AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 37...38ππ
Baada ya hakim kutaka kuniletea shobo baby wangu sangapi asimuwekee mipaka π€£π€£ kaa mbali na mwanamke wangu fanya kilichokuleta hapa.....nilijisikia rahaπΉπΉ yani kuna kakitu kalikuja fulani hivi kama kananitekenya fulani hivi nyie nyieee nilismile then nikageuka nikamcheki hakimππ baada ya hapo nilimkiss boo wangu makusudi kabisaπππ hakim lilimshuka shuuu alitoa mimachoππ alichokifanya nikutia haraka saini pale alipotakiwa kusaini baada ya hapo alitangulia kutoka nje maana angeendelea kubakia kule ndani angekufa kwa pressure.... nilimaliza kusaini nikatoka na paschal wangu nikamkuta hakim yuko nje kwenye gari yake pale alinimezea mate haloooo vile baby wangu alivyokuwa kanishikilia mkono wangu kwa mahaba hakim alitamani kulia tulifika pale lilipokuwepo gari letu paschal aliuchumu mkono wangu eh bwana weπ€£π€£ ile ilikuwa ni maksudi ya kumchoma moyo mr hakim baada ya hapo paschal aliligusa tumbo langu huku akiwa anamtizama hakimπππ aliinamisha kichwa chake pale tumboni kwangu akawa anamsikilizia mtoto wake vile anavyocheza tumboni kwangu.....baby wangu alinifungulia mlango wa gari nikapanda baada ya hapo alimkonyeza hakimπ€ͺ kisha akapanda kwenye gari alimpungia mkono wa kichokozi yani paschal naye mshariπππ alitamani tu hakim ajibu kitu chochote ili aende akamtwange makonde alikuwa na hasira naye kwa sababu ya kile kilichotokeaga kipindi tukiwa zanzibar......
Tuliondoka pale ofisini kwa mwenyekiti tukaelekea hotelin tulipumzika huku tukiwa tunawatafuta mafundi ambao wataikarabati ile nyumba kuwa katika muonekano wa kisasa...... tulifanikiwa kupata mafundi tukaingia nao mkataba wakawa wameanza ujenzi...... hatukukaa sana tanzani tulirudi usa...... tuliendelea kuuulea ujauzito wangu hadi pale ulipofikisha miezi tisa zikiwa zimebakia wiki chache za kujifungua nilifanyiwa baby showerπ₯° ilikuwa sherehe ya kupokea zawadi za mtoto baada ya hiyo sherehe nilianza kupumzika nyumbani hata kazini nilistop kwenda ilipofika tarehe ya makadirio ya mimi kujifungua niliambatana mimi na paschal hadi hospitalini yani hapo sijaumwa hata uchungu wa uongo na kweliπ€£π€£Nilikaa hospita siku tatu ya nne ndo nikafanikiwa kupata uchungu uliokuja na mtoto ni kababy girl kashua kama wairaq tulivyoππ ukizingatia baba mtu ni shombe mama mtu ni muiraq alloh mtoto wetu ni mrembo sana tulimuita niceππ.......
boo alifurahia sana kwa ujio wa nice katika maisha yetu alikabeba katoto kake akakabless, alikakiss then alikakumbatia aliniambia thank you my love for this gift that i have been waiting for, for along time I love youβ€βπ₯β€βπ₯ alinikumbatia alinikiss nilimshukuru pia kwa kuwa mwenzi mwema hakunitelekeza siku zote alikuwepo karibu yangu nampenda etππ nampenda sana sanaaa...... tuliruhusiwa kutoka hospital tulirudi nyumbani sikuwa na mtu mwingine wa kunihudumia kama mzazi zaidi ya boo wangu kama mnavyojua mama yangu bado tulikuwa hatujasolve yale yaliyokuwa yamejitokeza kati yetu nilisubilia kwanza nijifungue then nikamilishe marekebisho ya ile nyumba ili kwa pamoja twende tukafanye sherehe ya ufunguzi wa nyumba na kuungana tena kama familia kwa mara nyingine......mama mkwe wangu alifariki huenda huyo ndo mtu pekee ambaye angeweza kuwa karibu yetu akatuonyesha namna ya kukilea kichanga chetu akanihudumia na mimi hapa π₯²π₯² rest in peace mama paschal daima nitakukumbukaππ
Vile tumefika nyumbani nilimnyonyesha nice akalala nilimlaza kwenye kitanda chake nikamfunika vizuri kwa muda huo cjy hata paschal alikuwa wapi..... baada ya kumlaza mtoto Boo wangu alikuja akanishikilia mkono aliniomba twende washing ili akanikande tumbo langu...... nilikuwa napasha maji mine nakuomba twende nikakuhudumie nitafanya kama nilivyoelekezwa na dactari ili kukufanya wewe na mwanangu kuwa salama..... oh kumbe alikuwa ananiandalia maji ya kuoga...... alinishikilia mkono tukaongozana kwenda washing room boo alinikanda katika tumbo langu kwa kutumia maji ya moto zile damu chafu zote zilizokuwa zimebakia tumboni zilianza kutelemka alilikamua tumbo langu uchafu wote ukatoka baada ya hapo alinisafisha vizuri huku akiwa ananiimbia wimbo mzuri wa kunipongeza na kunishukuru kwa kukubali kuwa mama na kumzalia yeye mtotoβ€οΈβ€οΈβ€οΈ baada ya kunikosha tulielekea chumbani boo aliyapangusa maji mwilini kwangu baada ya hapo alichukua ped akaiweka vizuri kwenye pichu yangu alinivisha et nilijisikia kutokwa na chozi la furaha kwa yale yote aliyokuwa akinifanyia yule mwanaume Boo i love you nilimwambia huku vimachozi vyepesi vikiwa vinanitoka kwenye macho yangu alinibusu baada ya hapo alinifuta yale machozi aliniambia mimi hapa nitakufanyia kila kitu wewe na mtoto wangu nawapenda i wish my mom angekuwa yuko hai akaishuhudia ile furaha ninayoipata kwa kuwa na wewe hapa karibu yangu nitakupenda milele pendo wangu wewe ndiye furaha yangu maisha yangu yote ya hapa duniani nakuahidi kuishi na wewe tuππ
Alinipaka mafuta mwilini kwangu akalifunga tumbo langu kwa mkanda wa tumbo baada ya hapo alinivisha nguo nilisimama nikamkumbatia kwa furaha tuliongozana kwenda mezani kupata chakula kilichokuwa kimepikwa na isabella huyu ni house maid wetu anayetusaidia sisi kazi za pele nyumbani kwetu...... baada ya kula chakula boo aliniletea dawa za kusafisha tumbo pamoja na dawa za maumivu nilikunywa baada ya hapo aliniomba nilale nipumzike yeye alimbeba mtoto wake akawa anambembeleza nilipitiwa na usingizi nilipokuja kuamka nilimkuta paschal yuko pembeni yangu kambeba nice na ilihali nice kasinzia..... baby unahitaji kupumzika nilimwambia huku nikiwa nambeba nice kutoka katika mikono yake nilienda nikamlaza mtoto katika kitanda chake baada ya hapo ninijilaza kifuani kwa boo nikamuomba nayy apumzike π€π€π€ ilikuwa ni usiku mida ambayo boo aliniamsha akaniambia tayari nimeshakupashia maji nakuomba uamke twende nikakufanyie usafi kwenye mwili wakoπ₯°π₯° tulielekea bafuni alinisafisha tena na kulikanda tumbo langu baada ya kutoka bafuni aliniletea uji wa moto nikanywa ili kupata maziwa ya kumnyonyesha mtoto wake alijua kunicare alijua kunihandle alinitunza vizuri hakuwahi kuwa mkali kwangu wala kunifokea baada ya kuwa tayari tumeshaanza kuwa wapenzi achana na kule kufoka kwa enzi zile kipindi kile nilipokuwa mfanyakazi katika ofisi yakeπ€£π€£π
Paschal ilimbidi achukue likizo kazini kwake kwa ajiri ya kunihudumia mimi na mtoto wake baada ya mimi kufunga mwezi mmoja nilimuomba yeye aanze kwenda kazini kwa sababu tayari nilishatengamaa nilikuwa naweza kujihudumia mimi na mtoto na kazi zote nilikuwa naweza kufanya....... Boo wangu alirudi kazini lakini kila siku kabla hajaodoka kwenda kazini alikuwa anatupatia huduma stahiki mimi na mtoto wake na hata mchana ulipofika alirudi nyumbani kuja kutuonaπ«Άπ«Ά jioni ilipofika aliwahi kutoka ofisini kwa ajiri yetu tuπ₯°π₯°π₯° kila siku upendo wangu kwake ulizidi kuongezeka tu......
Basi mwenzenu baada ya huo mwezi kupita si nikaanza kuwashwaππ kila nikimuona boo mwili wote unasisimka alfu sasa nikawa nashindwa namna ya kumuanzaππ yani kila nilipokuwa nikimsogelea nilikuwa napatwa na hamu ya kutiwaππ siku moja jioni ilipokaribia mida yake ya kutoka kazini niliamua kumtega maksudi kabisa ili nione kama atashawishika kunitia au laaaππ uvumilivu ulinishinda my wenu hapo ilishapita mwezi na wiki kama tatu hivi..... siku hiyo nilimuogesha nice mapema nikamnyonyesha akashiba mwanangu hakuwa kilizi ni mtoto fulani hivi aliyetulia...... nilimnyonyesha akashiba nikamlaza kitandani kwake baada ya hapo namimi niliiingia bafuni nikaenda ufanyia mwili wangu ule usafi special kwa ajiri ya mme wangu...... niliiosha papuch yangu kwa maji ya baridi sanaππ ilibana kiasi kwamba hata kidole tu nilijaribu kuingiza kikagoma kuingiaππ baada ya hapo niliuosha mwili wangu taratibu kwa sabuni inayonukia sanaππ baada ya kumaliza nilitoka kule bafuni nikaelekea chumbani kwangu nikiwa nimevaa towel kifuani kwangu....... nilifika chumbani nikaitizama saa yangu ili kucheki ni saa ngapi ewaaaaa ilikuwa ni mida ileile anayorudigi mzee baba...... niliitoa ile towel kifuani kwangu taratibu nilianza kuipitisha mikono mwilini kwangu ili kuyapangusa maji mwilini kwangu nilikuwa nafanya hivyo huku nikiwa niko uchi kabisa nikiwa bado naendelea na lile zoezi mlango wa chumbani kwangu ulisukumwa niligeuka kumwangalia aliyefungua mlango ni nani hakuwa mwingine bali alikuwa ni boo wangu...... nilimfuata kule mlangoni nikiwa uchi bila nguo yoyote nilimsogelea kwa karibu mwili wangu wote ulinisisimka nilijikuta nimezisogeza lips zangu mdomoni kwake tukaanza kupeana mateπππ
Itaendeleaaaaaaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi