Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
Gonga94 Β· Stories

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO......

Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo

Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa na kuniambia asante huku akinikabizi chupa ya maji yale ambayo yalibaki kidogo

Nilichofanya ni kumwammbia akae nayo tu, basi akatabasamu tabasamu hafifu ila lilionekana vyema kabisa kwenye uso wake na kumfanya awe mrembo mashaallah πŸ₯°

Eeeh umalaya huu acheni tu ndugu zangu walah hili jiji litaniua mimi kwa hizi pisi aiseee πŸ˜‹

"Sasa Lizy nenda nyumbani kesho tutaongea vizuri hakikisha unakuja shule pia unakuwa msafi sawa..??"

Nilimwambia akabiki kuwa mnyonge mpaka nikashangaa binti alikuwa na nguo ambazo hazielewiki kabisa dah

"Vipi mbona hivyo..??"

Nilimuuliza

"Sir unajua mimi nakaa na shangazi yangu, na sio kama mimi ni mchafu hapana sir ni vile nguo zangu amepewa mtoto wa shangazi harafu mimi nikapewa hizi.."

Alisema, jamani nilimuonea huruma

"Kwani huyo mtoto wa shangazi yako anasoma kidato cha ngapi..??"

Nilimuuliza

"Anasoma pamoja na mimi ndio yule ambye ulimwambia after ubao.."

Eeeh nilichoka walah πŸ˜… nikamtazama binti mara mbili mbili, kisha nikaangalia huku na huko kama kuna mtu ananiona kisha nikamwambia

"Si umwambie akupe nguo zako au ushtaki kwa mwalimu mkuu..."

"Sir me aiwezi maana kuna wakati niliwahi kufikisha hizi kesi kwa mwalimu mkuu ila dada akaingilia kati na kuanza kumtetea Leah..."

" kwani dada yako ana mahusiano gani na mwalimu mkuu..?"

"Aaah dada ndio huyu aliyekuwa hapa.."

"Nini..??"

Kakakaa kimya bila kunijibu, inamaana kumbe yule ni dada yake na yule anaejifanya slay queen kwa nguo za mtu mwingine ni binamu yake mbona sielewi eti au masikio yangu yameacha kusikia siku hizi

Wakati nikitaka kumuuliza swali jingine akawa ameningia Sir Joseph so nikaacha hata kuendelea kuzungumza nae zaidi ya kumwambia aende nyumbani

Kabinti ka watu kakanyanyuka na kuondoka, jamani kwa mara ya kwanza nilijikuta nikiingiwa na roho ya huruma ya kumsaidia huyu binti...

Basi baada ya Lizy kuondoka ndio na mimi pamoja na sir Joseph tuliongozana mpaka kwenye gari yake, eeh huyu kaka ana miliki gari na siku hiyo akanipa na lift kabisa

Njia nzima tulikuwa tunapiga story za hapa na pale kuna namna nikajikuta namziea huyu Joseph maanaalikuwa amechangamka sana sio poa

Basi ilibidi anipitishe mpaka kwangu kisha yeye aakaondoka zake, nikafungua geti na kuingia ndani, nimeingia ndakuta watu hapo nje wamekaa Kimbea mbea

"Habari zenu..."

Niliwasalimia, wakanijibu siktaka kusubiri chochote nikashika njia mpaka kwenye chumba changu nikafungua mlango na kuingia ndani, nilikuwa nimechoka sana kwa hekaheka za so nikaanzia kwanza kuoga

Mtoto wa kiume baada ya kumaliza kuoga sasa nikaanza kumuwaza Lizy, yani sikuweza kabisa kumtoa kwenye akili yangu yule binti aliitawala yote mpaka medulla oblangat πŸ˜‚

Basi nikaa sana mule ndani, huku nikipiga mahesabu namna ya kwenda kununua chakula nije nipike, sasa bana napiga zanguajesabu mlango unagongwa

Nikanyanyuka na kutoka nikakuta mdada mwingine nayo ilikuwa pisi ikiwa imebeba sahani ya chakula

"Nikisaidie nini..??"

Nilimuuliza nikiwa nimeweka uso wa serious sana

"Ah aaah aah aaa oh yan nimeagizwa nikuletee chakula.."

"Kwamba nilikutuma au..??"

"Hapana lakini mi..."

"Ondoka..."

"Laki..."

"Nimesema ondoka, nilimwambia kwa ukali basi mdada akaondoka nikafunga mlango kwa nguvu kana kwamba mlango ndio umenikosea kisha nikarudi chumbani kwangu.....

*********

Siku nyingine ikashika nafasi kama kawaida yangu ni kupigilia pamba kali, siku hii nilipendeza zaidi ya jana πŸ˜‚ maana nilipotoka nje nilipishana na tule mdada ambaye alinipa chakula baada ya kupishana nae alisababisha ajigonge kwenye mlango wa kuingilia

Kitendo cha yule dada kujigonga ndio nikajua kwamba nimependeza sana πŸ₯°πŸ‘Œ basi nikatoka nje ile kufungua geti nakuta gari imepakiwa hapo nje

Katika kuitazama vizuri ndio nikajua ni gari ya Joseph, na kweli ilikuwa yake baada ya yeye kushusha kioo cha gari, bila kuchelewa nilipanda na safari ya kulelekea shuleni ilianza

Tulifika shuleni saa moja na madakika, moja kwa moja nikaingia ofsini, siku hii nilikuwa na majukumu mengi so nilianza kuandaa mapema ili nimalize mapema

Wakati yote yanaendelea huko nje sikuzingatia kabisa kwa kuwa na ubize nikasahau kabisa habari za Lizy......

ITAENDELEA ......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6


SONGA NAYO......

Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo

Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa na kuniambia asante huku akinikabizi chupa ya maji yale ambayo yalibaki kidogo

Nilichofanya ni kumwammbia akae nayo tu, basi akatabasamu tabasamu hafifu ila lilionekana vyema kabisa kwenye uso wake na kumfanya awe mrembo mashaallah πŸ₯°

Eeeh umalaya huu acheni tu ndugu zangu walah hili jiji litaniua mimi kwa hizi pisi aiseee πŸ˜‹

"Sasa Lizy nenda nyumbani kesho tutaongea vizuri hakikisha unakuja shule pia unakuwa msafi sawa..??"

Nilimwambia akabiki kuwa mnyonge mpaka nikashangaa binti alikuwa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi wewe-ni-wangu-sehemu-ya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

1.03K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

730
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

657
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 56...57

507
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜

501
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜

420
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58

317
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

251
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

113
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6

92

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.93K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.69K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.31K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❀️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 68...69πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be BrΓΆtchenβ€”those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing societyβ€”it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity πŸ’”  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity πŸ’” Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 66...67πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hiiπŸ˜ͺπŸ˜ͺ yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama woteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest