Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
Gonga94 Β· Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Mwandiishi; LISSA

Basi sasa mm na mke wangu tukatafuta mahari tukawa tumekaa , tukawaacha ummy na mdogo wake wanacheza, aka kadogo nikawa nimekashika mm, mke wangu akataka chipsi kuku nikamuagizia akawa anakula uku tunaongeaa, asees nilistuka sana nilipomuona mama ahmed maeneo yale, tena akiwa mwenyewe wala hakuwa na mtoto kisha akawa anakujia upande wetu, doooh nikajua uyu atakuja kunihalibia sasa hivi, alivyofika sasa, mama ahmed akasema loooh we baba kumbe leo umekuja apa na awala yako, we mwanaume utalizika lini mbona hujui kukituliza ww, umeoa mwanamle mzuri yule wa kipemba, dada akinuna kama anacheka kumbe una mwanamke wa njee na umemzalisha watoto doooh , huna aibu wewe ,sijuh lini utaacha umaraya baba ahmed, nyieee apo zena alikuwa anakula akaacha kula kwanza , akasema ni nn unaongela binti mbona sikuelwi, mwanamke gani wa kipemba aliyeolewa na mume wangu?

Zena akasema mumeo umeolewa shogaaa ? , umeolewa lini dada, anakujua nani kuwa umeolewa mama mkwe wako anakujua wewe , sikiliza nikwamvia shoga yangu wala usipate shida , uyu bwana ana mkewe yupo kwake, kwani we kwake hupajuo si unapajua nilishawahi kuja kile kipindi nikakukuta una mimbaa, daaah na ukazaa ukabeba na mimba nyengine kweli kuna wanawake duniani hawana akili, kwaiyo sie tuliyezaa nae mtoto mmoja uyu bwana ikatuona sie hatuna akiri we ndo unazo nyingi ukaamua kumzalia doble doble , pole sana shogaa uyo bwana ni mmaraya puuh

Aseee mi sikuweza kuvumilia tena maneno ya mama ahmed, Niliinuka kwa hasira, nikamwambia mama ahmedd tuko sasa hivi mpumbavu mkubwa ww, nitakuja kukua nakwambia ,why unapenda sana kuniingilia sna, kwani we demu vp,kwan kuzaa na wewe imekuwa shida ama, mbona unapenda kunitia nuksi mpumbavu ww, mama ahmed akasema nuksi unajitia mwenyewe kwa kutokutilia na mwanmke mmoja, mtu umeoa mkeo mzuri wa kipembana bado unaangaika looh dume zima limalaya ata aibu halioni , pyeees, nikampa mtoto zena , japo hakuwa tayali kampokea, ila nikampa kilazima, kisha nikamfata mama ahmed kwa hasira , nikamdaka nilimpiga mangumi ya uso ya nguvu ya chapu chapu yale, yani uyu demu ana mdomo alafu nguvu hana kabisaaa, akipigwa kidogo kelele kibao, ila mdomo ahaaaa, mama ahmed ni kiboko, huwez kushindana nae kwa kuongea ata siku moja.

Nikataka kumpiga zaidi, zena kanmbia millan muache uyo mwanamke muache uyo ni mzazi mwenzako sasa unampiga nn ebu muache, apo mama ahmed alikuwa yupo chini, akawa analia uku anasema et jamani mwambie uyu ,anataka kuniua kisa kukwambia ukweli kuwa kaoa mpemba mwenzie kamueka pale kwakw viwege ndo imekuwa shidaa , dah yani ndo anazidi kunihalibia msenge uyu, nikampiga ngumi nyengine za hasira mana mm binafsi nikishachukia kuongea sana siwez kabisaaa yani. Kuongea siwez mm, wakaja walinzi wa pale ndo wakanishika sasa ,wkanmbia ahaa brother acha bwana, acha kabisaaaa, unapigaje mwanamke hivi, apo sasa mama ahmad akasimama kisha akasema sawa umenipiga ila nimekwambia ukweli, mimi sijali kupigwa ila namuoonea huruma uyu mwannamke mwenzangu, unamdanganya na wakati wewe una mkeo mpembana unampenda sana ,nyieeeeee achenni hii siku nilivurugwaaa, zena alibaki kimyaa wala hakuongea kitu kabisa maskini ndo kwanza aliwashika wanae vizuri, nilijisikia vibaya na aibu mbele ya zenaana sijuh namuelezeaje juu aya mambo doooh, mama ahmed akajizoa zoa uku anaondoka, akawa anasema yani we dada kwa uyo mwanaume utajutia tuulize ss, umevamia usiyoyajua pole sana nakwambia , daaah

Zena akanmbia naombe nipeleke nyumbani na watoto wakapumzike ,nikasema sawa mke wangu, dooh yani ata jioni hatukufika pale mambo yakavurugika na kila kitu kikaishia pale , basi nikawapandisha kwenye gari na tukaludi mpaka pugu sasa kwetu, ila kwenye gari zena hakuongea kabisa alibaki kimya na tulivyofika kwetu pugu , zena akawa kanuna mnoo ata haongei na mm, nikaona kawapeleka watoto chumbani kwao mana awa wawili walipata usingizi ila aka kadogo shadya alikuwa macho ndo akaingia nae chimbani kwetu sasa, na mm.nikamfaa ndani, tumefika ndani zena akaweka mtoto kitandani kisha na yeye akakaa ,na mm nikamfata mke wangu, nikamwambia zena wangu nisikilize, naomba nisikilize mke wangu, akanmba nakusikiliza nn millan, millan kuna kitu unanidanganya, uyu mama ahmed ni mala ya pili namsikia una mwanamke umemuoa mpemba , kwanin unanaifanyia hivi

Nikasema hapana ni uongo mke wangi sijaoa kabisaa, zena akasema unanaiona mm mjinga sio, unananiona mm.mpumbavu baba shadya nataka kujua ukwli.uyo mpemba ni nani nambie nakwambia, nikasema.mke.wangi ebu nisikilize, usikwe unapemde kumuamini na kumsikiliza mama ahmed yule ni mchafuzi wa mambo yupo hivyo, ni mjinga tu,nisamehe mke wangu, nisamehe sana mama yangu, mi namjua ni muongo yule,zena akanmbia sio kweli hawezi kuwa muongo kila kisu, na kama ni muingo kwa nn ulichukia vile na ukampiga kwa hasira, naona kabisa millan mimi.ndo unanajifanya mjnga, nambieeee una mwanamke mpemba si ndio unananicheat na uyo mwanamke.si ndio, nikasema.hapana mke eangu sio.kweli, zena akanmbia sawa akanyanyuka akanambia twende kwako.kule kwa zamanai, nataka kujua pale anaishia nani, twende sasa , apo anaongea uku anamnyanyua shadya, nikaona doooh tukiemda kule alafu amkute jalia sindo atapigia mstali

Nikasema nisikilize vasi mpenzi mi kule si nimekueleza nimepanganisha mama , plsssss ebu basi nielewa tutaenda kumsumbua mpangaji tu , daah kwani anaelewa sasa, zena ashakuwa na hasira ni anaongea mpaka machozi yanamtoka, ananambia hapana nataka kwenda kumuona uyo mpangaji, yule mama ahamed ameneileza ukweli, na akanmbia ukweli mm kila.siku nakwambia nataka.kuongea na mama yako, unanilusha lusha tu ,simjuh ndugu yako yoyote mpaka leo, kwani uongo namjua nani mm kwenu?, ata leo ukianguka apa, mm napeleka wapi wanao, nikasema si unamjua ibraa lakini mke wangu , zena akasema ibraa ni ndugi yako ni ndugu yako yule wa damu, si ni rafiki yako, eeeeeeh nataka kwenda kule viwege nikaone anayekaaa kule ni nani na nataka unambia kuhusu uyo mwanamke mpemba , njkaona leo leo kazi ipo leoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈

Mwandiishi; LISSA

Basi sasa mm na mke wangu tukatafuta mahari tukawa tumekaa , tukawaacha ummy na mdogo wake wanacheza, aka kadogo nikawa nimekashika mm, mke wangu akataka chipsi kuku nikamuagizia akawa anakula uku tunaongeaa, asees nilistuka sana nilipomuona mama ahmed maeneo yale, tena akiwa mwenyewe wala hakuwa na mtoto kisha akawa anakujia upande wetu, doooh nikajua uyu atakuja kunihalibia sasa hivi, alivyofika sasa, mama ahmed akasema loooh we baba kumbe leo umekuja apa na awala yako, we mwanaume utalizika lini mbona hujui kukituliza ww, umeoa mwanamle mzuri yule wa kipemba, dada akinuna kama anacheka kumbe una mwanamke wa njee...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-73

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

1.14K
SHAMIRA 114 mwisho ni 115

SHAMIRA 114 mwisho ni 115

697
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

681
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

628
LETICIA 7-----------14

LETICIA 7-----------14

245
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½

195
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

158
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

78
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

65

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.85K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.57K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.86K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.36K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.97K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.75K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“πŸ“ Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya GΓΆztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM  Liverpool 4-0 Galatasaray  ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️ Post Mpya
◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM Liverpool 4-0 Galatasaray ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️
@majario LIVE

Liverpool inatinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa kishindo kabisa nyumbani, ushindi ambao wali stahili kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo mpaka mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho , Liverpool...

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa? Post Mpya
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?
@majario LIVE

JIBU: Hili ni swala lenye khitilafu baina ya β€˜Ulamaa. Wako walioona kwamba Muislamu aswali Swalaah zote mbili; β€˜Iyd na Ijumaa kwa Jamaa’ah, na wako walioona kuwa akiswali Swalaah moja baina...

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF, Post Mpya
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF,
@majario LIVE

- Viongozi wamesisitiza kuwa pambano hilo halijaisha, huku baadhi ya wachezaji wakituma ujumbe mzito mtandaoni na kauli za 'njoeni mpige picha na kombe', Senegal inaita uamuzi huo kuwa si wa haki...

STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO. Post Mpya
STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO.
@majario LIVE

March 18, 2026 In football, the Laws of the Game are clear: the referee on the pitch is the final authority on decisions made during the match. Once play is allowed...

MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI Post Mpya
MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI
@majario LIVE

Mwaka 2007 , Wachezaji wa Lille walitoka uwanjani baada ya Gigs kufunga goli kwa mpira faulo [ Alipiga haraka ] muda ambao Lille walikuwa ndio wanaweka ukuta 2013, Kelvin Prince...

SHAMIRA 114 mwisho ni 115 Post Mpya
SHAMIRA 114 mwisho ni 115
@majario LIVE

( MWISHOOO ) πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ SHAMIRA Sehemu ya 114 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media AseΓ¨e nilikuwa sinanngibu kabisa nikasiki malngo unavunjwa apk mimi jilikuwa napata maumivu makari mno ya tumbo yani sama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Daaah apo na mm nilishachanganikiwa ,nikabaki nimemshika mkono zena sasa, nimemshika tu mke wangu kumtuliza, ila.wapi zena ana hasira ana lia tu, ananambia anataka twende viwege, akahakikishe uko kuna nani,...

LETICIA 7-----------14 Post Mpya
LETICIA 7-----------14
@majario LIVE

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’ LETICIA Sehemu ya 7 na 8 Mwandishi; LISSA Basi hata hatukukaa sana wazazi wakarudi saa 3 ,na wakawa wanalalamika wamechoka walipitiliza kuoga na kulala ata chakula hawakula ,mama alisema wamekula uko walikotoka.​ Mimi...

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. Post Mpya
wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
@majario LIVE

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo...

BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“   SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½ Post Mpya
BILLIONS OF LOVEπŸ’“πŸ’“ SEHEMU YA "9_10"πŸ’“πŸ˜½
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest