Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
24 Feb 2026
212 views
VYOTE NDANI GONGA94
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SONGA NAYO..........
Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya wodi nilipokuwa nimelazwa
Kaka yake alikuwa anamuangaliaa tu namna alivyokuwa hatulii mwisho alimfuata na kumvuta huku akimtoa pale mlangoni.
"Kaka niachieee..."
Nyie huyu Bony alikuwa na roho ngumu sio kama yule Bony mwaitege ila huyu hatari aisee, kelele za Lizy ziliwafanya manesi kwenda kumzuia asiendelee kumburuza chini
Kweli alimuachia ila ndio hivyo alikuwa na hasira sana
"Naenda kufata pesa, nikirudi uwe umejiandaa kutoa huo ujauzito, yani hakuna kitu ambacho sikipendi kama yule boy wako yule yani huyo saa wako huyu simpendi kabisa..."
Alikuwa anaongea vibaya eti saaa π acha nicheke mimi kabla sijaamkaa walah
Basi Bony aliondoka pale akiwa na hasira sana, Lizzy alibakia pal pale hospital pamoja na Jose, baada ya lisaa limoja niliweza kuamka ila ndio hivyo uso wangu ulikuwa hautamaniki kabisa
"Henry..."
Ile naamka tu nasikia kuitwa na sauti tamu walah umalaya ni mbaya, nikafumbua jicho kutazama nikamuaoona Lizy, nikatabasamu tabasamu hafifu
"Lizy...."
Nilimuita, akanishika mikono yangu huku analia, nikamfuta machozi
"Lizy ikitokea nimekufa leo usithubutu kutoa mimba yangu, tafadhali lLizy..."
Nilimwambia
"Me naona tu tutoroke.."
Lizzy alisema aliposema hivyo ni kama alinifungua macho maana nilikuwa kama zuzu vile
"Tutoroke tuende wapi..??"
Nilimuuliza
"Popote tu Henry, kaka yangu huwa hatanii saivi ameenda kufata pesa akirudi naingizwa operation room Henry naogopa kufa pleas tuondoke.."
( π sasa tuondoke na hii hali yangu kweli, nitaficha wapi uso wangu mimi )
Nilijiwazia
"Jamani, hali yangu sio nzuri..."
"Hivi uko serious wewe, kama unataka kuokoa damu yako ondoka muda huu, me naungana na shemeji kuwa mtoroke.."
Jose alidakia
( ππ ety shemeji. )
Basi sikuwa na kitu cha kufanya zaidi ya kunyanyuka hivyo hivyo, tulitoka mpaka nje kabisa na kuingia kwennye gari ya Jose na safari ya kwenda kwangu iianza, baada kufika kwa vile Jose alikuwa ameongea na dalali
Vyombo niliuzia pale pale nilichobeba ni nguo tu na pesa nikapewa ambayo ilitusaidia nauli.
"Shika hii simu tutakiuwa tunawasiliana..."
Jose alinikabizi simu kubwa, huyu kaka anahela balaa hata nauli alitupa kama laki tano hivi, basi bila kusubiri tulipanda gari siku hiyo hiyo ila ndio hivyo nilificha uso wangu πππΎ
Safari ilikuwa ndefu jamani kutoka mwanza mpaka songea si mchezo njia nzima Lizy alikuwa anatapika tu huyu binti π’ walah mimba ilikuwa inamuendesha na hapo ina week kama tatu hivi
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha ...
Kipande cha 10 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jio...
kipande cha 9 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ...
7 MPAKA 8 πΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌπΌ Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie iyo ...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
SONGA NAYO..........
Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza mara moja, upande wa Lizy alikuwa hatulii kabisa yani kila muda anachungulia ndani ya wodi nilipokuwa nimelazwa
Kaka yake alikuwa anamuangaliaa tu namna alivyokuwa hatulii mwisho alimfuata na kumvuta huku akimtoa pale mlangoni.
"Kaka niachieee..."
Nyie huyu Bony alikuwa na roho ngumu sio kama yule Bony mwaitege ila huyu hatari aisee, kelele za Lizy ziliwafanya manesi kwenda kumzuia asiendelee kumburuza chini
Kweli alimuachia ila ndio hivyo alikuwa na hasira sana
"Naenda kufata pesa, nikirudi uwe umejiandaa kutoa huo ujauzito, yani hakuna kitu ambacho sikipendi kama yule boy wako yule...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wewe-ni-wangu-sehemu-ya-17
Maoni