Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa kabisaa, yani sipo sawa ata kidogo, mkuu wangu ananijua sana jinsi nilivyo muwajibikaji kwenye suala la kazi, na sinaga shida kabisa kwenye suala la kazi , boss akanmbia sikia millan pumzika nyumbani week 2, tuliza akiri ,na solve shida zako zote ndo uje kazini wala hakuna shida, nikasema.sawa boss asante sana, boss akanmbia usiwaze ,kuwa na amani na umsalimie mkeo mzuri ,nikacheka mana mkuu wangu anajua nilioa ,na anamjua zena,nikasema.sawa kisha nikakata simu, apo nikampigia mwanangu ibraa, na nikaongea nae sana juuu ya aya yanyokabiri mpaka nakuwa sina rahaa, ibra akanipa pole sana akanmbia lakini apo unatakaiwa kwenda kwa shey ili ukaongeee na mkeo, namuelewa zena hayupo sawa ndo mana kaondoka nyumbani

Nikasema ni sawa , lakini ananifikilia mm, mi na mpenda sana yeye, nimezinguana ana kila mtu kwenye familia yatu mpaka mama yangu mzazi kwa sababau yake,lakini haoni, anaondoka.jana hajalala.nyumbani ,ameenda uko kwa shoga yeka , na nawapigia simu tangu jana mpaka leo wote hwapikei simu unazani inakuwaje hiii naumia snaaa, ibraa akanmbia now nipo kazini but nakuja apo kwako jioni, tutajua tunfanyaje juu ya hili suala, aseee ibraa mimi.ni mwanangu sana na hajawahi kunichoka, anaanzaje kunichoka wakati na yeye ana yake huwa namsaidia sana, yani mm na.ibraaa ni ile rafiki na rafiki wa kindaki ndaki, tunaelewana sana na mwanangu, yani sanaa tu , nikamwambia ibraaa frsh ,mi napumzika tu hapa home ,wala.sina cha kuongea na sina pa kwenda kwanza ,ibraa akanmbia sawa

Basi nikakata simu nikawa nimejipumzikia tu pale sebleni na usingizi ukanipitia kabisaa, nikaja kustuka napigiwa sana simu, ahaa nilikuwa na usingizi mana jana yake sikuwa nimelala kbisa mawazo yalinizidia ,nikachek anayenipigia mh alikuwa ni shey , mh nikapokea ile simu nikasema.shey shey nambie mke wangu yuko wapi, shey akasema.shemu ndo.mana nimekupigia, mkeo anaondoka huu mda analudi kwao mwanza, mi nimeongea nae sna hajanielewa ,aseeeeee nilisimama mbona usingizi ukakata chapu, nikasema.unanambiaje, shey akasema shemu kweli ameelekea stand ya mbezi, mi nilizani amekuja ana hasira kisha ataludi nyumbani, nashangaaa leo ananmbia yeye analudi kwao anaenda kulelea wanae ukoo, nimeona nikueleze isije kuwa shida kwangu baadae shemeji, ahaaaaa nikasema sawa shey , sawa sawa, anaondoka na gari ya saa ngapi, akanmbia saa 12 jioni, nachek uo mda ni saa 10 jioni iyoooo

Mi nikakata ile simu ,nikaingia chumbani harkaa nikavuta funguo za gari, nikaingia kwenye gari yangu, nikaaanza kuelekea mbezi sasa, aseee zena ananivuruga kumpambania kote, anaondoka et , aseeeee apo mbezi kama nilipaa ndan ya dakika mbili nikafika, nikapark gari, kisha nikashuka na haraka nikaongia ndani ya stand, nikaaanz kuulizia magari ya mwanza yako wapi, nikaoneshwa sasa uo upande yanabark basi za mwanza, nikaaaenda kwa hii siku wala hakukuw na abiria wengi, nilimuona zena na wanae wamekaa katika bench , naona walikuwa wanaongoja gari yao sasa, mana mda ukikuwa bado, aseee nimefika pale , ummy ndo alikuwa wa kwanza kaja kuniwow, arshaina akanifatia, nikaona zena kama kastuka hivi ,naona hakutegemea ujio wangu pale

Nimefika pale nna hasira kwnza ,aseee mi nagombana na kila mtu kwa ajili yake ,et yey anataka kuondoka, mi nimefika pale wala sikutka salamu nae ,nikamwambia si umeamua kuondoka sio, zena akasema ndio niache niondoke nikafanye maisha yang,u nikasema swa nakucha uende na maisha yako, nipe wanangu, nikampokonya shadya kwanza alikuwa anamyonyesha na kwa uo mda shady alaikuwa na miezi 10, alafu nikamchukua na arshaina, nikamwambia ummyy twende, mana ummy anatembea ,zena akasema.waache watoto unawapeleka wapi niachie wananagu

Nikasema weee kelele wanao peke yako awa, hizi si ni damu zangu. Au nani alikutomba kukupa awa watoto, Sasa we nenda mwanza katombeke kwanza uko, usiende na damu zangu mm, akasema sawa beba wanao muache ummy sio mwanao, ummy akasema weee mimi uyu bana yangu, na awa wadogo zangu si et arshaina, ayaaa mtoto mwenyewe kashamkataaa mi naongea nn, nikamwambia ummy mi mwanangu, ayo masulaa mengine unayajua ww mimi hayanihusu, nikabeba wanangu ummy nikashika mkono, tukamuacha zena ameekakaaa ata haamini, tukaingia mpaka parking , nikawapakia kwenye gari, aka kadogo ndo nilimueka mbela nikamfunga na mkanda vizuri,kisha tukaanza safari ha kuridi home, nikaiwa najua kabisa zena ataludi tu, anavyowapenda wanae aondoke awaache hana jeuli iyooo

Basi nikafika home na wanangu ,alafu sasa aka kadogo ananijua vizuri so wala hakuwa msumbufua na ummy yupo tena akambeba mdogo wake, nilikuwa na stresss kisenge, yani sikuwa sawa kabisaa, nilimwambia dada awaandalie chakura watoto ni awaogeshe, kisha nikamwambia dada uyu mdogo akisha muandaa amleta chumbani kwangu, mana daahs sikuwa powa kabisa, mi nikaingia chumbani kwangu kichwa kinanaiuma saaana nikajitupa kitandani, ata sielewi maisha yangu tenaaa, mpaka nikajikuta mchozi yanatoka sasa, na mda uo uo zena ananipigia smu, ata sikumpokelea niliona ahhhaa kumbe ata yeye anaweza akondoka mda wowote hajali kabisa kuhusu mimi, mbona mm najali sana kuhusu yeye na nimepambana kwa kila kitu ili nibaki nae a yeye haoni kabisaaa , nikaacha tu kupokea simu yake, nilikua na stresss sana ,mpaka nikawaza au nimuache tu zena ,mm nilee wanangu, niliona kama ntakuwa na amani ni sawa piah, mi niliumia sana kitendo cha zena kuondoka nyumbani hali ya kuwa mm nampambani sana, mi nikamtumia.sms zena nikamwambia kama.kupambana nishapambana sana juu yako, nishagombana na kila mtu kwenye familia yangu kwa ajili yako, mpaka mama yangu mzazi kanikasilikia lakini ww huoni, unaangalia sababau zako basi fresh zena ,mi sina shidaaa, njooo uchukue taraka yako, zena ata ukitaka na wanao njoo ubebe mi ntalea hakuna shidaa, mi nilikuwa na maumivu sana kwa uo mdaa , nilipomaliza kuandika iyo sms nikajilaza tu kitandani, kichwa kinauma sanaaaaa ,

Mh mala malngo ukafungiliwa akaingia zena , kanywea mnooo yani sana, mi nilimuona nikamuuliza ndo umefata wanao sioa basi powa hakuna shida ,kachukue wanao uende, apo nashika kichwa kinauma sana, zena akanisogelea akanmbia
unaumwa kichwa kwan mbona upo hivyo?, nikasema niache unajalia nn wewe, ungekuwa unajalia ungeondoka, na ungetaka kusafiri kwenda kwenu ukoo, kamachangamoton unazopitia na mm napita tena za zaidi, ila hunifikiliii mm unajifikialia mwenyewe, achana na mm kachukue wanao uende sasa, ahaaa sawa utakiwa umechelewa gali nakupa nauli ukakate tiketi ya mda huu uondoke sasa, nenda tu mi ntataeseka na ntasahau nakwambia ,

nenda zena, si hunitaki nendaa, apo nikawa kama namsukuma ,zena akawa analia sasa, nikasema umekuja kufata wnao ndo wa muhimu kwako, ni wanao si ndio, ni wanao ndo kila kitu kwako nenda kawafate sasa , apo kchwa kinaumaaa mnooo nikakaa kwanza, nikaona zena kaenda kuniletea dawa akanipa na maji akanmbia kunywa kwanza tuongeee, kunywa plsssssss , nikamuangalia kwa hasiraaa, ila nikapokea zile dawa nikavuta na glass ya maji nikanywaa kisha sasa nikajilaza kitandani, aseeeee sikuwa sawa kabisaaaaa

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87



Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa kabisaa, yani sipo sawa ata kidogo, mkuu wangu ananijua sana jinsi nilivyo muwajibikaji kwenye suala la kazi, na sinaga shida kabisa kwenye suala la kazi , boss akanmbia sikia millan pumzika nyumbani week 2, tuliza akiri ,na solve shida zako zote ndo uje kazini wala hakuna shida, nikasema.sawa boss asante sana, boss akanmbia usiwaze ,kuwa na amani na umsalimie mkeo mzuri ,nikacheka mana mkuu wangu anajua nilioa ,na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-86-na-87

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.51K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.43K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

1.02K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

353
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

204
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

173
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

127
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

50
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

37
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

30

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest