SHAMIRA Sehemu ya 110&111
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Wassap; 0742443214
Mwandishi; lissa wa huru media
nikawa nalia nikamwambia love nampenda sana kaka yako plsss namuhitaji sana naomba anielew ni maisha ndo yalinifanya nifanye vile plss love. Love akanmbia ebu naomba utulie kwanza plss tulia. Basi nikatulia uku nishachanganikiwa.akanmbia twende chumbani kwangu uku utamuamsha mtoto. Basi kweli love akanichukua mpaka chumbani kwake akaniweka kitandani. Akanambia ulikuwa na changamoto gani mpka ufanye vile. Mimi sikumficha nilimuelezea kila kitu kuwa gift alikuwa anaitwa cairah na alikataliwa na baba yake . Na maradhi yake ndo yakinifanya nifanye vile. Nilimwambia niliangaika sana na mtoto ila niliona nikikaa nae mimi mtoto atakufa. Asee nilijielezea san love ili anielewa akanambia sawa mimi nimekuelewa ila kaka ana hasira sana kwa sasa tena hasira kali. Amechukia mno . Yani amanipigia simu mpka analia kwa iyo kwa sasa tulia kwanza na shushe presha shamira niongee na kaka na tumueleweshe taratibi. Si unakumbuka nilikwambia kuwa kaka aliachana mpka na mkewe kwa ajiri ya gift kwaiyo ana hasira sana relax shamira.nikawa nalia nikasema kanambia hanitaki ata kidogo . Naogopa sana kama ataniacha mimi nampenda sana dani .love mii nampenda sana kak yako plss nisaidie apo naongea mpaka nalia na kweli mimi jilizama japo mwenzangu alikuwa kawaida ila mie mlnilitiyia kabisa alafu lo mchumba anasemanhanitako nyie uyu baba atanifanya wanizike namoemda sana kiukwrli. Yani nampemda mno jamani .ooh mungu wangu mimi.nyie presha ilipanda ya kuachwa na hakimu oyaaa acheni kabisa ile siku
Nikawa najalibu kumpigia akawa hapokei kabisa. Nikawa nampigia mno yani mdaa wote nampigia mpaka love ananambia tulia yani nilishachanganikiwa .namtumia sms nnajielezea kwake mno ila wapi wala hakuwa ananijibu sms wala kupokea simu na mwisho simu ilizimwa. Nikawa nalia sana love ndo alokuw a ananituliza akanmbia sikia nikwambia kaka wewe anakupenda sana ni vile anashindwa kukubaliana na moyo wake tu. Ata uyo mke wake alomuacha ukute hajafikia jinsi anavyokupenda wewe.ila tu wewe tulia apa na hakuan kuondoka kaka akishakaa sawa ata ludi na aya mambo tutayaongea tu. nikasema sawa
Kisha love akaenda kumchukua gift tukaja kulala nae chumbani kwetu. Sikulala mwenzenu nilikua nalia tu japo sio kwa sauti usiku mzima yani sikuwa na rahaa kabisa wala amani . Moyo wangu ulikuwa unauma san na nampenda sana daniel. Yani uyu mkaka mimi kaniingia sana .nampenda mno ila ndo hivyo hataki kunielewa tena.
Basi asubuh love alishndwa kwenda kazini ikabidi abaki na kunituliza mana presha ilikuw juu sana. Nilikaa nyumbani siku 3 mwanaume jhajarudi na wala hapatikani siku ya 4 mida ya mchana sana nikiwa chumbani kwetu tunapolala mimi na yeye ndo alikudi sasa. Mh yupo serious macho mekundu kweli kweli kwanza nilivyomuangali tu mimi mwenyewe nilikuwa naogopa ata kuongea nae kwa jinsi anvyoonekana
Akaniuliza mpka sasa upo apa unafanya nini we maraya nakuuliza unafanya nini wewe mpumbavu.
nikasema daniel.akasema kelele usitaje jina langu muuaji mkubwa wewe. Mshenzi kabisa mchafu wewe unayenuka mda wote mjinga kabisa daaaaah .nikabaki kimya ata kuongea sikuweza na pozi likakata kabisa. Akanmbia yani najisikia kinyaa sana nikikuona mpumbavua wewe toka ndani kwangu. Aseee akananza kunisukuma kwa nguvu. Nasema toka nikasema plss niache basi natoka usinisukuume ila hakunielewa ata akanikisukuma kweli kweli yani mh acheni sitaki kukumbuka. Tulipofika sebereni gift akawa analia si anaona baba yake ananisukuma akasema baba muache mama. Aseee hiii siku ndo nilijua kweli mwanaume kaka sikirika akamfokea mtoto aksema pumbavu wewe nenda chumbani kwako mshenzi kabisa .mtoto mwenyewe alishaanga mana hajamzoe hivi kabisa baba yake . Akakimbilia chumbani uku analia. Nikasema basi nipe mtoo apo ando nilichokoza moto jamani.mh akanitukana matusi ya nguoni akanmbia apa huna mtoto yani yule sio mwanao. Si ulimrupa sasa mimi ndo mama yake na mimi ndo baba yake maraya wrwe.
Love akatoka akasema kak plsss shusha hasira hamueweezi kuelewana wewe ukiwa hivi . Daniali akamwambia nakuheshimh love ntakupiga mpka nishangaze dunia .unamtetea nini uyu maraya ana nini cha kutetewa uyu .na ni mshenzi tu simtaki nyumbani kwangu . Love akabaki kimya mimi sikutaka kusukumwa tena mwenyewe taratibu nikatoka zangu nikamuacha daniel anafoka uko ndani tena ana tukana kweli kweli.mimi nilikuwa na simu yangu tu mkononi.sikubeba chochote sikuwa sawa ila nilijikaza nikapiga moyo wangu konde. Kisha taratbbu nikatembea mpka stand nikapanda gari nikaenda dom mjini kabisa sijuenda kwangu. Nikaenda lodge .nikachukua zangu room wla sikutaka kulia tena nililala tena sikutaka kuruhusu kichwa changu kiwaze chochote kwa uo mda.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni