Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na furaha.kumbe ananifanya mjinga sio mwanangu apo nalia kabisa. Dada akaja kanmbia plsss haji usilie hali yako haipo saw usilie basi kaka nyamaza aya yataisha tu. Niliumia sana. Nilisema mama mi uyu mwanamke simtaki tena . Simuhitaji tena. Ahaaa mke wangu akatambaa na magoti mpaka kwa mama akamwambia mama nisamehe na niombee msamaha kwa mume wangu . Mama nimewakosea nyote ila naomba sana mnisamehe. Mama akawa kabaki kimyaaa. Aseee akamnyanyua mke wangu akatoka nae ndani. Mimi uku ndani nikabaki na dada. Akawa ananituliza na kunambia nitulie na kila kitu kitakaa sawa .nikasema dada mm na fatuma basi yani simtaki. Dada akanmbia hapana usiifanye haraka . Mimba inaingia siku moja mdogo wangu. Labda siku ambayo anachepuka ndo kapata mimba. So usifanye hasira . Tumia busara kaka kwa sasa

Aseee dada alinituliza sana mm. Mpaka nikalala kwenye miguu yake. Sikuwa sawa. Kabisa na hii siku mm nikalala na dada akiniangalia kwa upendo mno. Nadhani na mke wangu alilala na mama na kesho yake asubuh. Dada ndo alinihudumia kwa kila kitu. Aseeee nilikuwa na hasira sana na mke wangu. Hakuja chumbanai kama siku 3. Anakuja mama na dada. Uku wote wakinipoza nishushe hasira tuyaongeee. Siku ya nne ndo nikatoka sebleni mana watu wa kazini walikuja kuniona na nilipewa miezi 2. Kujiuguza kwanza. Ila mshahara unajngia kama kawa. Basi ikakata week ndani mm siongei kabisa na mke wangu. Ila mam anampenda sana akaanza kumuombea msamaha kuwa nimsamehe na niludishe moyo .ila niligoma.

Na week end lemi piah alikuja kuniona na tulipata private ya kuongea . Aliniuliza unafikilia nn. Nikasema nataka kumuacha. Akaniuliza humpendi fatuma kwa sas. Unaweza kuishi bila ya fatuma mh apo ni kipengele na mpenda sana uyu mwanamke nikasema ntajitahidi. Lemi akanmbia hakuna cha kujitahidi. Nyumba zina siri sana. Sio kila mtoto wa katika familia basi ni baba anayemlea ni kamzaa .we kama unahisi bado unampenda mke wako. Usimuache .ayo mambo aliyafanya mdaa. Sio sasa. Msamehe na lea mtoto. Ila mpe jamaa uhuru wa kuwa na mwanae kisha ww tafuta wa kwako sasa. Nikasema sawa ntaayaangalia ayo kama ntayaweza. Basi lemi alishinda mpaka jioni kwangu tukiongea ongea. Ndo kama alikuja kunitoa stresss mwanangu. Na jioni akaondoka kuludi dar

Apo mke wangu akiniona mpka anatetemeka mana anajua hatma yake ni taraka na simtaki. Ila sio kweli mk mke wangu nampenda kinoma.zilikata week 3. Mi nikawa naendelea vizuri kabisaa. Na wazazi sasa wakataka kuondoka apo ndo tukawekwa kikao. Mama aliongea sana na mimi. Alinambia kua nimsamehe mke wangu . Mana mke wangu ananipenda sana . Na bado ananihitaji sana . Mengine ni makosa tu. Yanatokea hivyo ni msamehe na nisimuache.mi sikumjibu kitu mama nikaingia zangu chumbani. Nilikaa sana uko mpaka usiku saa 5 ndo mke wangu akaingia tena anogopa sana. Nikamungalia kisha nikamwambia muache alex amleee mtoto wake. Mimi na wewe tutatafuta wetu. Akapiga magoti uku analia . Akanmbia nisamehe mume wangu . Nimekosea sitaludia tena .nikamuinua mke wangu nikamkumbatia . Nikasema nimekusamehe mke wangu. Ngoja tupambane na maisha . Akwa analia na mimi nalia. Tukakumbatiana na nikamsamehe mke wangu . Sababu nampenda bado.

Na kesho yake niliwambia kabisa wazazi kuwa mm nimemsamehe kabisa mke wangu. Mam akafurahi sana . Akanitia moyo mnoo. Basi wakatwambia maneno ya mungu na ya busara mnoo. Basi bwana . Asee ndo nikajua kweli mama na dada wanampemda sana fatuma.basi Wao baada ya siku 3 wakakidi babati na sisi tukabaki kuendelea na maisha ..safari hii mke wangu aliongeza heshima na unyenyekevu sana. Yani alikuwa ananonesha kunijali sana. Na kuniitii kwa kila kitu. Ni kweli nimekubali kuendelea nae uyu mwanamke ila kila nikikumbuka araina sio mwanangu roho na moyo vinauna sana .nahisi kuchanganikiwa kweli kweli jamani.

Basi nikapambana mpkaa ikakata mwez mi nikapona kabisa na nikaanza kazi. Aseeee nilikuwa naendelea na maisha ila nilijikuta upendo kwa mke wangu unaisha kila siku. Na bado naona nakuwa sina imani nae tena. Mapenzi yale kama mwanzo nikawa sina. Niliona najichosha mnooo. Yani sana . Unajua nikawa namuona ni mwanamke msiri sana.nikawa nahisi uwenda ata kuna mengine anaficha uyu zaidi ya aya. Na roho ikawa inauma sana. Basi maisha yakawa yanaendelea yeye akizidi kunipenda.ila mm mhh imani kwake ilishashika. Niliona sina haja ya kujifosi mimi. Mana ata kumtomba nilipunguza mno. Yani sikuwa na mood nae tu

Siku iyo nililudi nyumbani . Siku ya ijumaaa .nilimwambia leo tunasafiri tunaenda babati nataka tukongee na alex kuhusu mtoto wake. Ahaa mke angu navyoniheshimu kwa sasa akakubali haraka. Na nikampigia simu mama kuwa mi nakuja apoo na familia yangu tuna mazungumzo na alex. Mama akasema sawa. Basi bwana apo nilishanunua gari nyengine nzuri tu. likuwa yangu sasa mana ile niyopatia nayi ajali ilikuwa ya kampuni . So nikanunua chuma yangu sasa. Basi mke wangu wala hakuwa na presha .akajiandaa haraka harka. Mwanaume nikakanyaga mafuta . Tukiwa na mtoti wetu mpaka sa 7 usiku si tupo babati. Kwa hii siku tukalala kwa bi mkubwa. Asubuh na mapema. Nilimwambia mama nna kikao.ila nataka na wazazi wa mke wangu wawepo apa. Mke wangu akaniuliza unataka kuwaeleza wazazi kuhusu mtoto nikasema.ndio lazima wajue . Ili tumpe amani alex ya kuwa na mtoto wake na sisi tuendele na maisha yetu

Kweli mama akawpigia simu wazazi wa mke wangu na wakaja nyumbani pale. Mam ake na fatuma alipofika akanifurahia sana. Si anajua mkwewe ni boss na vipesa nampaga. akasema mbona mmekuja gafra jamani ata hamjasema . Nikasema mama sababu tuna mogezi mazito. Asee fatuma alikuwa kimya nikajua ni aibu sababu wazazi wake watasikia upumbavu wake apa. Basi mi nilielezea uhalisia jinsi ilivyo. Kuwa mimi araina sio mwanangu ila ni wa kijana mmoja yupo apa apa kijijini anaitwa alex. Aseee wazazi wa fatuma walishangaaa wakataka kuanza kumsema. Nikasema hapana mtamsema baadae ila mm nimekuja kufanya maamuzi. Nikaona mke wangu kaningalia. Nikasema fatuma nisamehe kweli nilikupenda sana.ila kwa hili nimeshindwa kusamehe kuanzia leo ww sio mke wangu. Nilishaziandika na tarakaa zake 3. Nikampa pale pale. ( JICHUNGE SANA MWANUME ASAMEHI USALITI) asee maamuzi yangu yalishangaza kila mmoja. Mama akasema haji kwanini ..... kabla hajaongea sikutaka kuendelea nikasema mama aya ni maaamuzi yangu naomba yaheshimiwe. Nikatoa bahasha ya pes ailikuwa na miliona 10. Nikampa fatuma nikamwambia hii ni pesa ni milion 10 utaanzia maisha mimi na ww tumefika mwisho wetu . kisha sikutaka descusssion.nilimuacha kila mtu kashangaa.nikatoka ndani nikaingia ndani ya gari .nikaanza safari ya kurudi moro. Asubub hio hio.nikihisi amani na nimetua mzigo mzigo moyoni


Mwishooooo
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45




Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na furaha.kumbe ananifanya mjinga sio mwanangu apo nalia kabisa. Dada akaja kanmbia plsss haji usilie hali yako haipo saw usilie basi kaka nyamaza aya yataisha tu. Niliumia sana. Nilisema mama mi uyu mwanamke simtaki tena . Simuhitaji tena. Ahaaa mke wangu akatambaa na magoti mpaka kwa mama akamwambia mama nisamehe na niombee msamaha kwa mume wangu . Mama nimewakosea nyote ila naomba sana mnisamehe. Mama akawa kabaki kimyaaa. Aseee akamnyanyua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-44-na-45

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

476
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

413
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

390
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

361
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

303
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

174
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

149
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest