Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 36๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Gonga94 ยท Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 36๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Boo alikaa katika siti iliyokuwepo mbele yangu tena in the same side๐Ÿ˜๐Ÿ˜ basi tu kuna mda nilikuwa nainyosha mikono yangu natamani kumgusa kichwani๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† yani nilitamani ajue kama niko naye pale nina kisebengo mwenzenu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ boo wangu alionekana kama mtu mwenye mawazo sana..... pale kwenye siti ya jirani nilipokuwa nimekaa nilikaa na mbaba mmoja hivi wa kitanzania baba muongeaji yule cjy mzaramo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† si alianza kunipigisha story nikajikuta nimeanza kupiga naye story sangapi boo hajaisikia sauti yangu๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น alf nilivyo na kiherehere kichwani tayari nilikuwa nimeshajitolea kile kimjitandio๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ boo aligeuka akaniona nilikuwa niko busy kuna kitu nilikuwa nakiangalia kwenye simu ya yule mzee ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† nilishtuka tu mtu ananiita ""mine๐Ÿฅน๐Ÿฅน you are here....""
""๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ mie lieeee""
""Pendooo๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน""
""Lieeeeeeeee๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ""

Vipi mbona ninyi wawili mnalia?! Aliuliza yule mzee cjy mchaga yule cjy mhaya..... mnafahamiana?! Ndiyo baba yangu nakuomba kama hautojali tubadirishane sit uje ukae hapa kwenye sit yangu mimi nihamie hapo kwenye sit yako..... boo alimuomba yule mzee aliyekuwa amekaa jirani na mimi ili waweze kubadirishana sit hakukataa alikubali walibadirishana boo wangu akawa amekuja kukaa pale jirani yangu alinikumbatia tulipeana mate kwanza๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ nilimmiss sana๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ i miss you mine kwanini uliamua kutokunishirikisha mapema pendo? Nisingekosa cha kukusaidia aliniambia huku akiwa anakigusagusa kitumbo changu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ naomba unisamehe mpenzi wangu kwa kukuficha juu ya kila kitu kilichonisibu juu ya hakim lakini ni kitu kizuri kwa kuwa tayari tumeshaonana tena nakupenda boo wangu baba wa kijacho wangu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ aliniangalia then akanimbia nilikutafuta sana pendo kila wiki nilikuwa narudi tanzania kuja kukutafuta wewe bilaa mafanikio tafadhari nakuomba usije tena ukaondoka mbali na mimi alinibusu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ baada ya hapo sasa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ penzi likaanza upyaaaa๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ marekani sikwenda tena kwa Hemed nilienda kwa my babe ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿ˜น

MAISHA MAPYA NDANI YA USA๐Ÿซฐ๐Ÿซฐ

Ilikuwa ni usiku mida ya saa saba nilikurupuka usingizini nikawa najisikia kula udongo pamoja na zabibu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† baby baeiiib nilimuita boo aamke usingizini ili aende akanitafutie udongo๐Ÿ˜†
""Mine vipi uko sawa?!""
""Niko sawa lakini nina hamu ya kula udongo๐Ÿ˜”"
""Muda huu?!""
""Ndiyo baby tafadhari nakuomba uamke ukaninunulie....""
""Basi lala mamangu tutanunua kesho asubuhi mapema angalia saizi ni usiku sana maduka yote yamefungwa๐Ÿค”๐Ÿค”.... yani kunijibu vile mimi niliona ni kama vile ananinyanyasa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† nyie hizi mimba.... sangapi nisianze kulia๐Ÿคฃ paschal kuona vile ilibidi aamke akabadir nguo akaanza kunibembeleza nikanyamaza tukaondoka huo usiku kwenda kutafuta udongo kwenye shop za marekani๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† tumezunguka sehemu zote kumefungwa nilivimba nikatamani kupasuka alf et nikawa namnunia paschal kama vile yeye ndo aliyeyafunga maduka๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nilimnunia sikutaka kumuongelesha tena akinisemesha nikawa nalia alichokifanya paschal๐Ÿ˜† alinipeleka kuna sehemu kulikuwepo na kichuguu tukakaa pale usiku huo mwenzenu naona ni kama mchanaโ˜บ๏ธโ˜บ๏ธ paschal si akaanza kumimina vimaji pale kwenye kichuguu kikaanza kunukia๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† akawa anachukua ule udongo wa kichuguu anaukanda then anautengeneza kama pemba ananipa ninakula๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nilikula huku nikiwa nimerilax kama nakula kitu cha maana vile...... nilivyotosheka kula udongo nikashushia na maji udongo mwingine tuliubeba tukaondoka nao๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nimefika nyumbani saa tisa usiku hapo tumbo likaanza kunivuruga mharo na kutapika vilikuwa vinapita vyote kwa wakati mmoja๐Ÿ˜† baby unataka kuniua mimi na mtoto wako๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† nilimwambia paschal huku nikiwa hoi bin taabani

Usiku huo ikabidi tena paschal anipeleke hospital nimefika hospital nikatundikiwa drip la maji nikapewa na dawa za kutuliza ile hali nilikuwa natibiwa huku baby wangu akiwa yuko pembeni yangu jamani raha ya ujauzito umpate anayekupenda ajue na kukudekeza๐Ÿคช๐Ÿคชnilikuwa nampa hekaheka mtoto wa watu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† kuna muda nilikuwa najihisi ni kama duniani hapa mimi pekee ndo ninayependwa na yule ninayempenda๐Ÿฅฐ paschal anajua kuhandle si utani....... kazini tulikuwa tunaenda pamoja katika campuni yetu ambayo na mimi nilikuwa nimeshapatiwa umiliki wa asilimia 50% kila sehemu tulienda huku tukiwa tumeongozana kwa pamoja nyie nampenda yani nampenda kiasi kwamba akijaribu kuniumiza nitapalalaizi mwili mzima๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…amu gona dai dai๐Ÿคฃ....... paschal ni mwanaume ambaye akipendwa vizuri anatulia๐Ÿ™ˆ yani hadi unaenjoy mwenyewe the way anavyocare.....

Ujauzito wangu ulipofikisha miezi saba paschal aliniambia kuwa kuna sehemu anatamani twende kabla cjajifungua..... nilimuuliza ni wapi aliniambia ni nyumbani kwenu..... kwetu hapana sitokaa nikawasamehe wazazi wangu kwa kile walichonifanyia๐Ÿฅฒ๐Ÿฅฒ usilie mamangu lakini ni vyema kufanya kitu kitakachokupa wewe amani.....nakuomba uwasamehe wazazi wako kwa sababu wanahitaji sana msamaha wako..... nitafikilia juu ya hilo na usijaribu kunilazimisha๐Ÿ˜ž๐Ÿ˜ž wewe mbona hujamsamehe mika๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”.... nilimjibu paschal then nilisimama nikamgeuzia mgongo machozi yalianza kunitirika alisimama akanifuta machozi yangu kisha akaniambia nakuahidi nitamsamehe mika pale atakapohitaji msamaha wangu najua watu hukosea ili wajifunze nakuomba utoe msamaha kwa wazazi wako! Mika siku akihitaji msamaha wangu nitamsamehe na kumtoa gerezani na nitaishi naye kama ndugu yangu lakini sitokaa karibu naye........ ni kweli natamani kuwasamehe ili niwe na amani ya moyo nilijiwazia hivyo kichwani niliwaza kufanya kitu ni sawa baby nipe muda...... nilimtafuta jimmy nikamuomba anifanyie mpango ili niweze kuirudisha ile nyumba yetu mikononi mwa wazazi wangu sikutaka ijulikane kama mimi ndo ninayeinunua lakini nilitamani ijulikane baada ya kuwa tayari imeshakuwa kwenye mikono yangu......

Nilitaka kumuonyesha hakim nguvu ya pesa๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น jimmy alitafuta madarali walioenda kuongea na yule wakala wa hakim aliyeachiwa jukumu la kuitafutia mteja ile nyumba yetu! Madarari walielewana na yule wakala akasema mpunga anaoutaka nikautuma ikabakia mimi kwenda kutia saini kwenye makaratasi ya mauziano ya ile nyumba muuzaji ni hakim mnunuaji ni pendo patamu hapo๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ pesa walishalipwa tena mbele ya viongozi wa mtaa...... ila tu muuzaji na mnunuaji wote tuko nje ya nchi tulipanga kukutana tanzania kwa ajiri ya saini na makabidhiano...... nilianza safari kurudi tanzania mimi na baby wangu kwa ajiri ya kwenda kukabidhiwa ile nyumba kutoka katika mikono ya hakim.....hahahaaaa hiyo siku tumeenda kukutana katika ofisi ya mwenye kiti tulimkuta tayari hakim yuko pale alivyoniona๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† alisimama huku akiwa ameachama mdomo wazi pendo๐Ÿ˜Ÿ๐Ÿ˜Ÿ aliniita kwa mshangao huku akiwa anapiga hatua kunifuata nyooooo pendo wa nyoko paschal alimuonya๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ alimwambia fanya kilichokuleta hapa acha shobo kwa wanawake za watu๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ

Itaendeleaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 36๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜


Boo alikaa katika siti iliyokuwepo mbele yangu tena in the same side๐Ÿ˜๐Ÿ˜ basi tu kuna mda nilikuwa nainyosha mikono yangu natamani kumgusa kichwani๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† yani nilitamani ajue kama niko naye pale nina kisebengo mwenzenu๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ boo wangu alionekana kama mtu mwenye mawazo sana..... pale kwenye siti ya jirani nilipokuwa nimekaa nilikaa na mbaba mmoja hivi wa kitanzania baba muongeaji yule cjy mzaramo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† si alianza kunipigisha story nikajikuta nimeanza kupiga naye story sangapi boo hajaisikia sauti yangu๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น alf nilivyo na kiherehere kichwani tayari nilikuwa nimeshajitolea kile kimjitandio๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ boo aligeuka akaniona nilikuwa niko busy kuna kitu nilikuwa nakiangalia kwenye simu ya...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-n0-36

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-n0
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 34๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 34๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 37...38๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 37...38๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 35๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 35๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 33๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 33๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 39...40๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 39...40๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

1.01K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

694
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50

431
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

292
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

157
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

137
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

135
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

111
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

43

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest