Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

RUNGU LA KIPOFU 17.
Gonga94 Β· Stories

RUNGU LA KIPOFU 17.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
RUNGU LA KIPOFU 17.

ENDELEA...........
Nyumbani kwa Mama Mwajuma mda huo ulikuwa ni mda wa Mwajuma kutoka shule na alishangaa alipofika nyumbani kwao kutomuona Juma, kwanza alimfata Latifa na kumkuta akiwa kwenye kazi za ndani.
"Juma yupo wapi!?"
"Kahama!"
"Kahama kivipi!?"
"Amechukuliwa na Doctor ili aishi naye karibu kwa ajili ya kumtibu ugonjwa wake wa macho!"
Mwajuma aliweka mikono yake kichwani kama mtu aliyepatwa na taarifa ya msiba, maana alikuwa na h...amu na r...ungu la Kipofu na alilikumbuka haswa!.
"Sasa itakuwaje Latifa kuhusu sisi!?"
"Mimi au wewe?, sasa ivi huyo ni bwana wako tu sio wangu, tena uniache niko bize na kazi zangu hapa!"
Latifa aliendelea na kazi zake na Mwajuma aliondoka na kwenda kwenye chumba cha mama yake na ile amefika tu alianza kutoa lawama akimlaumu mama yake kwanini kakubali Juma akaishi kwa Doctor.
"Ivi Mwajuma hutaki kuona mwenzako anapona!?"
"Nataka!"
"Sasa kama unataka kwanini unaumia kuona ameenda kuishia na Doctor karibu ili aweze kumtibu!"
"Nimeumia tu maana nimezoea kuishi na Kaka Juma!"
Alimtazama binti yake na kushindwa kumwelewa kabisa na mwisho alimwambia kama atahitaji kumuona Juma basi itamlazimu kwenda kwenye nyumba ya Doctor.
"Ijumaa naenda na nitakaa huko mpaka jumapili!"
"Heeee wewe mtoto unawazimu eeee!?"
"Sio wazimu ila tu siwezi kukaa mbali na Kaka Juma mimi!"
Mwajuma aliondoka akimuacha Mama yake kwenye mshangaoooo!.

Huku Queen na Tedy nao walikuwa wakiumiza kichwa kuhusu Kipofu na Tedy alimtuma Queen kwa mara nyingine tena aende akamwangalie, Queen alienda na kurudi na jibu la Kipofu kuhama.
"Aaah, yaani nime..fany..a naye siku moja tu alafu kaondoka nakuondoka, hii haiwezekani kabisa!"
"Tuliza nyo..do Tedy wewe sindio uliokuwa ukinipigia kelele kipindi kile ety ooooh nachafu...a godoro aya umeona utamu wa rung..u la kipofu sasa!"
"Nimeuona, nisemehe bure shoga yangu, kwahiyo tunafanyeje sasa kumpata!?"
"Mimi mwenyewe hata sijui hapa nikujiti.a tu wenyewe kwa hizi siku kadhaa na makarot...i hamna namna, mianaume yangu mingi inavibamia hata huwa simwa...gi vizuri!"
"Shoga tusikubali kabisa kumpote...za Kipofu hapa inatakiwa tuhangaike mpaka tujue anapoishi!"
Walikubaliana na kupanga kumtafta kipofu popote pale.

Nyumbani kwa Doctor Witness alishangaa jinsi Mama yake alivyokuwa akimjali mgonjwa wake yaani alimjali kupitiliza, asubuhi hiyo aliamka zake na kufanya zake usafi na Mama yake alimkuta.
"Leo usiende dukani kwako sawa!"
"Kwanini Mama!?"
"Muangalie mgonjwa wangu mimi nitakuwa kazini na leo leo tutatafta mtu awe anakaa naye!"
"Lakini leo namzigo mpya dukani na wateja wangu wengi nimewaambia waje kuchukua leo!"
"Wewe fanya kama nilivyokwambia mambo ya wateja achana nayo!"
Doctor alijiandaa na kumuaga Kipofu aliyekuwa amelala na kuondoka.

Witness alichukia kuona Kipofu amekuwa sababu za yeye kutokwenda kwenye duka lake, hamu ya kufanya kazi za nyumbani iliisha na kuamua kukaa kwanza pembeni, huku Kipofu aliamka na kuvaa zake nguo na baada ya hapo alitoka chumbani akiwa na fimbo yake, Witness aliweza kumuona jinsi alivyokuwa akitembea kwa shida na alimuona alivyokuwa akielekea ukutani badala ya kwenye njia husika ila hakutaka kumwambia zaidi ya kukauka na kuendelea kumcheck tu.
Nusu tu Kipofu ajigonge kwenye ukuta.
"Hii nyumba mbona inakona nyingi jamani aaaaaah, kuna mtu hapa karibu!?"
Juma aliuliza lakini Witness hakutaka kuitika zaidi ya kumkata jicho.
"Kuna mtu yoyote yupo humu ndani!?"
Bado aliendelea kula buyu na kujikausha.
"Hapa kazi ipo!"
Juma aliongea mwenyewe na kuanza kuzunguka huku na huku akitafta sehemu ya kuweza kukaa na bahati kwake aliweza kulipata kochi na kukaa kitako.
Mda wote Witness alikuwa akimchora tu na ndipo alipoongea.
"Unashida gani!?"
"Nilihitaji mtu wa kunielekeza sehemu ya kukaa ila usijali maana nimeshalipata kochi!"
"Sawa!"
"Ivi wewe ni mtoto wa Doctor eeee!?"
"Mambo ya humu ndani hayakuhusu achana nayo!"
Juma ilibidi akae kimya na Witness aliondoka akiwa na hasira zake kwa ajili ya kwenda kuendelea na kazi zake.

Masaa mawili yalipita Juma akiwa kakaa kwenye kochi na haja ndogo ilimshika pale pale na alianza kumuita Witness na baada ya mda alifika.
"Nini!?"
"Nipeleke msalani mara moja!"
"Ndio shida ya kuishi na vipofu hii!"
"Hata mimi sikupenda kuwa kipofu ila ilitokea tu!"
"Usiongee sana unanipigia kelele hapa na mawazo yangu mie!"
Kwa hasira Witness alimsogelea na kushika fimbo yake na kumuongoza mpaka msalani.
"Tundu hilo hapo chini fanya haja zako!"
"Lipo wapi!?"
Witness aliona kuna hatari ya Kipofu kuk...ojolea pembeni badala ya kwenye tundu husika na itakuwa kazi kwake tena kufanya usafi.
"Lete lifimbo lako hilo nikuelekeze!"
"Acha tu ngoja nitoe siraha yangu utaniambia mwenyewe kama nak..ojoa penyewe au nakosea!"
"Wewe kaka tahira eeeh!?"
"Nipo timamu kabisa na zina chaji tena vizuri tu na ni njia nyepesi zaidi!"
Kipofu alilichomoa rungu lake nene na kujaribu kuk...ojoa kidogo na kulikandamiza akiizuia mik..ojo isiendelee kupita.
"Hapo je? nimekojoa penyewe!?"
Kwani Witness alimjibu kipofu!?, macho yake yalikuwa kwenye ru.ngu lake akiwa haamini kama kuna wanaume wenye mb..ooo kubwa kama ya Kipofu.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

RUNGU LA KIPOFU 17.

RUNGU LA KIPOFU 17.

ENDELEA...........
Nyumbani kwa Mama Mwajuma mda huo ulikuwa ni mda wa Mwajuma kutoka shule na alishangaa alipofika nyumbani kwao kutomuona Juma, kwanza alimfata Latifa na kumkuta akiwa kwenye kazi za ndani.
"Juma yupo wapi!?"
"Kahama!"
"Kahama kivipi!?"
"Amechukuliwa na Doctor ili aishi naye karibu kwa ajili ya kumtibu ugonjwa wake wa macho!"
Mwajuma aliweka mikono yake kichwani kama mtu aliyepatwa na taarifa ya msiba, maana alikuwa na h...amu na r...ungu la Kipofu na alilikumbuka haswa!.
"Sasa itakuwaje Latifa kuhusu sisi!?"
"Mimi au wewe?, sasa ivi huyo ni bwana wako tu sio wangu, tena uniache niko bize na kazi zangu hapa!"
Latifa aliendelea na kazi zake na...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/rungu-la-kipofu-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi rungu-la-kipofu
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 09
 RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU 11
RUNGU LA KIPOFU 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.14K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.08K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

656
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

253
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

248
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

236
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

234
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

156
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5

112
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❀️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
🚩Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. πŸ”΄ Maamuzi yaliyotangazwa: πŸ’΅ Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL ⚽. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL ⚽.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest