Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
Gonga94 · Stories

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO..................

Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔

Niliwaza sana mwisho nikageuka na kuendelea na kazi zangu, dakika zikakata nikamaliza kuandaa vitafunwa bila kupoteza mda nikaandaa meza na kuita wote waliokuwa chumbani .

Siku hii madam boss pamoja na aunt Vero walikuwa hawapo hivyo Shuu pamoja na rafiki zake wakasogea mezani Alvin nae hakuwa nyuma .

Sasa kwakua huwa siungani nao mezani nikapiga hatua kuelekea jikoni maana huko ndiko ninapopatiaga chakula, ila kabla sijafika Shuu akaniita nami bila kusita nikaitika na kurudi mezani.

Kufika akanambia " kwa hiyo unataka tujipakulie ?" Swali lake lilinifanya nikamuangalia usoni kwa mshangao sana, maana hakuna siku niliyowahi kufanya kitu kama hicho.

Nilitamani kumuuliza huenda labda anatania ila nikapotezea na kusema " samahani nilihisi mtapakua wenyewe " niliongea huku nikivuta chupa la chai na kumimina kwenye vikombe vyao.

Akabaki ananiangalia kwa jicho la hasira sana, me sikutaka hata kuongea au kufanya chochote kitakacho mpa nafasi ya kuongea ,zaidi niliwahudumia kisha nikauliza kama kuna lingine.

Wakajibu hapana nikageuka na kuondoka ,kufika jikoni nikamimina chai na kukaa chini nikaanza kunywa taratibu, sekunde zilisogea nikawa natazama chai na vitafunwa .

Nikajikuta nikizama kuwafikilia ndugu zangu ,ni siku zimepita sasa sijaongea nao sijui hali yao ikoje na sijui kama wanapata chakula kwa wakati 😪
Kwa mara nyingine niliangalia kikombe cha chai na kukumbuka namna mdogo wangu Shamsa anavyopenda chai ,nikatamani walau ningekuwa nae nikamuona namna anavyo kunywa huku akitabasamu 😪.

Lakini niko mbali na hata kama ningekuwa karibu sijui kama tungeipata maana maisha yetu ni duni sana 😪, niliendelea kunywa chai huku nikiwafikilia zaidi ndugu zangu.

Hadi pale nilipomaliza nikainuka na kufuta machozi kisha nikaenda kutoa vyombo, bila kuongea neno nilianza kukusanya sahani kwa pamoja kisha nikabeba ili nipeleke jikoni mara Shuu akaniita na kusema.

"Kwa mara nyingine kichwa kubwa unataka uwe unakumbushwa kila kitu, kwa hiyo watu tuinuke bila kunawa ili tuwe wachafu kama wewe?"

Nilisimama kwa sekunde kadhaa bila kugeuka , kinyonge nikageuka huku uso ukiwa unaangalia chini na kusema " samahani ngoja nipeleke hivi vyombo jikoni kwanza alafu nakuja ."

"We bwege nini,,kwa hiyo tukae kukusubiri wewe hadi upeleke hivyo vyombo kwamba huwezi kutunawisha ndo ukavipeleka au umeanza kuota pamembe.

Maana hamchelewagi, mkishaona mnaanza kung'aa tu kosa vichwa vinaanza kuwavimba embu rudisha kwako zako hapa utunawishe kwanza ,lione kubwa zima akili zero."

Bila kuongea neno nilirudi nikaweka vyombo mezani na kutaka kwenda jikoni kuchukua jagi pamoja na kibeseni kidogo kwaajili ya kuwanawisha .

Kwa sauti ya ukali Shuu akaniita " we mbwa wewe unaenda wapi😡 !?"

"Samahani naonda kuchukua jagi na beseni ili niwanawishe "

"Kwa hiyo unaenda jikoni na bado unarudisha hivi vyombo hapa kwamba tupige navyo picha ama ubongo wako umeingia maji?😡"

"Samahani 😔" niliongea na kuvichukua vile vyombo Kisha nikaingia jikoni huku nyuma akabaki anasema " yaani miwatu mingine kama mitahira ,eti linatuachia mivyombo michafu lione lilivyo kama nguruwe pori mfyuuu😏"

Alvin hali akiwa kimya aliinuka taratibu na kusogea lilipo sink la kunawia akanawa na kurudia simu yake mezani kisha akapiga hatua kuelekea kilipo chumba chake .

Kabla hajafika mbali Shuu akasema " eeeh uendelee kukaa kimya hivyo hivyo sio ujifanye baba mwenye nyumba kuingiliwa mambo ya kike "

Alvin aligeuka akamuangalia Shuu kwa sekunde kadhaa bila hata kuongea kitu akaondoka na kuingia chumbani kwake .

Mnyonge mie nilichukua maji na kwenda nikaanza kuwanawisha mmoja baada ya mwingine , nilivyo mfikia Shuu akanyoosha mikono huku akiniangalia usoni kwa jicho la dharau.
Bila kuongea neno nilizidi kuinamisha uso wangu chini ,taratibu nikamsogezea zaidi na kumiminia maji akawa ananiangalia tu bila hata kunawa .

Nikainua macho yangu na kumuangalia usoni akanambia " unaniangalia nini nisafishe kwa mikono yako na sio kunimwagia maji tu"

Bila kuongea niliweka chombo mezani nikashika mikono yake na kuanza kumuosha taratibu, akawa ananiangalia usoni huku akitabasamu 😔.

Sikuonesha kuchukia hata kidogo zaidi nikawa bize kufanya kile alichotaka na nilivyo maliza nikamfuta mikono vizuri kisha nikamuuliza " kuna kingine ambacho unahitaji nikufanyie!?"

Alitabasamu kwa dharau na kunambia "yeah kipo" aliongea huku akirudisha kiti nyuma na kusimama , nikahisi anataka kuondoka hivyo nikarudi nyuma kumpisha apite .

Ajabu alichukua maji machafu ambayo walishakwisha nawa akanimwagia nayo usoni na kunitupia kibeseni😔, niliinama chini na kukiokota akanikanyanga na mguu wake huku akisema.

" Nataka siku zote unapokuwa mbele yangu uwe hivi hivi unanielewa ??"

Nilishindwa kuzuia machozi ,nikajikuta nautazama ule mguu wake kwa sekunde kadhaa huku machozi yakinitoka , kwa sauti iliyojaa uchungu nikasema "sawa"

"Vizuri na kuna nguo chafu chumbani kwangu hakikisha unazifua na kuzikunja vizuri ,sasa jifanye chizi nirudi nikute hujafua uone nitakavyo ichakaza hiyo sura yako mbovu"

Aliongea na kutoa mguu wake kisha wakaondoka , sikuinuka nikabaki nimeshika chini vile vile macho yangu yakawa kuangalia namna anavyofurahia .

Moyoni nikasema iko siku haya machozi utakuja kuyarudisha, sijui itakuwa lini na nitafanyaje ila hii ni ahadi UTAJALIPIA .😡
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06


SONGA NAYO..................

Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔

Niliwaza sana mwisho nikageuka na kuendelea na kazi zangu, dakika zikakata nikamaliza kuandaa vitafunwa bila kupoteza mda nikaandaa meza na kuita wote waliokuwa chumbani .

Siku hii madam boss pamoja na aunt Vero walikuwa hawapo hivyo Shuu pamoja na rafiki zake wakasogea mezani Alvin nae hakuwa nyuma .

Sasa kwakua huwa siungani nao mezani nikapiga hatua kuelekea jikoni maana huko ndiko ninapopatiaga chakula, ila kabla sijafika Shuu akaniita nami bila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

MY WANGU❤️ sehemu ya 88

626
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘

515
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90

439
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

330
REAL LOVE  Chapter 13

REAL LOVE Chapter 13

150
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*

94
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06

21
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*

20
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

20
MY WANGU❤️ sehemu ya 93

MY WANGU❤️ sehemu ya 93

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.13K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.88K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 93 15-02-2026 08:00

****

  • MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 15-02-2026 17:40
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

REAL LOVE  Chapter 13 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 13
@majario LIVE

seven aliwasha gari na kuliondoa spidi njia nzima alikuwa akilalamika tu mtu unaiona hali yako lakini unakubari tu kufanya mikazi kwahiyo unataka kulazwa tena hospitari ishindwa kuomb hata sjmu kwa jirani umpigie...

MY WANGU❤️ sehemu ya 88 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 88
@majario LIVE

Mlige akaipasua ile simu kwa hasira. Akanmbia nilijua tu . Umebadilika sana faridah kumbe una mwanume ana pesa kunizidi sio . Mie nikasema nisamehe mlige acha nikuelezee. Mlige akafoka .akasema...

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest