Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9
Gonga94 · Stories

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba

enhe mwenzetu vipi?, mbona unajichekesha chekesha sana auu kimekunasa?" Alisema dada Mariam nilimtizama tu bila kumjibuu nilikiwa najiuliza naanzaje ataanza kuniuliza wapi nilipotoa ile pesa na sina majibu kamili ya hilo swali, nilikuwa namtizama tu dada angu kama nipo nampangia mahesabu ya namuanzaje huyuu cha mdomo "We mbona unanitizama kam vile mimi kid udugu, au kibwengo cha mpapule?" Aliuliza dada maan na me sikua na jinsi nikamwambia " Dada, mimi hapa nina kam ml 6 na laki nne nilikuwa nataka tufungue biashara shga anguu, maan ile kazi unayofanya mimi naona haikufaiii shga angu, unaonaje hili wazo mimi nikawa napiga issue pale officine na wewe ukawa unafanya biashara yakoo, maana hivi naoana tu tunajidharirisha na hakuna kitu tunachopata dada alinitizamaa juu mpaka chini na dera langu la 6500

"Hivi wewe, tunaanza kufichana eeh?, yaani umepata kamwanaume huko Kenye hadhi unashindwa kusem, yaani kusema hizo pesa zote ni za mshahara wako wa hii miezi mitatu sio kweli hapo tutakuwa tunadanganyana, haya sema hizo pesa umetoa wapi wee mjinga" aloo aliongea dada Mariam nilikuwa najiuliza sana hili litatokeaa nikasema tu hapa namuongopeaa hamna shga angu, yaani pale officine kwetu huwa kuna kamsaada kanatoka kwa boss, kam mkopo unakuwa unakatwa asilimia 20 kwenye mshahaara wako kama labda unataka kujenga au vipi shga angu, ushaanza kufikiria vibaya juu yangu yaani dada bhana nilipotezea mada kihivyooo ili kumfunga dada kamdomo

haya hayo mapene yapo wapi wee miinga, maan kwa hayo masihala yako, naweza kujua pesa ipo kimbe unataniaa, yaani ntakutukana. weee mjinga, masihala sio kwenye pesa" yaani alibubujikwa na maneno maana huyu naee ana matatizo kwenye pesa hatakagi utani nikamuonesh maan ilikuwa kwenye simu maana sikuwa na account ya bank,

"wee mjinga yani pesa unaweka kwenye simu, simu ikiibiwa jee?, yaani wewe ni mjnga ujue?, uliona wapi pesa wanahifadhi kwenye simu, hebu twende tukatoee haraka kabla hatal matapeli wa mtaaandaoni hawajakupigiaa simu maana wale nao ni washenzi sana" yaani dada alikuwa anataka tukatoe mda huo huoo nilichoka, nikamshawishi mpaka akaelewa tukalala, tukakubaliana kesho tutaenda kutoaa tukatafute na frem maana dada alikuwa ana ujuzi wa kusuka na kupamba alitak kufunguaa saloon ya kisuper star

Asubuhi na mapema dada kaniamsha na kale kaupepeo ka saa 12, etty niinuke twende jaman nilichoka huyu dada jaman hapana ndio saa 12 jamn mhhh mwenzangu mhhh ni kimbembe, tukaaamka tukaoga tukavaaa madera yetu ya msomi mimi mwekundu na yeye wa njano mhhh muda huoo Hussein toka jana hajanitafuta hili lilinichanganya kwa kiasi kikubwa ila sikutaka dada agundue chochote kile kinachoendelea kati yangu mimi na Hussein kwanza dada yangu hampendi, wazazi wangu ndio hawamuelewi kabisa wanamuona mzinguaji tu

Hivyoo nikaamua kuachanaa na hilo niwe busy na mambo mengine maana bado tuna kazi ya kwenda kutafuta frem na kwenda kuangalia vifaa, kisha ndio tuwajulishe wazazi na mambo mengine yaendeelee

Tulipata frem Tandika kwa miezi sita million, frem za pale zina beii mhh jaman kwenye 6ml ikabaki million 5 hii kwa kazi aliyokuwa anataka kuifanya dada inatosha sana, tukaamua kwenda. kula maana tulikuwa tumechokaa saan jua tukale hata vichipsi na Pepsi ya baridi, ila ni vile najaribu kujichangamsha ila sipo sawa kabisa nina mastress sana na sina jinsi na sitaki dada. angu ashtukie chochote maan ataanza kunifokea na kuniambia nimuache Hussein na mimi hilo swala sitaki ila kuna muda huwa nawaz hiloo maana maneno alionambia Ellias ni kama yana ukweli ndani yake, maana nishaanza kuprove kimoja kimoja....

Itaendeleaa..

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 9


Nilikaaa nikimsubiri dada kwa hamu kweli na alifika, tulikuwa hyo siku nilikuwa nacheka cheka sana maan nilikuwa nina wazo ambalo nikimpa dada angu cha mdomo atalikubali, bika kunichamba

enhe mwenzetu vipi?, mbona unajichekesha chekesha sana auu kimekunasa?" Alisema dada Mariam nilimtizama tu bila kumjibuu nilikiwa najiuliza naanzaje ataanza kuniuliza wapi nilipotoa ile pesa na sina majibu kamili ya hilo swali, nilikuwa namtizama tu dada angu kama nipo nampangia mahesabu ya namuanzaje huyuu cha mdomo "We mbona unanitizama kam vile mimi kid udugu, au kibwengo cha mpapule?" Aliuliza dada maan na me sikua na jinsi nikamwambia " Dada, mimi hapa nina kam...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter-9

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-usinivue-mi-mchumba-wa-mtu-chapter
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*

738
 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

545
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

218
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*

217
MY CRAZY BOSS 10

MY CRAZY BOSS 10

170
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

163
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

162
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

33
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *

31
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

30

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.29K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.03K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

REALLY LOVE* *26&27* Post Mpya
REALLY LOVE* *26&27*
@majario LIVE

walimpeleka katika bahari iliyopo kigamboni na kumtupa katika bahari hiyo kisha wakaondoka walifanya hivo ili kupoteza ushahidi, upande mwingine fahima alikuwa anabembelezwa na mpenzi wake ili ale chakula maana hakutaka kabisa...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *12&13*
@majario LIVE

Kwanza nikashtuka na kumgeukia pully na kisha Nikamuangalia Enzo, kuna Namna ni Kama moyo wangu ulikubaliana na shida zote tu ninazozipitia, kabía Enzo ajajibu kitu chochote kile nikazungumza. "Naona mambo ni...

AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *SEHEMU YA 11*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana na muda huo huo moyo wangu ulingia ganzi kutokana na jinsi ambavyo namchukia sana enzo, Huyu kaka Walahi namchukia kuliko maelezo yangu. Niliamua ata kuachana na hiyo Pesa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest