Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHIπŸ₯°*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*
Gonga94 Β· Stories

MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na ukweli ndo upo hivyo sasa kaka. Apo sasa mimi simuhitaji ata mke wako. Ila mm nahitaji mwanangu .nahitaji damu yangu. Na naelewa unapitia nini kama uliambiwa yule mtotot ni wako. Ila ni mwanangu haji. Sikufichi kaka labda na ww unifanyie ikatiri .ila ni mtoto wangu. Daah nilijikaza tu .nikamwambia alex nimekupata . We nenda . Mi ntakupigia .usiongee chochote na mke wangu . Akanmbia sawa . Now kwanza mkeo kaniblock. Na hatuna maelewano .na ata nikimpigia kwa namba zengine .akipokea Ananitukana tu na akinambia kuwa sina mtoto nae kabisa. Nikasema sawa alex..basi alex akaaga . Akaondoka aseee apo sasa ndo nilivurugwa zaidi. Mi binafsi nilijua kabisa kuwa ni kweli araina sio mwanangu. Nilihisi kabisa sio mwanangu. Mana ni kweli kafanana na uyu alex. Na kafanana na mke wangu. Mi sijafanana nae chochote.

Basi nikampigia simu lemi. Bado alikuwa mwanangu sana. Yani mshikaji wangu kinoma .yeye alipata kazi dar . Ndo alikuwa ukoo. Mimi ndo nikabaki moro. Nilimueleza lemi kila kitu. Uku nikiwa sipo sawa kabisa. Akanmbia tulia kwanza haji. Ayo ni mambo ya kawaida sana katika maisha na wala ww sio wa kwanza kuku kuta . Naomba utulize kichwa na utulie na usikulupuke. Nikasema.aseee uyu jamaa ni kafanana sana na araina. Nahisi kabisa ni mtoto wake. Nahisi tu. Lemi akanmbia haji tulia we ni msomi . Usihisi kuwa na uwakika. Leo fanya mpango chukua nywele za araina kesho kapime DNA. Kisha sasa ndo tutajua tunafanya nn. Nikasema sawa apo chozi. Mwnaume linanitoka kabisa. Kweli nilikuwa na kipindi cha jioni ila sikuweza tena kuendelea nikakikancel.unazani ntakifundishajeee.. thubutuu.

Basi bwana mimi nikaludi home yani sikuwa sawa. Uko bala balani ni mungu tu alinilinda mpka nafika nyumbani. Sikuwa sawaaa kabisa. Nimefika araina ananikimbilia .ata nguvu za kumbeba mimi sina. Nikamshika mkono tu. Nikaingia nae ndani. Nilimsalimia mke wangu nikaingia ndani. Mke wangu akaja. Akanmbia vp baba mbona leo kama haupo sawa.nikasema najisikia vibaya niache nipumzike. Aknmbia ahaa sawa .kisha akatoka njee.mimi nikaenda kupiga maji .nikaludi kupumzikaa. Ata alipokuja kuniamshaaa kwa ajili ya kula. nilimwambia nimeshiba. Aseee hii siku sikulala ni kupinduka tu.niliwaza mengi sana kichwani mengi. Nilumia sana . Roho na moyo viliuma sana.

Asubuh na mapema .niliamka zangu nikajindaa pale. Nilimuacha mke wangu kalala . Nikatoka nikaingia chumba cha mtoto. Nilimuangalia sana mwanagu ni binti yangu.nimemkuza mwenyewe nampenda sana uyu mtoto yani sana . Nilimkata nywele kidogo mwanangu. Nilipanga sasa kwenda kupima DNA. Ila nilikuwa naomba sana isiwe kweli. Kwamba araina sio mtoto wangu basi nikaelekea kazini . Ata kazini sikuwa sawa. Na nilipotoka job ndo nilienda kukutana na dr mmoja hospital moja ya private ipo pale pale moro mjinni. Kweli jamaa akachukua vilivyohitajika kwangu. Akanambia nije baada ya siku kupata majibu.

Basi mm nikaondoka zangu. Nikacancel vipindi vya week nzima vya chuo. Sikuwa sawa nikahisi siwez kwenda chuoni kufundisha . Nilikuwa naludi nyumbani mapema sana. Sikuwa na rahaa kabisa. Yani nikiludi nyumbani naingia chumbani kimya. Mke wangu ananaiuliza vp .namwambia mm naumwa tu. So niache nipumzike tu. Basi ikawa hivyo .akawa anahisi naumwa kweli. Mana ata akitaka nimtombe namwambia siwez sipo sawa. Ila sikuwa sawa kweli we mtoto nimemlea miaka 5 leo naambiwa sio mwanangu na nishategemea . Na nilikaaa kimya wala sikumuuliza chochote. Baada ya siku 3. Siku iyo nilipotoka kazini tu nilienda hospital. Na dr alinipa majibu ya DNA. nikafungu na nikasoma aseee sikuwa nimefanana na mtoto ata kwa asilimia moja. Yani mfanano wetu ni 0.0001. Aseeeeeeee sio mtoto wangu kabisaaaaa

Moyo uliuma sanaa . Rohooo ilikata aswaaa
Aseee sio siri nilichanganikiwa . Yule dr alinambia haji relax tuzungumze . Usipanic aya ni mambo ya kawaida kaka. Ila sikutaka ata kumsikiliza niliacha pale pale bahasha ya majibu.nikasepa zangu. Nikiwa ndani ya gari nilimpigia lemi nilimwambia kuwa uyu demu sio kabisa. Uyu demu ni jau kinoma noma . Kumbe mda wote ananibebisha zigo mimi mda wote najua nalea mwanangu. Kumbe nadanganywa. Nilipanik kisenge ..lemi akanmbia tulia na usipanic tulia kaka.nikasema siwez kutulia siwez. Mda wote najilinda kwa ajili yake .nampenda na kumuheshimu kumbe ananiona mm msenge aseeee uyu mwanamke ntamuuaaa. Nilishapanik .lemi.akanmbia tulia oyaa tulia kwanza usiende nyumbani tulia ww. Nikakata simu

Nikaanza kuendesha gari kwa fujo sana. Nilidrive kwa speeed nikiwa na hasira mnoo. Apo uku nalia. Aseeeeee sielewi ilikuwaje nakuja kustuka kuna gari kubwa ipo mbele yangu. Ata kuikwepa sijawahi tukagonganga uso kwa uso. Aseeeee nilipata ajali mbaya mno. Sikuelewa nn kimeendelea tena. Nilikuja kustuka siku ya 3 nipo hospital . Ata kuinuka siwez yani . Daaaah acheni kabisaa. Yani nimestuka namuona mama pale kwa pembeni na dada na mke wangu. Aseeee nilipomuona mke wangu nilitibuka kinoma najalibu kuinuka ata siwez. Maeneo ya kiuno nilikuwa napata maumivu makali sana na maeneo ya kichwa ma mkono wangu wa kuhoto.. Basi mama akamuita daktari. Na daktari akaja akanmbia haji tulia kwanza naomba utulie . Nilisema imekuwaje imekuwaje mbona sielwi. Daktari aliwaaambia watu wote watoke abaki na mm. Na kweli wakatoka nikabaki na daktari tu

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHIπŸ₯°* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*



Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na ukweli ndo upo hivyo sasa kaka. Apo sasa mimi simuhitaji ata mke wako. Ila mm nahitaji mwanangu .nahitaji damu yangu. Na naelewa unapitia nini kama uliambiwa yule mtotot ni wako. Ila ni mwanangu haji. Sikufichi kaka labda na ww unifanyie ikatiri .ila ni mtoto wangu. Daah nilijikaza tu .nikamwambia alex nimekupata . We nenda . Mi ntakupigia .usiongee chochote na mke wangu . Akanmbia sawa . Now...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-season-two-sehemu-ya-41

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-season-two-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

737
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

250
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest