Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
Gonga94 · Stories

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama akasema asije akakuomba ela. Ila mama mchoyo🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Mh mke wangu akaipola ile simu gafra .mpaka nikashangaa. Akamsalimia maam shikamoo mama. Kisha kamwmabia mama. Et mama nani uyo anataka namba za mume wangu. Mi sikuwa namsikia mamaa anamuelezea nn mana simu wala sikuw animeweka loud. Mke wangu akasema mama hapana usimpe namba yani usimpe namba kabisa. Mama unajua mume wangu now ana pes ana kaendelea watu wanamuonea donge. Wanataka kumzoe wamloge . Mama hapna mlinde kijana wako kiukweli. Bado sikusikia maongezi ya upande wapili ila nilihisi mama anamsupport mke wangu. Basi mke wangu akkazia sana kuwa uyo alex asipewe namba zangu. Baada ya apo akaagana na mama. Akanipa simu yangu

Nikamuangalia sana kisha nikacheka.nikamuuliza na ww siku hizi umekuwa mshirikina . Akanmbia no ayo mambo yapo mume wangu. Lazima nikulinde . Unazani kila mtu anapenda mafanikio yako. Kama vile umemjengea mama nyumba nzuri na ya kisasa vile kuna watu wengine hawapendi kabisa maendeleo ya wenzao mume wangu. Nikasema sawa . Mie nikaipotezea ila mada nikaendelea na ratiba yangu. Nakumbuka zikapita siku 3. Skku iyo mida ya usiku kama saa 1 nilikuwa mzumbe nna kipindi nafundisha. Baada ya kumaliza saa 2. Ndipo nikaingia kwa gari yangu ili niludi nyumbani. Nikaanza kudrive sasa .mala simu yangu inaita alafu namba ni ngeni . Mi huwa sipendi kabisa kupokea simu nikiwa na drive. Huwa makini sana bala balani. So kuongea na simu uku na drive hapana. Mi sikupokea kabisa ile simu

Kwaiyo sikupokea. Ila nilivyofika home tu nikaingia ndani. Nikamsalimiana na mke wangu. Mwanangu akanidandia nikambeba kisha nikakaa nae sebleni kwenye sofa . Nikaitoa ile simu .nikaipiga ile namba amabyo ilinipiga wakati naendesha gari. Haikuchukua mda akapokea simu na alikuwa ni mwanaume. Nikasema kak vp nani apo sijakupa.. yule mtu akanmbia haji mm alex mdinge. Ahaaaa ndo yule jamaa ambae alikuwa anaenda kwa mama kuomba namba zangu. Nikasma nambie alex kuna issue gani mana nasikia unanitafuta sana . Alex akanmbia kaka nma suala zito sana na ww.nahitaji kuongea na ww. Nasikia upo moro na mm nna siku 3. Nipo moro naomba sana tukutane kwa simu hatutaelewana. Nimasema alex kwani kuna nn kaka mbona kama unanitisha aseee. Nilishangaa gafra mke wangu kanyakua ile simu akaipasua chini kwa hasira. Haaaa nilipanik nikamuweka kwanza araina kwenye sofa. Nikamuuliza kwa nn umenipasulia simu yangu

Akanmbia yani kwa ujasiri kabisa ndani kwangu unaongea na maraya wako princess. Yani umeona kazini haitoshi unakuja kuongelea nae ndani. Daah mbona nilichoka.nikasema mke wangu mi wapi nimeongea na princess .mi naongea na yule jamaa anayeitwa alex wa home. Ni saa ngapi nimeskkia naongea na mwanamke .asee mke wangu akapanda akanza na kulia et kanisikia naongea na princess. Yani uyo princes sijaonana nae ela kuongea nae kalibia miaka 4 .kwanza mpaka nilishamsahu mimi . Basi nikapata kazi ya kumbembleza mke wangu. Simu kashanivunjia . Bado kanipa kisanga ilokiwa ni shida. Na mke wangu akikasilika yeye ni kulia tu. Yani hakuna kuongea hakuna kulika wala kulalika ni kulia tu. Nilimuelewesha sana yani sana. Akanmbia ukitaka nikuamini naomba badilisha laini . Sitaki utumie iyo laini. Nikasema sawa mke wangu. Nabadili kesho ni week tutaenda kusajili pamoja akanmbia saww . Basi apo ndo kesi ikaisha sasa .

Kesho yake baada ya chai tu. Tukamchukua na mtoto wote nikaenda kununua simu kwanza mana ile ilikuwa ina hali mbaya. Kisha sasa nikaenda kusiajili laini nyengine. Na nikawatoa tu out mana bado mke wangu kama hakuwa sawa . Basi tulivyotoka kula .nikawapeleka swimming tukaogelea sana . Nikacheza ssna na mtoto wangu. Basi mke wangu akanmbia sitaki ugawe gawe namba yako isije ikamfikia uyo princess. Nikamwambia swa wala hakuna shidaa. Basi usiku sana ndo tukalidi nyumbani. Ikapita week mimi nipo busy sana na pilika pilika .siku iyo sasa nimetoka kazini kwangu yani bank saa 8 mchana . Nikaingia mzumbe mana nilikuw ana kipindi cha jioni saa 12
Basi nimefika ofisini kwangu . Secretary akanmbia aha mr haji bwana apa kijana mgeni wako katoka kukulizia sasa hivi .mh nikamuuliza mgeni gani.akanmbia anaitwa alex guga. Mh nikaona uyu jamaa ata kuwa na issue ya muhimu sana . Mbona ananifatilia sana.nikasema ameacha namba yake. Akanmbia ndio kaacha pa. Nikachukua namba yake kisha nikaingia ofisini. Kusubili kipindi changu.

Basi nilivyoingia tu ofisini . Mimi nikampigia simu . Na akapokea . Nikasema alex ni mm haji nimeambiwa ulikuja kuniukizia apa. Nimefika. Alex akasema daah afadhaki . Nilishakata tamaa. Nakuja sasa. Hivi mana wala sikufika mbali .nikasema powa mtu wangu. Basi mi nikaagiza chakura. Na nikaagiza sahani 2 .mana nilishajua kuna mgeni anakuja. Nikaanza kupiga msosi taratibu. Na baada ya mda . Alex akaningia ofisini kwangu.na nikamkalibisha vizuri tu. Na nikamkalibisha chakura na juice. Basi tukawa tunakula uku salamu za hapa na pale zinaendelea.baada ya chkura sasa nikasema daah mr alex pole sana mbona unanitafuta sana mpaka unanipa hofu ni salama. Ila apo mawazo yalikuwa yanasoma kuwa jamaa itakuwa anatafuta kazi.

Akammbia mwanagu mi nna kipemgele kikubwa na mkeo. Mh nikastuka. Nikamuuliza fatuma akanambia ndio. Akanmbia mwanangu fatuma ana mtoto wangu. Ana mtoto wangu fatuma .mh nikashangaaa nikajiuliza kimoyoni kwani fatuma ana watoto 2 . Ama inakuwaje apa . Nikamwambia ebu nambie vizur . Akanmbia sikia mwanangu. Wewe ilivyoenda chuo. Mi. Fatuma alikuwa ni mwanamke wangu. Tena fatuma alinitongoza mwenyewe. Nikamuuliza si una mshikaji wako. Akanmbia mmeachana na kila mtu yupo busy na maisha yake. Fresh nikaanzisha nae mahusiano . Tumedate kama miez 3 fatuma akanmbia ana mimba. Si unaelewa . Mie nikasema ndio nakusikiliza kaka. Akanmbia na kweli mm nikamchukua fatuma tukaenda kupima kweli alikuwa. Na mimba ya kama mwez. Ila sasa mm kaka nikawa nasafiri safiri na mjomba. Anafanya kazi ya magari makubwa. So kuna mda naenda kongo na zambia uko. Ila mm ata kama nikisafiri mi namuhudumua fresh fatuma kuhusu suala la mimba. Nampa pesa kama kawa tena namlushia. Imeeenda imeeenda tripu moja mi nimeondoka .naludi nasikia fatuma kaoelewa. Alafu ana mimba yangu .

Sasa mimi nikamchek .nikamuukiza mbona nasikia umoolewa kimya kimya imekuwaje . Na una mimba yangu kwa uo mda kaka mi sijuwa nimejua kama ww ndo umemuoa fatuma..mana ndoa yenu yenyewe ilikuwa kimya kimya . Fatuma akanmbia yeye amehisi mda wake wa kuolewa umefika hivyo asingeweza tena kunisubir mm. Ila kuhusu mimba haina shida ni yangu. Mi mwangu nikanyongea nikamind nikazila na kumuhudumia fatuma.akawa ananipigia ananitAka anafosi anataka huduma. Ila kwa kua mm nilijua ana damu yangu roho ikawa inananisuta kutokumuhudumia.nikawa nikipata pesa namtumia.mpaka anajifungua na picha za mwanagu kanitumia..jamnaa akatoa simu yake akanmbia unaona brooo. Hizi picha mi nimezisave zina miaka 5 hizi. Daaa ni kweli ni picha za araina akiwa mdogo sana. Aseeeee nilijihisi chizi .nilichanganikiwa kinomaaa

Jamaa akanmbia mwanagu. Mimi nikawa nahudumia mtoto. Sijawahi kutupa damu yangu sababu uyu ni mtoto wangu na anafanana na mimi. Unaona haji apa nna hii alama ya weusi kwenye mkono. Na uyu mtoto. Si anayo.ni kwrli jamani anayo kabisa araina. Na ndo navita picha kwamba mbona kweli araina ana fanana na uyu alex. Nikajua kumbe ndo mana mke wangu alikuwa anazuia mm nisiongee na alex kumbe ni baba mtoto wake. Kumbe alainisaliti kile kipindi daah. Jamaaa akanambia sasa brooh baada ya mwaka fatuma kabadilika hataki mm nihudumie mwanangu na ananambia kabisa kuwa mm yule sio mtoto wangu. Wakati mi najua ile ni damu yangu.kaka. mimi apa sijakuja kiugomvi wala nn. Mi nataka mtoto wangu. Nataka damu yangu hilo tu brrooo. Daah kwanza nilichoka alafu nilipata uchungu mwanaume mpaka chozi likawa linanaishuka nasikia moyo unauma mnooo.
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40


Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama akasema asije akakuomba ela. Ila mama mchoyo🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌. Mh mke wangu akaipola ile simu gafra .mpaka nikashangaa. Akamsalimia maam shikamoo mama. Kisha kamwmabia mama. Et mama nani uyo anataka namba za mume wangu. Mi sikuwa namsikia mamaa anamuelezea nn mana simu wala sikuw animeweka loud. Mke wangu akasema mama hapana usimpe namba yani usimpe namba kabisa. Mama unajua mume wangu now ana pes ana kaendelea watu wanamuonea donge. Wanataka kumzoe...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimi-sikuachi-sehemu-ya-39-na-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimi-sikuachi-sehemu-ya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘

527
MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41*

MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*

399
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

287
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

189
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

134
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08

90

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.3K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI.* *1-5*
@majario LIVE

*______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Utaniita shemeji ☺️aisee hii simulizi sijui nikae mkao gani ili niilete kwa usahihi bila kukwama wala kupunguza radha😊. Ila hii kitu imenionesha kuwa kweli watoto wa elfu mbili wameshindikana...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 06
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Nilibaki namuangalia huku nikijiuliza ana maana gani kusema vile ?,🤔na nitakosaje amani eti kisa kutokuwa karibu yake 🤔na niukaribi gani anaoutaka kutoka kwangu na kwanini atake ukaribu na mimi?.🤔 Niliwaza...

MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 89 na 90
@majario LIVE

Basi bwana zayd akaendesha gali mpaka kwake . Akanmbia kumbe uyu boya bado hajaondoka na anakufatilia . Nikasema ndio mi mpaka namshangaa yani sijuh ata anataka nn. Mi simtaki bwana....

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

Nikasema ooh alex. Mama bwana uyo jamaa si tumesoma nae mpama form 4. Sijamzoea sana ila huwa na mazoea nae mama. We mpe tu namba zangu wla hakuna shida. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 57...58💘💘
@majario LIVE

Pendo🥹🥹 kwani nilikukoseaga nini mamangu?! Mbona adhabu uliyonipatia haiendani na mwonekano wako?! Kwanini ulinipatia penzi lako kama ulijua ya kwamba utaenda mbali na mimi🥹 haujui ni kwa kiasi gani...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest