Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
Gonga94 Β· Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


SONGA NAYO.........

Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza wanafunzi zaidi ya kumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

Na sijui kama huwa anatumia Kinga kweli bora me natumia mpira ila kwa Lizy ndio nilikosea maana alikuja kwa kunishtukiza tu dah πŸ˜…

"Dah Henry umezingua mwanangu.."

Jose baada ya kfika akaanza kunilaumu, sikuwa hata naweza kuongea vizuri maana mdomo ulipigwa huo πŸ˜‚ walah nyie watu wa mwanza mtaniua

"Kuna nini kwani...??"

Niliuliza kwa shida

"Huwezi amini huko shule mkuu amechukia ile mbaya, anasema tunaendekeza Sana mapenzi badala ya kazi.."

"Mh " niliishia kuguna tu maana hayo yanaukweli ndani yake, ni kweli upande wangu naendekeza sana mapenzi na sio kwa penina hapana kwa Lizy

Basi bana story za hapa na pale ziliendelea

"Hivi unamjua yule binti..??"

Nilianzisha story japo kwa shida sana πŸ˜‚πŸ˜‚

"Binti yupi, na yupoje yupoje...??"

Jose ainiuliza

"Anasoma form four, anajulikana kama Lizy huyo ndio demu wangu achana na huyo penina Mpauko.."

"Usiniambie, sikuizi unadate na wwanafunzi...??"

"Sio hivyo ni vile tu huyu binti nimemuelewa kinoma yani, na sababu ya kumkaripia Penina ni vile nilimkuta head boy amekaa na Lizy ndio nikapaniki kinoma yani.."

" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ walah umejua kunifurahisha so pale umempiga head boy kwa sababu ya wivu, ila wewe Henry utakuja upigwe siku akijua ulimpiga kwa sababu za Lizy ndio utajua.."

"πŸ™„ unamaanisha nini..??"

Nilumuuliza huku ka woga kakiwa kameanza kuniingia

"Yule head boy anamakundi hatari, hata huo u head boy ameupata kwa kuwalaazimisha wanafunzi wampigie kura ashinde so hapo kuwa makini tu asijue ila kama akijua walah unarudi songea ukiwa marehemu.."

"Unanitisha ujue..."

Kablsa hajanijibu muda huo huo mlango ukafunguliwa akaingia head boy akiwa ameongozana na Lizy, nyie yani uoga na wivu vilinishika kwa wakati mmoja πŸ˜‚

Nilikuwa natamani kunyanyuka kukimbia na kunyanyuka kumpiga Head boy

"Habari yako..??"

Baada ya head boy kufika hapo alinisalimia salamu ambayo ilinikera sana nikatulia tu

"Ohooo unakaa kimya nataka uniambie kwanini umempa mimba dada yangu..??"


SEHEMU YA 16
Nikashtuka, hata Jose naye akashtuka, akaniangaliaa na mimi nikamuangalia nyie nikitoka hapa ni moja kwa moja naenda kupanga nguo narudi kwetu kabisa miji ya watu imenishinda mimi

"Aaah unasema kwamba Lizy ana mimba..??"

Niluliza wa kutetemeka, lakini nilshtukia nikipigwa ngumi ya uso walah ukizingatia na maumivu niliyokuwa nayo nilikoma mbona

"Kakaaaa muache ...."

Nikiwa natapatapa kukata roho nilisikia sauti ya Lizy ambayo ilinifanya Roho ibakie kwenye mwili πŸ˜‚ maana kwa ile ngumi niliyopigwa ilikuwa siyo ya kitoto

"Kwahiyo unamtetea bwana ako sio, yani pamoja na kukulinda kote kule kumbe ulikuwa unagawa kwa huyu aisee Lizy umeniaibisha sana Lizy nitamwambia nini mama huko aliko enheee..."

Beny alikuwa anongea kwa uchungu ndio nikajua kwamba hawa ni ndugu bana, mana walikuwa wanafanana sana, ndugu yenu ule wivu wa kipumbavu wote uliisha ukizingatia nilimpiga shemeji yangu aweee πŸ˜‚ nilitulia

Na nilikuwa nawaza ndio naenda kuzeekea jela hivyo, dah yani nyege hizi mwana haramu kabisaπŸ˜‚ nilikuwa nalaumu tu na kutamani siku zirudi nyuma kwa kweli

"Kaka sio hivyo kaka, ni vile tu ilitokea bahati mbaya naweza kusema mimi ndio mkosaji wa kwenda kule kwake, ukweli huyu kaka ni mtu mzuri amewahi kunisaidia mengi kipindi ambacho ulikuwa haupo kaka angu nisamehe bure lakini naomba usimfanye chochote..."

Lizzy alikuwa anaomba msamaha kwa ajiri yangu huku akiwa amepiga magoti analia huyo, upande wangu hata kujiongeza tu hamna nimekauka 🀣 mwili umejaa makovu hautamaniki yaani

"Kwahiyo hata kama ni mwema dah yan aisee..."

Bony alikuwa anaongea hata maneno hayatoki kabisa naishia kusema dah maana aliumia sana jamani, nilikuwa nimekaa natazama mdomo ulikuwa unavuja damu umepasuka na hauna mwelekeo

Ety ndio najitapa nina lips nzuri uje uzione sasa zilivyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

"Kaka nisamehe kaka.."

Hayo ndio maneno ambayo Lizy alikuwa anasema kila muda, jamani nilikuwa naumia sana ndugu yenu tena sana natamani kujieleza lakini naogopa kupigwa ngumi

"Na wewe..."

Alisema Bony na kunigeukia mimi, akanitazama kwa jicho kali kisha akazungumza

"Hii siri itabaki ya watu wanne tu, mimi lizzy, na sir Jose lakini pia na wewe mwaikenda, na nisisikie chochote laa sivyo..."

Akanyamaza na kutuangaliaa

"Narudia tena laa sivyo, naondoka na ngozi zenu..."

Nikashtuka ngozi tena, nikamuangalia Jose akanikonyeza kuwa nitulie basi na mimi nikatuliza komwe langu na kusikiliza onyo kutoka kwa shemeji πŸ˜†

"Nazani nimeeleweka na kuhusu huu ujauzito lazima utolewe..."

Nikashtuka mpaka nikasimama, nyieeh katika vitu ambavyo sipendi basi ni hizi za kuharibu ujauzito wangu yani sitaki kabisa kusikia chochote kuhusu damu yangu

"Unaongea kuhusu nini..??"

Nilimuuliza

"Hujanisikia au, au tuseme kwamba masikio yako yamepoteza uwezo wa kusikia..??"

"Hapana nasikia vizuri tu ila kutoa ujauzito wan...."

Nilipigwa ngumi, harafu alivyo na zarau alikuwa anapiga pale pale pa mwanzo na kusababisha mdomo upasuke kabisa.

Hivi huyu ananichukuliaje mimi, yani wanazani kutungisha mimba ni rahisi hivyo enhee, pamoja na kupita na mademu wengi lakini sijawahi bebesha mtu mimba hata kwa bahati mbaya harafu kirahisi hivi watoe mtoto wangu

Pamoja na kwamba nilikuwa natumia Kinga lakini sio mara zote ndugu msomaji nilikuwa natumia mara moja moja sana muda mwingine nilikuwa naenda na demu maabara kupima

Kabla ya kushiriki tendo, na sikuwahi kumpa mimba mtu yoyote sasa nashangaa huyu kirahisi hivi anazungumza

"Nipige uwezavyo ila hakuna kutoa mimba yangu, Lizzy hakikisha usitoe ujauz......"

Jamani nikashushiwa tena ya tatu na pale pale nikakata moto, watu hawana huruma kwa kweli yani napigwa wao wapo wananiangalia tu hata kuja kunitetea aaah wao wananitazama tu kweli πŸ₯Ή......

ITAENDELEA..........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15



SONGA NAYO.........

Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza wanafunzi zaidi ya kumi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ

Na sijui kama huwa anatumia Kinga kweli bora me natumia mpira ila kwa Lizy ndio nilikosea maana alikuja kwa kunishtukiza tu dah πŸ˜…

"Dah Henry umezingua mwanangu.."

Jose baada ya kfika akaanza kunilaumu, sikuwa hata naweza kuongea vizuri maana mdomo ulipigwa huo πŸ˜‚ walah nyie watu wa mwanza mtaniua

"Kuna nini kwani...??"

Niliuliza kwa shida

"Huwezi amini huko shule mkuu amechukia ile mbaya, anasema tunaendekeza Sana mapenzi badala ya kazi.."

"Mh "...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

726
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

522
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

215
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

203
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

167
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

155
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

153
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

136
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

104
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWEπŸ™Œ* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWEπŸ™Œ* *1-5* * Facebook

27

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.35K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWEπŸ™Œ* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWEπŸ™Œ* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🀨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena πŸ˜‚ Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabΓ­a Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

MY CRAZY BOSS 10 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 10
@majario LIVE

ENDELEA Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo "Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani,...

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest