Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mama yake ni kama hakuwa anataka kumuelewa, ila nikamsikia baba yake anampooza mkewe, nikarudi zangu chumban kwangu nisije nikakutwa bure…
Nikajikuta naanza kuwa na hofu sana, kwanza nikafunga mlango vizuri sana siku hio, niliogopa nisije nikanyongewa ndani bure, au nikatupiwa masumu, nilikuwa naogopa mno, na siku hio sikutoka ndani kabisa, nikaamka mapema sana, nikafanya kazi zangu haraka haraka, mara mama akatoka, nikamsalimia hata hakuitika, nikajua ehee kasheshe imeanza, ila nilipomsalimia baba akatabasamu na kuniomba nimpikie chai…

Nikapika haraka haraka, kisha nikamtengea, wakati huo mama alikuwa ameondoka, na omari alikuwa bado chumban kwake..
“ mwanangu mzoee mama yako kuna muda anakuwa na matatizo yake binafsi tu, akasema baba huku akiwa anatabasamu..
“ hamna shida baba, nikajibu kwa sauti ya unyenyekevu wa hali ya juu..
“ najua wewe na nabil mnapendana sana, na nabil yupo tayar kufanya jambo lolote lile kwa ajili yako, hivyo nimeamini anakupenda kwa kiasi kikubwa sana na mimi kama baba natamani sana kuendeleza huu upendo wa mwanangu maana furaha yake ndio furaha ya mke wangu na furaha ya mke wangu ndio furaha yangu, akaendelea kusema…

“ ila sasa najua mnajuana kuanzia siku nyingi sana, na huenda ukawa unamjua zaidi ya sisi tunavyomjua, ila nakuomba sana, usiseme jambo lolote lile kuhusu maisha yake ya nyuma kwa mtu yoyote Yule kwa sababu nitakufatilia, kama unataka kuwa salama, na kama kuna mtu anatakiwa kutoa kauli ya mwisho kuhusu familia yangu, kwa maana ya mwanangu pamoja mke wangu basi atakuwa ni mimi tu, akaendelea kusema Yule baba na mimi nikakubali..
“ na mwisho kabisa, hauruhusiwi kutoka kwenda sehemu yoyote ile, na hauruhusiwi kukutana na mtu yoyote Yule mpaka tutakapo kuruhusu, natumai tumeelewana vizuri, akaendelea kusema Yule baba, alikuwa anaongea kwa sauti ya upole yenye msiskitizo wa hali ya juu,na nikaitikia kuwa nimemuelewa, akatabasamu kisha akasema “ asante kwa chai binti yangu…

Siku hio nabil hakutoka kabisa chumban kwake, na mimi sikuwa najua anakula nini au anaishi vipi, na nilikuwa naogopa pia kumfata, kwa sababu ile ni nyumba ya watu na jambo lolote lile litakalo tokea huenda wenyewe wameshaweka mitego yao, hivyo sikutaka matatizo na mtu yoyote Yule…

Basi muda ukaenda na kwenye majira ya kama saa kumi jioni, mama yake nabil alikuja, alikuwa pamoja na mwanamke mrembo sana, akanambia nimuandalie sharubat, sikubisha nikaandaa haraka haraka kisha nikampelekea yeye pamoja na mgeni wake…

Basi baada ya kuwatengea Yule mama akaniangalia kwa tabasamu, alikuwa kawaida kama anavyokuwa kila siku, na hakuwa na kisiran kama nilichomuona nacho asubuh..
“ shenaizah huyu ni mfanya kazi wetu wa ndani nan i mchapa kazi sana, yaan ukiwa na shida yoyote ile utamuambia na atakufanyia vizuri, kwa sababu ana adabu sana, nan i mtiifu kupita maelezo, akasema Yule mama na Yule binti akaniangalia kama nyanya iliyooza, ila sikujali maana hanihusu na dharau zake..

“ zinura.. huyu anaitwa shenaizah ni mkwe wangu na mke mtarajiwa wa wa mwanangu kipenzi nabil..
Alikuwa anaongea kistaarabu kama ananibembeleza hivi, ila yale maneno yaliingia moyoni mwangu, nikasikia kama moyo unachanwa chanwa na viwembe kwa maumivu ambayo nilikuwa nayasikia, sikujua kama natakiwa kupiga kelele kwa nguvu na kulia, au kutulia tu na kujifanya kama sijasikia kitu…

ITAENDELEA …
Tangazo - Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
Watumiaji wapendwa, hongera!? Asante kwa kutuamini! Tunakupa nafasi ya kushinda hadi 2,300,000 TZS
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13


Mama yake ni kama hakuwa anataka kumuelewa, ila nikamsikia baba yake anampooza mkewe, nikarudi zangu chumban kwangu nisije nikakutwa bure…
Nikajikuta naanza kuwa na hofu sana, kwanza nikafunga mlango vizuri sana siku hio, niliogopa nisije nikanyongewa ndani bure, au nikatupiwa masumu, nilikuwa naogopa mno, na siku hio sikutoka ndani kabisa, nikaamka mapema sana, nikafanya kazi zangu haraka haraka, mara mama akatoka, nikamsalimia hata hakuitika, nikajua ehee kasheshe imeanza, ila nilipomsalimia baba akatabasamu na kuniomba nimpikie chai…

Nikapika haraka haraka, kisha nikamtengea, wakati huo mama alikuwa ameondoka, na omari alikuwa bado chumban kwake..
“ mwanangu mzoee mama yako kuna muda anakuwa na matatizo yake...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest