RUNGU LA KIPOFU 03 ??.
ENDELEA.....
Alikimbia mbio na kuwa wa kwanza kumshika mkono na kumtoa barabarani na kama angechelewa kidogo tu basi habari ya juma ingeishia hapo.
"Queen naye yaani kipofu kamtoa mbio na kwenda kumsaidia au kadatishwa na mwichi wake?"
"Hahahahahaha hiyo lazima hapo kaenda kuokoa mpini na sio kingine namjua mno Queen"
Tedy naye alichangia na baada ya mda Queen alimfikisha kipofu walipokuwa wao.
"Mbona umemleta hapa!?"
"Wewe na wewe kwani huoni kama alitaka kugongwa na gari!?, mwache apumue kidogo, kaka hebu kaa hapa"
Queen alimkalisha na kwa makusudi aliugusa mtalimbo wa Juma.
"Pole kaka angu kama sio mimi ungekuwa marehemu sasa ivi!"
"Ameshaelewa na wewe mbona unajipa ujiko hivyo Queen!?"
"Lazima nijipe ujiko maana nilikimbia kama krishina mpaka nikamuokoa nyie mnadhani ni kazi ndogo hiyo!"
"Mmmmh leo tunalo!"
Matani ya hapa na pale yalichukua nafasi yake na baada ya mda Queen alimchukua Juma kwa ajili ya kumrudisha anapokaa, lengo lake lilikuwa ni kujua tu anapokaa Juma maana alivutiwa na rungu lake.
Alimfikisha Juma na kuingia naye mpaka ndani na moja kwa moja walimkuta Latifa akiendelea na kazi za hapa na pale.
"Mtu wenu huyu hapa mbona mnamuacha anatembea mwenyewe barabarani ikiwa anamatatizo ya macho!"
Baada ya Queen kuongea Latifa mwenyewe alishangaa.
"Mmmmh, Juma ulienda kutembea wapi tena ikiwa nilikuacha umekaa hapo nje!?"
"Nilitaka kunyoosha miguu kidogo ila hata hivyo sister asante sana kwa msaada wako!"
"Usijali kaka na hivi nimeshapajua unapokaa mara kwa mara nitakuwa nakuja kukujulia hali, Dada kwaheri!"
"Aya karibu tupo!"
Queen alijiondokea huku akiwa yake kichwani.
Juma alikaa kwenye kochi akiwa na fimbo yake na mda huo huo Latifa alimkaribisha chakula, siku hiyo Juma alitaka kula mwenyewe lakini Latifa aling'ang'ania na kuanza kumlisha yeye na walipomaliza kulishana Juma alienda kulala kwenye kochi.
Baada ya mda Mwajuma alitoka shule na kumkuta Juma amelala kwenye kochi, ametanua miguu kwa kujiachi na ru..ngu lake lilijichora vizuri ndani ya suruali.
Binti alikula chabo kwa kujiachia na ukizingatia Juma mwenyewe ni kipofu na alikuwa hamuoni.
"Kumbe umerudi!?"
Mwajuma aliulizwa na Latifa.
"Wewe ulitaka nisirudi!?"
"Eeeeh kwani dhambi kuuliza!?"
"Kutoana tu kwenye mudi!"
Baada ya kuongea Mwajuma aliondoka akiwa kafura kwa hasira na kilichomkasirisha ni kukatishwa kumla chabo Juma.
Binti alifika chumbani kwake na kupunguza ng..uo na baada ya hapo aliingia bafuni kuoga na baada ya kumaliza alivaa na kutoka!.
Moja kwa moja alielekea kwa Dani kwenye kibanda chake cha chips ila alikutana na taarifa za Dani kutokuwepo, Mwajuma aliliungisha mpaka kwenye gheto la Dani kwa ajili ya kwenda kumwangalia na alipofika alisikia sauti za mtu kukazwa upande wa ndani, taratibu alisogea mpaka mlangoni na kuugonga mlango na baada ya mda mlango ulifunguliwa na Dani mwenyewe aliyetaka kukimbia baada ya kumuona Mwajuma.
"Leo nimeyatimba!"
"Na umeyatimba kweli ebhu nipishe huko!"
Mwajuma alimsukuma na kuingia ndani na kukutana na jimama lenye minyama ya kutosha limetulizana kitandani.
"Dani nani huyu!?"
"Nikuulize wewe mwanamke usiyekuwa na aibu mpaka unate...mbea na vijana wadogo, hujaona wa rika lako!?"
Dani alibaki kaganda mlangoni akiangalia jinsi walivyokuwa wakizozana wao kwa wao na jimama lilishuka kitandani na kuvaa nguo zake na baada ya kumaliza lilitupa dongo kwa Dani kuwa hajui show na alikuwa akimchafua tu.
Mwajuma pia aliondoka kwa hasira na kwenda mpaka nyumbani kwao, aliingia ndani kimya kimya na ile amekaribia kuingia kwenye chumba chake alimuona Latifa akila chabo kwenye chumba anacholala Juma lakini kutokana na mawazo aliyokuwa nayo alimpita na kuingia chumbani kwake
"Kidogo tu anifume!"
Latifa alijua hajaonwa kumbe Mwajuma alimuona tena vizuri tu.
Usiku ilipofika mishale ya saa 7 usiku Latifa alilikumbuka rungu la kipofu.
taratibu alitoka chumbani na kwenda moja kwa moja kwenye chumba cha kipofu. Juma akiwa kanogewa na usingizi mtalimbo wake ulishikwa na aliamka palepale.
"Nani wewe!?"
Kama kawaida ya Latifa alikaa kimya ili Juma asisikie sauti yake.
"Au ni Mama mdogo!?"
Latifa alikaa kimya.
"Ni Latifa au utakuwa Mwajuma!?"
Bado alikula buyu tu na mk...ono w...ake ulikuwa kwenye mpini wa Juma.
"Kama hujibu toka chumbani!"
Kweli alitaka kuondoka na Juma aliona kuna hatari ya kukosa u...ta..m, saa ngapi asimwite mwenyewe waje waliendeleze.
Latifa alisogea k...itand...ani kwa ajili ya mtanange mkali uliokuwa wa kibubu bira kuongelesha lakini radha ilibaki kuwa ile ile, Juma mwenyewe alikolezwa na ut....am wa tunda la Latifa na alimuweka vizuri na kuikamata bastola yake......ITAENDELEA.
Full Tsh 1000, WhatsApp 0613083801
Namba za Malipo ????????????????
0613083801 HALOPESA JINA JOHN
0748697173 M-PESA JINA JOHN..
Maoni