Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kumaliza kufunga ndoa akaniita kisha akasema “ naomba niongee hili mbele ya kila mmoja , akanishika mkono kisha akaanza kusema ..

Najua leo ni siku adhimu na nisiku kubwa sana, najua mtashangaa ila nimefunga ndoa na wanawake wawili, maana dini yenyewe inasema kuwa, “ tuanze na wawili, na naamin nimelifanikisha hilo, na wazaz wangu naomba mlipitishe hilo na mnipe Baraka zenu…

Baba yake akanisogelea na kunambia “ hongera sana binti yangu, hakika mwanangu ni mwanaume bora sana, na anapambana kuipambania furaha yake, na nimeona ukomavu wa nguvu na akili yake, mungu awape maisha yenye furaha na amani, nikajikuta natabasamu…..

Kisha akamfata shenaiza sijui alimuambia nini, ila akanuna huyo, alafu Yule baba akatabasamu zake na kwenda kukaa..
Maneno yalianza ila hata nabil hakujali, akaagizwa watu wanichukue wakanipambe kwa sababu ilikuwa sherehe yangu pia, na kweli mimi ni chombo bana ila sikuwa na matunzo tu…
Basi tukaanza kusherehekea, hapo nabil yupo kati kati na upande mmoja nipo mimi, na upande mwingine yupo shenaiza, ila muda mwingi alikuwa upande wangu ndio nilikuwa naongea na kupiga nae story sana…

Mama yake alikuwa anatuangalia kwa jicho baya, ila nabil ni kama alishaamua kujilipua, wazaz wa shenaiza hawakupendezwa kabisa na kitendo cha nabil na kutaka kuondoka nna binti yao, ila shanaiza akalazimisha kuendelea kukaa pale, sijui ndio alijua anaweza kumshawishi nabil au vipi..

Baada ya watu kutawanyika nabil akamgeukia shenaiza na kusema “ najua unataman sana kuingia kwenye hii nyumba na umekuwa una pambana kwa muda mrefu sana, ila jua kwanza mimi sina mali, na mali zote zina majina yam zee hivyo hautakuwa na cha kurithi, na cha pili kwa kuwa ulikuwa unataka kuwa chaguo la wazaz wangu basi sitakaa nikuguse hakikisha aliekuleta ndio anatekeleza mahitaji yako ya kimwili, kisha akanishika mkono na tukaanza kutoka nje, nikajua hapa sasa napelekwa kwenye fungate, na ndio ilikuwa hivyo…

Yaan hapo ndio niliamin hakikisha mwanaume anaekuoa anakupenda sana kuliko ambavyo wewe unampenda, nikaamin pia furaha ya kweli ya maisha yetu ni kuwa na watu tunaowapenda na wanaotupenda bila unafiki…

Basi tukaenda zetu kula fungate hapo nabil a.k.a omari alikuwa amezima simu, akimaanisha hakuwa anataka kabisa mtu aje amuharibie furaha yake…

Baada ya siku saba tukarudi nyumban, tukamkuta mama yake amekaa ukumbini kana kwamba alikuwa anatusubiri kwa hamu na alipotuona tu akatabasamu ila tabasamu la maumivu, kisha akaniangalia na kusema “ kumbuka na wewe ni mwanamke unataka kimchukua mwanangu, ambae nimahangaika sana kumpata, utakuja na wewe kuchukuliwa mwanao kama unavyonifanyia…

Kwa namna ambavyo huyu mama alikuwa anaongea, alikuwa anaongea kama ana ugonjwa flani hivi wa akili, kwa sababu alikuwa analalamika kama mtoto mdogo vile, baba yake nabil, akaja na baada ya kuja akamchukua na kumpeleka chumban, na baada ya kama lisaa limoja akatoka nae, na kunifata huku akisema “ kwa hio hautamrudisha mwanangu kwao, kwa hio mimi ndio nitakaa nae siku zote, akaendelea kusema Yule mama, nikamuangalia na nabil akatoa ishara kuwa nikubaliane nae, nikakubali, akacheka kisha akasema “ ukimchukua nakuuwa…
“ ukimuuwa na mimi najiua, akasema nabil na alikuwa anaonekana anajua udhaifu wa mama yake ni yeye, Yule mama akaanza kulia, kisha akawa anasem “ basi mwanagu simuuwi tena, usije ukaniacha…

Mume wake akamchukua na kwenda nae chumban kisha baada ya muda akatoka pekee yake na kuanzia tunafika hatukumuona shenaiza sijui ndio alirudi kwao au ilikuwaje..
Ila alivyotoka, akatuangalia kisha akasema “ naona sasa wakati umefika wa kuujua ukweli wote..

ITAENDELEA ….
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17


Baada ya kumaliza kufunga ndoa akaniita kisha akasema “ naomba niongee hili mbele ya kila mmoja , akanishika mkono kisha akaanza kusema ..

Najua leo ni siku adhimu na nisiku kubwa sana, najua mtashangaa ila nimefunga ndoa na wanawake wawili, maana dini yenyewe inasema kuwa, “ tuanze na wawili, na naamin nimelifanikisha hilo, na wazaz wangu naomba mlipitishe hilo na mnipe Baraka zenu…

Baba yake akanisogelea na kunambia “ hongera sana binti yangu, hakika mwanangu ni mwanaume bora sana, na anapambana kuipambania furaha yake, na nimeona ukomavu wa nguvu na akili yake, mungu awape maisha yenye furaha na amani, nikajikuta natabasamu…..

Kisha akamfata...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest