MY WANGU❤️ sehemu ya 103
Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani kwa udadisi . Akanmbia mtoto wako ajambo. Nikasema ndio ajamboo. Aanmbia ni mzuri sana kuna siku nilimuona na mama pale road. Si yule mwarabu . Nikasema ndio. Akambia umemaliza chuo. Nikanyamaza kimyaa. Akanmbia naongea na ww faridah. Nikasema hapan nilidisco. Akanmbia ahaaa vp mbona umekonda hivi. Unaumwaa nn
Nyieee nilimpigia magoti . Nikasema mlige nisamehe nimekukosea sana. Nisamehe mlige nomekukosea sana. Dunia ishanfunza mligeeee. Mlige akaniangalia sana kisha akatabasamu . Akanmbia ahaaa pole sana . Umeachw sio. Umeshazalishwa umeachwa. Na chuo ukazingua. Mi nikawa nalia tu pale kwenye miguu yake. Akanmbia faridah kwani kile kipindi shida ilikuwa nn. Ebu nambie ili nisiyaludie tena kwa mke wangu akaniacha pia . Nikasema japan ni ujinga wangu tu..nisamehe na utoe kinyongo moyoni mwako juu yangu kwa yote niliyokufanyia mlige .nishajifunza. mlige akaniangalia sana. Akanmbia polee sana ndo dunia . Kila mtu huwa anapitia maumivu kwa mda wake. Mlipo ya wema wangu na upendo wangu kwako ulikuwa ni upumbavu mnooo. Daah wanawake bwana. Pole sana . Nilitamani kukuona tu .mi nilishakusamehe nilipompata yusta. Ni mzuri na ana heshima na kuna sehemu anakuzidi sana . Nazani unapajua si alikuwa mwalimu wako. Daaaah rohooo inauma yani ana maanisha et kitandani
Mie nikabaki kimya akanambia okey .nilitaka kukwambia ukiniona uache kijificha ficha na mashungi . We kuwa huru na maisha yako tu. Na wlaa usinionee aibu mm. Pole sana mana umepoteza uzuri wako wote. Na kwaheri . Kisha mlige akanyanyuka uyoo akaondokaa. Mie nikabaki pale nikawa nalia mnooo. Mlige kaongea maneno ya kunichosha sana na kuniumiza mnooo. Daah basi juma akanmbia pole bwana faridah . Ndo maisha ayo mambo ya kawaida tu . We fanya maisha yko basi . Ya kawaida tu aya mbona. Nikasema sawa mi naondoka . Akanmbia ngoja basi nikusindikize mpaka juu kule. Na kweli juma akaniludisha tena mpka maeneo ya nyumbani bibi mimi ndo ningia ndani. Macho yamevimba. Mh mama alivyoniona akaniuliza vp. Mbona umevimba macho. Nikasema haapana mma...mama aknmbia nambie nn kimetokea uko. mh ulikuwa unalia faridah?.nikasema ni mlige mama alikuja kuniona ndo kanambia maneno ya kuniumiza . Mama akasema sikia kaaa nae mbali kabisa ni mume wa mtu asije akituletea kizai zai apa. Nikasema sawa mie nikaingia chumbani kwangu kujipumzikia . Mana kama maneno nishapewa ya kunitosha aswaaaa . Et kwamba katoka kwa mwnafunzi kaenda kwa mwalimu anainjoy sana. Mh nikaona sawa hakuna sidaa
Shoga yenu kuanzia apoo. Nikawa busy na mambo yangu. Nikamuomba mma anipe kishamba kidogo. Nikawa nal8.ma miogo. Sina habari asa nafanyajeee. Mana sielewi kabisaa. Ata mtaji wa kufanya biashsra sina. Nikaona apa nipambane tu na maisha. Basi mama akapata kipesa kidogo. Akampeleka shule rahul. Kachekechea tu yani . Ndo anaenda kushinda apo. Ile akachangamkie na wenzie tu .mana Ata sale hatukumnunulia . Ila akpoteze mda man kana miaka 4 kakubwa sasa. Basi siku iyo nakwambia nipo zangu nyumbani . Akaja mtoto anakimbia nakwambia . Akawa anaiita kwa nguvu mama rahul mama rahil mwanao kagongwa na boda bida kule bala balani. Nyieee nilikuwa nakula. Kwanza nihisi kma kitu kimenikata tumboni kama kisu kimepita shawaaaaaa. Yani
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni