Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
Gonga94 · Stories

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.................

Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka"

Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia ndani ,,basi nikapeleka yote ndani kisha nikaenda sebleni ili niulize wanahitaji kinywaji gani .

Ajabu nikashangaa kuona Shuu anawaletea🤔 , sikutaka kusimama nikapita na kuingia jikoni dakika mbili nyingi akaja na kuniuliza .

"Ulikuwa na ratiba ya kupika nini leo?"

Nikajibu " wali na samaki "

"Hapana achana na samaki ,tutapika wali kuku alafu tutengeze na juice ya matunda"

🤔tu!!huyu kuingiwa na jini mpenda kazi au nini kimempata mbona anaanza kujishughulisha hivi🤨🤔.

Niliwaza na kuitikia sawa ,nikaona anafungua friza na kuanza kuchagua kuku mkubwa kuliko wote, alipompata akamtoa na kusema.

"Utaanza kuandaa viungo mapema na akiyeyuka tu niite, alafu kingine nisikuone ukijipitisha sebleni maana mnakuwaga kama wachawi😒."

Nikajibu sawa akaondoka ,nikabaki nawaza nipitie wapi ili niingie chumbani nikakunje nguo maana nishapewa onyo nisipite sebleni na hakuna sehemu nyingine ninayoweza kupita tofauti na sebleni.

Niliwaza mwisho nikaona eeeh nisiichoshe akili yangu embu nitulie mie ☺️, basi nikaka mda ulivyo sogea kidogo nikaanza kuandaa viungo.

Bibie heka heka kwake zikawa haziishi mara aje achukue tissue mara hiki mara kile yaani ikawa ni full mizunguko😁.

Basi bwana mda wa kupika ulifika nikamuita akaja ,hapo najua anakuja kupika yeye ajabu anafika anasimama pembeni🤨.

Nikamuuliza " utaanza kupika nini?"

Akajibu "nitaanza kupika nini ukimaanisha nini ,we pika hapo "

Eeeh hii kali ,sasa anakuja huku kujifanya anapika ili iweje kwa mfano 😒, niliwaza na kuanza kupika akawa na kazi ya kunambia kuwa makini usije kupika vibaya.

Nilipata hasira nikajikuta namjibu " we kwani shida yako nini kama unataka kizuri siushike chungu 😒"

Kujibiwa hivyo akachukia ila kuongea ndo akawa hawezi yaani akitaka kufoka anafoka kwa vitendo😁nikaona ahaaa nimeshaona huyu anataka huyo baba sijui kaka ajue kuwa yeye ndo kapika😁.

Sasa ngoja nicheze michezo ya kitoto 😊,nikaanza kujiongelesha hiki chakula cha leo sijui kama kitakuwa kizuri , akasema jitahidi kiwe kizuri.

Nikamwambia si hadi kiwe maana mikono imechoka na hivi vyakula vya kiswahili me hata sivijui ila haina shida mgeni mwenyewe anaonekana mtu poa sana .

Kusikia hivyo akaanza kujishughulisha kwanza akachukua juice akamimina glass mbili moja akanipa ,akawa anajaribu kunipigisha story ,naona alitaka kunifanya nisahau kama ananifanyiaga uduanzi. 😒

Nikawaza sijui nimfanyie ujinga nitoe vyakula vibaya ila nikaona hapana sio vizuri kucheza na chakula, basi nikapika kwa moyo safi kabisa.

Na kilipokuwa tayari ,akaenda kuoga mda huo wageni wake wakafika nikawapa vinywaji kisha na mimi nikaenda kuoga .

Sasa nilivyo maliza tu ile nataka nivae akaja na kunipa gauni na kunitaka niivae , nikapokea akaondoka nibaki naangalia hilo gauni alilonipa .

Jamani ilikuwa kubwa alafu rangi yake mbayaa 😐 nikataka nisivae ila nikaona haina haja ya kutibuana mtu usiku huu maana najua nisipovaa ataniletea maneno mengi.

Basi nikavaa kichwani nikafunga kitambaa changu safi na kwenda jikon, nikamkuta tayari kashaweka chakula kwenye mahotpot.

Si nikataka nipeleke dining wee nilirudishwa haraka na kuambiwa nikae jikoni humo humo , bila kubisha nikakaa akafanya kila kitu mwenyewe.

Na alivyo maliza watu wote wakasogea mezani ,nikasikia yule mwanaume ananiulizia Shuu akamjibu kuwa nimeshiba ,basi wakapakua chakula na kuanza kula .

Alvin alivyo na makusudi akaniita ,ile nimeitika tu Shuu akamuuliza "amepumzika vipi unataka nini nikuletee?"

Alvin akajibu " ningetaka uniletee nisinge muita " baada ya kumjibu vile akaniita tena ,nikainuka na kwenda kufika akanambia naomba uniletee glass nyingine hii rudisha"

Nikajibu sawa na kuchukua ile aliyotaka niirudishe kisha nikaenda kumletea nyingine, kufika nikampatia ,sasa ile nimegeuka niondoke yule mwanaume akaniita "Wardah"

Nikageuka na kuitikia "abee "

Akasema " kwanini tunakula wewe ukiwa umejificha unajua sio vizuri eeh??"

Nilitabasamu na kumjibu"samahani kama itakuwa ni kosa ila huwa nakula mapema sana"

"Ooh ni mambo ya diet, ila kuwa makini usije kupata shida "

"Sawa asante " nilijibu na kuondoka huku nyuma akabaki ananiangalia Shuu akamshtua kwa kumuuliza anakionaje chakula.

Basi waliendelea kula na baada ya kumaliza nikaenda kutoa vyombo, Shuu akanizuia kuwa atatoa mwenyewe mie ninani nikatae kusaidiwa😊

Bila kuongeza neno nikarudi jikoni na kutulia akatoa vyote na kusafisha meza alivyomaliza akaungana na wageni wake wakapiga story baadae mda ulivuo enda wakaaga kuondoka.

Sasa yule mwanaume si akaniita tena bhna , me nae nikainuka na kwenda kufika pale akanambia" me naondoka bhna nikaona si vyema niondoke bila kukuaga "

Nikatabasamu na kumwambia "Asante na karibu tena "

Akajibu " Asante na kabla sijaondoka naomba nikwambie kitu "

Shuu kusikia hivyo mishipa ya shingo ikamsimama nikaona ananiangalia kwa jicho Kali, me nikaishia kutabasamu tu sa ningefanyaje eti hata kama unge kuwa wewe ungefanyaje.

Hakuna chakufanya zaidi nikasubiri kuwambiwa hicho kitu , mwanaume yule akasema "una rangi nzuri sana itunze usije iharibu "

'"Asante " nilijibu akaondoka mimi nikarudi jikoni ,Shuu na mama yake wakamsindikiza hadi nje akaingia kwenye gari na kuondoka.

Sasa kitendo cha yule mwanaume kuondoka tu Shuu alikuja kuniwashia moto balaa , sikuwa na chakujibu zaidi ya kuinamisha kichwa chini .

Akafokaa wee alivyo choka akaondoka na mimi nikaingia chumbani kwangu na kulala, siku ikaisha ilipofika kesho yake jioni Aunt Vero nae akarudi .

Nikampokea mizigo na kupeleka chumbani kwake, kurudi sebleni nikakuta anaongea na boss mama shuu na maongezi yao yalikuwa ni kuhusu kazi zao.

Sikuwa na kitu cha kufanya nikae pale hivyo nikaenda zangu jikoni , mda ukaenda saa zikakatika siku hiyo nayo ikapita .

Sasa kesho yake mida ya jioni tukapokea ugeni wa mdada ,ambae nilikuja kufahamu kuwa ameletwa kwaajili ya kule kazini kwao maana binti aliekuwepo kaondoka.

Basi nilifanya majukumu yangu na baada ya chakula kila mtu akaingia chumbani kwake , sasa mimi kabla ya kulala nikakumbuka sijashusha pazia ya jikoni.

Hivyo nikatoka kwenda jikoni ,ile nafika karibu na chumba cha boss nikasikia wanaongea na kutaja jina langu ,nikawaza hawa watakuwa wanaongea nini.

Embu ngoja nisikilize usikute wananipangia mbinu za kuniangamiza maana sio kwa kunong'ona huku, bwana we nikajibana .

Aunt Vero akasema " hapana sidhani kama Wardah atafaa kwa kazi ile "

Boss akamjibu " kwanini asifae na kuliko apelekwe huyu bora aende Wardah maana huyu aliekuja hana muonekano hata kidogo.

Zaidi tukimpeleka tutapoteza wateja kitu ambacho sitaki kitokee "

"Kuhusu Wardah hapana ,we kama unaona huyu hafai basi arudi kwao tutatafuta mwingine "

"Arudi kwao na hela yangu ya nauli iishie chini ? Na kwanini unamkingia kifua Wardah kwasababu hii si mara ya kwanza nataka kumpeleka unakataa .

Kwani shida iko wapi ?"

"Shida ipo shoga angu Wardah bado ni mdogo na pia anaonekana amelelewa kwenye misingi ya dini sana hivyo ningeomba umuache tu"

"Mdogo , msingi ya dini? Yote hayo yanahusiana nini na mimi au yeye sio mwanamke? Maana tunachokitaka ni mtu mwanamke tena mwenye muonekano wa kuvutia kama alivyo yeye.

Sasa nashangaa unapinga ,we sikia kwanzia kesho nitaanza kutoka na Wardah, huyo aliekuja ndie atabaki na majukumu ya humu ndani basi "

"Kama umeamua haya ila mi naona angebaki tu "

"Abaki iliiweje bwana wewe ,yaani mtu anakila sifa ya kazi alafu abaki si ushamba huo ,embu nipishe nilale zangu mie"

Walimaliza kuongea haraka nikarudi chumbani kwangu kwa kunyata nikafika na kufunga mlango taratibu kisha nikaka kitandani, kichwani nikabaki najiuliza maswali watanaka kunipekea wapi.

Na hiyo kazi ni kazi gani ambayo huyo alieletwa haimfai ila mimi🤔, niliwaza mara mlango ukafunguliwa akaingia...........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08


SONGA NAYO.................

Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka"

Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia ndani ,,basi nikapeleka yote ndani kisha nikaenda sebleni ili niulize wanahitaji kinywaji gani .

Ajabu nikashangaa kuona Shuu anawaletea🤔 , sikutaka kusimama nikapita na kuingia jikoni dakika mbili nyingi akaja na kuniuliza .

"Ulikuwa na ratiba ya kupika nini leo?"

Nikajibu " wali na samaki "

"Hapana achana na samaki ,tutapika wali kuku alafu tutengeze na juice ya matunda"

🤔tu!!huyu kuingiwa na jini mpenda kazi au nini kimempata mbona anaanza kujishughulisha hivi🤨🤔.

Niliwaza na kuitikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 19
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 19
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
UTANIITA SHEMEJI   SEHEMU YA 20
UTANIITA SHEMEJI SEHEMU YA 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

1.01K
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

235
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

201
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

196
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

193
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

148
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

146
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

135
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest