Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9
Gonga94 Β· Stories

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini .

Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi tu nyumbani kwake

"We kwemaaa!!!??"

"Hata sio kwema embu nikaribishe hata ndani basiii daah" nikapitiliza ndani moja kwa moja nikajitupa kwenye kochi li pochi nikatupa hukoo akili ilikuwa imechoka mnoo

"Enhee nambie mwenzangu" Tinner akaja kukaa pembeni yangu huku shingo kaichachamaza kweli anataka nimwambie

"Mh!!! Hata sio ya kuongea"

"Umeanzaaa..... hivi hapo unataka nikubembeleze weeee yaani nikurambe rambee ndo uongee"

"Hahah ushaanza mambo yako, Mwenzangu jana mie huyo nimekupuka mbio mbio naenda kwa D tenaa, Nimemiss mkong'onto wa dudu ...."

"Mhuu!" Tinner akajitengeneza vizuri na mikono akailea ka anasubiri mkate wa bwana

"Yaani hata sijui nianzie wapii ninalizie wapi "

"Embu endelea bwana "

"Mwenzangu D nimemkuta na wanawake watatuuu upoo tena wotee analala nao yeye maana walivyokuwa wanampeti peti na kwa ile pichaa wale watu wanajuana yaani ndio tabia yake mjinga yule kalewa chakariii ......"

"Mungu wangu, D huyuu chaufupi wako?? Mbona namuona mstaarabu sana kumbe na pombe ana kunywa"

"Eh...... mie ndo nimeona juzi na jana sijawahi hata kumuhisi kuwa pombe anakunywa na anafanya ujinga wa kiwango cha lami vile .... mie ndo kuanzisha ugomvi tena dadaa D huyo kanifukuza mbio mbio, kumwambia Veda aniondoe, Tinner nimelia mie jana Roho imeniumaa Basi tu yaani D huyo hata sikumdhania kabisaaaa ...."

"Daaah ... pole sanaa ila wanaumeee sijui wanajikuta kina nani tu jamani dah pole, Enhee ikawaje Ukatembea na Veda tena"

"Mwenzangu Veda kanibaka "

"Hahahah Hapo ndo napatraaaaakaaa nipe hizo nyuuuuz maana naona uso hadi una nuruu hahaha kwa hilo fumanizi ungekuja hapa leo unalia hadi kamasi ila umekuja na uso wa bashashaa hahaha embu nipe nipe mamaa nipo lelee lelee hapaa"

"Hahaha Mjinga wewe .... yaani nilikuwa nahasiraaa basi Veda nae amekazana et kunifukuza nje daah wacha nianze kumtukanaaa ........" wakati namuhadithia Tinner alikuwa anachekaaa yaani anacheka mpaka anaishiwa pumzi anaanguka kwenye kochi anainuka ikabidi tu na mie niwe nacheka kila nikimuelezea Veda alivyoniingilia bila ridhaa yangu jamani ndio najikuta sasa najenga picha mpya kichwani kuhusu Vedaaa nyie anabonge wa mkono ila alivyokuwa ananipapasa sasa uwiiiihhh
Nikajikuta natamani kumuona hapo sasa hiviii yaani nikawa kama nina hamu nae hatari ...

"Weee kifupi kaka ma bangi Fundiiii "

"Hahaha acha mambo yako bwanaa, Sio sanaaa ila anajitahidi"

"Sema ukweli D na Veda nani anajua kulicheza sebele mazuka vizuri "

"Hahaha Vedaaa haha ile sio ndio namsifiaa useme namtakaa aah wapiii Mie na Mvuta bangi ni mbali mbaliii"

"Mie kuanzia leo Veda ndio shem languuuu yaani Mitano tena kwa kaka Veda na nikipita hapo nikimuona namuita kabisa Shemmmmm hahah'

"Afu Tinner sitaki ujueee"

"Usinambia tu unampango wa kurudi kwa huyo jifupi nyundo wako na kitambi chake kaa anashambuliwa na minyoo"

"Hahaha leo hiyo Tinner, "

"Aah kanikeraa afu nilikuwa tu namvumilia kwasababu ndo shemeji nitafanya ninii ila mmh aende huko mfyuu, Vero usije kurudi kwake huyo sio mwanaume ni mshenzi huyoo achana nae mungu kakuonesha mapemaaa sasa jifanye atajirekebisha shauri yako ...kama shida ni kodi ikikushinda hama hapo maishe yanaendelea..."

Nikashusha pumzi ndefu maneno ya Tinner ukiacha utani wake yaliniingia kichwani, kama anaweza kulala na wanawake watatu usiku mmoja atashindwa kunipa ma ukimwi kwa maksudi kwelii?? Nilijifiriia kidogo haswa kuhusu kulipa kodi maana pale yeye ndie alinipangia baada ya kunihamisha nilipo kuwa anaishi mwanzo ndio akanipangia na kila kitu yeye ndio anajumuika kwangu ..

Lakini nina kazi yangu na nilikuwa naishi kabla yake kwahiyo hata akienda nitaishi tu bado hizi picha mbili nilizo ona zinatosha kabisa kunitoa kwenye giza ..

"Nitakaa hapa kwako hii wiki najua atasafiri wiki hii hii tu akiondoka na mie nitarudi kwangu kodi ikiisha nitahama "

"Hamaa njoo tukae hapa wote hata usiende kupanda si unaona hii nyumba ilivyo kubwa afu nipo tu mwenyewe "

"Aah wee sifanyi hiyo kazi bwana"

"Ndo kama kawaida yako hutaki uswahilini"

"Sio hivyo ila ukiachwa tunaanza tena kuhangaika na mzigo aah sitaki!"

"Hahaha we mwehu kweliii......"

Siku enyewe nilipiga tu simu kazini nikaomba ruksa ya dharula kuwa naumwa gafla tu homa imenishika asubuhi basi nikapewa ruksa ya siku mbili, Ila siku ikaisha nipo tu ndani kwa Tinner, D alikuwa anapiga simu mara kwa mara ila hata sikujiangaisha kupokea wala kuzima na alikuwa hajui nipo wapi uzuri ndani kwangu nilikuwa nimefunga nilicho acha wazi ni geti tu kwahiyo sikuwa na ma shaka na usalama wa kwangu ....


Siku ikaisha ikaja siku inayofata niliamkia pale pale kwa Tinner, Jioni Tinner akanambia embu twende ukatembee tembee huko sio kukaa tu ndani kama utumbo twende ukapate hewa upunguze mawazo yako ..

Basi tukatoka tumashusha kile kilima alinambia twende akanunue mboga, Ile namaliza tu kushusha kilima hapa na hapa Veda huyu anatokeza akaenda kukaa kwenye Bench chini ya mti, Jamani moyo wangu hati hati miee, Muda wote upo juu juu kama umepanda ndege

ITAENDELEA....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9


Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini .

Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi tu nyumbani kwake

"We kwemaaa!!!??"

"Hata sio kwema embu nikaribishe hata ndani basiii daah" nikapitiliza ndani moja kwa moja nikajitupa kwenye kochi li pochi nikatupa hukoo akili ilikuwa imechoka mnoo

"Enhee nambie mwenzangu" Tinner akaja kukaa pembeni yangu huku shingo kaichachamaza kweli anataka nimwambie

"Mh!!! Hata sio ya kuongea"

"Umeanzaaa..... hivi hapo unataka nikubembeleze weeee yaani nikurambe rambee ndo uongee"

"Hahah ushaanza mambo yako, Mwenzangu jana mie huyo nimekupuka mbio mbio naenda kwa D tenaa, Nimemiss...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/from-bangi-to-baby-sehemu-ya-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi from-bangi-to-baby-sehemu-ya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 1
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 4
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 3
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 2
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 5
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

510
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

352
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

236
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

217
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

216
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

178
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

170
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

131
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

108
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10

101

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 7 na 8.
@majario LIVE

7 MPAKA 8 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie iyo jioni ndo nilikuwa wa kwanza kulejea home. Mana nilikuta baraka wala hajaludi. Nikaenda kubadili fomu za shule. Kisha nikatoka kumsaidia...

SASA. NAKUPENDA One to sex Post Mpya
SASA. NAKUPENDA One to sex
@majario LIVE

MPYA MPYA ( 1 MPK 6 ) 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi lissa wa huru media Sehemu ya 1 na 2 Mwandishi; lissa wa huru media Hellow...

SHAMIRA 1 mpk 7. Post Mpya
SHAMIRA 1 mpk 7.
@majario LIVE

MPYA MPYA πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media sehemu ya 01 "Nakwambiaje unajikuta mtoto wa mjini , mm ww sikuogopi wanakuogopa hao hao ,yani bwana angu unichukulie...

Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat Post Mpya
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
@majario LIVE

. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sudden death hit her especially hard and she went through severe...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya...

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest