Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

REALLY LOVE* *26&27*
Gonga94 · Stories

REALLY LOVE* *26&27*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi,

upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa kula chakula

"baby jamani utaniulia mwananguu sasa my kid kakukosea nini mumy kula basi hata kidogo alisema seven kwa sauti akimbembeleza ya upole

ah mi sikitaki kwanza kinanuka shombo alisema fahima,

"duh mke wangu wali tangu lini unuke shombo Jamani wakati ulisema unataka wall na kachumbali haya huu apa tena nimekupikia mwenyewe hapo unataka ulale tu bila kula jamani kula basi my love alisema seven

jamani my sitaki jamani ee alisema fahima

sasa my baby unataka nini alisema seven

nakutaka wewe alijibu fahima aise seven alichek nyleee

haya nichukue basi uyu apa alisema seven

hebu nipishe huko kwanza unanuka shombo ila fahima nyie yani muda wote alikuwa anahisi shombo tu mpaka seven akacheka kwakweli

halafu nilisahau sikuile nilisikia kila kitukuhusu wewe yani niliumia sana my yani kwanini huyo cathe akuumize kiasi hicho na kwanini hukuniambia kama unamatatizo kama. hayo alisema fahima akiwa tayari kashakasirika ikabido seven amsogelee

am sorry mke wangu nisamehe sikutaka kukwambia kwasababu nawewe nilikukosea na ulikuwa na hasira na mimi muda wote kwahiyo nisingweza: alisema seven fahima hakumjibu kitu akasimama ili atoke chumbani lakini seven

akamuwahia na kumkumbatia kwa nyuma

kwa

samahani mke wangu nimekosa haitajirudia

tena mamaa samahani nakupenda sana sihitaji

uwe katika hali hiyo mama yangu alisema

upole kwelikweli maana

alishaambiwa na dr juu ya hali ya fahima, basi kidogo hasira za fahima zikashuka seven. alipomuona hivo akamsogelea sikioni na kumwambia

seven

ila namshukuru sana cathe maana bila yeye. nisingeweza kula tunda tamu kutoka kwako mamaa alisema hivo fahima akatabasamu, seven hakuchelewa akaanza uchokozi kwa bibie.

maana alimjulia dawa yake ya kumtuliza ni hiyo. tu akaanza kumtomasa tomasa kwa ufundi wa. hali ya juu mtoto wa kike akaingia line seven.

hakuchelewa alianza kumpeleka taratibu bibie fahima huku miguno ya kimahaba ikitoka. midomoni mwao, usikuhuo wao walikuwa wanaenjoy bila kujua wengine wanamajanga

mazito

usiku huo mzee fahad hakutaka tena kuendelea kusikiliza mengi roho ilimuuma sana aliamua kuondoka huku akiwaacha wanafamilia hiyo wakiwa na majonzi muda wote vilio tu,

asubuhi na mapema katika kampuni ya mr sev kulikuwa na ugeni mkubwa sana ikabidi apigiwe simu mr seven kufika hapo mara moja, wakati huo alikuwa akiandaliwa na mkewe ili aende

kazini, ndipo akamjuza juu ya taarifa hizo, lakini fahima alikataa seven kwenda peke yake akadai nayeye anataka kwenda basi seven hakuwa na pingamizi walijiandaa kisha wote wakaondoka

walifika mpaka katika kampuni hiyo seven. akaingia ndani kuwasilisha kikao huku fahima. alitoka kwenda kuangalia mandhari ya nje

kidogo aliyapenda akaanza kutembea tembea huku na kule, lakini ghafla katika tembea yake akamuona msichana mmoja amekaa pembeni akiwa analla watu wengin walimpita na kumuangalia tu bila kumuuliza chochote,

ndipo fahima akatoka kwenda hadi kwa binti huyo aliyekuwa analia binti mzuri sana ila kwanje tu mana ndani ni hatari mno alikuwa ni

catherine ndiye anaelia

upande mwingine mzee fahad siku hiyo alijiweka. sawa kabisa alijiandaa vizuri ili kukutana kikao cha pili kwa mzee cryton yaani kikao hitimisho, alifika tena nyumbani hapo wakakaa kikao cha pili lakini walistaajabu kutomuona catherin,

walihangaika kumtafuta lakini hawakumuona. walipiga simu yake lakini haikupatikana, mama cathe akawa na wasiwasi sana juu ya mtoto wake hisia zake zilimtuma huwenda labda ameenda kufanya jambo baya alipata hofu sana

mama cathe mimi mpaka sasa sina neno

lolote lile kwasababu sioni sababu iliyokifanya utoke nje kama huduma zote nilikuwa nakupa nachosubiri ni cathe tu niwakabidhishe kwa huyo mzee basi alisema baba calor sio cathe

tena

ah mume wangu kwahiyo unaniacha mimi kwa sababu hii baba cathe angalia tulipotoka yani tugawane mali kwasababu ndogo tu mume wangu hebu tafakari vizuri alisema mama

cathe

mzee mimi nina mke wangu swala la kunirudia hia mkeo sitallweza sina uwezo wa kubeba mizigo miwili, labda mnipe mwanangu basi ila nashukuru sana kwa kumlea binti yangu alisema baba fahima kwa upole sana

sawa nimewaelewa alisema mzee cryton, basi walikaa wakimsubiri cathe tu arudi

upande wa cathe alisalimiwa na fahima lakini hakumjibu dada unatatizo gani niambie naweza kukusaidia" alisema fahima kwa upole,

hebu nitokee hapa masikini mkubwa wewe unakipi cha kunisaidia mshenzi kama wewe alisema cathe kwa dharau sana

dada unashida qani kwani alisema fahima achana namimi wewe fata maisha yako

kapuku wewe mxieeeuuuuu alisema cathe kisha akamsukuma fahima akaondoka zake, fahima alidondoka chini ndipo wapitanjia wa hapo wakamsaidia kumnyanyua nahapohapo akatokea seven akiwa anahema sanal

ulienda wapi jamani ona sasa si nilikwambia. unisubiri pale lakini ah alisema seven akiwa

amechukia sana akamshika mkono fahima na kuingia nae ndani ya gari, yani aliamua. kumpeleka nyumbani alikuwa anamjali sana. mpenzi wake huyo, alikasirika sana njia nzima alikuwa analalamika tu

lakini mke wangu kwanini hukunisikiliza lakini

aha kumbuka una mwanangu tumboni why unamkera kisi hicho unamuumiza mwanangu nawewe pia unajiumiza lakini unajuwa kabisa ninavyokupenda wewe sasa why unataka kuniua

na presha fahima why** alilalamika sana seven, fahima alikuwa kimya tu alijuwa mda huo. seven anahasira hakutaka kujibu kitu

hebu angalia kama ungeumia je unabahati wale watu walikusaidia mi sipendi unikaidi ninavyo kueleza fahima sipendi alisema seven

samahani my love haitajirudia tena alisema. fahima kwa upole sanal

sawa lakini upo sawa au nikupeleke hospitar** alisema seven kwa wasiwasi

"hapana nipo sawa tu my** alisema fahima,

sawa nakurudisha nyumbani uwe makini mimi nitarudi tena kazini alisema seven

"sawa"" alijibu fahima kishingo upande kwasababu hakutaka kukaa mbali na seven hata kidogo

uku cathe alifika nyumbani akiwa amekasirika sana alishtuka sana baada ya kumuona mzee fahad yuko pale akajuwa kabisa huwenda leo ndo akafukuzwa nyumbani kwao,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

REALLY LOVE* *26&27*


walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi,

upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa kula chakula

"baby jamani utaniulia mwananguu sasa my kid kakukosea nini mumy kula basi hata kidogo alisema seven kwa sauti akimbembeleza ya upole

ah mi sikitaki kwanza kinanuka shombo alisema fahima,

"duh mke wangu wali tangu lini unuke shombo Jamani wakati ulisema unataka wall na kachumbali haya huu apa tena nimekupikia mwenyewe hapo unataka ulale tu bila kula jamani kula basi my love alisema seven

jamani my sitaki jamani ee alisema fahima

sasa my baby...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/really-love-26-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi really-love
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* Chapter 19
REALLY LOVE* 16
REALLY LOVE* 16
*REALLY LOVE Chapter 20
*REALLY LOVE Chapter 20
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* Chapter 18
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* *22&23*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
REALLY LOVE* Chapter 17
REALLY LOVE* Chapter 17
*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5*
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

652
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

373
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*

212
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

188
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

165
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

146
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10

122
MY CRAZY BOSS 09

MY CRAZY BOSS 09

109
AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*

92
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

72

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.28K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

MY CRAZY BOSS 10 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 10
@majario LIVE

ENDELEA Nilirejea ndani huku nikiwa na bashasha ya kuangalia ni nguo za aina gani zilizopo ndani ya mfuko huo "Khaa!!! Kumbe sina taa jamani , hata siwezi kuona ni za rangi gani,...

(BARSISA....!)  Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli. Post Mpya
(BARSISA....!) Inasimuliwa kuwa Barsisa alikuwa mtawa miongoni mwa Wana wa Israeli.
@majario LIVE

Alijijengea kibanda cha ibada mlimani, mbali na watu, akaamua kutoa maisha yake yote kwa ibada ya Mwenyezi Mungu peke yake...! Alijinyima starehe zote za dunia, akaishi maisha ya kujitenga na watu, maisha ya...

Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10 Post Mpya
Aaaaaah Boss Enzo Chapter 10
@majario LIVE

Asubuhi na mapema, nilidamka na kuingia mtaani ili niweze kupata chochote kitu Maana nilikuwa Nina njaa sana kwa wakati huo. Najua wengi mtaniuliza nilipeleka wapi Pesa ambazo nililipwa kwa kina enzo...

AAAAAASH BOSS ENZOO*    *Chapter 9* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *Chapter 9*
@majario LIVE

Nilijikuta nikipata mshtuko na wasiwasi wa hali ya juu. "Ina Maana ma Mdogo amemlipa Enzo kuja kunirudisha hapa?" Nilijiuliza kimoyomoyo. Baada ya kimya cha muda mfupi kidogo, enzo akaniambia. "Haya Shuka tumefika" Nilimuangalia kwa macho...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO*
@majario LIVE

seven alifurahi sana hata fahima nae alifurahi pia, seven alimsogeza fahima na kumkumbatia. asante sana mke wangu kwa kuniheshimisha akambusu fahima alisema seven kisha hongera sana mr seven sasa unatakiwa uwe sana...

MY CRAZY BOSS 09 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 09
@majario LIVE

SONGA NAYO Niliingia ndani , sikuwa na usingizi kabisa , ni ajabu sana kwani nilijikuta nikiwaza sana kuhusu Boss Erick muda wote. Kwenye maisha yangu yote nimewahi kukosewa na wanaume...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *7&8*
@majario LIVE

Baada ya kuzunguka sana na kuchoka nikajikuta nikkaa tu chini kuanza kulia, najua mtanicheka lakini ni Kama akili yangu ilifika mwisho kwenye kufikilia lakini pia kuangaika Muda huo huo kapita...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
@majario LIVE

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba enhe mwenzetu vipi?,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest