Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikalazimisha tabasamu kwenye uso wangu, ila ukweli ni kwamba tabasamu lilikuwa linatoka ila maumivu ambayo nilikuwa nayasikia moyoni hayakuwa yanaelezeka kabisa, nilikuwa nasikia maumivu makali sana, ambayo hata nikiambiwa nisimulie namna ninavyojisikia sikuwa najua nitasema je…

Basi sikutaka kuendelea kukaa pale, kwa sababu nilikuwa nahisi kupasuka kwa kweli kwa wivu..
Nikaenda chumban kwangu, nikalia sana, yaan sikujua Mungu alikuwa na kusudi gani na mimi, mpaka anipitishe kwenye haya maisha ambayo alikuwa ananipitisha kwa kweli, sikuwa najua kama mapenzi ndio yanauma kwa kiasi hichi..

Mara nikasikia nabil anaitwa ndio akatoka chumban kwake, ila kabla hajaenda huko alipoitiwa akafungua mlango wangu na kunituta nalia, akanisogelea kisha akanifuta machozi na kunambia “ nakupenda sana dhinura wangu na kwenye hili sitanii, naomba niamini kwa jambo lolote lile ambalo utaliona amini wewe pekee yako ndio mwenye haki ya kuwa na mimi…

Hapo angalau sasa nikaanza kupata amani, yaan familia hainitaki ila mwanaume bado yupo na mimi, nikainua macho yangu na kumtazama, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema “ mamaa nakupenda sana, kisha akanikiss na kusema “ naomba nikamsikilize mama, kisha akaondoka zake….

Nilikuwa chumban kwangu kimya nimetulia, nikiwa sijui natakiwa kufanya nini, kwa sababu nilikuwa nina uhakika kuwa siwezi kurudi kwetu na kuendelea kukaa pale ni hatar zaidi kwangu…

Mara nikaanza kusikia nabil akiwa ana bishana na mama yake, nikafungua mlango kidogo na kuanza kuwasikiliza..
“ nimesema kama ni kuoa utamuoa shenaizah na sio huyo mwanamke unayemuwaza, kwa sababu hatutakaa tumpokee kwenye hii familia, akasema mama yake..
“ siwez kuoa mwanamke ambae simpendi mama, nimekuwa na kuheshimu na kulinda sana heshima yako kwa muda mrefu sana, na sijawah kukupinga kwa sababu nimekuwa nikikuweka wewe mbele zaidi kwenye maisha yangu kuliko kitu chochote kile, ila kwa hili hapana, naomba uache moyo wangu na hisia zangu zichague zenyewe kuwa zinamtaka nani, kwa sababu nitakuja kumtesa binti wa watu kwa sababu simpendi hata kidogo shenaizah mama na nampenda zinura, akasema nabil kwa sauti ya kujiamin, mpaka kuna namna nikaanza kupata ka amani, kwa sababu angalau mwanaume ambae nampenda alikuwa ananitetea…

Yule mama sijui hata alikuwa na matatizo gani, akaanza kutetemeka kisha akaanguka chini, sijui nabil akamfanya nini akaamka, baada ya hapo nabil akamkumbatia mama yake wa kufikia na kusema “ sawa nitamuoa mama ila nimuoe na zinura ili angalau nitulize moyo wangu na wako mama…

Hapana mwanangu Yule mfanya kazi wa ndani mimi simtaki kwenye familia yangu hata kidogo, sipo tayar kukupoteza kwa gharama zozote zile mwanangu, kwa sababu wewe ni mwanangu na siku zote za maisha yangu utakuwa mwanangu na hautakaa uwe mbali na mimi, akaendelea kusema…

Nabil akaanza kulia, alikuwa ni kama mtu asiekuwa na namna, kwa sababu alikuwa anaonekana wazi kuwa hayupo tayari na chaguo la mama yake, na pia hakuwa anajua atafanya je ili asiniumize mimi kama mwanamke wake na mwanamke wa maisha yake…

Yaan nilikuwa namuangalia namna anavyotoa machozi nikajua kabisa huyu hana namna ila ukweli ni kwamba hampendi hata kidogo huyo mwanamke, ila hayupo tayar pia kumkwaza mama yake, nikaanza kupata hofu kwa sababu niliamin kuwa chaguo la mama yake ndio linaweza kupita kuliko chaguo la moyo wake…

ITAENDELEA …
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14


Nikalazimisha tabasamu kwenye uso wangu, ila ukweli ni kwamba tabasamu lilikuwa linatoka ila maumivu ambayo nilikuwa nayasikia moyoni hayakuwa yanaelezeka kabisa, nilikuwa nasikia maumivu makali sana, ambayo hata nikiambiwa nisimulie namna ninavyojisikia sikuwa najua nitasema je…

Basi sikutaka kuendelea kukaa pale, kwa sababu nilikuwa nahisi kupasuka kwa kweli kwa wivu..
Nikaenda chumban kwangu, nikalia sana, yaan sikujua Mungu alikuwa na kusudi gani na mimi, mpaka anipitishe kwenye haya maisha ambayo alikuwa ananipitisha kwa kweli, sikuwa najua kama mapenzi ndio yanauma kwa kiasi hichi..

Mara nikasikia nabil anaitwa ndio akatoka chumban kwake, ila kabla hajaenda huko alipoitiwa akafungua mlango wangu na kunituta nalia, akanisogelea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest