AAAAH IMETOSHA BOSS ππ N0 49ππ
Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoaππ Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano mzuri sana kwa nje nilitamani sana kukifahamu kitu kilichokuwepo ndani ya kile kibox nilijiandaa kwa lolote au chochote nitakachokikuta kule ndani...... yarabii nampenda et naomba huku ndani kuwepo na kheri na siyo shariππuuww nilijikuta nasali kwanza kabla ya kufungua zile vitu....baada ya kukifungua kile kibox nilikutana na banio la nywele..... bangili za mkononi mkufu wa kuvaa shingoni yani ni kibox kilichokuwa kimeshehen mapambo mazuri kwa ajiri ya bibi harusi.......hivi vitu ni kwa ajiri ya kuvaa kwenye siku ya ndoa yangu lakini kweli ndo niletewe na Isabella πββοΈπββοΈ nilivikagua ni vizuri mno nakumbuka nilivichaguaga mimi mwenyewe vikaagizwa nje ya nchi nilitamani paschal ndo angenipatia vile vitu kwa upendo na mapenzi ya dhati lakini ni kwanini kamtuma binti wa kazi yeye ndo aniletee πββοΈπββοΈ hivyo ndo vitu pekee tulivyokuwa tukivisubilia vitu vingine vyote tulikujaga navyo kutokea USA.....
Usiku ule nilijiandaa kikubwa ili niweze kuutafuta msamaha kwa boo wanguππ nilikoga kwa sabuni nzuri ya kunukia baada ya hapo nilivaa kinguo chepesi kinachouchora mwili wangu nilitelemka chini kwenda kumpatia mme wangu chakula.... nilimpakulia chakula kwa heshima baada ya hapo nilimpelekea pale alipokuwa amekaaππ nilimpigia magoti chini nilimwambia mme wangu nakuomba unisameheπ§π§alininyanyua pale chini aliniambia hujanikosea chochote pendo be free huo ni mwili wako unaweza kumtunuku yeyote yule unayejisikia kumzawadia ..... paschal alinyanyuka pale akaanza kuondoka niliung'ang'ania mguu wake huku nikiwa naliaππ aligeuka akaniangalia kwa hasira yani paschal huwa ana hasira sana na akichukia huwa siyo mwepesi wa kusamehe haraka.... pendo stop this nonsenseπ€¨π€¨ aliniambia huku akiwa ananitoa mikono yangu mguuni kwake...... alinitoa kisha akapandaa juu chumbani nilimfuata hukohuko paschal alibadiri nguo akavaa nguo za kulalia alijilaza kitandani nilipanda kitandani nikaanza kumtomasaππ maskini nilimshika shika hadi akadindishaππ ilisimama wimaππ aliniangaliaπ sikuacha niliendelea kuitomasa dudu yake paschal alishindwa kuvumilia aliamka pale kitandani akawa amekaa nilimsogelea nikamwambia naomba unisamehe boo wangu I'm sorry ππ alinitizama tu hakunijibu kitu alisimama akaelekea kabatini alitoa shuka akaenda kulala chumbani kwa wageni nilimfuta hukohuko chumbani kwa wageni nilitamani anitie kwa sababu hiko ndo kitu pekee ambacho kingemfanya paschal aweze kunipa msamaha .....
Boo hakutaka kufanya mapenzi na mimi uume wake ulikuwa umesimama sana nilimuomba aniduu hata kidogo tu lakini paschal alijilaza kitandani akailalia jogoo yake hakutaka ata niendelee kumgusa gusa aliniomba nimpishe alale nilimuomba anipe tamu nilikivua kile kinguo nilichokuwa nacho nikakiweka pembeni nilibakia uchi bila nguo yoyote mwilini kwanguπ nilijisogeza pale karibu na paschal nilimtoa ile shuka aliyokuwa kajifunika nikaiweka pembeni nilimlalia kwa juu nikaanza kujisugua sugua mwilini kwake paschal aliniomba niache hicho ninachokifanya nilimbembeleza sanaaa lakini hakuwa tyr kusex namm duh au ndo alikuwa ananionea kinyaaπ€¨π€¨aliamka pale kitandani aliniomba nitoke kule chumbani niliimpigia hadi magotiπ§ kwa jinsi mboo yake ilivyokuwa imesimama jamaniππsikutaka ilale bila kunigusa boo alinikatalia aliniambia siwezi kukufanya hivyo pendo siwezi aliongea kwa maumivu hadi machozi et nilimuomba ata kiss tu hakuninyima alinipa mate alikuwa na hisia Kali sana lakini alikataa kunitia tulipeana mate zaidi ya dkk 5 baada ya hapo alinishikilia mkono akanitoa kule chumbani alijifungia peke yake nilibakia pale nje ya mlango wa kile chumba cha wageni nilimsikia Paschal akiwa analia peke yake kule chumbani niliuegemea ule mlango wa kile chumba nikawa nalilia huku nje nayy analilia kule ndani aliniomba niende nikamwangalie mtoto wake kwa kuwa huyo pekee ndo kitu kinachomfanya yeye aendelee kunipatia nafasi nyingine ya kuendelea kubakia katika maisha yake......
Niliondoka pale mlangoni kwa paschal nilienda chumbani kwangu nilizichukua nguo zake nikauvisha mdoli baada ya hapo niliulaza pembeni yangu..... niliwaza hiyo ndoa tutakayoenda kuifunga bila kuwa na maelewano mazuri kati yetu itakuwa ndoa ya aina ganiπββοΈπββοΈ zilikuwa zimebakia siku tatu tu ndoa yetu iweze kufungwa.... wanafamilia wao waliendelea na shamra shamra za ndoa kama kawaida hawakujua kile kilichokuwa kinaendelea kati yetuπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈ kesho yake asubuhi niliamka nikaoga baada ya hapo nilimbeba mtoto nikaenda kumgongea paschal kule chumbani alikolala nilienda na mtoto ili iwe rahisi kunifungulia..... baada ya kumsikia nice akiwa anaita thaa thaa thaa boo alifungua mlango haraka nikaingia kule chumbani maskin mme wanguπ₯Ήπ₯Ή nilimkuta kachafua mashukaππ aliniomba nitoke ili asafishe kwanza kule chumbani nilimuita Isabella akambeba nice then mimi nilirudi kule chumbani kwa paschal nilimuomba anitie baby kwanini unateseka hivyo nami nipo hapa kwa ajiri yako nilijaribu kumshawsh lakini alikataa kufanya mapenzi na mimi..... nilizitoa zile shuka kitandani nikaenda zifua kwenye washing machine...... baada ya hapo niikisafisha kile chumba vizuri nilimuomba tuongee aliniuliza maongezi juu ya nini nilimwambia ni juu ya sisiππ aliniruhusu niongee niliendelea kukazia ule uongo wangu wa kwamba sijawahi kumsaliti alinyamaza hakunijibu kiti.... aliniomba niongee vitu vingine niachane na hayo mambo ya usaliti...... nilimuuliza kama ndoa ipo au laaππ
Aliniangalia sana then aliniambia haiepukiki hiyo wacha ipite kama ilivyopangwa....... aliniomba nirudi nyumbani kwetu kwa ajiri ya kwenda kujiandaa na ndoa kwetu walimpigia boo simu wakamwambia kuwa ninatakiwa kurudi kule nyumbani.....niliondoka pale kwa paschal alitupeleka hadi nyumbani kwetu pale akatuacha yeye akaondoka zake..... niliwaza huyu asijenidharilisha siku ya ndoa akaachajitokeza kanisaniππ.... pale nyumbani palikuwepo shamra shamra la kufa mtu lakini mie wala sikuwa hata na furaha..... nilianza kuandaliwa kwa ajiri ya send off hapo kesho.... nilitindwa nyusi nilifanyiwa scrub ya mwili mzima nilitengenezwa kucha na nywele baada ya hapo nilikwenda kupumzika kesho yake siku ya send off walikuja ndugu kutoka kiumen walileta na vitu vilivyotakiwa kutoka kule kwao...... lilifanyika serehe la kufunga mtaa kule nyumban kwetu..... watu walikuja ni wengi sana kulidamshi sana kwa kweli..... baada ya send off sasa tulikaa kusubilia ndoa......nilikuwa naingiwa na hofu sana juu ya ndoa tuliyokuwa tunaenda kuifunga na ilihali tuko katika taharuki nzito sana... huyu paschal atajitokeza kanisani kweli π€π€ isijekuwa anataka kunilipizia kwa namna hiyo π€¨π€¨....
Itaendeleaaaa. ........
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi