Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Usiku ule nilipanga nguo zangu kwa ajiri ya safari hapo kesho mapema baada ya kuandaa kila kitu nilipanda kitandani nikalala..... kesho yake mida ya saa 12na nusu asubuhi nilidamka mapema nikasafisha chumbani kwangu nikatandika baada ya hapo nilitoka kwenda kufanya usafi jikoni ndani mara nyingi alikuwa anadeki idris.... nimefika jikoni nikaanza kupata kizunguzungu😴😴 nilirudi nyuma ili nijiegeshe ukutani nisije nikadondoka lakini ghafla nilienda kutua katika mikono ya Hemed..... recho unaumwa?! Aliniuliza Hemed huku akiwa amenishikilia mikononi mwake.... hapana Hemed siumwi ila nasikia tu kizunguzungu.... pole sana itabidi tuelekee hospital haraka ili ukapimwe tujue tatizo ni nini..... Hemed alinibeba hadi sebleni alinilaza kwenye sofa alimuomba idris aandae gari upesi kisha alinimbia pole mama ngoja nivae nguo kisha nije nikupeleke hospita ucjali utakaa sawa nilimuitikia alielekea chumbani kwake alivua zile nguo anazovaaga akiwa anaenda kuimwagilizia bustani akawa amevaa za kawaida.... pole unajisikiaje?!.... aliniuliza Hemed nilimwabia bado nasikia kizunguzungu oh usijali mamaaa tunaenda hospital utapatiwa matibabu utakaa sawa.....

Hemed alinibeba hadi kwenye gari tuliondoka kuelekea hospital kule hospitali nilifanyiwa vipimo nikagundulika kuwa ni mjamzitoπŸ˜”πŸ˜” Hemed aliniangalia kwa maskitiko hakuniuliza chochote kwa muda huo lakini alionekana kushtushwa sana na swala la ujauzito wangu.... tukiwa kwenye gari tunarudi nyumbani hemed aliniuliza recho kwa hiyo tayari ulishampata mwanaume unayempenda hadi umeua kumzalia?!!

Nilinyamaza tu sikuwa na cha kumjibu ..... tulirudi nyumbani nikashuka kwenye gari nikaanza kujongea kuelekea ndani...... recho.....aliniita Hemed nilimuitikia alinifuata pale nilipokuwa alinishika mkono hadi ndani tulikaa pale sitting room aliniuliza ni nani mhusika?! Niliendelea kunyamaza Hemed aliniomba niongee chochote nilimwambia ipo siku nitamwambia kila kitu kuhusu maisha yangu aliniomba nimwambie nilimuomba awe na subra..... nilinyanyuka pale sebleni nikawa naelekea chumbani kwangu mara nikashikwa mkono niligeuka nyuma mmmhhh alinishika Hemed nilishindwa kumwelewa huyu kawaje leo nilibakia kumtizama tu aliniambia recho basi nakuomba mimi ndo niwe baba wa huyo mtoto aliyeko tumboni kwako...... kheeeeeπŸ™„πŸ™„πŸ™„ jomon kwa hiyo na yeye tayari kaishanipenda au niaje niaje...... sikumjibu kitu nilijitoa mkono wangu nikakimbilia chumbani kwangu nilijitupia kitandani nikajilaza pale nilikuwa najihisi vibaya sana haikupita muda niligongewa mlango sikuweza hata kujibu wala kuamka kwenda kufungua aliyegonga ni Hemed aliingia ndani chumban kwangu alikuwa kaniletea chakula aliniomba niamke nipate kula chakula nilimwambia asante alinisaidia kuamka pale kitandani nikakaa alikaa pembeni yangu akawa ananibembeleza nile nilikula et baada ya hapo nilimuaga Hemed nilimwambia mimi leo nitaondoka kurudi dar es salaaam..... hapana recho tafadhari nakuomba usiondoke..... nakuahidi nitarudi et...... basi nakuomba twende wote kama hautojali nikusindikize et..... duh hapana Hemed siwezi kuondoka nawewe niache tu niende peke yangu nakuahidi baada ya siku mbili nitarudi tena zanzibar Alinielewa alinisindikiza airpot aliniomba kwa hali niliyonayo ni bora niondoke na usafiri wa angani ili kuepuka kukaa sana alinilipia nauli alinipatia na pesa za kutumia nikawa nimeondoka kurudi dar nilifikia lodge ambayo iko mafichoni sana kule zanzibar nilinunua zile nguo za kuficha sura yangu kwa ajiri ya kuzitumia pale nitakapofika dar......

nilifika lodge nikachukua chumba nikapumzika nililalaa kama masaa tano hivi then nikaamka nikaoga nikavaa zile nguo za kuficha sura baada ya hapo nilitokapale lodge nikaenda kutafuta vitu vichachu vya kula baada ya hapo nilichukua usafiri ilikuwa ishafika usiku kwenye saa saa moja moja hivi nilielekea pale ofisini kwa boss paschal niliona ofisi yake ikiwa iko wazi mlango ulikuwa umerudishiwa tu ni kama vile bado kulikuwepo na watu ndani...... nilienda dukani nikanunua pen na daftari niliandika barua kwa boss paschal baada ya kuiandika ile barua nilisogea pale ofisini kwake nilimpatia mlinzi nilikuwa nimeifunika sura yangu na mlinzi aliyekuwepo pale alikuwa mgeni machoni kwangu nilimfuata nikamsalimia baada ya hapo nilimuuliza kama kuna watu pale ofisini aliniambia wafanyakazi wote wameshaondoka ila huko ndani yumo boss pekee...... nilimpatia kile kikaratasi nikamuomba anifikishie kwa boss wake baada ya hapo mimi nilianza kuondoka kule kwenye ile sehemu...... nilifika mbele nikaitisha tax nikapanda kule mlinzi alikuwa hawezi kuniona tena baada ya kupanda ile tax nilimuomba dereva arudishe gari karibia na pale ofisini tusimame kwa muda pale nilitamani angalau niweze kumtia hata machoni tu nilimkumbuka sana boo wanguπŸ₯²πŸ₯² sister utaniongezea pesa..... ucjali nitakulipa zaidi nilifunga vioo then dreva aliondoa gari akasogea kule karibu na ofisini kwa boss paschal aliegesha gari pale isingekuwa rahisi mtu kuhisi kitu kwa kuwa pale ofisini huwa kuna kakituo kadogo ka boda na tax....

Tulisimama pale kwa muda kama wa nusu saa hivi ndipo nilipomuona paschal akiwa anafunga ule mlango wa ofisini kwake nilipatwa na hisia za kulia nilitamani nisogee pale niende nikaonane naye...... alimaliza kufunga pale then akaanza kutembea taratibu kuifuata gari yake sehemu ilipokuwa kabla hajafika pale kwenye gari yule mlinzi alimsimamisha akawa amempatia ule ujumbe......

Boo aliupokea ule ujumbe then alisogea pale kwenye gari yake alipanda kwenye gari baada ya muda mfupi alitelemka alimfuata yule mlinzi akaanza kumhoji cjy alikuwa anamuuliza juu ya nini make mimi nilikuwa niko mbali.... boo alianza kuangaza huku na kule nahisi alikuwa ananitafuta mimi.... alianza kutembea maeneo ya pale jirani huku akiwa anaulizia kama kuna mtu aliyefanikiwa kuniona niliumia vile alivyokuwa anahangaika kunitafuta na ilihali mimi nipo na ninamwangalia nilimuomba dreva tax tuondoke pale nampenda sana boo wangu kila nikimuona huwa natamani tu niende nikajilaze kwenye kifua chake kizuriπŸ’‹πŸ’‹kwenye ile barua nilimwandikia kila kitu kilichonitokea nilimwambia pia juu ya ujauzito wake nilionao mwishoni nilimwambia kuwa yeye ndo mwanaume wa pekee aliyeuteka moyo wangu nampendaπŸ’‹πŸ’‹....... nilirudi kule lodge nilikuwa mpweke sana nilijikuta tu naanza kukumbuka vitu vya kuumiza vilivyonifanya nitoe machozi...... kulia siyo suruhu pendo amka ukafanye kilichokuleta dar cha kwanza ni kumpa taarifa baba wa mtoto wako aliyeko tumboni juu ya ujauzito wake hicho tayari umeshakifanikisha cha pili ni kwenda nyumbani kwenu kuchukua vyeti vyako na vitu vyako vingine bila wazazi wako kukuona..... nilijishauri na nafsi yangu tu..... niliamka tena nikaificha sura yangu ilikuwa ni usiku mida ya saa 3 nilipanda boda kuelekea kule nyumbani kwetu kwa ajiri ya kwenda kuchukua vitu vyangu.......

Itaendeleaaaaaaa
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜


Usiku ule nilipanga nguo zangu kwa ajiri ya safari hapo kesho mapema baada ya kuandaa kila kitu nilipanda kitandani nikalala..... kesho yake mida ya saa 12na nusu asubuhi nilidamka mapema nikasafisha chumbani kwangu nikatandika baada ya hapo nilitoka kwenda kufanya usafi jikoni ndani mara nyingi alikuwa anadeki idris.... nimefika jikoni nikaanza kupata kizunguzungu😴😴 nilirudi nyuma ili nijiegeshe ukutani nisije nikadondoka lakini ghafla nilienda kutua katika mikono ya Hemed..... recho unaumwa?! Aliniuliza Hemed huku akiwa amenishikilia mikononi mwake.... hapana Hemed siumwi ila nasikia tu kizunguzungu.... pole sana itabidi tuelekee hospital haraka ili ukapimwe tujue tatizo ni nini..... Hemed alinibeba hadi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-n0-34

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-n0
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

596
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

544
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

375
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

322
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

52
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

40
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

36

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.26K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest