Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 15
Gonga94 · Stories

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi nabil alikuwa anakuja kulala na mimi usiku licha ya shenaiza kulala nae chumba kimoja, ila alikuwa anaenda kule kuchukua nguo tu, na sijui hata alimpanga nini shenaizah akawa anakubali tu, ila sasa anakubali kumuachia omari wangu kuja kulala na mimi mpaka asubuh ila omari akiondoka tu kwenda kazini, alikuwa ananionesha joto ya jiwe..

Yaan alivyo na tabia za hovyo akaanza mpaka kunifulisha nguo za ndani za kwake, sikuweka hiyana kwa sababu ndio sina namna, na Yule mama bado hakuwa ananipenda hata kidogo..
Nilijipa moyo konde na kuamin kuwa hata kama kumekuwa giza kiasi gani, haimaanishi kuwa hakutakucha, yaan ni lazima kukuche tu…


Basi maisha yakawa yanaendelea, sasa huyu shenaiza akajichanganya siku moja, ndio akajua rangi yangu ya kweli..
Watu wote nyumban walikuwa wameondoka na nilikuwa nimebaki mimi na yeye tu, mara akaja shoga yake mmoja, wakaanza kunituma kwa kunikomoa, sikuwa na namna zaidi ya kuwakubalia kila wanachoniagiza….

Basi kuna muda akaniagiza juice alafu shoga yake akaimwaga makusudi chini, kisha akanambia nifute..
Aisee niliwakata jicho kisha nikamuambia “ sifuti na naomba aliemwaga afute mwenyewe, mimi ni mfanya kazi wa ndani na sio mtumwa wenu…

Si ndio shenaizah akaniweka kibao, aisee hapo ndipo alijichanganya, sijui hakuwa anajua kuwa mimi ni mtoto wa kijijini na nilikuwa nimelelewa kwa mihogo na magimbi, hizo nguvu ambazo nilikuwa nazo nahisi labda wakusanyane ukoo mzima, aisee nilimpiga kisawa sawa, mpaka akaanza kulia na mlinzi akaja kuamua, na wakati huo huyo shoga yake nae akawa anataka kujichanganya, nikawaunganisha wote, nikawachapa balaa, mwisho mpaka wakajisogeza wenyewe, kisha kwa sauti ya ukali nikasema “ nyie pia ni wanawake, na majukum ya wanawake yanajulikana kwa wote, kama ni kazi ya nyumba hii niiteni nitafanya, ila kama ni ujinga wenu msisinisumbue kuniita, maana mtakuwa mmeita moto nan i lazima utawaunguza…

Wakaniangalia kisha hata sikusema nao nikaenda zangu nje kukaa na mlinzi, ila wakati nawapasua nikamalizia na hasira zangu za kutaka kumchukua omari wangu…

Basi nimefika kwa mlinzi,mlinzi ni ananipongeza tu kuwa nimefanya kazi nzuri sana maana shenaiza alikuwa na madharau sana, na kuna namna anaonekana kama alikuwa anataka kumuendesha kila mtu kwenye ile nyumba…

Kwenye majira ya kama saa nane, wakaja watu wakapamba, nikawa nashangaa wanapamba nini hawa, ndio nikaja kugundua kuwa walikuwa wanaandaa harusi ya kupakana hina…

Kiukweli nilihisi kuchanganyikiwa kabisa, yaan niliona kama mambo yanaenda haraka haraka sana, kiasi kwamba nikawa hata mimi sina muelekeo wowote na sijui kuhusu penzi langu na nabil lilikuwa linaishia wapi, nikamtumia sms nabil juu ya kinachoendelea, akanambia nisiwe na mashaka, maana kama ni kuoa ni lazima mtu atakae muoa atakuwa ni mimi tu, hivyo akanitaka sana nipunguze wasiwasi na mawazo yasiyokuwa na msingi kabisa…

Basi kweli kwenye majira ya kama saa kumi na mbili jion, suala la party ya hina likawa linaendelea, nikamwambia omari ananiambia nisijali, na akawa ananitoa wasiwasi kama ambavyo huwa anafanya kila wakati…

Basi omari akarudi kwenye kama saa tatu kasoro, akakuta na mimi nafanya kazi, na mama akasema kuwa nisiishi kama mwanafamilia bali niishi kama mfanyakazi asiekuwa na hadhi kabisa …
Sasa nabil amerudi amekuta natengea watu chakula, akanishika mkono kisha akanambia “ usifanye hii kabisa zinura..
“ lakin mama amenambia niishi kama mfanyakazi kwneye hii nyumba na sio mwanafamilia, nikasema…

Nikashangaa nabil ameenda kubadilisha nguo, kisha akaanza kufanya yeye zile kazi ambazo nimepewa nifanye mimi…

ITAENDELEA ………………….
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 15


Basi nabil alikuwa anakuja kulala na mimi usiku licha ya shenaiza kulala nae chumba kimoja, ila alikuwa anaenda kule kuchukua nguo tu, na sijui hata alimpanga nini shenaizah akawa anakubali tu, ila sasa anakubali kumuachia omari wangu kuja kulala na mimi mpaka asubuh ila omari akiondoka tu kwenda kazini, alikuwa ananionesha joto ya jiwe..

Yaan alivyo na tabia za hovyo akaanza mpaka kunifulisha nguo za ndani za kwake, sikuweka hiyana kwa sababu ndio sina namna, na Yule mama bado hakuwa ananipenda hata kidogo..
Nilijipa moyo konde na kuamin kuwa hata kama kumekuwa giza kiasi gani, haimaanishi kuwa hakutakucha, yaan ni lazima kukuche...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-true-love-story-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-true-love-story-sehemu-ya
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 8
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 11
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 6
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 12
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 14
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 10
MY TRUE LOVE STORY  SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 16
MY TRUE LOVE STORY    SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 17
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 18
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 13
MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 9
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 7
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 5
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 3
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 1
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 4
 MY TRUE LOVE STORY   SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 19 - 20
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
MY TRUE LOVE STORY SEHEMU YA 2
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

9.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.28K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.05K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.01K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.93K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest