Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
Gonga94 ยท Stories

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO..................


Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu.

Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka , baada ya kuondoka nikainuka na kukaa kitako , mawazo na maswali vilikuwa vingi kichwani mwangu na hakuna jawabu nililopata .

Mwisho nikajilaza na kuanza kuusaka usingizi, haikuchukua mda nikalala n kuja kuamka kesho yake alfajiri nikaingia jikoni na kuanza majukumu yangu ya siku.

Mda ulienda ikafika saa mbili Alvin akaja jikoni na kufika anasimama pembeni yangu, mimi kimya akawa ananiangalia mwisho akasema .

"Hatmae umeshinda mtihani wangu" alivyo sema hivyo nilimuangalia na jicho la upande kisha nikaendelea na kazi zangu, akatabasamu na kunambia .

"Bwanaee tusichukiane me nilikua naipima akili yako nione kama inakutosha , naona kweli inafanya kazi vizuri sana na kwa maana hiyo umefanikiwa kuwa rafiki yangu"

Bila kuinua uso nikamwambia " ingekuwa vyema kama ungechukua kilichokuleta ukaondoka maana unanitia uzito tu"๐Ÿ˜

"Eeeh usijifanye matawi sasa, me kuja kukwambia nilikuwa nakupima kusifanye ukaniona boya sawa ?"

"Kwani unashida gani?"๐Ÿง

"Ukiniangalia naonekana nina shida? Msichana embu acha kiburi kwanza nina habari mbaya juu yako ,fanya unavyojua mwezi huu uwe wamwisho kuwa hapa.

Maana mipango inayopangwa juu yako si rafiki kwa kesho yako , sasa jitie kiburi upuuzie ukianza kunyooshwa tu hakikisha unalilia uvunguni."

Maneno yake yalinifanya nikamuangalia kwa mshangao na kumuuliza " una maanisha nini kusema hivyo?"

"Achana na kumaanisha nini we kaa ukijua sehemu hii si salama kwa kesho yako kwa hiyo anza kujikusanya taratibu kisha potea kama mchawi ."

Aliongea nikataka kumuuliza ila nikasita baada ya kusikia sauti ya Madam boss akisema " nyie ndo upuuzi gani mnafanya ?"

Wote tuligeuka na kumuangalia , Alvin bila uoga akasema "kumbe kuongea nako ni upuuzi ? "

Madam akamjibu " ushaanza madharau yako ya kijinga ,we huoni kama anafanya kazi huyo ?"

"Naona ndio ila inayofanya kazi ni mikono si mdomo ndo maana unaona anaongea huku akiendelea, kwanza achana na gubu naona uko na dada mpya?"

Madam alisonya na kumwambia " embu tupishe huko, na habari za kuingia jikoni kama mtoto wa kike ukome "

Alvin hakujibu kitu akaondoka na kutuacha wenyewe, madam baada ya kuona Alvin kaondoka akaingia nikamsalimia akaitikia na kunambia.

"Kama kuna kazi ambazo hujafanya muelekeze mwenzako afanye "

Niliitikia sawa huku nikimuangalia yule binti ,madam hakuongeza neno akageuka na kuondoka na kuniacha na binti yule.

Bila kuchelewa nikamuonesha baadhi ya kazi ambazo zilikuwa hazijafanywa kisha nikarudi kuendelea na chapati zangu, ilivyo fika saa tatu na nusu nikaanda meza.

Na kuwaita watu wote mimi kama ilivyo kawaida yangu nikarudi zangu jikoni na kuchukua kikombe cha chai kisha nikakaa chini tayar kunywa chai.

Ajabu nikiwa nimepiga pafu moja tu madam alikuja na kunambia kwanzia leo nitaanza kula nao mezani ,nilishangaa mbona ghafla au ndo kashaanza mipango yake?.๐Ÿค”

Nikaona acha nianze kupangua mapigo mapema ,kwa upole nikasema " Asante madam ila nafurahi kupata chakula huku jikoni "

Nilivyo sema hivyo alikunja uso na kusema " sijaja hapa kukuomba hii ni amri ,haya amka haraka na hii iwe mwanzo na mwisho kukuona unakaa jikoni wakati wengine tukiwa mezani."

Sauti aliyoitoa hakuruhusu mimi kubaki nimekaa wala kuongeza neno ,haraka niliinuka na kutangulia mbele ,sasa yule binti mpya akataka na yeye kuja maana tulikuwa wote jikoni.

Ile anataka kuinuka tu akatulizwa " ๐Ÿ‘‰we baki hapo "๐Ÿฅบmasikini kinyonge akainamisha kichwa chini sisi hao tukaenda mezani.

Nafika tu Shuu akaachia sonyo na kusema " mmeshaanza kutia meza nuksi, sasa kulikuwa na haja gani ya kuileta hii simbilisi mezani ?"

Alvin kwa hasira akamjibu " alafu we๐Ÿ‘‰ choko wewe nilishakuonya kudharau watu eti simbilisi hivi umejiangalia vizuri? Lione sura mbaya kama mtoa roho za watu."

Shuu alitaka kujibu ila akakatishwa na madam na kuwataka wakae kimya๐Ÿค , basi nikavuta kiti na kukaa bila kuinua uso wala kupepesa macho yangu pembeni nikaanza kunywa chai.

Kimya kilitawala hadi tukamaliza kunywa chai,Shuu akawa wakanza kutaka kuinuka mara mama yake akamwambia " we Shuu utampeleka Wardah salon , uhakikishe anaoshwa nywele na kusukwa vizuri.

Akimaliza kusukwa utampeleka kwa yule kaka wa kucha nimeshampa maelezo yote "

Maneno ya madam yalimfanya Shuu akasimama kama amepigwa shoti na kwa sauti iliyojaa mshangao akamuuliza " umesemaje!!?"

"Kwani siku hizi unamatatizo ya masikio ? "

"Aaah kusikia nimesikia ila sijaelewa ,yaani hii taka taka ndo unataka niipeleke salon ili iweje na kwanini?"

"Shuu nadhani unanijua vizuri, sasa endelea kujitoa ufahamu na ninatoka nikirudi nimkute yuko hivi uone moto wake "

Shuu alichukia na kuondoka kwa hasira , madam nae akataka kuinuka Alvin akamuwahi kwakumuuliza " kwani mama mnataka kumpeleka wapi Wardah ?"

Madam bila kujibu aliinuka na kupiga hatua mbili Alvin akamuita " Mama " kwa hasira madam alisimama na kumgeukia Alvin na kumuuliza.

" Kwani Alvin unashida gani?"

"Shida yangu nataka kujua kuna nini mbona ghafla tu unataka kumjali mtoto wawatu "

"Kumbe unajua kuwa namjali sasa kujali nako ni tatizo ? Na kwanza mambo yangu hayakuhusu kwa hiyo funga domo lako na uishie kutazama "

Alvin alitabasamu akainuka na kusema " natumai hauna mpango wa kumpeleka kwenye uchafu wenu ?"

"Uchafu wetu!!? Okay tusema ndio nataka kumpeleka kwa hiyo utafanya nini au inakuhusu nini wewe?"

"Nilijua tu huwezi kukaa na amani kuona mtoto wa mwanamke mwenzio akiishi maisha mazuri.

Sikia mama kwa heshima yote ninaomba msimuingize mtoto wawatu kwenye maisha yenu ya kipuuzi , Shuu umemuharibu inatosha ila huyu muache kama alivyo "

"Umesema!!?"

"Umenisikia , Wardah hutaenda kokote unanielewa?"

Nilishindwa kuelewa niitikie ndio au nikae kimya maana sikuwalewa wanazozana kuhusu nini ,naona akili yangu bado ilikuwa gizani.๐Ÿ˜ฅ

Basi madam baada ya Alvin kusema hivyo alicheka na kusema " naona umeonesha ni kiasi gani unanidharau ,labda nikukumbushe kitu kidogo tu Alvin , mimi ni mama yako na hapa ni nyumbani kwangu.

Kwa hiyo maamuzi au kitu chochote ninachotaka ni lazima kifanyike kama ninavyotaka unanielewa we mpumbavu "

"Huna haja ya kunikumbusha ila katika hili nahofia kusema kwamba niko mbali na wewe ,Wardah hataenda kokote na kama umeona hafai kufanya kazi za humu ndani mrudishe kwao ."

"Alvin narudia tena m......"

"Ndio wewe ni mama yangu ila umama wako kwangu hauna maana yoyote kiasi cha kunifanya nikae kimya huku ukitaka kuharibu maisha ya mtoto wawatu.

Na nikuulize we ni mwanamke uliezaa kwa uchungu au ulitutoa kwa kupiga chafya? Kwasababu kila ninapokuangalia naingia katika tafakari yenye maswali yasiyo na majibu.

Mama kwa umri wako unapaswa kumtumikia muumba wako na kuwa mfano bora kwetu ila hamna zaidi uko bize kuwapeleka watoto wawatu kuzimu .

Au mwenzetu unachembe chembe za ushetani labda ndo maana hushtuki? "

"Alvinnnn๐Ÿ—ฃ"

"Haendi kokote๐Ÿ˜ก"

"Ha ha ha ha ha ,Vero unamuona huyu chizi aaah unamuona ๐Ÿ˜ , eee Mungu nitaua mtu mimi wallah Alvin ๐Ÿ‘‰ nakuita tena Alvin!! "

"Tuliza koo lako usije kupasua mishipa ya shingo maana imeshikilia laana hadi haina sehemu ya kupitisha damu "

Maneno ya Alvin yalimchefua madam akarusha mkono akitaka kumpiga kofi Alvin akaudaka kwa hasira na kumwambia " nakuheshimu kama mzazi laa ningeuvunja huu mkono kama kijiti cha kuzuia mimba , we Wardah inuka hapo"
Nikiwa nimejawa na hofu taratibu nikarudisha kiti huma ili niinuke mara madam akanambia " wewe๐Ÿ‘‰ole wako uinuke hapo ๐Ÿ˜ก"

Alvin nae akasema " Wardah nimesema inuka hapo ๐Ÿ˜ก" eeeh hii sasa kali ๐Ÿ˜ฅsasa hapa nisikilize yupi niache yupi?๐Ÿ˜ข

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09


SONGA NAYO..................


Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu.

Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka , baada ya kuondoka nikainuka na kukaa kitako , mawazo na maswali vilikuwa vingi kichwani mwangu na hakuna jawabu nililopata .

Mwisho nikajilaza na kuanza kuusaka usingizi, haikuchukua mda nikalala n kuja kuamka kesho yake alfajiri nikaingia jikoni na kuanza majukumu yangu ya siku.

Mda ulienda ikafika saa mbili Alvin akaja jikoni na kufika anasimama pembeni yangu, mimi kimya akawa ananiangalia mwisho akasema .

"Hatmae umeshinda mtihani wangu" alivyo sema hivyo nilimuangalia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 18
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 18
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 19
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 19
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
UTANIITA SHEMEJI   SEHEMU YA 20
UTANIITA SHEMEJI SEHEMU YA 20
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

972
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

223
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

196
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

174
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

125
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

108

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.59K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest