Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

RUNGU LA KIPOFU 17.
Gonga94 · Stories

RUNGU LA KIPOFU 17.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
RUNGU LA KIPOFU 17.

ENDELEA...........
Nyumbani kwa Mama Mwajuma mda huo ulikuwa ni mda wa Mwajuma kutoka shule na alishangaa alipofika nyumbani kwao kutomuona Juma, kwanza alimfata Latifa na kumkuta akiwa kwenye kazi za ndani.
"Juma yupo wapi!?"
"Kahama!"
"Kahama kivipi!?"
"Amechukuliwa na Doctor ili aishi naye karibu kwa ajili ya kumtibu ugonjwa wake wa macho!"
Mwajuma aliweka mikono yake kichwani kama mtu aliyepatwa na taarifa ya msiba, maana alikuwa na h...amu na r...ungu la Kipofu na alilikumbuka haswa!.
"Sasa itakuwaje Latifa kuhusu sisi!?"
"Mimi au wewe?, sasa ivi huyo ni bwana wako tu sio wangu, tena uniache niko bize na kazi zangu hapa!"
Latifa aliendelea na kazi zake na Mwajuma aliondoka na kwenda kwenye chumba cha mama yake na ile amefika tu alianza kutoa lawama akimlaumu mama yake kwanini kakubali Juma akaishi kwa Doctor.
"Ivi Mwajuma hutaki kuona mwenzako anapona!?"
"Nataka!"
"Sasa kama unataka kwanini unaumia kuona ameenda kuishia na Doctor karibu ili aweze kumtibu!"
"Nimeumia tu maana nimezoea kuishi na Kaka Juma!"
Alimtazama binti yake na kushindwa kumwelewa kabisa na mwisho alimwambia kama atahitaji kumuona Juma basi itamlazimu kwenda kwenye nyumba ya Doctor.
"Ijumaa naenda na nitakaa huko mpaka jumapili!"
"Heeee wewe mtoto unawazimu eeee!?"
"Sio wazimu ila tu siwezi kukaa mbali na Kaka Juma mimi!"
Mwajuma aliondoka akimuacha Mama yake kwenye mshangaoooo!.

Huku Queen na Tedy nao walikuwa wakiumiza kichwa kuhusu Kipofu na Tedy alimtuma Queen kwa mara nyingine tena aende akamwangalie, Queen alienda na kurudi na jibu la Kipofu kuhama.
"Aaah, yaani nime..fany..a naye siku moja tu alafu kaondoka nakuondoka, hii haiwezekani kabisa!"
"Tuliza nyo..do Tedy wewe sindio uliokuwa ukinipigia kelele kipindi kile ety ooooh nachafu...a godoro aya umeona utamu wa rung..u la kipofu sasa!"
"Nimeuona, nisemehe bure shoga yangu, kwahiyo tunafanyeje sasa kumpata!?"
"Mimi mwenyewe hata sijui hapa nikujiti.a tu wenyewe kwa hizi siku kadhaa na makarot...i hamna namna, mianaume yangu mingi inavibamia hata huwa simwa...gi vizuri!"
"Shoga tusikubali kabisa kumpote...za Kipofu hapa inatakiwa tuhangaike mpaka tujue anapoishi!"
Walikubaliana na kupanga kumtafta kipofu popote pale.

Nyumbani kwa Doctor Witness alishangaa jinsi Mama yake alivyokuwa akimjali mgonjwa wake yaani alimjali kupitiliza, asubuhi hiyo aliamka zake na kufanya zake usafi na Mama yake alimkuta.
"Leo usiende dukani kwako sawa!"
"Kwanini Mama!?"
"Muangalie mgonjwa wangu mimi nitakuwa kazini na leo leo tutatafta mtu awe anakaa naye!"
"Lakini leo namzigo mpya dukani na wateja wangu wengi nimewaambia waje kuchukua leo!"
"Wewe fanya kama nilivyokwambia mambo ya wateja achana nayo!"
Doctor alijiandaa na kumuaga Kipofu aliyekuwa amelala na kuondoka.

Witness alichukia kuona Kipofu amekuwa sababu za yeye kutokwenda kwenye duka lake, hamu ya kufanya kazi za nyumbani iliisha na kuamua kukaa kwanza pembeni, huku Kipofu aliamka na kuvaa zake nguo na baada ya hapo alitoka chumbani akiwa na fimbo yake, Witness aliweza kumuona jinsi alivyokuwa akitembea kwa shida na alimuona alivyokuwa akielekea ukutani badala ya kwenye njia husika ila hakutaka kumwambia zaidi ya kukauka na kuendelea kumcheck tu.
Nusu tu Kipofu ajigonge kwenye ukuta.
"Hii nyumba mbona inakona nyingi jamani aaaaaah, kuna mtu hapa karibu!?"
Juma aliuliza lakini Witness hakutaka kuitika zaidi ya kumkata jicho.
"Kuna mtu yoyote yupo humu ndani!?"
Bado aliendelea kula buyu na kujikausha.
"Hapa kazi ipo!"
Juma aliongea mwenyewe na kuanza kuzunguka huku na huku akitafta sehemu ya kuweza kukaa na bahati kwake aliweza kulipata kochi na kukaa kitako.
Mda wote Witness alikuwa akimchora tu na ndipo alipoongea.
"Unashida gani!?"
"Nilihitaji mtu wa kunielekeza sehemu ya kukaa ila usijali maana nimeshalipata kochi!"
"Sawa!"
"Ivi wewe ni mtoto wa Doctor eeee!?"
"Mambo ya humu ndani hayakuhusu achana nayo!"
Juma ilibidi akae kimya na Witness aliondoka akiwa na hasira zake kwa ajili ya kwenda kuendelea na kazi zake.

Masaa mawili yalipita Juma akiwa kakaa kwenye kochi na haja ndogo ilimshika pale pale na alianza kumuita Witness na baada ya mda alifika.
"Nini!?"
"Nipeleke msalani mara moja!"
"Ndio shida ya kuishi na vipofu hii!"
"Hata mimi sikupenda kuwa kipofu ila ilitokea tu!"
"Usiongee sana unanipigia kelele hapa na mawazo yangu mie!"
Kwa hasira Witness alimsogelea na kushika fimbo yake na kumuongoza mpaka msalani.
"Tundu hilo hapo chini fanya haja zako!"
"Lipo wapi!?"
Witness aliona kuna hatari ya Kipofu kuk...ojolea pembeni badala ya kwenye tundu husika na itakuwa kazi kwake tena kufanya usafi.
"Lete lifimbo lako hilo nikuelekeze!"
"Acha tu ngoja nitoe siraha yangu utaniambia mwenyewe kama nak..ojoa penyewe au nakosea!"
"Wewe kaka tahira eeeh!?"
"Nipo timamu kabisa na zina chaji tena vizuri tu na ni njia nyepesi zaidi!"
Kipofu alilichomoa rungu lake nene na kujaribu kuk...ojoa kidogo na kulikandamiza akiizuia mik..ojo isiendelee kupita.
"Hapo je? nimekojoa penyewe!?"
Kwani Witness alimjibu kipofu!?, macho yake yalikuwa kwenye ru.ngu lake akiwa haamini kama kuna wanaume wenye mb..ooo kubwa kama ya Kipofu.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

RUNGU LA KIPOFU 17.

RUNGU LA KIPOFU 17.

ENDELEA...........
Nyumbani kwa Mama Mwajuma mda huo ulikuwa ni mda wa Mwajuma kutoka shule na alishangaa alipofika nyumbani kwao kutomuona Juma, kwanza alimfata Latifa na kumkuta akiwa kwenye kazi za ndani.
"Juma yupo wapi!?"
"Kahama!"
"Kahama kivipi!?"
"Amechukuliwa na Doctor ili aishi naye karibu kwa ajili ya kumtibu ugonjwa wake wa macho!"
Mwajuma aliweka mikono yake kichwani kama mtu aliyepatwa na taarifa ya msiba, maana alikuwa na h...amu na r...ungu la Kipofu na alilikumbuka haswa!.
"Sasa itakuwaje Latifa kuhusu sisi!?"
"Mimi au wewe?, sasa ivi huyo ni bwana wako tu sio wangu, tena uniache niko bize na kazi zangu hapa!"
Latifa aliendelea na kazi zake na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/rungu-la-kipofu-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi rungu-la-kipofu
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 13.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 18.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 16.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 15.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 19.
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 01
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 10
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 08
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 20.
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 03
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 04
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 14.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 12.
RUNGU LA KIPOFU 09
RUNGU LA KIPOFU 09
 RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU 05
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU (01& 02)
RUNGU LA KIPOFU 11
RUNGU LA KIPOFU 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

900
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

496
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

436
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

424
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

313
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

236
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

184
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

141
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

99

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest