaki kuwambia ,ananambia itakuwaje na mwanae bado mdogo, ahaaa nikamtuliza nikamwambia tulia, arshaina atakuwa na hii mimba itakuwa , aseee zena alikuwa ni mwanamke wangu wa kwanza nataka kuzaa nae watoto wawili, nikaona basi kama kuoa acha nimuoe zena, nililizia kabisa kwanza nampenda sana , ana heshima na ananifaa kuwa mke,so nikaona basi sasa nioe nitulie na zena , watoto wawili namzalisha siwezi kumuacha aangaike na mimi ndo mwanaume wake wa kwanza ,nikaona ebu nitulie na zena sasa
Basi bwana nikaludi na zena mpkaa nyumbani na nikamtuliz kuwa asipanik , na atulie , akanmbia naogopa et mtoto mdogo atakuwa kambembemenda , nikasema sio kweli, arshaina anendelea vizuri sana si unamuona ana afya nzuri tu ,zena akanmba sawa ,ila dr. Aliruhusu tu amnyonyeshe mtoto mpaka atakaposema basi, mi nafanyaje sasa ,zena akwa ana wasi wasi sana na mimi, nikamwambia ongea na familia yako, mimi week hii naenda zanzibar nyumbani naenda kuonga na wazazi wangu na familia yangu ya kuwa nataka kuoa,nyie zena alifurahi sana ,nyie uyu demu mm ananipenda kisenge na mm nampenda yani kiufupi mimi na zena tunapendana kweli kweli , na alivyosikia serious namtangazia ndoa alichanganikiwa kweli kweli
Basi hii siku nikawa kwa zena naongea nae namtuliza na kumshusha presha kuwa hatulie na yeye wala.sio wa kwanza kuzaa haraka haraka wala haina shida na ahaitasumbua na watoto wote watapata malezi na watakua vizuri tu labda mimi.nifee, asee nikiwa pale kwa zena si na mama yangu mzazi nae ananipigia, nikapokea nikamsalimia mama ,na akanitikia vizuri kisha akanmbia ni siku gani nna mda niludi nyumbani ana maongezi mazito na mimi, dooh nikamwambia alafu mma unajua nilishakuwa na safari ata mm ya kuja uko mana ata mimi nna mazungumzo na wewe, mama akanmbia basi ujee ili tuyaongee yote , nikasema sawa mama ,daaah nilifurahi kinoma, nikamwambia zena ,aya umesikia nishaongea na mkweo ,mimi week ijayo naenda pemba kuonge na mama juu ya hili suala ,zena akanmbia dawa, basi na hii siku nikalala.na zena , na tukatombana kama kawa, kama mimba ndo kashabeba sasa sie tusile raahaa zetu sio kweli bwana, nakumbuka nilipomwambia ibraa nataka kumuoa zena ,alinambia ahaaa mganga wa zena sio tapeli bwan, mpaka we chumbanumekubali kuona na unataka kuwa na zena, nikamwambia nishaharibu tena sasa ana mimba nyengine, namuachaje sasa, ibraa akvheka sana akanambia sio sababu issue nj qewe unampenda sna yule mwanamke ,nakutakia ndo njema kaka na familia nzuri yenye amani ,nikasema.asante sana mwanangu
Basi mi nikachukua ka rikizo kazini ka week 2 ,na nikaplan sas kwenda pemba nyumbani, na nilimuaga zena uku nikimtaka awajulishe wazazi wake kuwa baada ya week 2 mimi napeleka barua kwao, na zena akakubali na wala hakuwa na shida, nyiee basi atimaye siku ikafika ya kwemda pemba, nikaagana na zena na nikamuachia pesa nyingi sana ya matumizi . mana naelew ana watoto wadogo wawili na hali yake ya mimba, so atakuwa na matumizi mengi sana alafu mi now mchumba nampenda kisengeee ndo mana, kwaiyo sitaki apate shida kabisaa yani
Basi bwna , mie nikachukua boti mpka nyumbani zanzibar , na zanzibar nikachukua boti mpaka pemba , acheni kabisaa , nakumbuka nilifika homee saa 10 jioni ,na nilikuta ndugu zangu wote wapo hpme , ya ni broo wangu mwanajeshi yule na mdogo wangu bwna, mh nikajua uwenda mama ametuita kwa pamoja tu ana hamu ya kutuona wanae, basi mama aknikalibisha vizuri sana nyumbani, na ata baba alifurahi kuniona ,aseeee tulifurahi sana ndugu wote kukutana home, uku tukitaniana sana, na hii siku mana familia yote tulikamlika na tulikuwa chakura kama familia na mm niliplan kuwambia suala langu la ndo baadae bwana, mana nilikuwa najua hawataamini kama.nimepata mwanamke na amenikamata mpaka nataka kumuoa , na usiki saa1 ndo mma akaanziaha kikao chake ,
Basi mimi nilikuwa makini sna kumsikiliza mama yangu na baba yangu kitu walichotuitia, akaanza kuongea baba ,akasema bwana iki kikao kimeitwa madhumuni ni kwa ajili ya millan, kheeee nikastuka kwanza millan mie tema imekuaje yani nikakaa vizuri kwanza , mama akasema tumekaa kama familiy, tukakujadiliana sana na kaka yako na mdogo wako juu ya suala lako la wewe kuoa, na kwakua haukuwa unaonesha direction yoyte juu ya kuoa, sisi kama familia tumekuolea mkee millan, nyieeee mbona nilihisi kyfa, moyo wangu ulifanya paaaah
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni