Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
Gonga94 · Stories

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈


Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi nikanyamaza kimya wala sikuongea, basi mama uyiooo akaondoka zake, naona aliongozana na jalia , basi mm nikabaki pale sebeleni nimekaa daah niliona nna nuksi man matukio yamenizonga sana niliona kichwa kimekuwa kizoto sana na kinahitaji kupumzika, hivyo nikajeigesha tu apa apa kwa huu mchana ,na jooni sana ndo nikatoka sasa nikafunga milango ya nyumba yangu, na nikapanga gari yangu nikaanzaa safari.ya kuelekea pugu kwa zena sas,

Basi nikadrive mpaka kwangi nikiwa nipo hoi, yani nimechoka mno, na uku nyumbani najua nna kibarua na zena ,nna kibria kizto cha kumbembeleza mwanamke wangu juu ya alicho mfanyia mama, mana mama mpaka alimpiga zena ,basi nimefika nikapiga honi akaja kunifungulia dada, kisha nikaingia ndani sasa, naona nyumba imepoa sana, sisikiii ata kelele za watoto nikamuuliza dada, kuwa kwani dada yako katoka mbona kimy, yule dada akasema ndio ameondoka leo ule mda ulivyotoka ww tu kabeba nguo zake zote na za watoto kaondkka nao, oooooh jamani mbona zena na yeye anatak kuniua

Aseeeee nikajikuta ata nguvu za kusimama sina ,nikakaa kitako kwemye sofa, nikavuta simu nikampigia zena daah yani nampigia simu inaita fresh ila hapokei simu zangu, nikampigia tena na tena zena hakupokesimu, yangu, mi.chapu nikampigia shey mana najua hana pa kwenda zaidi ya kwa shoga yake shey kwa apa dar, na shey akapokea nikasema.shey mambo, shey akasem powa nambie shem, nikasema.mke wangu yupo kwako?, shey akasema yaa alikuja leo nimemuacha anyumnbani kalala mana mm nimeingia job sa hizi , vp mmekosana nn. Mana wala hajanieleza lolite ila hayuko sawa kabisa, nikasema nakuja kwako, zena akasema mh mi.now shemeji sikia kule kwa zamani mimi kwa sasa nakaa kivule, kwa zamani nkmehama pale

Nikasema.sawa mpigie mke wangu mwambie aludi nyumbani na wtoro.ama anitumie location nimfate mana mm hanipokelei simu , ila shey wala hakunijibu akanikatia tu simu, na nilipoanza kumpigia na yeye et nikawa simpati., nikajua uwenda aliwasiliana na zena ,alafu zena akamwambia asipokee simu zangu ,daaah nikaanza kumtumia.smsm shey za vitisho,nilimwambia shey mm uyo ni mke wangu wa ndoa, sasa wewe endelea kukaaa na mke wa mtu bila lizaa ya mumewe, namtaka mke wangu, shey wala hakunijibu na bado hakuwa anapokea simu kabisaaa, na bado nikaendelea kumpigia mke wngu ,nae akawa hapokei, aseeee nilichoka sana hiii siku akili na moyo, mana ilikuwa ni siku moja ila ilikuwa na mtuko mingi sana ,nimezinguana na mama yangu mzazi, nimeacha mke. Nimezinguana na kaka yangu, yani aseeeee acheni kabisaa, bado zena nae kasepa home, nilikuwa nimechoka sana ,nilipanda chumbani kupumzika kwanza nilihisis zena ana hasira ndo mana kaenda kwa shoga yake, nitamfata kesho asubuh na tutaongea tu, basi nikaingia ndani kwangu nikajitupa kitandani ata kula sikula wala sikuoga, kiukweli sikulala hii siku ni mawazo yaliniandama sana , nilikuwa nawaza tu, wal sikupata usingizi ila mwili wangu ulichoka sana

Asubub na mapema nikiamka kwa kujikokota , nikaenda msalani nikapiga maji ya baridi kwanza ,kisha nikatoka sebleni, nikaenda dining nikanywa chai ya moto tu, kusha sasa nikampigia shey bado hakuwa anapokea, asa nafikaje kwa shey na sipajui uko anapokaaaa sasa , aseee naangalia simu brooo ananipigia ,mi nikapokea kaka akanmbia we mjinga sana ,yani ww unaacha mke mzuri kwa ajili ya uyo zena ,kisha unamfokea mamaa na unamfukuza mama kwa ajili ya mwanamke , millan umerogwa ww, nikasema kaka mm sijamfukuza mama, ni ametaka kuondoka mwnyewe, alafu kaka mimi sijawahi kukuingilia katika mamuzi yako ata siku moja ,basi naomba heshimu na yangu, kaka akasema.asee we dogo, ahaaa mi wla sikutka kumsikiliza kaka nikakata simu, doooh naona na baba ananipigia , sikupikea kiukweli, mala naona ndugu zangu wengine pia wananaipigia, et kina shangazi , nikajua mama kashafika pemba na kashawajaza watu maneno so sikutaka kushika simu ya yoyote

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85


🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈
🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈


Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi nikanyamaza kimya wala sikuongea, basi mama uyiooo akaondoka zake, naona aliongozana na jalia , basi mm nikabaki pale sebeleni nimekaa daah niliona nna nuksi man matukio yamenizonga sana niliona kichwa kimekuwa kizoto sana na kinahitaji kupumzika, hivyo nikajeigesha tu apa apa kwa huu mchana ,na jooni sana ndo nikatoka sasa nikafunga milango ya nyumba yangu, na nikapanga gari yangu nikaanzaa safari.ya kuelekea pugu kwa zena sas,

Basi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-millan-sehemu-ya-85

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-millan-sehemu-ya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 40
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 28 na 29
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 54 na 55
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.51K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.43K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

1.02K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

353
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

204
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

173
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

127
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

50
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

37
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

30

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest