Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa na serikali baada ya kuonekana kuna sheria wanavunja, Basi ukawa mwisho wa ile kampuni Wale waturuki wakarudi kwao na Veda akabaki hana kazi, Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha magumu kwa sababu Veda ndio kichwa cha familia baada ya baba yake kufariki wakiwa wadogo Veda akaamua kuacha shule ili akimbize nyumbani chochote kitu ...

Baada ya maisha kuwa mabaya yule dada ndio akaanza dharau za wazi sasaa sio kwa Mumewe wala mama mkwe anatoka muda anao taka na anarudi muda anao taka Veda akaanza kukimbiza Boda boda mtaani ili tu kupata chochote lakini mwanamke bado hakuridhika na vile visenti mwanzo alikuwa anapata kila anachotaka kwa veda ila sasa mambo yalibadilika ..

Wakati Veda ameacha kazi yeye alikuwa na mimba ya miezi minne mpaka ikafika miezi 7 Veda bado mambo yalikuwa magumu huyo dada akasema yeye hawezi kuzaa mtoto akute maisha ya hivi Bora atoe mimba kwanza, Hii ilikuwa habari ya kushtusha sana kwetu mimba ya miezi 7 atoe mbona ni mtoto kabisa, Tulimuweka sana vikao lakini aliondoka hapa nyumbani kama wiki akasema anakwenda kwao mara moja na alipo rudi hakurudi na mimba aliitoa tayari yaani tuseme aliuwa tu mtoto kabla hajazaliwa ..

Baada ya hapo ulitokea ugomvi mkubwa kati yao na veda akampa talaka yaani kulikuwa na ugomvi sana kwa sababu mwanamke alitaka wagawane haswa hii nyumba maama aliijenga akiwa yupo nae basi aah yaani mambo yalikuwa mengi hili langu sasa ni tukio la pili kuhusu mimba....



Mmmh nikainama chiniii aibuu na huzuni humo humo nikamwambia mama hata sikujua mie niliwahi kumkuta Veda sehem mbaya na rafiki yake alikuwa na wanawake kibao nikajua na yeye ni wale wale ukweli naogopa sana mie kuumizwa mamaa naogopa"

"Hata kama Veda simjui ila swala la wanawake hapana hapana hapanaa hilo nakataa kabisa huyo sio Veda wangu labda kama ulishamshuhudia na wanawake"

Basi tuliongea mengi sana na mama nikabaki hapo mpaka mchana Veda hakuwa amekuja mama akapika tukala alinikatazaa kabisa kupika et kwakua ni mjamzito, yalikuwa masaa tu lakini mama alijua kunidekeza jamani heee hahaha mpaka rahaa ile siku nilii enjoy sana nikajuta hadi kwanini niliwaza kutoa

Mchana ule tupo tunakula pale nje Veda akawa amekuja yaani amekasirika huyooo akatupita hata hajasalimia , Basi mie nikajisikia tu vibayaa nikamtazama mama akanambia nenda kaongeee nae kama utafanya maamuzi ya kuzaa ila kama bado una wazo la kutoa mwachee"

Mmh nikainuka mie Nampenda sana Veda sanaa ila nilikuwa naogopa tu kuanza kusumbuana sumbuana kuviziana aah ndo sitakii, Basi nikaienda humo chumbani kwa Veda

"Veda naomba tuongee..." nilikuwa mpole mikono nimebana tumboni nachezea nguo yangu, alinikata hilo jichoo wee namie nikamkazia macho akachukua Dawa zangu akanipa

"Kama utatoa ni wewe, Nisamehe kukuingilia ila ukiona huyo mtoto anathamani ya kuishi Tafadhali nishirikishe ukimzaa nitamchukua" akanipa dawa zangu hata nguvu ya kuzichukua nilikuwa nayo sasaa

"Veda lak...."

"Tafadhali Vero Ondoka..." daah yaani amenifukuza tena bila hata kunitazama usoni , nikaondoka kwa hasira mpaka kwa Tinner yaani nililiaaa nililiaaaa akanibembeleza mpaka basi akanambia unamtaka Veda nikasema sana tu sivyo nilivyo kuwa namfikiria mwanzo akanambia sasa si amekubali mimbaa?? Nikasema ndio akanambia hayaa chukua, akanipa begi la nguo nikasema la ninii akanambia hamia kwake sasa utamalizaje hasira zake na upo mbali??
Mmh nikasema si ataniuwa jamani huyo kaka chupu chupu aniuwe akasema we nendaa akikuuwa si tutazika bwana embu nenda ...
Tinner bwana yaani mie nipo serious yeye ananiletea utani wa kijinga ..

Akanambia Nenda kamwambia Sina pa kuishi na hili tupo kama hataki kukaa na wewe akuue tu, Nikasema hili nalo mbona bomba nikabeba mbegi wangu huyo mpaka Kwao Ile nafungua tu geti namuona na yeye anafunga mlango wake pale nje hapakuwa na mtu

"Nimekuja kukaa hapa sina pa kwenda..." akabaki ananishangaa

"Unanifungulia niingie au utabaki unanisimamisha hapa "
Akaufungua mlango akasukuma ukawa wazi mie nikaingia, Ila yeye hakuja nikatulia kama dakika nzima haji

"Veda hivi unakuja au mie niondoke??"

"Vero unataka ninii..." et akaingia amekunja sura

"Nitakaa humu ndani nawewe umtunze mwanao nikizaa utachukua mie nitaondoka kama utaenda nae huko kwenye makasino kununua nae wanawake mtajua wenyewe na uhuni wenu" niliongea kwa hasira na wivu humo humo
Nikamuona ametabasam ila hakusema kitu basi mie ndo nikazidi kupata hasira kwanini sasa hata asikatae mfyuu ...

"Sheria ya kwanza humu ndani marufuku kuvuta mi bange yako Veda staki kabisaa, Sheria ya Pili marufuku kuzurula usiku kwenye makasino Sheria ya Tatu unatakiwa kuwa karibu na mwanao na sio mie " afu nikageukia upande mwingine nikalala zangu nimenuna hatari
Akanitazamaaaaa halafu akaondoka hata hajasema kitu, mie sipendi nataka hata anisemeshe tu mmh ..

Basi nikawa nachat na Tinner namwambia ananipa mbinu niwe namchokonoa chokonoa hivyo hivyo hana mbio kwangu, Tinner akanambia Veda anakupenda sanaaa yaani nilipo mwambia una mimba alifurahi mnoo yaani hata sijui nikuelezee vipi hata nilipo mwambia akuwahi unataka kutoa alichanganyikiwa kusikia hilo Kwahiyo tulia Mume unae dada we tambaaa mmh , kweli kimoyo moyo nilimshukuru Tinner maana sasa hivi ningekuwa naugulia tumbo la kutoa mimba ...

Jioni nikatoka hapo mama alipo niona alifurahiii nikamwambia nimekuja kukaa hapa ila Veda ameninunia akanambia mpe Muda ana hasira bado ila atakuwa sawa mpe tu muda maana humu ndani wote haongei na sie zaidi ya Bangi zake tu, nikacheka akanambia mvumilie kama umeamua kuzaa jamani nimependa sanaa asante Vero nikamwambia mama jamani unafanya nijione nina dhambi hivyoo ...

Basi nikapika mwenyewe chakula cha jioni ila ndo kwa kulazimisha kweli maana mama alikuwa hataki et nipumzike na mie nataka kumpikia cha mibange wangu aah nikapika mtoto ufundi wotee nikaumaliz jikoni Ikafika mpaka sa moja na Nusu Veda hajaja ..

Itaendelea....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18


Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa na serikali baada ya kuonekana kuna sheria wanavunja, Basi ukawa mwisho wa ile kampuni Wale waturuki wakarudi kwao na Veda akabaki hana kazi, Huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha magumu kwa sababu Veda ndio kichwa cha familia baada ya baba yake kufariki wakiwa wadogo Veda akaamua kuacha shule ili akimbize nyumbani chochote kitu ...

Baada ya maisha kuwa mabaya yule dada ndio akaanza dharau za wazi sasaa sio kwa Mumewe wala...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 16
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 15
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 13
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 11
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 12
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

877
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

548
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17

515
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

489
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

477
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18

390
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19

356
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

182
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3

95
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

89

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.45K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.22K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.75K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.6K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.44K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.44K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.42K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee β€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest