Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06
Gonga94 · Stories

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


MR. AB

TULIPOISHIA
“Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud.

Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama
“Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika
“Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa” Ilikuwa sauti ya mwanaume mwingine kumbe ndo wamekuja kunikomboa saa kumi akati message nimetuma saa sita.

Wakipiga kelele mlangoni mi natekenywa taratibu naona kama wananisumbua

ENDELEA
Nilizidi kumkumbatia zaidi nambinulia hata sielewi, mara nikajisahau nikapiga kelele.
“Aaaj.....baby” Hii yote ilikuwa kwa sababu alinisugua kwenyewe.

“Wewe Anitaa” Alizidi kusumbua Mwenyeketi. Mimi nikawa nazidi kutulia ila kijana yule aliichomoa na kujilaza kando yangu

“Vipi?” nilimuuliza akanyosha mkono kumaanisha niwasikilize hao

“nani?” Niliuliza kwa nguvu hao watu waliokuwa nje

“Vipi, umeshalala?” Niliuliza

“Ndio” Nilisema kwa mkato

“Sawa, tumekuja kuthibitisha usalama samahani nilikuwa nimesinzia” mwenyekiti alijitetea

“Sawa hamna shida tutaongea zaidi asubuhi”

“Sawa”

Wale wanaume waliondoka nikawachungulia kwa dirishani walikuwa wanne. Nilipohakikisha wameishilia nilimpanda wangu kifuani na kuikalia imesimama kama mnara, niliendelea kuhangaika nayo, tulifanya hadi nikachoka mwenyewe

Asubuhi ilipofika tulioga vizuri ila niliogopa ejapo akija mtu pale nyumbani akamkuta itakuwaje, hata hivyo nilimficha chumbani mi nikawa ninamuandalia kila kitu kwa nje.

Nilitamani kupiga naye story ila ndo hivyo alikuwa kama vile ni bubu kabisa alikuwa hazungumzi.

Nilimuhudumia chai na chakula, kwani hela ya matumizi iliachwa na mume wangu nilikuwa na uwezo wa kutoa pesa kwenye akaunti yake ya benki.

Muda wa mchana kama saa nane hivi nilijisikia hamu ya kwenda kuburudishana naye, nilipomaliza kula tu nilijifunga kitenge kibichi na kwenda chumbani kumpatia alichokitaka.

Nilipofika chumbani nilichanganyikiwa, nilikuta amesinzia kitandani. Vitu vya ajabu vilikuwa vikimtoka.

Alikuwa ameweka mikono kama vile anapokea kitu fulani, licha alikuwa usingizini. Mikonono kulikuwa kunatokea maua ya aina tofaut tofauti ya rangi nyingi, yalipindeza kila yalipoota na kudondoka kitandani

Nilibaki namshangaa, nikaketi katika kochi dogo lililokuwa chumbani nikawa namuangalia huku nafikiria hivyo vitu cinatokeaje wakati sio vya kawaida

“Jerry” Nililitaja jina hilo ila hakuitika.

Ua rose lililmtoka mikononi, harufu nzuri ilitanda chumbani ndipo nikawa nawaza how comes anafanya vitu vya ajabu

Uoga wa kuwa naye pale ndani ulianza kutoweka nilipenda michezo yake ya utoto utoto. “Napenda ua rose jamani” Nilisema kwa sauti ndogo huku nikifuata mkononi na kujaribu kulishika ila likapotea
“Tokeza tena basi” Nilisema ila halikutokea Rose bali lilikuja la aina nyingine lenye harufu kali iliyonipa chafya tatu mfululizo
Ghafla vipepeo walianza kuingia ndani kufuata ile harufu ya maua nikashangaa
“Wewe amka vipepeo” Nilisema na kumtikisa akashtuka usingizini. Alinitazama kwa mshangao kucheki hivi kuna maua kadhaa.

Alionyesha uso wa furaha isiyo na kifani kiasi kwamba aliyashika halafu kila vipepeo walipoingia ndani ndo ilikuwa furaha yake, nilipendezwa naye.

Niliondoka ndani ya chumba na kuketi sebuleni nikashika tama na kuanza kuwaza kwamba naishi na nani ndani kwangu.

Niliiangalia biblia yangu ilipo ila sikuiona, hata sikushtuka sana nikageukia upande wa pili na kuishika simu yangu

Mawasiliano yangu mimi na yule Jerry mpya yalikuwa ya kwenye simu tu. Nilikaa nikawa nachati naye wakati niko sebuleni naye kajilaza chumbani. Nilifanikiwa kumuuliza maswali kadhaa

“Samahani Jerry wewe ni kijana Mzuri ila ninafikia mahali nakuogopa” Nilimtumia ujumbe

“Kwanini waniogopa?” aliniuliza kwa ujumbe mfupi

“Hivi vitu unavyovifanya ni vitu vya aina gani?” Niliuliza

“Oooh, mimi hata sijielewi” Alinijibu

“Hujielewi, kwanini? Kwanza ulisema wewe ni jambazi, jambazi gani mbona sikuelewi na ilikuwaje mpaka ukawa jambazi?” niliuliza

“Niliweza kuwa na maisha magumu sana kipindi cha nyuma nikaamua kuingia katika ujambazi kujipatia kipato, ni miaka 17 sasa nimetoka jela kwa msamaha wa rais, sina makazi” Alinijibu kitu kilichonishangaza

“Whaat?” Niliuliza

“Nisamehe kwa hilo”

“Haya masuala ya kuleta viumbe vya wadudu ndani inatokana na nini?”

“Sijui huu uwezo naupata wapi ila nilianza kuzoeana na wadudu wa aina mbalimbali katika misitu nikivizia magari usiku na mchana”

“Daaah....so una mpango gani?”

“Nasubiri siku yangu ya kufa, sina ndugu wala rafiki” alinijibu

“Mke na mtoto?” niliuliza

“Sijawahi kuwa na mwanamke kabisa wewe ndiye wa kwanza”

“Muongo toka” Nilisema huku nikiona ananidanganya maana alikuwa na ufundi usio wa mchezo.

“Kweli, ila Anita ninakupenda sana nataka uwe mke wangu”

“Kweli?”

“Ndio, nahitaji watoto”

“Tatizo nimeolewa na aliyenioa anafanana sana na wewe sijui kwanini”

“Oh, natamani nimuone......”

“haha”

Tulitaniana sana, ilifika mpaka muda wa jioni saa moja kasoro, nikawa nje nasonga ugali kwenye jiko la mkaa barazani, ghafla nikaona taa za pikipiki ikiingia kwangu.

Nilishtuka na kutazama kwa makini isije kuwa ni mume wangu maana nilikuwa hatarini niko na mwanaume mwingine ndani

Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea

“Mke wangu Anita” Alisema Jerry huku akinifuata anikumbatie mimi nimebaki nimeganda kama sanamu sijui nifanyeje.
Alinikumbatia ila mimi sikuonyesha ushirikiano maana nilikuwa nina wasiwasi sana akiingia ndani itakuwaje maana atamkuta mwanaume mwenzake......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06



MR. AB

TULIPOISHIA
“Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud.

Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama
“Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika
“Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa” Ilikuwa sauti ya mwanaume mwingine kumbe ndo wamekuja kunikomboa saa kumi akati message nimetuma saa sita.

Wakipiga kelele mlangoni mi natekenywa taratibu naona kama wananisumbua

ENDELEA
Nilizidi kumkumbatia zaidi nambinulia hata sielewi, mara nikajisahau nikapiga kelele.
“Aaaj.....baby” Hii yote ilikuwa kwa sababu alinisugua kwenyewe.

“Wewe Anitaa” Alizidi kusumbua Mwenyeketi. Mimi nikawa nazidi kutulia ila kijana yule aliichomoa na kujilaza kando yangu

“Vipi?” nilimuuliza akanyosha mkono kumaanisha niwasikilize hao

“nani?” Niliuliza kwa nguvu hao watu waliokuwa nje

“Vipi, umeshalala?”...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/yenye-kirungu-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi yenye-kirungu-sehemu-ya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

544
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

483
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

468
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

448
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

247
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

228
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

190
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

139
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

95
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest