AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 59...60ππ
Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice π€£π€£ hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yaoππTristan ndo kabisa alilia machozi hawakutaka sisi tuondoke lakini ndo hivyo ilikuwa ni lazima kuondoka nisingekaa nao siku zote walitufanyia kisherehe kidogo pale nyumbani cha kutuaga waliyabariki mahusiano yangu na Hemed β€βπ₯β€βπ₯ baada ya hapo tuliondoka pale nyumbani kwa kina Tristan tukaenda kulala hotel kwa ajiri ya kuianza safari ya kurudi USA siku iliyokuwa inafuatia, tulirudi USA rasmi nikaanza kuishi na Hemed nyumba moja kama mtu na mtuweπΉπΉ paschal si yuko na lia basi namm acha niwe na Hemed muda wa kulia kulia huku mwenzangu anaenjoy hayo ni matumizi mabaya ya siku za kuishi Duniani hemed ananipenda sana lakini zaidi anampenda sana Niceπ₯π₯tuliishi kwa furaha sana mimi na Hemed yani yule kaka ni mpole sana siyo mwanaume wa mambo mengi mimi nilikuwa naona utata kwenye dini tuπββοΈπββοΈ Hemed ni Muslim mimi ni msabato hakuna aliyekuwa tyr kubadiri dini ili kumfuata mwenzie nilimuomba yeye abadiri anifuate mimi lakini aliniomba et nilishapazoea huku mamangu kama hautojali we njoo tu huku namm sikuwa tayari kumfuata nishazoea usabatoni......kama vipi wacha tuendelee kuishi atakayenogewa zaidi atamfuata mwenzie......
Tuliendelea kuulea Ujauzito wangu hadi ukafikia miezi tisa nilibahatika kujifungua mtoto wa kiume alipewa jina la Shazil..... uuuw kweli hemed alikokojoa buanaπΉπΉmtoto sura ni baba mtupu yani mzee baba hata hakuwa na wasi mambo ya DNA kwetu hayakuwa na nafasi..... shazil ndo mtoto wa kwanza kwa Hemed ile furaha aliyoipata yule mwanaume angekuwa na uwezo wa kunihonga dunia basi angenipatiaπΉπΉπΉ alininunulia gari la kifahari kama lile la liaπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ alininunulia simu Kali sana ya I phoneππ akaniwekea na pesa za kutosha Bank kwenye account yangu alinimilikisha nusu ya Mali zake aliniambia yuko tyr kuitoa hata roho yake kwa ajiri yangu ilimradi tu furaha yangu itimie kila siku hemed alinifanya nienjoy upendo kwake nilienjoy sana..... baada ya shazil kutimiza miezi mitatu my wenu nilirudi ofisini siyo kule ofisini kwa paschal ni sehemu tofauti kabisa na nilijua kung'ara siyo kitoto jamani nilipendeza hadi kero kishepu changu kilirudi mahara pakeπΉπΉ siku moja mchana ilikuwa ni weekend siku hiyo sikwenda kazini niliamua kufunga safari hadi nyumbani kwa paschal nilifika pale nikaegesha ndinga yangu pembeni nikatelemka nilienda nikabonyeza kengere ya getin then nilirudi pale kwenye gari langu nikawa najisnap huku nikiwa nasubilia kufunguliwa geit..... baada ya muda mchache nilifunguliwa geit aliyenifungulia geit alikuwa ni mlinzi ni tofauti kabisa na yule aliyekuwepo mwanzo kipindi bado nikiwa nakaa hapo......
Hi miss beautifulπ€ͺπ€ͺ nikusaidie neneππ?! Aliniuliza yule mlinzi mmmhh alionekana ni kijana wa ovyo sana vile tu alivyonikaribisha huku akiwa ananikonyeza alionekana ni wa ovyo kupita kiasi..... umependeza sana mrembo vipi naweza kupata namba yako?! Aliendelea kuniongelesha yule mlinzi wa ovyo nami nilikuwa busy kubadirisha mapouzi ili niendelee kujiselfie..... hi π handsome I'm pipi you can call me miss pendoππ wow pipiππ you are very beautiful I like your sexyfigure and your beautiful face your very sexy missπ₯°π₯° oh boyπ thank youπ€ͺπ€ͺ hey miss can I get your numberππ oh boy I'm not your type I'm your boss's wife so jus call me madame bossππ oh no miss please jus give me your number ππ yule kijana wa ovyo aliendelea kuniomba namba yangu nilimsogelea sikioni kwake nikamnong'oneza kwa sauti ya chini nilimwambia kula tu kwa macho au utafute wa hadhi yako nilimpita nikatembea kuelekea kule geitini...... niliingia kule ndani ya geit nilikutana na jibwa kubwa jeusi nilitimka mbioπ€£π€£π€£ nilienda shikia break ndani ya gari yule mlinzi alichekaπππ aliniuliza hey madame boss inakuwaje hata mbwa wako wanakubwekea hii inadhihirisha wazi kwamba wewe siyo mwenyeji katika huu mji.......
Nilichokifanya nilichukua cm yangu nikamuonesha yule mlinzi picha zangu za harusi nikiwa na paschal alionesha kushtuka..... kheeeπ³π³ na yule aliyeko ndani ni nani?! At ndaniπ€·ββοΈπ€·ββοΈ so unamaanisha kuwa huko ndani kuna mwanamke mwingine?! Hapana madame boss ni ulimi tu ndo umenitelezaππ nilichanganua akili yangu haraka nikawaza au paschal yuko na lia huko ndaniππ nilichokifanya nilicheza na udhaifu wa yule mlinzi..... yule mlinzi tayari alikuwa ameshaingia tamaa ya kunitamani niliutumilia ule ule udhaifu wake wa yeye kunitamani mimi nilichokifanya sasa nilimpatia namba yangu kisha nikamuahidi kuwa nitampatia nafasi siku moja autumie mwili wangu alilainika alinimwagia siri ya kambi ya kwamba paschal huko ndani yuko na lia na penzi Lao ni la motoooo...... nilimuomba aende akamfungie yule mbwa ili niweze kunyata kuingia kule ndani bila wao kunishtukia.... yule mlinzi alifanya kama nilivyomwelekeza baada ya hapo alikuja akaniambia tyr mbwa nishamfungia unaweza kuingia sasa kuwa makini tafadhari nakuomba usije ukaleta fujo huko ndani utasababisha wote tuwekwe hatiani nakuomba ujizuie kwa kile utakachokikuta huko ndani.....
Mwenzenu nilitembea huku nikiwa na kimuhe muhe cha kwenda kufumaniaππ nilifika kule ndani nyumba ya paschal ni ghorofa nilifika sitting huku chini sikukuta mtu ikabidi nipande juu kwa kunyata kule juu nilikutana na maajabuπ³π³ nilimkuta paschal na lia wakiwa wako uchi kwenye sofa sebleni wakiwa wanafanya mapenzi kwani niliweza kujizuia sasa niliwasogelea lia ndo alikuwa juu na walikuwa kwenye chorus hawakuweza kuachana kwa haraka nilimng'ata lia matakoni nikamtoa nyamaπ€£π€£π€£ hapo ndo wakashtuka kila mmoja akamuachia mwenzieπ³π³ pendo you... ni mimi paschal kwa hiyo saiz hii nyumba umeigeuza gest siyoπ‘π‘ no baby we can talkπ₯Ήπ₯Ή baby angalia mwanamke wako kaning'ata matako yangu ameniumiza etπππ lia please stop it ondoka hapa niache na mke wangu...... baby hupaswi kusema hivyo yeye ndo anatakiwa kuondoka atuache sisi nyie ila kalia cjy paschal alikalishaga niniππ paschal baada ya kuniona alikafokea lakini hakakuondoka kalipiga hadi magoti kumuomba paschal anifukuze mimi ili kenyewe kabakieπΉπΉ nilichukia nilitamani nimng'ate na lile tako la kuliaππ kalijaa damu nilikahurumiaπΉπΉ kalitia huruma pale sebleni hapakuwepo na cha kuwapigia zaidi ya mito nilianza kuwapiga na mitoπ€£π€£ muda huo wote wako uchi nilitamani hata niyarecord lakini tyr paschal ni baba wa mtoto wangu sikuona umuhimu wowote wa kumfanyia vileπΉπΉπΉ paschal alivaa nguo haraka akanivuta mkono akanifungia chumbani kisha akamuomba lia avae haraka haraka aondoke.......
Lia aliondoka kule ndani huku akiwa na jeraha kubwa matakoni kwake lakini baby unatakiwa kunipeleka hospital angalia huyo mwanamke kichaa alivyoniumizaπππ Lia I said get out of my houseπ«° paschal alimtimua lia bila huruma yani baada ya mimi kumfumania paschal alipanic alichanganyikiwa Fulani hivi kichwani nilicheka tuπ π nikajiuliza unachanganyikiwa kwa sababu nimekufumania na kimada wako vipi ukija kupata taarifa juu ya mtoto wangu wa pili ambaye nimezaa na mwanaume mwingine?!.....
Je nini kitafuata??
USIIKOSE SEASON YA MWISHO SEASON 04
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
