Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nilifika kule nyumbani kwetu nilikuta nyumba yetu imewekewa matangazo ya kuuzwa palionekana kama sehemu ambayo hakai mtu yeyote..... nilijiuliza wazazi wangu watakuwa wapi kipi kiliwakuta au hakim aliwaumiza wazazi wangu?! Sikuwa na cha kufanya zaidi nilirudi kule lodge nililala kesho yake mapema niliamkia makaburini kule alikozikwa mama yake na paschal nilipeleka maua kule katika kaburi lake nilienda nikakaa juu ya lile kaburi na kuanza kulia huku nikiwa namuomba mama paschal msamaha kwa sababu yale yote aliyoniomba kuyatimiza hakuna hata limoja nililolifanikisha...... nilijiinamia kwenye lile kaburi kama mtu aliyekata tamaa...... nikiwa bado naendelea kulia juu ya lile kaburi ghafla niliguswa bega nilipogeuka nilikutana uso kwa uso na baba yake na paschal nilimkumbatia aliyafuta machozi yangu..... aliniuliza kuhusiana na hali yangu nilimwambia niko sawa.... baba paschal alikuja pale makaburini kufanya usafi kwenye kaburi la aliyekuwa mke wake nilimsaidia kufanya usafi baada ya hapo tulirudishia maua pale kaburini tulisali na baada ya hapo nilimuaga yule mzee nilianza kuondoka pale makaburini lakini baba paschal aliniita akaniuliza vipi umeshapata sehemu nyingine ya kufanyia kazi?! Mmmhh niliwaza why kaniuliza vile nilinyamaza kwanza aniambia kama bado haujapata unaonaje tukaongozana sote kwenda marekani uende ukaendelee na kazi yako kama kawaida.... kwani baba mmesha ihamisha campuni tyr? Samahani mimi nilipata dharula kidogo nikawa nimeacha kazi kule katika campuni ya boss paschal.... sijasikia chochote mwanangu ni kipi kilichotokea kwani au uligombana na mwenzako?! Hapana baba nilipata dharula nyingine lakini mimi na paschal tuko sawa hatuna tofauti yoyote...... lakini unaonekana kama mtu unayejificha ni kama vile hutaki kuonana na watu je kuna kitu unachonificha pendo!?.....hapana baba niko sawa! Sisi tutaondoka hapa Tanzania kesho kutwa tunahamia rasmi nchini marekani lakini kama ukihitaji chochote usisite kuniambia na kama ukihitaji kurudi kazini usiache kunitaarifu hata kama kuna tofauti yoyote kati yako wewe na paschal niambie mimi nitaitatua ....... aliniambia baba yake paschal baada ya hapo alielekea kwenye gari lake alifungua mlango akachukua pesa akaja akanikabidhi pamoja na namba yake ya simu alinipatia pesa nyingi sana nilimshukuru baada ya hapo niondoka nikamuacha pale......

Nilirudi kule lodge nilikuwa nawaza tu jinsi nitakavyoijua sehemu waliko wazazi wangu ili niende nikachukue vitu vyangu nilipata wazo la kwenda kijiweni kwa yule dreva tax wangu ambaye ni jimmy nilikwenda kumtafuta ili nimuulize kama anaweza akajua sehemu waliko wazazi wangu nilibahatika kumpata jimmy aliniambia kuwa wazazi wangu wako kwa mjomba wangu na yule hakim baada ya kunikosa mimi ilibidi wazitaifishe mali zote za wazazi wangu ili kufidia deni walilokuwa wanadaiwa...... baada ya kuzipata zile taarifa kutoka kwa jimmy nilienda zangu kupumzika then jioni nilifunga safari kuelekea kule nyumbani kwa mjomba wangu ilikuwa ni siku ya ijumaa nakumbuka nilifika katika eneo jirani na kule nyumbani kwa mjomba nikawa nimekaa hapo ndani ya kama dkk 30 niliwaona wazazi wangu wakitelemka kwenye bajaji ni kama vile walikuwa wametokea kazini maskini hata gari hawanatenaπŸ˜₯πŸ˜₯....... waligonga getini wakafunguliwa wakawa wameingia kule ndani kwa mjomba nilipata uhakika kweli ya kwamba wanakaa pale nilipanga kurudi kesho yake kwa sababu siku ya jmosi wote watakuwa wameenda kanisani namimi nitapata urahisi wa kuvichukua vitu vyangu...... niliondoka sehemu ile nikarudi kule lodge nililala then kesho yake mapema mida ya saa tatu nilianza safari kuelekea kule nyumbani kwa mjomba wangu niligonga getini akaja kunifungulia amina ambaye ni binti wa kazi kule nyumbani kwa mjomba! Tulisalimiana kawaida kabla hajanifahamu kwa sababu nilikuwa nimeificha sura yangu nilimuuliza kama kuna watu alinimbia tayari wameshaondoka kuelekea kanisani..... baada ya kuniambia kuwa kule ndani hakunapo mtu nilijifunua sura yangu amina akaniona aliniita da pendoπŸ₯ΉπŸ₯Ή kumbe upo hai bora hata umerudi kila mtu hapa nyumbani alikuwa na wasiwasi sana juu yako karibu ndani......

Amina alinikaribisha ndani niliingia kule ndani amina aliniambia nibakie nyumbani yeye aende akawaite wale walio kwenda kanisani awapatie taarifa njema za kurudi kwangu niliwaza haraka haraka cha kumwambia yule binti ili kimuweke busy kwanza nifanye kile kilichonipeleka kule ndani nilifikilia haraka haraka nilimuuliza kuna juice gani huku ndani tayari alikuwa ameshanipatia chai nipo nakunywa ila kwa sababu sikutaka yeye atoke kwenda kuwaita wazazi wangu nilihitaji kumsumbua tu ili aendelee kubakia kule ndani nilimuomba simu yake nikajidai kuna mtu nampigia nilikuwa najidai kupiga lakini wala sikumpigia yeyote nilianza kulalamika kuwa simu ya amina haina network😣😣 yote ilikuwa ni kumzubaisha tu niendelee kubakia na simu yake asijewapigia wazazi wangu kuwajulisha kuwa niko pale nyumbani...... kuna juice gani? Nilimuuliza amina aliniambia kuna juice ya embe na parachichi..... nilimuomba aende akamenye machungwa ya kutosha anisagie juice ya chungwa peke yake nilihitaji kitu kichachu zaidi...... ukishamaliza utaniacha nikiwa nakunywa juice yangu wewe utakwenda kumuita daddy and mom....... amina alikubali alielekea jikoni na mimi nikamwbia kuwa naelekea chumbani kupumzika....

Muda ambao amina alikuwa yuko busy kumenya matunda kule jikoni mimi nilikuwa busy kuvipakia vitu vyangu ili niondoke navyo kutoka kule nyumbani kwa mjomba wangu...... nilipakia kila kitu baada ya hapo nilimpigia jimmy nikamuomba asogee maeneo jirani na kule kwa mjomba ili aweze kunichukua mimi na vitu vyangu baada ya hapo nilielekea jikoni kwenda kumuangalia amina kama tayari ameshamaliza au laah..... nilimkuta yupo anaichuja juice alimaliza kuichuja akanimiminia kwa glass akanipatia nikaanza kunywa..... jimmy alinitext akaniambia tayari yuko nje .... nilimuomba sasa amina akwende akawaite wale waliokwenda church lengo langu nilitaka tu anipishe ili niweze kuondoka..... amina aliniaga akatoka baada tu ya yeye kuondoka mimi nilitoa mabag yangu nje nikapakiza kwenye tax ya jimmy baada ya hapo nilirudishia milango ya kule kwa uncle nikawa nmeondoka .........

Nilirudi hadi lodge huku kamoyo kangu kakiwa kananienda mbio sanaπŸ™ˆπŸ™ˆ niliwaza kuondoka siku ileile kurudi zanzibar nilipumzika kidogo baada ya hapo nilianza safari yangu kutokea dar es salaam kuelekea zanzibar baada ya kufika zanzibar nilimkabidhi Hemed vyeti vyangu vyenye majina yangu halisi nilimuomba radhi kwa kumdanganya jina langu kipindi chanyuma nilipokwenda kuomba msaada kwake...... nilimwelezea mkasa mzima ulionipata mimi hadi nikajikuta nikiwa katika njia panda alinipa pole na aliniahidi kunisaidia......usiku ule alinifanyia mchakato wa kunitumia barua za maombi ya kazi katika sehemu tatu mbili usa moja zanzibar! Zilipita siku 14 bila majibu yoyote kutoka katika sehemu zote nilizoomba kazi ilibidi hemed aondoke zake kurudi kazini lakini aliniahidi ya kwamba hatochoka kunitafutia kazi endapo kama itapatikana basi nitakwenda nikaishi naye huko usa.....nilikaa zanzibar kwa takribani kama miezi miwili hiviii baada ya hapo hemed alinipatia taarifa njema juu ya mimi kupata kazi huko nchini marekani na nilitakiwa kureport haraka iwezekanavyo......

Ilikuwa ni jioni moja hivi niliondoka zanzibar kwenda kulala jijini dar kwa ajiri ya kupandia huko ndege nililala kesho yake asubuhi nilielekea airpot kwa ajir ya kuianza safari yangu kuelekea nchini marekani..... nilipanda kwenye ndege nikatulia zangu kwenye siti yangu sikuwa na kazi yoyote nyingine zaidi ya kujisnap na kuangaza macho yangu huku na kule.....zikiwa zimebakia dkk 18 za ndege kuanza kupaa nilimuona boss paschal akiwa anapanda ndani ya ile ndege niliyokuwa nimeipanda mimiπŸ™„πŸ™„πŸ™„ nilitoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango😹😹 bahati nzuri kwenye mkoba nilikuwa na mjitandio niliuchukua haraka nikajifunika kichwani na baadhi ya sehemu za usoni..... paschal alikuja akakaa kwenye siti ya mbele yanguπŸ™„πŸ™„πŸ™„ hakuniona na wala hakunigundua......

Itaendeleaaaaa......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜


Nilifika kule nyumbani kwetu nilikuta nyumba yetu imewekewa matangazo ya kuuzwa palionekana kama sehemu ambayo hakai mtu yeyote..... nilijiuliza wazazi wangu watakuwa wapi kipi kiliwakuta au hakim aliwaumiza wazazi wangu?! Sikuwa na cha kufanya zaidi nilirudi kule lodge nililala kesho yake mapema niliamkia makaburini kule alikozikwa mama yake na paschal nilipeleka maua kule katika kaburi lake nilienda nikakaa juu ya lile kaburi na kuanza kulia huku nikiwa namuomba mama paschal msamaha kwa sababu yale yote aliyoniomba kuyatimiza hakuna hata limoja nililolifanikisha...... nilijiinamia kwenye lile kaburi kama mtu aliyekata tamaa...... nikiwa bado naendelea kulia juu ya lile kaburi ghafla...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-n0-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-n0
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

1.01K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

692
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

420
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

291
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

156
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

137
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.

135
SHAMIRA Sehemu ya 46

SHAMIRA Sehemu ya 46

111
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

43

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.4K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.81K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS πŸ₯° yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest