Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REAL LOVE*  Chapter 8
Gonga94 · Stories

REAL LOVE* Chapter 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo,

daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima na kumwambia yuko sawa ila kinachotakiwa ni uangalizi na kutumia dawa

vizuri kidonda kitatakiwa kisafishwe kila baada

ya siku moja, kwahiyo ni mawili abaki hapo au aende nyumbani baada ya siku moja awe anakuja kusafishwa lakini seven akamwambia daktari nibora kwanza abaki mpaka kidonda kitakapopona kabisa fahima hakupendezwa kabisa na majibu hayo ndipo seven akawaomba wamuache wazungumze na fahima basi wakatoka na kumuacha

seven alisogea na kukaa karibu na binti fahima lakini binti hakutaka hata kumuangalia akageukia pembeni huku machozi yakimtoka, seven alishindwa kujizuia mtoto wa kiume akaanza kulia alilia nyie fahima ikabidi anyamanze na kuanza kumshangaa analia nini,

samahani dada yangu sijui nikuambieje ili unielewe ila samahani naomba unisamehe sana nakuomba unisamehe kwasasa naomba upone kwanza halafu mengine tutaongea tu alisema

seven huku akifuta machozi

sihitaji kukaa hapa nataka kwenda nyumbani nahisi baba atakuwa ananitafuta fahima binti mpole na mzuri sana alisema

"hata mimi natamani utoke hapa lakini nahofia hali yako bado haukp sawa nipe namba ya baba

yako nisingizie ulipata ajali awe anakuja tu kukuona hapa hospitari aliserna seve

navipi kuhusu bili alisema fahima

hilo usijari maana hii ni hospitari yangu usijari inakila kitu kuwa na amani alisema seven

unajuwa nimepoteza vingi sana biashara simu pochi hela yani kiukweli nishakusamehe kabisa lakini sitaki kukuona machoni mwangu hata kwa

sekunde sifuri alisema fahima daaah kauli

hiyo ilimchoma sana seven alijuta kwanini alikutana na cathe kwasababau yeye ndio chanzo cha matatizo yote

najuwa hilo ndomana nikakuomba msamaha hata ningekuwa mimi nisingekuelewa kirahisi

nitalipia fidia zote zilizopotea lakini nilitamani kupata kwanza namba ya mzee na kujuw jina lako alisema seven akijikaza tu ila ndni ya

moyo wake aliumia sana, basi ikabidi fahima

amtajie namba ya baba yake ambayo aliikariri

kichwani, kisha seven akaipiga namba hiyo

wakati huo baba fahima alikuwa anatoka chooni

kuoga ili ajlandae kwenda polisi kutoa taarifa ya kupotelewa na mwanae ndipo aliposikia simu yake inalta akachanganya miguu haraka па kwenda kuipokea simu bila hata kuangalla.

mpigaji nani

hellow aliipokea simu

"shikamoo baba alisalimia kwa heshma sana seven

marhaba bado sijaifahamu sauti yako alisema baba fahima

usijan baba bila shaka wewe ndiye baba yake fahima alisema seven, kauli hiyo ilimshtua sana mzee fahad akahisi huwenda mwanae

atakuwa amepata tatizo alipata wasiwasi sana

oo mimi alisema baba fahima

samahani mzee wangu mimi naitwa seven

nilimgonga na gari fahima kwa bahati mbaya.

sana hakuumia sana ila kwasasa yupo hospitar

salama kabisa na atawekewa uangalizi na

kutibiwa vizuri mpaka atakapopona mnaweza

kuja kumuona alisema seven kwa kujiamnini sana, mzee fahad alishusha pumzi ndefu alishtuliwa sana na taarifa hizo lakini alipata amani baada ya kusikia mwanae yupo katika hali

nzuri sana,

sawa yupo hospitari gani alisema mzee

fahad

"kigamboni ya private kituo cha kwanza alisema seven

sawa nakuja sasahivi alisema mzee fahad na haraka akaanza kuvaa nguo akabeba shati na kuliweka begani akatoka haraka na kumpita

mama fatuma bila kumsemesha kitu, mama fatuma alimshangaa sana ananini mbona haraka hivyo kisha akabinua mdomo wake na

kuendelea kufua nguo,

katika hospitari ambayo walilazwa mama seven

na selina hatimae waliamka na kupimwa vipimo vyote kabisa waliruhusiwa kurudi nyumbani

kwakuwa hawakuwa na hali mbaya sana, basi sarañna pamoja na ndugu wengine wakafanya

jitihada za kuondoka hapo huku wakimtaarifu seven,

upande mwingine walionekana catherine na devi pamoja na mkaka mwingine smart aliyevalla mavazi safi kabisa, wakiwa hotel wanapata

vinywaji

"kwahiyo mr sanju utaweza kabisa kutusaidia

aliserna devi

kahisa hilo ondoeni shaka nitawasaidia mimi

seven ni rafiki yangu mkubwa sana tena tunaongea mambo ya kiutuuzima kwahiyo swala

hilo litaenda vizuri sana alisema mi sanju,

huyu alikuwa ni mwanasheria wa seven ambaye

aliaminika sana na kufanya vizuri leo hii anamsaliti seven kwasababu ya pesa tu, wanasemaga pesa shetani

Tunahitaji uhamishe vizuri yani kila kitu mr sanju nakuamini sana tunataka tumiliki kila kitu

kwa halali kabisa tutakuongezea pesa kama ukiifanya kazi hii vizuri alisema catherine mwanadada anaroho mbaya huyu

msijari kuweni na amani mpo na mr sanju nakazi zake hazipindagi hata mara moja

alisema mr sanju kwa kujisifu sana na kujiamini,

walitabasan na kuendelea kupata kinywaji

upande wa mama fatuma alikuwa anaendelea

kufua ndipo fatuma nae akarudi huku anabinua

midomo yake

kulikoni mbona hivo alisema mama fatuma

"yani mama yule agness yule siku yake moja tu

iposiku nitamuendea kikundi kizima tumpige mana kazidi sana mdomo alisema fatuma

agness rafiki wa fahima yule muuza bia

aliuliza mama fatuma

"ndiyo mama yani namuuliza fahima yuko wapi

anatuambia sisi wachawi tu alisema fatuma

The mtoto hana adabu yule sijui kama hajazaliwa chooni yule alisema mama fatuma

siku yake moja tu yaani nitamuonyesha alisema fatuma

"achana nae mtu mwenyewe muuza gongo unafikiri zimo sasa, umepata vipi alluloza

mama fatuma

"kila naemuuliza anasema hajamuona alijibu

fatuma

mh haya alafu baba yake namuona katoka mbio kaondoka sijui wapi alisema mama

fatuma

"mh baba nae utamuweza hebu nikapumzike mie alisema fatuma huku akiingia ndani, na kumuacha mama yake akiendelea kufua

huku hospitari mzee fahad aliwasili na kufika

hadi kwenye wodi aliyolazwa mwanae fahima

alimkuta mwanae akiwa na seven alifurahi sana alisogea na kumkumbatia mzee fahad machozi yalianza kumtoka na fahima nae pia, ndipo

fahad akaamua kutoka nje ya wodi kuwapisha wawe falagha,

pole sana mwanangu alisema baba

fahima

asante baba alijibu fahima huku akifuta

machozi

"kwasasa unaendeleaje aliuliza babayake

naendelea vizuri sana alisema fahima

kilikukuta nini mpaka ukagongwa

aliuliza

baba fahima, ndipo fahima akaanza kutoa

machozi mfululizo

niambie mwanangu usinifiche alisema

babafahima

nilikuwa navuka barabara ndipo nikagongwa ghafla alisema fahima

"sawa lakini nilisikia uliondoka nyumbani huku unalia shida ilikuwa nini alisema baba fahima

hapana baba hakuna hata shida alijibu fahima huku akifuta mavhozi

fahima kama hautaniambia ukwell basi

nitaondoka hapa na hutoniona teeeeena alisema baba fahima kwa uchungu sana, ndipo

fahima machozi yakaanza tena kumtoka hakuwa na jinsi ikabidi amuelezee maisha halisi

anayoishi nyumbani, yani ndo ikawa kwa mara ya kwanza baba fahima anajuwa kama mwanae

anateseja,

nje ya wodi hiyo mlangoni alisimama seven ambaye alisikia kila kitu kilichoongelewa ndani humo aiseeee seven aliumia sana roho ilimuuma sana alijifikiria kumbe kunawatu wanaishi

maisha ya tabu hivi dah hisia zake zilienda mball sana taratiiiiibu machozi yalimtoka
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REAL LOVE* Chapter 8



machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo,

daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima na kumwambia yuko sawa ila kinachotakiwa ni uangalizi na kutumia dawa

vizuri kidonda kitatakiwa kisafishwe kila baada

ya siku moja, kwahiyo ni mawili abaki hapo au aende nyumbani baada ya siku moja awe anakuja kusafishwa lakini seven akamwambia daktari nibora kwanza abaki mpaka kidonda kitakapopona kabisa fahima hakupendezwa kabisa na majibu hayo ndipo seven akawaomba wamuache wazungumze na fahima basi wakatoka na kumuacha

seven alisogea na kukaa karibu na binti fahima lakini binti...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/real-love-chapter-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi real-love-chapter
REAL LOVE* Chapter 7
REAL LOVE* Chapter 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

722
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

660
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

527
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

456
MY WANGU❤️ sehemu ya 73

MY WANGU❤️ sehemu ya 73

438
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

283
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

257
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

241
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

131
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘

116

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.04K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.81K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.03K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

REAL LOVE* Chapter 7 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 7
@majario LIVE

seven alihisi kufa hakuamini kabisaaa kama yeye ndo amefanya kitendo kile hapana sio mimi mimi sio kabisa najijuwa ni mstaarabu siwezikufanya hivi sijui huyu binti kamleta nani hapa mungu wangu mimi...

REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
REAL LOVE* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

ndani ya hotel moja kubwa iliyopo posta katika chumba kimoja walionekana devi pamoja na cathe wakiwa wamekumbatiana kitandani, wanyama hawa hawakuwa na wasiwasi wowowte juu ya usaliti wao yani ndokwanza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 73 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
@majario LIVE

Basi hivyo ikawa ni tunalishana kimya kimya. Mpaka tumemaliza mie nikatoa vyombo. Nikaenda kuosha ndo niondoke. Basi nipo busy naosha vyombo mashangaaa nimeshikwa kiuno kwa nyuma nikageuka namuangalia ni mlige....

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest