Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5*
Gonga94 · Stories

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ANZA NAYO.....

Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi.

"Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?"

Ilikuwa ni SAUTI ya kike SAUTI nyororo sana na kwerrye mawazo yangu niliwaza Kuwa ni binti tu Kama Mimi, Maana ni Mtoto wa huyu mama ambaye amenichukua na kunileta NYUMBANI kwake.

"Ulitaka nifanye nini? Nimuache MTAANI au ? Suzy usisahau Kuwa ni wewe Ndio umemsababishia matatizo huyu binti, usisahau Kuwa wewe Ndio ulimgonga na kusababisha kupoteza kila alichokuwa nacho"

Hapo kwanza nikashtuka Maana naona taarifa ni mpya kabisa na ni tofauti na ile ambayo nilipewa mwanzo na mwana mama huyo.

"Ila mama sijui unajikutaga Nani, Yaani Sijui, wewe muda wote unatakaga kusaidia watu tu, kwani si ulishamtibia ungemuacha aende

alikokuwa anaenda tu"

"We unajua alikuwa anaenda wapi au? Suzy Kuwa na huruma binti yangu"

"Mimi simtaki Huyu binti hapa NYUMBANI"

"Ndio nimeshasema, Ishani atakuwa hapa па sisi tukitazamia hali yake, na akikaa Sawa tu namuajili kazi za Ndani aweze kumsaidia mama Zena

"Utajua Mwenyewe Bwana"

Alijibu msichana huyo ambaye sikuwa Nimeona sura yake, Bali nilishika tu SAUTI yake na kujua

Jina lake kupitia maongezi Yao.

Kwa Namna moja nyingine, niliweza kugundua Kuwa, madam Groly ni mtu Mwema sana, lakini huyu binti yake sasa ni kazi juu ya kazi

Muda huo huo niliweza kusikia SAUTI za miguu ikisogea hivyo kwa mwendo haraka nikajiondoa eneo ilo na kwenda sebuleni na kubaki nikishangaa tu uku na uku.

"Umeshaamka"

Alizungumza mama zena bada ya kunikuta sebuleni nikiwa nashanga shangaa tu "Ndio mama, naweza kupata maji ya kunywa?"

Nilimuuliza mama zena ambaye ni msaidizi wa kazi za Ndani hapo.

"Nifuate"

Moja kwa moja Mimi na mama zena tukaenda jikoni, my zangu, kuna watu wanaishi kishua sana, Yaani huyu mama uwiiiiih, Uko jikoni kwake Ndio usiseme ni pazuri sana, hii familia

Inaishi maisha ya ndoto zao.

Baada ya muda familia nzima ilikutana kwenye meza ya chakula kwaajili ya kupata chakula cha usiku, na madam Groly akatumia muda huo

kunitambulisha kwa kila mtu, lakini pla kunikaribisha Rasmi kwenye familia yake uku akiniaidi kunisaidia.

"Asante sana mama Mungu akubariki mno"

Nilimshukuru kwa kila kitu ambacho madam Groly amenifanyia

Hatimaye mwezi mzima ukapita nikiwa kwenye Nyumba ya madam Groly na tayali nilikuwa ni Kama dada wa kazi na nilikuwa nikishare chumba kimoja na mama zena ambaye ni

mfanyakazi mwenzangu.

"Hivi ulimpelekea Suzy maji yake ya moto?"

Mama zena aliniuliza, muda huo Mimi na mama zena tulikuwa jikoni tukiandaa kifungua kinywa.

"Sjampelekea"

Nilijibu uku niliendelea kukanda ngano kwaajili ya chapati

"Ishani nae unapenda kugombana na Suzy, Yaani muda unayoyoma na ujampelekea maji yake

Alizungumza mama zena kwa style Kama

ananilaumu hivi.

My zangu iko hivi, Suzy ni binti ambaye yuko

makini sana kwenye kutunza mwili wake, ni binti

ambaye anauchukia sana unene hivyo, amekuwa

akifanya diet lakini pia uwa anakunywa maji ya

moto yenye limao kila siku asubuhi kwaajili ya

kuchoma mafuta ya tumboni.

Kabla sijamjibu mama zena, muda huo huo Suzy akaingia jikoni alionekana Kuwa na hasira Sana

na nilijua kabisa hasira yake ni juu yangu.

"Kwahiyo Unataka kila siku niwe nakukumbusha

kuja kuniletea maji yangu?"

Aliniuliza Suzy uku akinikanyaga vidole vyangu vya miguuni, imagine, yeye amevaa viatu, halafu

Mimi niko pekua.

"Suzy unaniumiza"

Nililalamika Maana viatu chake vilikuwa na soli ngumu sana.

"Ni jibu swali langu, Unataka kila

Siku tuwe tunakumbushana tu au? Kwani Ishani

wewe ni Chizi kidogo?"

Suzy aliniuliza kwa kunifokea Kama Mtoto Mdogo vile, lakini pia bado alikuwa akikanyaga

vidole vyangu.

Klukweli Mimi ni binti mpole na Mtulivu mno, lakini maisha ya manyanyaso ambayo nimeishi

kwa mama yangu Mdogo yamenibadilisha pa kubwa mno, Nimekuwa muongeaji mno lakini. pia ni mtu ambaye sitaki kabisa kuonewa, na kuna Namna Nimekuwa ni Kama mtu ambaye.

siwezi kuzuia hasira zangu.

Nilijikuta nikimsukuma suzy kwa nguvu sana na kwakuwa hakuwa ametalajia tukio fio, Suzy

akaanguka chini Kama Mzigo na kujikuta akiangukia makalio.

Mama Zena alishtuka sana na kwa haraka

akawai na kumnyanyua Suzy.

"Ishani Muombe msamaha Suzy

Alizungumza man zena akiwa amenikazia macho.

"Nafikili yeye. Ndio anatakiwa kuniomba Mimi

msamaha

Nilijibu kwa kujiamini mno.

"Nitakuonesha

Alizungumza Suzy kwa hasira kisha akatoka nje.

Baada ya muda Suzy akarudi na kuzungumza.

"Mama zena niletee maji chumbani"

Kisha akaondoka zake.

Kwa upande wangu niliendelea kukanda ngano

lakini kwa hasira sana.

Ishani ni nini lakini umefanya??"

Mama zena aliniuliza.

"Huyu msichana anataka kunipanda kichwani tu,

Jana usiku si aliniambia ataki Tena kuandaliwa maji na Mimi? Bado akasisitiza kuwa ataki kuniona chumbani kwake, halafu sa Hizi

ananiletea ubabe wake wa kijinga

"Lakini sio kwa style hiyo, Ishani usisahau Kuwa Suzy ni Mtoto wa boss wako"

Nilimuangalia mama zena kwa muda kisha

nikamjibu.

"Na yeye ajue mipaka yake Mimi ni msaidizii wa kazi tu na sio mtumwa wake"

Kisha nikaendelea na kazi zangu mie.

Kama kawaida Mimi nikishamallaga majukumu

yangu moja kwa moja Uwa naenda kukaa tu chumbani.

Ikiwa ni Majila ya Saa 1 jioni kuelekea saa mbili,

nikiwa na uchovu wa hali ya juu, nikajivuta vuta na kwenda jikoni kwajili ya kutenga chakula mezani Maana Uwa wanakula sa mbili au Saa 3.

Nikiwa natokea jikoni kuelekea Kwenye meza ya chakula, nikajikuta nikishangaa sana baada ya

kumuona madam Groly akishuka ngazi kwa kukimbia lakini pia alikuwa akishangilia kwa

Furaha sana uku akiimba

"Mwanangu, Mwanangu Mwanangu

Nilibaki nikimshanga na madam akaenda moja

kwa moja na kufungua mlango.

Uwiiiiiih kitendo cha madam Groly kufungua tu

miango, nilijikuta nikiangusha jagi la Juice

baada ya kukutana uso kwa uso na mkaka Yule aliyetoa bikra yangu nikiwa kwa ma Mdogo

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*


ANZA NAYO.....

Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi.

"Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?"

Ilikuwa ni SAUTI ya kike SAUTI nyororo sana na kwerrye mawazo yangu niliwaza Kuwa ni binti tu Kama Mimi, Maana ni Mtoto wa huyu mama ambaye amenichukua na kunileta NYUMBANI kwake.

"Ulitaka nifanye nini? Nimuache MTAANI au ? Suzy usisahau Kuwa ni wewe Ndio umemsababishia matatizo huyu binti, usisahau Kuwa wewe Ndio ulimgonga na kusababisha kupoteza kila alichokuwa nacho"

Hapo kwanza nikashtuka Maana naona taarifa ni mpya kabisa na ni tofauti na ile ambayo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaash-boss-enzo-chapter-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaash-boss-enzo-chapter
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15*

AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*

602
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

252
REALLY LOVE* *26&27*

REALLY LOVE* *26&27*

228
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15

200
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14

183
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12

109
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

108
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10

63
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook

48

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.29K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.35K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat Post Mpya
Shahnaz Lalarukh Khan, born in 1960, is Shah Rukh Khan’s elder sister and one of the most important people in his life. She’s about six years older than him and lives with SRK and his family at their beautiful Mumbai home, Mannat
@majario LIVE

. After their father passed away in 1981 and later their mother in 1991, Shahnaz was deeply affected. Their father’s sudden death hit her especially hard and she went through severe...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya...

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*
@majario LIVE

SONGA NAYO... Moyo wangu ulishtuka sana baada ya kumuona. Enzo akilia kwa uchungu wa hali ya juu, Walahi niliogopa mno na nikibaki nikimtuliza Ingawa nilikuwa Nina butwaa ya hali ya juu. "Usiku Mwema...

HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED  ESCAPE FROM... Post Mpya
HOW TO BUILD A LIFE YOU DON’T NEED ESCAPE FROM...
@majario LIVE

Most people don’t actually hate their life. They hate how their days feel. The constant mental noise unfinished tasks waiting for texts living for the weekend scrolling to decompress from a day they barely chose So they...

This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998 Post Mpya
This cute moment from Pyaar To Hona Hi Tha perfectly captures the magic between Kajol and Ajay Devgn. Back in 1998
@majario LIVE

, this film gave us one of the most loved on-screen jodis of the 90s, and their chemistry felt so natural and effortless. Kajol was full of life, emotional, expressive —...

THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD.  THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL.  “El Mencho Post Mpya
THEY DIDN’T JUST KILL A DRUG LORD. THEY KILLED A DEEP STATE GENERAL. “El Mencho
@majario LIVE

” was untouchable for 30 years. He had drones. Armored vehicles. Land mines. He shot down a military helicopter. The CIA looked the other way. Why? Because he wasn’t just moving drugs....

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 12
@majario LIVE

Kilichoniashtuaa sio kwamba nilifika nje nikashtuka hapana, yaani nilishtukaa baada ya kuingia ndani maan nilimkuta Hussein na Zakia wapo ndani tena kitandani na kwa mkao. waliokaa kwanza wanaonekana kuchoka kana...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

Siku ile ilikuwa ndefu sana kwangu sikuwa najua nafanyaje maaa nilikuwa na mawazo sana yaaani hadi usiku unafika sijui kam ni usiku maaan nilikua nimevurugwa sana, hadi nikawa nalinganisha kati...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *      Chapter 10 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 10
@majario LIVE

Tulifanikiwa kupata lile fremu lilikuwa kubwa zuri lina hewa na pia lilikuwa lipo barabarani hivyoo ni rahisi watu kuona lile bango pale la officine, ambalo tutaweka tukatoka hapo tukaenda sehemu...

*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* * Post Mpya
*ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO* *1-5* *
@majario LIVE

__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Naitwa Nelly ni mtoto wa kwanza kwa baba yangu wazazi wangu hawakuwahi kuishi pamoja hivyo niliishi na mzazi mmoja tu ambaye ni mama . Niliishi na mama yangu...

*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook Post Mpya
*NDOA YA MCHONGO BIBI NA MAMKWE🙌* *1-5* * Facebook
@majario LIVE

* *SEHEMU YA KWANZA* Huyu aliyegundua cabbage ni mboga, jamani jamani, nikimkamata uko kiama patachimbika 🤨, nikiwa nawaza kwa sauti, na hasiraa, bibi yangu akanipa za uso uku ananisogelea, "hio mboga imekukuza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo mimi ndivyo na yeye alivyo, anapenda mademu huyu na kibaya zaidi ametongoza...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
@majario LIVE

"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana wa watu akashika viatu nikamchapa pale viboko kama vitano na kumwambia aende, na sirudie tena 😂 Mtoto...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

 AAAAAASH BOSS ENZOO*    *14&15* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZOO* *14&15*
@majario LIVE

Kwanza Mimi na Enzo tukaangaliana, na Mimi Ndio nilikuwa na wasiwasi sana kuliko ata huyo Enzo, Walahi niliogopa sana, madam Groly alionekana kuchukia Sana na niliona hasira yake kupitia uso wake. "Shikamoo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest