Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee
Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa miss faustina..nilieleza kilichonileta pale na shida yangu. Na wala sikuficha kama kawaida yangu.nilielezea nilipokosea. Nilisema.lakini mwisho nililosema badala ya yote ayo mm nataka kuwa bba kwa wanangu na wanangu wanijue sasa ila princess yeye hataki ananmbia wale sio wanangu na wakati najua kabisa ni wanangu. Yule mama akanmbia pole sana na hongera kwa kujitambua sasa na kutamani kuwa baba.kanmbia ni kweli ulimkosea princess Ila kuna sheria . Na ni lazima princess ww akupe uhuru wa kuwa baba kwa watoto wako wala hakuna shida weka namba yake ya simu apa na anuani. Nikatoa pale
Kisha yule mama pale pale. Akampigia simu princes. Akajitambulisha vizuri kamwambia j 5 ya tarehe 7 unatakiwa ofisi za ustawi posta. Princess alijibu sawa. Kisha yule mama kanmbia nenda njoo tareje 7. Mie nikasema sawa

Apa sasa kidogo niliona mwanga. Aseee ile natoka njee princess kanitumia mbarua wa matusi uo. Akanmbia ukiiuona mguu wangu apo ustawi utaniita msenge. Daah mi nikakausha wala sikumjibu. Nikalludi home kwa lemi. Apo nipo dar nna wek 2 . Inaeendea ya 3. Nikaona apa hii kesi ni ngumu wallah . Baada ya kesho kutwa mi lazima niludi moro kuendelea na kazi kisha nitakuw nakuja tu uku kufatilia zaidi na zaidi.. basi bwana kweli kesho kutwa ikafika nikaenda fresh ustawi. Wala hakuja. Tulimsubir mpka tukachuka na simu kazima.yule mama akanmbia we nenda sie watu wa hivi tushawazoe. Akanipangia tareh nyengine ni baada ya week 2 .ndo nije . Mie sasa apo nikaludi moro kwanza kuendelea na kazi mana daaah.

Basi moro uko kila siku nalala na sms za matusi za princess. Anatumia kabisa niwaache wanae .nikae mbalia na wanae. Yani kuna mda mpaka niliwaza au niache tu. Nikaushe . Ila nilimkumbuka alex. Nikaona mbona jamaa alipambana kwa ajili ya mwanae mmoja tu. Mimi niache watoto wa 3. Na najua ndo watakuwa awo awo tu.nikasema hapana uyu atukane mpka kukuche ila sikubali. Basi bwana kama.siku tulopangiwa kesho .mimi usiku nikasafiri kuja dar na nikafikia kwa lemi. Lemi alinamboa daaah kaka una kipengele.nikasema yatapita tu aya kaka hakuna noma. Basi nikalala pale kwa mshikaji na kesho yake asubuh saa 2. Mi nikawahi ustawi. Nikaingia ofisini kulikuwa na yula mama faustina na mbaba mwengine mtu mzima .akawa anasubiliwa yeye sasa yani princezs kila akipigiwa anasema yupo njiani anakuja mpaka saa 4 ndo anafika. Tena kavimba kweli kweli. Naona alipigiwa simu akapigwa mikwara ndo akaja . Basi bwana tukaaanza kuongealea kesi sasa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53


Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee
Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa miss faustina..nilieleza kilichonileta pale na shida yangu. Na wala sikuficha kama kawaida yangu.nilielezea nilipokosea. Nilisema.lakini mwisho nililosema badala ya yote ayo mm nataka kuwa bba kwa wanangu na wanangu wanijue sasa ila princess yeye hataki ananmbia wale sio wanangu na wakati najua kabisa ni wanangu. Yule mama akanmbia pole sana na hongera kwa kujitambua sasa na kutamani kuwa baba.kanmbia ni kweli ulimkosea princess Ila kuna sheria . Na ni lazima...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-53

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

MY WANGU❤️ sehemu ya 100

745
MY WANGU❤️ sehemu ya 103

MY WANGU❤️ sehemu ya 103

589
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102

545
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘

470
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 51

424
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53

356
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

351
REALLY LOVE* Chapter 17

REALLY LOVE* Chapter 17

170
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

124
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

107

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
🇧🇷❤️‍🩹 Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

“The CBF stands in solidarity with Vinícius Júnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior Post Mpya
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya Vinícius Júnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😤❌

WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
WEWE NI WANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO....... Kazi ya ualimu inahitaji moyo sana jamani, msione kwamba watoto wenu wanafaulu vizuri tu lakini upande mwingine huwa wanapitishwa 😂 Sijui mnanielewa bandugu, yani kama sisi walimu wa...

𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼  𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿 Post Mpya
𝐆𝐀𝐋𝐀𝐓𝐀𝐒𝐀𝐑𝐀𝐘 𝐌𝐀𝐊𝐄 𝐈𝐓 𝐅𝐈𝐕𝐄! ❤️💛🖐🏼 𝐖𝐇𝐀𝐓 𝐀 𝐆𝐀𝐌𝐄! 🍿
@majario LIVE

Juventus hoi huko kipogo Cha maana kabisaaa hichi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 65💘💘
@majario LIVE

Mmmhhh kwa hiyo hemed kumbe ni kamalaya😣😣 hebu ngoja nimpigie simu nimuulize yuko wapi😒😒 au niende nikamfumanie ili nipate sababu ya kuachana naye kaishaanza kuniudhi et bora niondoke kwake nimuache...

REALLY LOVE* Chapter 17 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 17
@majario LIVE

alisema mama cathe kwa mama usiseme mimba mama huwenda homa tu alisema cathe huku analia sana kwakweli alijutia sana mpumbavu mkubwa wewe hivi unayaona hayo matapishi mjinga mkubwa wewe cathe unatutia aibu...

🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙 Post Mpya
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: The Premier League is resuming its procedures for Ramadan. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🌙
@majario LIVE

Short pauses will be allowed during matches to enable Muslim players to break their fast. 𝑹𝒆𝒔𝒑𝒆𝒄𝒕 🤲✨

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest