Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
Gonga94 Β· Stories

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.................

Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu.

Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize na mambo yangu ,akaniangalia mwisho akasema ""umeona nilichokwambia lakini?""

Bila kumuangalia nikamwambia "unaongea kuhusu nini??"

"Acha kujifanya unaweza kupambana na mateso ,we sema neno moja tu nimekubali baasi yote nitayabeba mimi sawa mrembo wangu "" aliongea na kunishika bega jambo ambalo lilinikwaza kupita maelezo.

Bila uoga niliinua uso wangu nikamuangalia usoni kwa hasira sana na kushika mkono wake ulio begani kwangu nikautoa kwa nguvu na kusema .

"Alvin iwe mwanzo na mwisho kwako kunishika na kuongea upuuzi mbele yangu, na ndio nimekataa kuwa karibu na wewe kama ni mateso nipe ila kunishika sehemu yoyote ile ya mwili wangu ni kosa .

Na kama utaendelea kufanya huu ujinga utajua upande wangu wa pili ukoje mshenzi wewe "

Niliongea kwa hasira sana ajabu aliniangalia na kucheka sana kisha akasema "wow nimependa vitisho vyako,, ila unajua nini?? sikulazimishi kukubali sawa ,we fanya mambo yako kwa amani.

Ila kama utaona unanihitaji njoo nipo kwaajili yako,, kwa hiyo yote yanabaki juu yako "

Aliondoka nikabaki namuangalia kwa hasira sana, unajua mimi ni bora mtu anitukane au hata kuniweka kofi nitavumilia ila si kunifanyia uzalilishani kwa kuuchafua mwili wangu.

Hapo siwezi kukaa kimya, sasa naona huyu Alvin anataka vita na mimi na kwa mikono miwili hii vita nimeipokea shenzi zake πŸ˜’.

Basi bwana niliendelea na kazi zangu siku ikaisha ,kesho yake tena kama kawaida nikaamka na kupiga kazi ilipofika jioni nikaingia chumbani na kupumzika kidogo.

Baada ya kupumzika nikaingia bafuni na kuoga nilivyo maliza nikatoka na kuanza kuangalia nguo ya kuvaa ,mara mlango ukafunguliwa.

Nilishtuka nikizania ni Alvin hivyo nikainama kujificha maana nilikuwa uchi, ila baada ya mlango kufunguliwa akaingia Shuu na shoga ake .

Walivyoona nimeinama Shuu akasema " embu inua milonjo yako hapo, eti unajificha unakitu gani cha maana hadi ujifiche?😏 "

Bila kuongea neno niliinuka na kusimama kusikiliza wanataka nini ,nikashangaa hawaongei zaidi wako bize kuniangalia , nikaona mmmh embu nijifunike mie maana dunia ishaota miguu.

Nikavuta shuka na kujifunika ndo nikaona Shuu anaangalia pembeni kwa aibu ,rafiki yake akamshtua kwa kumwambia aniambie kilichomleta ili waondoke .

Bibie kuambiwa hivyo akajifanya anakohoa na kusema " wewe leo mama atakuja na mgeni so upike chakula kingi na sio mama tu hata mimi nina wageni wangu sasa kazana kukaa uchi uchelewe kupika"

Niliitikia sawa wakaondoka ,me nikaendelea kuangalia nguo .

Sasa baada ya wao kutoka chumbani kwangu walienda hadi sebleni wakakaa ,mara rafiki yake Shuu akasema " mmmh ila Wardah anashape nzuri balaa, yaani tumbo kama hajawahi kula ,kifua sasa ni saa tano kasoro maana sio kwa dodo lile .

Unajua nimejikuta naganda kumtazama moyoni nikasema kweli kuna watu waliumbwa halafu kuna sisi hapa tukinywa maji glass moja tu tumbo linakuwa kama tumemeza puto. "

Shuu alichukia na kumwambia " kwa hiyo unataka kusema nini kwa mfano?"

"Nataka kusema nini ukimaanisha nini dada??,, halafu mbona kama umechukia 😁 "

"πŸ™„Aliekwambia nimechukia ni nani 😏, na kwanini nichukie ile hali jitu unaloliongelea ni bovu kama hoho iliyooza"

"Weeee shoga angu pale huingii, kwa Wardah aaah uko nyuma sana hivi umemuangalia vizuri lakini au unamuangalia kwa jicho la husda.

Dada binti wawatu kanyooka kama rula,, si sura si rangi si kifua wala shundu vyote hakuna unachomzidi na hivyo unavyo muona ndo hajajua kuoga .

Ee jiji bado halijampokea subiri ajue kujitunza uone ,yaani utakuwa unapitwa kama kigagula wala wakukuangalia hatakuwepo .""

"Eeeh basi maana naona unajimaliza 😏"

"Niukweli sio kujimaliza pale hufui dafu dada"

"We nae sinimesema basi au ndo unataka tukelane basi 😑"

"Aaah haya dada nimefunga mdomo🀐" wote walikaa kimya , huku kwangu nilimaliza kujipaka mafuta nikatupia kijora changu cha elfu sita huyo mdogo mdogo kuelekea jikoni.

Nikapita sebleni bila hata kuongea neno kwa sauti ya chini nikasikia rafiki yake Shuu anasema " ona hapo liko kwenye dera ila unaona mzigo unavyoenda "

Shuu alimkata jicho na kusema " Sasa hiyo nayo ni shape ya kukufanya umlinganishe na mimi? Huyo anatako sio shape"

"We unalo 😁 aaah tusiende mbali shape sio tako ndio ila we unalo?πŸ˜† na usijifariji we kubali tu humfikii"

"Umetumwa eeh 😑maana unaropoka ropoka tu kama umempenda nenda kaongee nae unitolee uchuro hapa😏"

"HahahahπŸ˜† haya nimekaa kimya🀐 "

Shuu hakutaka kuendelea kukaa akainuka na kuchukua pochi yake kisha huyoo akaondoka, rafiki mtu nae akainuka na kumfuata.

Wakatoka nje na kusimamisha bajaji wakaanza safari yao , karibu njia nzima walikuwa kimya mwisho Shuu akavunja ukimya na kumwambia rafiki yake.

"Hivi rafiki yako bado ana mawasiliano na yule dada anaeuza dawa za kuongeza shape ?"

Rafiki mtu kusikia hivyo alimuangalia Shuu na kumuuliza " ndio bado wanaongea kwani unamtaka ??"

"Achaga kuuliza maswali ambayo unamajibu nayo, we nipe namba za huyo rafiki yako nijue nampataje yule dada basi "

"Subiri kwanza ,,Shuu unataka kuongeza shape udugu wangu!!?"

"Kwani kuna shida gani au ni mwili wako"

"Kheee makubwa πŸ˜†yaani nilijua umekuwa ila bado akili za kitoto hazijaisha,, yaani kisa Wardah ndo unataka uanze kunywa midawa eti unaongeza shape?"

"Alafu Esma naona leo unataka kunitibua , kwani sangap nimesema nafanya hivi kwasababu ya yule mpuuzi😑 ?"

"Hakuna Shuu nakujua vizuri ndugu yangu ,hapo roho yako inakuuma kuona mwenzio anasifiwa ,labda ni kushauri kidogo tu jikubali na ujipende kwa jinsi ulivyo.

Hayo mambo ya wivu yatakuja kuua bure na usifikiri utaja kunywa au kufanya kitu ikafanana na yule binti ,yeye mwenzio kaumbwa vile hata ukisema leo ukamtoe lile shape lake bado kwa sura tu hutamfikia.

Haya nambie utaenda kufanya hadi surgery ya uso ?? Embu acha ujinga bwana "

"Esma narudia tena sifanyi kitu kwasababu ya mtu na kama hutaki kunipa namba za huyo shoga ako mchawi uache "

"Eeeh ukome kumuita shoga angu mchawi,mchawi ni wewe na roho yako 😏"

"Kwa hiyo umegoma kunipa namba ?🀨"

"Unanilazimisha 🀨!!"

"Eeeh ukitaka uache namba tu unataka kujifanya kama naomba figo😏"

"Ndo nishaacha ,dereva niache hapo hapo"

"Sasa unaenda wapi 🀨?

"Achana na mimi" dereva alisimamisha Bajaji Esma akashuka na kuondoka huku nyuma bibie Shuu akabaki anaita tu Esma hakuitika wala hakugeuka.

Kwa hasira Shuu akamwambia dereva bajaji ageuze ,, dereva hakuwa na neno akageuza kufika nyumbani akamlipa hela yake na kushuka huku akiwa amerefusha mdomo kama chuchunge .

Kwa mwendo wa haraka haraka aliingia ndani ya geti na kubamiza mlango kwa nguvu ,kisha akazunguka upande wa gardeni na kwenda kukaa.

Kwa mbali akaniona nikiwa bize kuanua nguo, aliniangalia kwa macho yaliyojaa hasira kali haraka akainuka na kutaka kunifuata mara honi ya gari ikasikika nje.

Akaishia kusonya na kwenda lilipo geti akafika na kusimama pembeni ,mlinzi akafungua gari likaingia na kwenda kunako maegesho .

Bibie akalifuata kufika tu mama mtu akashuka wakakumbatiana na kusalimiana kwa furaha ,maana mama mtu alikuwa hayupo nyumbani kama siku mbili hivi.

Basi mimi baada ya kusikia honi niliingiza nguo nilizoanua ndani chapu kisha nikatoka kwenda kupokea mizigo, nafika tu nakuta mama na mtoto ndo wanamaliza kusalimiana.

Nikaona mlango wa gari unafunguliwa akashuka mwanaume ambae kwa haraka haraka alikuwa kati ya miaka 30 hadi 35, Shuu alivyo muona mwanaume yule alikimbia kwa furaha na kwenda kumkumbatia.

Ajabu mwanaume yule hakupokea kumbato la Shuu akawa bize kuniangalia ,jambo ambalo niliona limemkwaza mama mtu Shuu nae kuona hajapokelewa aligeuza uso wake na kuniangalia kwa hasira sana.

Mtoto wawatu nikainamisha kichwa chiniπŸ˜”.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07



SONGA NAYO.................

Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu.

Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize na mambo yangu ,akaniangalia mwisho akasema ""umeona nilichokwambia lakini?""

Bila kumuangalia nikamwambia "unaongea kuhusu nini??"

"Acha kujifanya unaweza kupambana na mateso ,we sema neno moja tu nimekubali baasi yote nitayabeba mimi sawa mrembo wangu "" aliongea na kunishika bega jambo ambalo lilinikwaza kupita maelezo.

Bila uoga niliinua uso wangu nikamuangalia usoni kwa hasira sana na kushika mkono wake ulio begani kwangu nikautoa kwa nguvu na kusema .

"Alvin iwe mwanzo na mwisho...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utaniita-shemeji-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utaniita-shemeji-sehemu-ya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

636
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

508
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

203
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

144
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

124
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

117
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

81
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

81
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

5

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest