Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nilihisi kama sijaona vizuri, nikaanza kumuangalia kwa makini sana ni kweli alikuwa ni yeye, cheka yake, na namna ambavyo anaongea, dimpoz zake, urefu wake yaan kila kitu alikuwa ni yeye, ila tofauti ni kwamba alikuwa na afya na amenawiri sana..
Nikaja kushtuliwa na harufu ya vitunguu kuunguwa ndio nikashtuka na kuanza kupika upya…
Nilikuwa sielewi kabisa kama ni nina ota au laa, maana kila kitu yaan kitu alikuwa sawa sawa na omari, sasa kichwan kwangu nikawa na majibu na maswali kadhaa, la kwanza, huenda labda wamefanana tu maana duniani watu wawili wawili, na kingine kama angekuwa ni yeye si angerudi nyumban kwao, kwa sababu anaishi maisha mazuri anachezea hela alafu wazaz wake hawana hata viatu vya kuvaa, mwisho nikatoka na jibu kuwa sio omari wangu, na nisimlinganishe na wanaume wa shenzi kwa sababu omari wangu ni mtiifu sana na anaadabu hawez kuwa na sifa mbaya kama kuwa Malaya au kujihusisha na dhambi yoyote ile…

Basi nikapika pale mpaka nikamaliza na baada ya hapo nikaenda kutenga mezani, nikawa nasikia mama yake anauliza “ Nabil mwanangu ni lini utaacha tabia yako ya hovyo lakin, nataman sana kukuona umeoa na mimi niwe na mjukuu mwanangu..
“ni kweli sisi tumeshakuwa watuwazima sana tunataman familia yetu izidi kupanuka, utuletee mkamwana atulee, na utuletee na wajukuu, si unaona upo pekee yako hauna hat ndugu, akawa anasema baba mwenye ile nyumba ambae alikuwa kama muarabu koko flani hivi…
“ sasa ngoja niwaambie, si mnaona namna ninavyochapa kazi kama sina akili nzuri, akasema nabil na baba yake akajibu “ kwa hilo nakupongeza, yaan kampuni imepata faida kubwa sana kuanzia ulipoanza kuiendesha..
“ mnafikiria Napata je nguvu sasa? Akauliza nabil..
“ ndio utuambie hii hari uliyo nayo inatoka wapi?..
“ madem, yaan nikikaaga na mademu nafanyaga kazi kama sina akili nzuri, mmeona sasa faida za watoto wazuri namna wanavyonipa munkari ya kufanya kazi..
Nilishangaa namna nabil anavyoishi na wazaz wake, ila mimi nikimkumbuka baba yangu mzee Suleiman, yaan ukisema habari za mabwana mbele yake, utashangaa stuli ya kichwa imekuangikia kichwani, na mama yangu ameshaenda kuchukua kuni yenye moto anakupiga nayo mpaka moto uzime, lakin sijui hawa ndio wanaishi maisha ya kizungu au vipi, kwa sababu anaongea kitu chochote kile anachokitaka na wazaz wake wanamuangalia tu, tena wanacheka kabisa…

“ nimesikia umeniletea mke nambieni ni mzuri ee, akauliza nabil na mama yake pamoja na baba yake wakaangaliana kisha mama yake akasema n” huyu binti kaja kutusaidia kazi hapa, na hajaja hapa kuwa mwanamke wako, safari hii ukifanya ujinga yaan sitokusamehe kabisa nabil, akasema mama yake na nabil akacheka kisha akasema “ nilikuwa nakutania bana mama nataka sasa hivi niwe shehe au mnaona je?..

Wazaz wake wakaangaliana kisha wakacheka na baba yake akasema “ sawa tunakuombea…

Niliposikia wazaz wake wanamuita nabil nikajua hawez kuwa omari wangu, watakuwa wamefanana tu, basi nikatenga chakula kisha nikasema “ chakula tayari, karibuni mezani, Yule kijana aligeuka kwa mshangao kisha akaniangalia kwa mshtuko…

Nilishangaa ni kwanini alikuwa ananiangalia vile , ila nikajizuia kuwaza ninachokiwaza kwa sababu omari asingeweza kabisa kupata mali alafu wazaz wake wateseke, na huku kwa nabil sasa, akaanza akamsogelea mama yake kisha akasema “ mlijuaje kama hivi ni vitu vyangu mtoto kajazia balaa…

Nabil alikuwa amezoeana sana na mama yake, mama yake akacheka kisha akasema “ acha tamaa…
Basi wakaenda mezan na kula, na mimi nilikaa sehemu nikiwa nawaangalia, walikuwa wanaonekana ni familia yenye furaha sana, nikaanza kumuwaza omari wangu, huenda angekuwa hai na sisi siku moja tungekuwa na familia yenye furaha kama ile..

Basi wakala na mara baada ya kumaliza kula nikaenda kusafisha meza, na nabil kumbe alikuwa anashangaa umbo langu na sio mimi kama ambavyo nilikuwa nadhani…

Basi nikaanza kuishi kwenye ile nyumba, kusema ukweli ilikuwa ni familia yenye upendo sana, kiasi kwamba wakaanza kuninunulia na mimi mafuta ya elfu 35 pamoja na nguo nzuri, nikawa naishi nao kama ndugu, ila kuanzia nnimefika pale kuna namna nabil alikuwa anrudi sana nyumban mapema, kwa sababu alikuwa anaweza kutokomea hata mwezi hajarudi nyumban, yaan wazaz wake wanakutana nae kazini tu…

Akiulizwa amepatwa na nini akawa anasema tu, siku hizi anafurahia vyakula vya nyumban kuliko mahoteli, maana mwanzo hawakuwa wanapika kabisa bali walikuwa wanaagiza tu..
Wazaz wake wakawa wananipongeza ila kutwa mama yake akawa ananiuliza kama mwanae ananisumbua, ila ukweli alikuwa ni kijana mstaarabu sana, hata hatukuwa tunaongea, yaan akiwa nyumban anashinda zake anacheza magemu, na mimi nikimaliza shughuli zangu nakaa zangu chumban maana nikimuangalia nataman kulia maana nahisi kama nipo na omari wangu…

Siku moja akaja rafiki yake nabil nyumban, ni kama nabil hakuwa anataka aje, ila alikuja kama kwa lazima, maana nilisikia anaongea nae kwenye simu akimuambia kuwa “ usije mimi sipo nyumban, ila alikuja kwa kulazimisha, na alipofika nyumban nikasikia anasema “ nataka nimuone huyo anaesababisha unarudi nyumban kama kuku wa kizungu, yaan saa kumi na mbili tayar upo ndani kama unaiwahi ftari…
“ usiongee kwa nguvu bana, embu twende ndani akasema nabil haraka haraka na kweli wakaingia zao ndani..

Basi nabil akaniita niandae chakula, nikaandaa ugali na samaki, kwa sababu ndio anapendaga, nikawatengea kisha nikarudi zangu jikoni kuendelea na shughuli zangu, mara Yule rafiki yake nay eye akaja jikoni na kusema “ naweza kupata juice, ila kabla sijamjibu nikasikia naitwa na nabil, nikaenda ukumbini akanambia “ mbona ujaleta maji ya kunawa?..
“ sinki si hilo hapo boss najuaga mnanawaga hapo, nikamuambia maana huwa kuna sinki la kuoshea mikono kwenye dinning room, akaniangalia kisha akasema “ ahaa sawa kaendelee na majukum yako..
Kweli nikaridi jikoni na rafiki yake hakuwa ametoka jikoni, akawa anasubiri nimpe juice kama anavyosema, kabla sijaingia mlango wa jikoni nikasikia “ dada njoo, ananiita tena..
Nikarudi mpaka alipo kisha nikamuuliza “ naweza kukuhudumia nini boss?...
“ maji ya kunywa yapo wapi?..
“ hayo hapo kwenye jug, na glass nadhan unaiona, nikajibu kwa unyenyekevu..
“ ahaa sawa nenda kaendelee na majukum yako, nikajibu sawa
Nimefika nikawa sasa namuandalia Yule rafiki yake juice, bana bana kumbe chakula hakiliki, akaacha kula, akatafuta upenyo akawa anachungulia nafanya nini na rafiki yake alikuwa anaitwa Kian..
Basi nikaandaa juice kisha nikamiminia kwenye glass, ila sasa wakati nampa kiani juice akaanza kuushika mkono wangu kama ana upapasa, kisha ndio akapokea juice, aisee sijui nabil alitokea wapi, kisha akanishika mkono na kuanza kutoka na mimi nje kwa hasira kana kwamba amemfumania mke wake wa ndoa, kumbe wivu bana mimi sikuwa najua..

NAKUJA……

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3


Nilihisi kama sijaona vizuri, nikaanza kumuangalia kwa makini sana ni kweli alikuwa ni yeye, cheka yake, na namna ambavyo anaongea, dimpoz zake, urefu wake yaan kila kitu alikuwa ni yeye, ila tofauti ni kwamba alikuwa na afya na amenawiri sana..
Nikaja kushtuliwa na harufu ya vitunguu kuunguwa ndio nikashtuka na kuanza kupika upya…
Nilikuwa sielewi kabisa kama ni nina ota au laa, maana kila kitu yaan kitu alikuwa sawa sawa na omari, sasa kichwan kwangu nikawa na majibu na maswali kadhaa, la kwanza, huenda labda wamefanana tu maana duniani watu wawili wawili, na kingine kama angekuwa ni yeye si angerudi nyumban kwao,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

1.06K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

649
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

616
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

578
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

528
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

407
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

347
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

118
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest